Movie za Kimarekani ndio movie bora kabisa duniani

cannavaro

Member
Dec 1, 2020
83
115
Kwanza naunga mkono uwekezaji katika bandari yetu, lakini sio kwa mkataba huu, naomba kasoro zirekebishwe. Niende moja moja kwenye mada.

Nimeangalia na kufuatilia series na movie nyingi za Kimarekani na sasa nafuatilia series inaitwa Lost.

Hakika nathubutu kusema movies na series za Kimarekani ndio bora kabisa duniani. Hawa jamaa wanatumia akili nyingi na ubunifu mkubwa katika kuandaa kazi zao. Story zao ni nzuri na kufikirisha sana.

Hongera sana kwao. Nasi tujitahidi sana kuiga mazuri yao.
 
Kwanza naunga mkono uwekezaji katika bandari yetu, lakini sio kwa mkataba huu, naomba kasoro zirekebishwe. Niende moja moja kwenye mada.

Nimeangalia na kufuatilia series na movie nyingi za Kimarekani na sasa nafuatilia series inaitwa Lost.

Hakika nathubutu kusema movies na series za Kimarekani ndio bora kabisa duniani. Hawa jamaa wanatumia akili nyingi na ubunifu mkubwa katika kuandaa kazi zao. Story zao ni nzuri na kufikirisha sana.

Hongera sana kwao. Nasi tujitahidi sana kuiga mazuri yao.
Lost unayoangalia ni ile ya wahanga wa ajali ya ndege?
 
Kwanza naunga mkono uwekezaji katika bandari yetu, lakini sio kwa mkataba huu, naomba kasoro zirekebishwe. Niende moja moja kwenye mada.

Nimeangalia na kufuatilia series na movie nyingi za Kimarekani na sasa nafuatilia series inaitwa Lost.

Hakika nathubutu kusema movies na series za Kimarekani ndio bora kabisa duniani. Hawa jamaa wanatumia akili nyingi na ubunifu mkubwa katika kuandaa kazi zao. Story zao ni nzuri na kufikirisha sana.

Hongera sana kwao. Nasi tujitahidi sana kuiga mazuri yao.
Wewe itakuwa hujaangalia za Kihindi, aidha inawezekana pia ni wa miaka ya 90.
 
Nimeangalia na kufuatilia series na movie nyingi za Kimarekani na sasa nafuatilia series inaitwa Lost.

Hakika nathubutu kusema movies na series za Kimarekani ndio bora kabisa duniani. Hawa jamaa wanatumia akili nyingi na ubunifu mkubwa katika kuandaa kazi zao. Story zao ni nzuri na kufikirisha sana.
Uwekezaji wao mkubwa wa 'fedha' , teknolojia na ubunifu unachangia hilo, ndio maana hata tamaduni zao zinasambaa kwa Kasi.
 
Hakika unayosema ni kweli,jamaa wanaigiza kama kweli vile

Sio hawa waturuk,muigizaj mkuu anakuwa eti anataka kucheka hata kwenye scene za userious

Wahindi hao series zao zote style ya kuongea kwa kurusha mikono na kutikisa kichwa ni ile ile,wahindi ila wakiamua kutulia kutoa muvi pia ni wazuri sana
 
Kwanza naunga mkono uwekezaji katika bandari yetu, lakini sio kwa mkataba huu, naomba kasoro zirekebishwe. Niende moja moja kwenye mada.

Nimeangalia na kufuatilia series na movie nyingi za Kimarekani na sasa nafuatilia series inaitwa Lost.

Hakika nathubutu kusema movies na series za Kimarekani ndio bora kabisa duniani. Hawa jamaa wanatumia akili nyingi na ubunifu mkubwa katika kuandaa kazi zao. Story zao ni nzuri na kufikirisha sana.

Hongera sana kwao. Nasi tujitahidi sana kuiga mazuri yao.
Hujaangalia series za kutosha ndio maana unaongea ongea tu....angalia series za waingereza utashangaa...nenda uangalie gangs of london...utaelewa
 
Mkataba huu ndiyo upi?

Waziri wetu mpya wa uwekezaji kishasaini mkataba wa kuendesha bandari?

Au mnaota tu?
Kipindi cha mwendazake ulifunga bakuli lako, awamu hii umeanza tena kuwashwa kama enzi za jk
 
Kipindi cha mwendazake ulifunga bakuli lako, awamu hii umeanza tena kuwashwa kama enzi za jk
Niliikimbia nchi kabisa, kabla ya Lema. Mara ya kwanza kuikimbia Tanzania ilikuwa wakati wa Nyerere.

Yanini tabu na raha ipo? Binadam tunatakiwa uishi stress free. Bogus leaders hawaelewi hilo. Nilo unalipata kwa viongozi walioanzia chuo wakiwa na miaka 3, siyo mijitu mpaka inaanza kuzeeka ndiyo inaenda chuo.

Tazama leaders ambao ukiwatazama muonekano wa haiba zao tu, stress zinakuondoka. Wapo calm and compossed.

Nambie leaders wepi wa Tanzania wapo hivyo, katika awamu zote 6?
 
Hakika unayosema ni kweli,jamaa wanaigiza kama kweli vile

Sio hawa waturuk,muigizaj mkuu anakuwa eti anataka kucheka hata kwenye scene za userious

Wahindi hao series zao zote style ya kuongea kwa kurusha mikono na kutikisa kichwa ni ile ile,wahindi ila wakiamua kutulia kutoa muvi pia ni wazuri sana
Serie za Kituruki ni bongo movie ilichangamka.
 
Niliikimbia nchi kabisa, kabla ya Lema. Mara ya kwanza kuikimbia Tanzania ilikuwa wakati wa Nyerere.

Yanini tabu na raha ipo? Binadam tunatakiwa uishi stress free. Bogus leaders hawaelewi hilo. Nilo unalipata kwa viongozi walioanzia chuo wakiwa na miaka 3, siyo mijitu mpaka inaanza kuzeeka ndiyo inaenda chuo.

Tazama leaders ambao ukiwatazama muonekano wa haiba zao tu, stress zinakuondoka. Wapo calm and compossed.

Nambie leaders wepi wa Tanzania wapo hivyo, katika awamu zote 6?
Unatuharibia uzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom