Hatima ya Ujinga Wake (Short Love Story)

FEBIANI BABUYA

JF-Expert Member
Mar 5, 2022
1,028
1,924
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

MWANZO

Furaha ilikuwa sehemu ya historia ya wapenzi wawili kwenye maisha yao, walikuwa wanaingia kwenye hatua kubwa zaidi kwenye maisha ya mwanadamu yeyote yule aliye hai hata maandiko ya dini yanalielezea hilo kwa usahihi sana.

Ndoa ni ndoto ya kila mwanadamu, inaleta heshima, furaha na pumziko la nafsi wengine wakinogesha na kuita nyonga huwa zinatulia ukifika kwenye hiyo hatua baada ya kumpata huyo mkalia ini.

Jumatano tulivu ndiyo ilikuwa siku ya wapendanao wawili Simon Benedict pamoja na mwanamke wa ndoto zake Cecilia Ambrose, siku hii ilikuwa ni siku ya harusi yao.

Sio ndugu tu bali hata majirani pamoja na wapita njia ambao walihudhuria kwenye sherehe hiyo hawakuacha kutoa maneno mazuri ya kuweza kuisifia wengine wakiona wivu kwa hao wapendanao wawili wakitamani wangekuwa wao kwa jinsi walivyokuwa na furaha ambayo wanadamu wengi huwa hawaipati kabisa kwenye maisha yao yote kwenye tasnia ya mapenzi huenda mpaka wanakufa.

Jua la utosi mida ya saa nane kuelekea saa tisa za mchana eneo husika lilikuwa limepambwa vilivyo, pambio za haja za kuvutia ziliwatoka wanakwaya ambao ni wazi walikuwa wana furaha kupitiliza kwenye pembe moja ya jiji la Dar es salaam ndipo tukio hilo kubwa lilipokuwa linaenda kufanyika mchana wa siku hiyo.

Maeneo ya Posta jijini Dar es salaam katika kanisa kubwa la mtakatifu Joseph (St Joseph Cathedral) ni kanisa kubwa na maarufu sana, ni kanisa ambalo limedumu kwa muda mrefu sana likiwa limejengwa mnamo katikati mwa miaka ya 1897 mpaka 1902 na wamisionari wa kijerumani na kuja kupewa wakfu kuwa kanisa la kiroma mnamo mwaka 1905 hapo ndipo harusi hiyo ilipokuwa imeandaliwa kufanyika.

Bwana harusi alikuwa kwenye suti yake safi ambayo bila shaka fundi aliyekuwa ameitengeneza alitumia zaidi ya robo tatu ya akili yake yote kuweza kuitengeneza ilikuwa imemkaa vyema sana akiwa amesindikizwa na rafiki yake wa siku nyingi Andrew ambaye alihakikisha rafiki yake anapata kile alichokuwa anastahili siku hiyo, ukumbi ulikuwa umejaa na kulipuka kwa furaha aliyekuwa anasubiriwa hapo ni bibi harusi pekee ili jambo hilo litendeke.

Binti Ambrose ambaye kwa majina alifahamika kama Cecilia ndiye kisura aliyekuwa anasubiriwa mchana huo, ni mwanamke aliyekuwa amepata bahati ya kwenda kuitwa mke wa mtu kwenye dunia ambayo kuolewa kwa wanawake imekuwa ni bahati kubwa wakati kiuhalisia ni wajibu na jukumu la kila mtu.

Sifa ya uzuri wake na kiuno laini cha kingoni pamoja na maadili bora aliyo lelewa zilikuwa sababu kubwa za kumfanya bwana Simon asiwe na kauli kabisa anapokuwa mbele ya huyo mwanamke hasa kila aisikiapo sauti nzuri ya kimwali wake huyo ambaye wazazi wake pamoja na ndugu zake wengi wa karibu walikuwa wamesafiri kutoka Songea mkoani Ruvuma mpaka kufika ndani ya jiji la Mzizima lenye kila aina ya vioja kuweza kushuhudia mpendwa wao akiolewa na kuipa heshima kubwa familia yake.

Kwenye viti maalumu alikuwa anaonekana mzee Ambrose akiwa kwenye furaha iliyo pitiliza akimsifia mkewe bibi Ambrose kwa malezi mazuri aliyoweza kumlea binti yao Cecilia.

Kwenye saloon( saluni) moja kubwa sana ya kifahari sana iliyo maalumu kwa ajili ya kupamba maharusi ndiyo sehemu aliyokuwa yupo Cecilia akisindikizwa na jopo la wanawake kadhaa lililochaguliwa kuhakikisha bibi harusi anafana sana kuelekea kwenye siku yake kubwa hiyo, huko nje gari zaidi ya tatu zilikuwa zipo tayari kuhakikisha bibi harusi anafika salama ndani ya ukumbi ambako kulikuwa na mumewe kipenzi.

Bibi harusi alikuwa amepambwa akapambika kwa macho ya kibinadamu tu MUNGU alitulia sana kumuumba mtoto wa watu, alijitazama kwenye kioo yeye mwenyewe moyoni alikiri kwamba alikuwa ni mwanamke mrembo sana nadhani alimuonea sana wivu bwana Simon kwa kubahatika kupata bahati ya kumuoa mwanamke kama yeye.

Huku kanisani bwana Simon aliona kama huyo mwanamke wake anachelewa hivyo alisogea pembeni na kuitoa simu yake ya kisasa mfukoni. Nakumbuka nilimuona vizuri sana kwa sababu mimi nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wamehudhuria kwenye lile tukio, muda wote macho yangu yalikuwa yapo kwa mpiga kinanda mle ndani aliyekuwa akikipiga kwa weledi mkubwa utadhani ile sherehe ilikuwa ni yake mwenyewe, kwa vile nilikuwa mbele kabisa ule mjongeo wa bwana Simon kwenda kupiga simu niliuona vizuri sana ikabidi nigeuze macho yako kumtazama bwana harusi huyo alikuwa anataka kufanya nini mpaka asogee pembeni namna hiyo.

Kwenye simu yake hakuwa na shida nyingine zaidi ya kulitafua jina ambalo kwenye kioo kikubwa cha simu yake ya kisasa lili andikwa my Bonnie hakuchelewa akabonyeza kitufe kilicho mruhusu kuipiga simu hiyo, huku upande wa pili simu ilikuwa ikiita na wakati huo alikuwa ameishika msindikizaji mkuu wa bibi harusi, kwenye kioo jina lililo onekana kupiga lilikuwa kimehifadhiwa kama My Clyde likifuatiwa na alama ya upendo pamoja na kakufuli kadogo kuonyesha huyo mtu amefungiwa kwenye moyo wa huyo mwanamke hakuna mtu mwingine anayeweza kuingia tena funguo zilikuwa zimetupwa kwenye bahari ya Hindi ambako hakuna mtu anaweza kuzipata tena.

Binti Ambrose aliipokea kwa bashasha akiwa ametabasamu na uzuri wake wa wazi ukiwa umetaradadi, waliokuwa karibu walibahatika kuona tabasamu adhimu la mrembo huyo pamoja na vishimo viwili kwenye mashavu yake hata wanawake wenzao walimuonea wivu sana kwa namna MUNGU alivyokuwa amempendelea, simu aliiweka sikioni kabla hajaongea chochote aliweza kuisikia sauti ambayo ndiyo pekee alipenda kuisikiliza sana kwenye maisha yake kuliko sauti yoyote ile maskioni mwake.

Wakati nipo pale mbele nilivutiwa sana kusikiliza kile ambacho bwana Simon alikuwa akihitaji kukielezea wakati ule, nilianza kusikia mwanaume akizipangilia na kuzitamka vizuri sarufi nzuri kwa mkewe mtarajiwa ambaye kwa dakika kadhaa alikuwa anaenda kuwa mkewe wa halali kabisa wa ndoa na ndiyo sababu nilivutiwa sana nikaamua kukiandika kisa hiki.

"Nachagua mwenyewe nitakula ndo nile ama nile ndo nitakulaaaaa, najisevia manyama nyama utamu utamu, Naona raha mie unavyonipeleka puta, makodinda mako stamina yanu show show,
Naona raha mie unavyo ishushia kwenye tuta mama, mako dinda mako stamina yani slow slow,
Umeniweza.....mh

Ukinigusa mwili wangu nashtuka moyo paa.......
Baby wangu nishike nisije nikapaa.....
Tena usinipege kiduchu, sugar sugar sugar ....
My life is nothing without you, sugar sugar sugar......
Tena usinipege kiduchu, sugar sugar sugar.........
My life is nothing without you, sugar sugar sugar......

Wahi mapema mama, leo ni siku yetu mke wangu, nakupenda sana malkia. Baada ya kumaliza kuiimba tenzi nzuri sana ambayo imekuwa kivutio kwa watoto wa kike wengi sana mjini wimbo maarufu wa msanii Jay Melody akiwa na Marioo nadhani kwa sababu ya mpangilio mzuri sana wa maneno ya kuvutia bwana Simon aliikata simu yake, niliyasikia vizuri maneno adhimu hayo ambayo nilitamani sana ningekuwa na mtu wa kumpatia hayo maneno ila bahati mbaya sana MUNGU alikuwa hajanipa bado, nilijikuta ninapiga makofi kwa bashasha kwani nilikuaa nimepata somo kubwa sana kutoka kwa bwana Simon.

Sauti kubwa za makelele pale kanisani ilikuwa ishara tosha kugundua kwamba gari zilizokuwa zimemleta bibi harusi pale zilikuwa zimefika kanisani, watu walinyanyuka, vifijo na nderomo ndio yalikuwa mapambio kwa hiyo siku bora, nilikiri kwamba yule bwana alikuwa na macho yenye upeo mkubwa sana sijui ni wapi aliweza kumuona huyo mwanamke ila alikuwa amechagua mwanamke mrembo sana kwenye kila macho ya mwanadamu aliye kamili, nilijikuta natamani sana kuingia kwenye ndoa siku ile ile ila nilikuwa na sababu kuu mbili ambazo kilikuwa kikwazo kikubwa kwangu, yakwanza sikuwa nimemuona mwanamke ambaye alikuwa anaendana na falsafa za maisha yangu kiasi kwamba alikuwa anaweza kuwa mke wa ndoa wengi niliwajaribu kwa vitu vidogo sana hawakuwa wanawake sahihi wa kuwafanya kuwa mama wa familia kabisa, kikwazo cha pili kilikuwa kipato, dunia ya sasa wanawake wengi wanaangalia sana mtu mwenye mfuko mrefu ili kidogo wasiwe na mambo mengi sana wanapo ingia kwenye ndoa, sikuwa moja ya vijana waliokuwa na maisha mazuri hivyo niliishia kuto heshimiwa sana mbele za wanawake.

Ukumbi ulifura kwa shangwe wakati bibi harusi anasogea mbele ya ukumbi, mwendo wa madaha ilikuwa sehemu ya maisha yake mngoni huyu, kiuno kilikuwa ndani ya shela zuri lakini kilionekana namna kilivyo jigawa kwa usahihi, nyuma siongei sana maana kila nikikumbuka nilitamani ningemuoa mimi, sikumuona macho yake haraka kwani alifunikwa, urefu wake kiasi mithilo ya twiga ulitosha kuyatoa meno yote thelathini na mawili ya bwana Simon pale mbele.

Mapenzi, tafsiri sahihi ya kuyaelezea ni namna moyo wako unavyo amua kuyapokea.
It's my passion to talk about love

Bux the passionate lover

FB_IMG_1661449661851.jpg


Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

MWANZO

Furaha ilikuwa sehemu ya historia ya wapenzi wawili kwenye maisha yao, walikuwa wanaingia kwenye hatua kubwa zaidi kwenye maisha ya mwanadamu yeyote yule aliye hai hata maandiko ya dini yanalielezea hilo kwa usahihi sana.

Ndoa ni ndoto ya kila mwanadamu, inaleta heshima, furaha na pumziko la nafsi wengine wakinogesha na kuita nyonga huwa zinatulia ukifika kwenye hiyo hatua baada ya kumpata huyo mkalia ini.

Jumatano tulivu ndiyo ilikuwa siku ya wapendanao wawili Simon Benedict pamoja na mwanamke wa ndoto zake Cecilia Ambrose, siku hii ilikuwa ni siku ya harusi yao.

Sio ndugu tu bali hata majirani pamoja na wapita njia ambao walihudhuria kwenye sherehe hiyo hawakuacha kutoa maneno mazuri ya kuweza kuisifia wengine wakiona wivu kwa hao wapendanao wawili wakitamani wangekuwa wao kwa jinsi walivyokuwa na furaha ambayo wanadamu wengi huwa hawaipati kabisa kwenye maisha yao yote kwenye tasnia ya mapenzi huenda mpaka wanakufa.

Jua la utosi mida ya saa nane kuelekea saa tisa za mchana eneo husika lilikuwa limepambwa vilivyo, pambio za haja za kuvutia ziliwatoka wanakwaya ambao ni wazi walikuwa wana furaha kupitiliza kwenye pembe moja ya jiji la Dar es salaam ndipo tukio hilo kubwa lilipokuwa linaenda kufanyika mchana wa siku hiyo.

Maeneo ya Posta jijini Dar es salaam katika kanisa kubwa la mtakatifu Joseph (St Joseph Cathedral) ni kanisa kubwa na maarufu sana, ni kanisa ambalo limedumu kwa muda mrefu sana likiwa limejengwa mnamo katikati mwa miaka ya 1897 mpaka 1902 na wamisionari wa kijerumani na kuja kupewa wakfu kuwa kanisa la kiroma mnamo mwaka 1905 hapo ndipo harusi hiyo ilipokuwa imeandaliwa kufanyika.

Bwana harusi alikuwa kwenye suti yake safi ambayo bila shaka fundi aliyekuwa ameitengeneza alitumia zaidi ya robo tatu ya akili yake yote kuweza kuitengeneza ilikuwa imemkaa vyema sana akiwa amesindikizwa na rafiki yake wa siku nyingi Andrew ambaye alihakikisha rafiki yake anapata kile alichokuwa anastahili siku hiyo, ukumbi ulikuwa umejaa na kulipuka kwa furaha aliyekuwa anasubiriwa hapo ni bibi harusi pekee ili jambo hilo litendeke.

Binti Ambrose ambaye kwa majina alifahamika kama Cecilia ndiye kisura aliyekuwa anasubiriwa mchana huo, ni mwanamke aliyekuwa amepata bahati ya kwenda kuitwa mke wa mtu kwenye dunia ambayo kuolewa kwa wanawake imekuwa ni bahati kubwa wakati kiuhalisia ni wajibu na jukumu la kila mtu.

Sifa ya uzuri wake na kiuno laini cha kingoni pamoja na maadili bora aliyo lelewa zilikuwa sababu kubwa za kumfanya bwana Simon asiwe na kauli kabisa anapokuwa mbele ya huyo mwanamke hasa kila aisikiapo sauti nzuri ya kimwali wake huyo ambaye wazazi wake pamoja na ndugu zake wengi wa karibu walikuwa wamesafiri kutoka Songea mkoani Ruvuma mpaka kufika ndani ya jiji la Mzizima lenye kila aina ya vioja kuweza kushuhudia mpendwa wao akiolewa na kuipa heshima kubwa familia yake.

Kwenye viti maalumu alikuwa anaonekana mzee Ambrose akiwa kwenye furaha iliyo pitiliza akimsifia mkewe bibi Ambrose kwa malezi mazuri aliyoweza kumlea binti yao Cecilia.

Kwenye saloon( saluni) moja kubwa sana ya kifahari sana iliyo maalumu kwa ajili ya kupamba maharusi ndiyo sehemu aliyokuwa yupo Cecilia akisindikizwa na jopo la wanawake kadhaa lililochaguliwa kuhakikisha bibi harusi anafana sana kuelekea kwenye siku yake kubwa hiyo, huko nje gari zaidi ya tatu zilikuwa zipo tayari kuhakikisha bibi harusi anafika salama ndani ya ukumbi ambako kulikuwa na mumewe kipenzi.

Bibi harusi alikuwa amepambwa akapambika kwa macho ya kibinadamu tu MUNGU alitulia sana kumuumba mtoto wa watu, alijitazama kwenye kioo yeye mwenyewe moyoni alikiri kwamba alikuwa ni mwanamke mrembo sana nadhani alimuonea sana wivu bwana Simon kwa kubahatika kupata bahati ya kumuoa mwanamke kama yeye.

Huku kanisani bwana Simon aliona kama huyo mwanamke wake anachelewa hivyo alisogea pembeni na kuitoa simu yake ya kisasa mfukoni. Nakumbuka nilimuona vizuri sana kwa sababu mimi nilikuwa miongoni mwa watu waliokuwa wamehudhuria kwenye lile tukio, muda wote macho yangu yalikuwa yapo kwa mpiga kinanda mle ndani aliyekuwa akikipiga kwa weledi mkubwa utadhani ile sherehe ilikuwa ni yake mwenyewe, kwa vile nilikuwa mbele kabisa ule mjongeo wa bwana Simon kwenda kupiga simu niliuona vizuri sana ikabidi nigeuze macho yako kumtazama bwana harusi huyo alikuwa anataka kufanya nini mpaka asogee pembeni namna hiyo.

Kwenye simu yake hakuwa na shida nyingine zaidi ya kulitafua jina ambalo kwenye kioo kikubwa cha simu yake ya kisasa lili andikwa my Bonnie hakuchelewa akabonyeza kitufe kilicho mruhusu kuipiga simu hiyo, huku upande wa pili simu ilikuwa ikiita na wakati huo alikuwa ameishika msindikizaji mkuu wa bibi harusi, kwenye kioo jina lililo onekana kupiga lilikuwa kimehifadhiwa kama My Clyde likifuatiwa na alama ya upendo pamoja na kakufuli kadogo kuonyesha huyo mtu amefungiwa kwenye moyo wa huyo mwanamke hakuna mtu mwingine anayeweza kuingia tena funguo zilikuwa zimetupwa kwenye bahari ya Hindi ambako hakuna mtu anaweza kuzipata tena.

Binti Ambrose aliipokea kwa bashasha akiwa ametabasamu na uzuri wake wa wazi ukiwa umetaradadi, waliokuwa karibu walibahatika kuona tabasamu adhimu la mrembo huyo pamoja na vishimo viwili kwenye mashavu yake hata wanawake wenzao walimuonea wivu sana kwa namna MUNGU alivyokuwa amempendelea, simu aliiweka sikioni kabla hajaongea chochote aliweza kuisikia sauti ambayo ndiyo pekee alipenda kuisikiliza sana kwenye maisha yake kuliko sauti yoyote ile maskioni mwake.

Wakati nipo pale mbele nilivutiwa sana kusikiliza kile ambacho bwana Simon alikuwa akihitaji kukielezea wakati ule, nilianza kusikia mwanaume akizipangilia na kuzitamka vizuri sarufi nzuri kwa mkewe mtarajiwa ambaye kwa dakika kadhaa alikuwa anaenda kuwa mkewe wa halali kabisa wa ndoa na ndiyo sababu nilivutiwa sana nikaamua kukiandika kisa hiki.

"Nachagua mwenyewe nitakula ndo nile ama nile ndo nitakulaaaaa, najisevia manyama nyama utamu utamu, Naona raha mie unavyonipeleka puta, makodinda mako stamina yanu show show,
Naona raha mie unavyo ishushia kwenye tuta mama, mako dinda mako stamina yani slow slow,
Umeniweza.....mh

Ukinigusa mwili wangu nashtuka moyo paa.......
Baby wangu nishike nisije nikapaa.....
Tena usinipege kiduchu, sugar sugar sugar ....
My life is nothing without you, sugar sugar sugar......
Tena usinipege kiduchu, sugar sugar sugar.........
My life is nothing without you, sugar sugar sugar......

Wahi mapema mama, leo ni siku yetu mke wangu, nakupenda sana malkia. Baada ya kumaliza kuiimba tenzi nzuri sana ambayo imekuwa kivutio kwa watoto wa kike wengi sana mjini wimbo maarufu wa msanii Jay Melody akiwa na Marioo nadhani kwa sababu ya mpangilio mzuri sana wa maneno ya kuvutia bwana Simon aliikata simu yake, niliyasikia vizuri maneno adhimu hayo ambayo nilitamani sana ningekuwa na mtu wa kumpatia hayo maneno ila bahati mbaya sana MUNGU alikuwa hajanipa bado, nilijikuta ninapiga makofi kwa bashasha kwani nilikuaa nimepata somo kubwa sana kutoka kwa bwana Simon.

Sauti kubwa za makelele pale kanisani ilikuwa ishara tosha kugundua kwamba gari zilizokuwa zimemleta bibi harusi pale zilikuwa zimefika kanisani, watu walinyanyuka, vifijo na nderomo ndio yalikuwa mapambio kwa hiyo siku bora, nilikiri kwamba yule bwana alikuwa na macho yenye upeo mkubwa sana sijui ni wapi aliweza kumuona huyo mwanamke ila alikuwa amechagua mwanamke mrembo sana kwenye kila macho ya mwanadamu aliye kamili, nilijikuta natamani sana kuingia kwenye ndoa siku ile ile ila nilikuwa na sababu kuu mbili ambazo kilikuwa kikwazo kikubwa kwangu, yakwanza sikuwa nimemuona mwanamke ambaye alikuwa anaendana na falsafa za maisha yangu kiasi kwamba alikuwa anaweza kuwa mke wa ndoa wengi niliwajaribu kwa vitu vidogo sana hawakuwa wanawake sahihi wa kuwafanya kuwa mama wa familia kabisa, kikwazo cha pili kilikuwa kipato, dunia ya sasa wanawake wengi wanaangalia sana mtu mwenye mfuko mrefu ili kidogo wasiwe na mambo mengi sana wanapo ingia kwenye ndoa, sikuwa moja ya vijana waliokuwa na maisha mazuri hivyo niliishia kuto heshimiwa sana mbele za wanawake.

Ukumbi ulifura kwa shangwe wakati bibi harusi anasogea mbele ya ukumbi, mwendo wa madaha ilikuwa sehemu ya maisha yake mngoni huyu, kiuno kilikuwa ndani ya shela zuri lakini kilionekana namna kilivyo jigawa kwa usahihi, nyuma siongei sana maana kila nikikumbuka nilitamani ningemuoa mimi, sikumuona macho yake haraka kwani alifunikwa, urefu wake kiasi mithilo ya twiga ulitosha kuyatoa meno yote thelathini na mawili ya bwana Simon pale mbele.

Mapenzi, tafsiri sahihi ya kuyaelezea ni namna moyo wako unavyo amua kuyapokea.
It's my passion to talk about love

Bux the passionate lover

View attachment 2335241

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 2......................
Hatua zote zilifuatwa kwa usahihi, ukafika muda wa kula kiapo na kuweza kupeana ahadi za maisha yao wakati huo bibi harusi alikuwa amefunuliwa usoni niliganda kwa sekunde thelathini kuushangaa uso wa mchongoko mithili ya Ciara msanii maarufu sana kutoka nchi ya Marekani, jicho kubwa la duara lilifanya uhisi anakuita huyo mrembo kila anapo kutazama, vishimo viwili kwenye mashavu yake vilitosha kunifanya mimi nitabasamu "MUNGU fundi sana" ni kauli iliyo nitoka bila kutarajia ikiwa ni sehemu ya kuutukuza uumbaji wake kwa huyo mtoto wa kike niliyekuwa nikimuangalia mbele yangu. Zoezi la kiapo liliisha mbele ya watu wengi sana hatimaye sasa Cecilia Ambrose alikuwa mke halali wa Bwana Simon Benedict, hakukuwa na kingine kanisani hapo sherehe ilihamia HAYATT REGENCY HOTEL miongoni mwa hoteli bora ndani ya jiji la Dar es salaam, zilitolewa zawadi nyingi sana kutoka pande za familia zote mbili japokuwa hazikuwa familia za maisha ya juu sana ila kwa kiwango chao walikuwa wamejitahidi mno. Saa mbili usiku ndio muda ambao sherehe ilikuwa imeisha kwa hawa wawili waliruhusiwa kuondoka wengine tukiendelea kuenjoi vyakula, vinywaji na muziki ambao ulikuwa hauchoshi kuusikiliza.
"Mpenzi" sauti ya kiume yenye shangwe iliita kutoka kwa Simon
"Abee baba" sauti laini ya mtoto mzuri aliyekomaa kwenye kufundwa iliitikia kwa stara zote mbele ya mumewe.
"Sina imani kama nina neno zuri sana la kukupa usiku wa leo kama ndege wafananao huruka pamoja mimi ndiye njiwa wako wa kiume sitahitaji kumuagiza njiwa barua kwako hii nimeiandaa mwenyewe mama mtarajiwa wa wanangu" utulivu na mpangilio wa maneno ya mume halali wa Cecilia yalikuwa ni muziki mzuri sana kwenye masikioni ya mkewe huku kitanda kilichokuwa kimepambwa kwa usahihi kikiwa ni hatima ya mwisho ya maongezi hayo, kiliwasubiri kwa hamu sana, maneno mazuri yalifanya meno ya mwanamke mrembo sana Cecilia yaonekana kwa mbali kwenye mwanga hafitu mwekundu na blue uliokuwa sehemu ya mapambo ya chumba hicho.
"Sina kauli mbele yako baba mtarajiwa wa wanangu nakusikiliza wewe tu" maneno yanayo mfanya kila mwanaume ajihisi ni shujaa mbele ya ulimwengu, yalimpa kicheko bwana Simon
"He he he, mkate umepata muokaji ni mwiko kuuunguza, kama nilikuahidi siku ya kwanza kwamba nitakuwa nawewe kwenye safari ya hili huba huru mpaka mwisho wa maisha yangu basi nitalaaniwa kama nitautupa huu moyo dhaifu sana uliopo mbele yangu, moyo wangu wote ni sehemu ya maisha yako, kama damu ingekuwa na alama basi ukinikata ungeliona jina lako" taratibu tenzi zilikuwa zikimshuka bwana Simon huku kwa mujibu midomo yao ikiwa imebakisha sentimita kadhaa kuwasafirisha kutoka kwenye ulimwengu wa watu wa kawaida na kuwapeleka kwenye dunia ya ulimwengu wa watu wawili waishio kwenye nafsi moja, kwao maumivu huwa ni sehemu tu ya simulizi ya maisha yao, ungesema nini kibaya watu hao wakakuelewa kuhusu mapenzi! hakuna kitu kingine. Ndimi zilizokiri kutunziana mioyo mpaka sehemu ya miili yao ziligusana taratibu mate yakiwa sukari nzuuri sana ya mgusano huo ambao hakuna uliye mboa kati yao, dakika kumi ziliisha wakiwa wanabadilishana ladha halisi ya mate yao, mikono ilikuwa sehemu ya kupunguza uzito wa nguo zilizokuwa kwenye miili yao, watake nini duniani dakika mbili mbele hakukuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa na nguo kwenye mwili wake kabisa ukiacha Cecilia ambaye alibakiwa na nguo ya ndani tu.
Utundu wa bwana Simon ilikuwa silaha ambayo kila siku huwa inamlegeza bibie Cecilia kila wakutanapo, aliutumia udhaifu huo kumteka mtoto wa kike kwenye dunia yake ya mapenzi ambaye hakuambilika chochote kwa mwanaume wa maisha yake huyo. Silaha zake kubwa mbili ndizo zilimpa kiburi bwana Simon kwenye sita kwa sita , Cecilia hakukumbuka kwamba ni kwa wakati gani alikuwa amefiishwa kwenye kona moja ya kitanda na kulazwa kwa usahihi mto ukiwa sehemu ya kukifanya kiuno chake kiwe juu kabisa, ulimi na vidole vya mkono ambavyo vilikuwa vikichezeshwa kama vile mtu anapiga gitaa ndivyo vilimfanya Cecilia asikumbuke hata jina lake maskini mtoto wa kingoni.
Safari ilianzia kwenye paji la uso wake kushuka mpaka juu ya eneo la pua, lipsi zake za mdomo zilimezwa na kulambwa kwa weledi kama vile mtu analamba ice cream yenye utamu ulio pitiliza wakati huo vidole vya bwana Simon vilikuwa vinacheza taratibu tena kwa mujibu na shanga nzuri zilizokuwa zimevalishwa kwa ustadi mkubwa kwenye kiuno cha mrembo huyo akiwa amebakiwa na nguo ya ndani tu pekee mpaka wakati huo. Zoezi hilo lilidumu kwa dakika tano ambapo hakuna sehemu ya mdomo haikuguswa na mdomo, sio ulimi, sio meno, sio fizi, sio lipsi mwanaume alihakikisha kila sehemu inaonja ladha halisi ya ulimi wake, shuguli ilihamia shingoni yalikuwa ni miongoni mwa maeneo yaliyokuwa yakimpa udhaifu mkubwa sana Cecilia, alikuwa anajikunja kama nyoka na kujigeuza geuza mithili ya chatu anaye hangaika kumeza mbuzi mkubwa nyikani. Dakika zingine tano ungeweza kudhani Bwana Simon alikuwa ana vipimo vya muda ndizo zilitumika kuishangaza shingo ya mrembo huyo wakati huo nguo ya ndani ilikuwa imeloa kila sehemu na usingeweza kumwamini mtu yeyote kama angekwambia nguo hiyo ilikuwa imenunuliwa asubuhi tu ya siku hiyo. Safari iliendelea kwenye sikio la mrembo huyo, usafi wa haja ndio ulio mvutia bwana Simon kupoteza dakika zake tatu kwenye hayo masikio mawili, yalimfanya mtoto wa watu kupiga makelele kama vile anataka kufa lakini alikuwa amefika kwenye kilele kikubwa zaidi cha mlima duniani, maji maji ndicho kitu kilichokuwa kinatoka kwenye sehemu zake za siri, maskio yalikuwa yanapulizwa kwa nguvu kisha mwanaume anakuwa kama anavuta hewa hiyo kwenye mdomo wake joto Kali linaingia kwenye hayo masikio akimaliza na neno I love you my wife kwa mbali vilimfanya mtoto wa watu kuwa kama kichaa.

Vikombe viwili vya maziwa vilivyokuwa vimeandaliwa kwenye kifua safi cha bibie Cecilia vilimfanya Simon afakamie kama vile hana akili nzuri, alinyonya zamu kwa zamu kwa zaidi ya dakika mbili wakati huo mkono mmoja ulikuwa unacheza na sehemu ya nyuma ya goti la Cecilia, maskini mtoto wa watu muda wote alikuwa anaweweseka kitandani akitoa jasho kama vile ametoka kufumaniwa, ulimi ulishushwa mpaka kwenye kitovu alipiga sauti kali baada ya meno kugusa gusa nyama ya juu ya sehemu hiyo, mkono uliokuwa nyuma ya goti ulizushwa na kuingizwa kwenye sehemu ya thamani zaidi kwa mwanamke yeyote yule duniani huku ulimi ukiwa umezamishwa kwenye kitovu. Cecilia alikuwa tayari amefika safari yake mara mbili sasa akiwa hata hajatolewa nguo yake ya ndani.

Mwanaume akinyanyuka kidogo kisha akainamisha kichwa chake, meno yake yaliishika nguo ya ndani ya mkewe na kuivuta kwa mbwembwe mikono yake ikiwa inatalii kifuani na mmoja ukiwa unacheza na shanga kiunoni Cecilia hata nguvu za kuleta ugumu hakuwa nazo sasa nguo ilitupwa mbali wote walikuwa wamebaki kama walivyo, sehemu hiyo ilikuwa na usafi ulio tukuka mwanaume hakuona shida kuisogeza midomo yake kwa usahihi bibie uvumilivu ulimshinda alimuinua kwa ngugu bwana Simon na kumvutia mdomoni mwake tena huku akiichukua mali yake ambayo ilikuwa mwilini mwa bwana Simon na shuguli ikawa imeanza rasmi kwenye majira hayo ya usiku, saa saba na nusu usiku ndio muda ambao walikuwa wanamaliza mizunguko yao ya kwanza ndani ya zile siku saba za mwanzo.
"Mume wangu"
"Naam mama"
"Ulishawahi kuwaza kuniacha"
"Siku ukiona nimekuacha basi jua hiyo siku mimi nimekufa na sipo tena duniani mama"
"Nakupenda sana mume wangu naomba usije ukaniumiza tafadhali mimi siwezi kuishi bila wewe kwenye hii dunia ni bora nife pekeangu siwezi"
"Mpenzi safari niliianzisha mwenyewe, dereva ni mimi mwenyewe kukuacha nitakuja nimejidhulumu mwenyewe, hii nafsi ni mali ya wewe tu" baada ya tukio la kukamilisha ndoa yao ambalo walilitendea haki kitandani yalifuata maneno mazuri sana ambayo Cecilia alikuwa anaongea huku akiwa analia, mapenzi aliyokuwa anapewa hakuwahi kufikiri kwamba kwenye hii dunia kuna mwanaume mwingine anaweza kumpa alihitaji muda wote mwanaume huyo awe mali yake peke yake, alikuwa analia huku amekilalia kifua kipana cha mwanaume ambacho kilituna kiasi chake kwa mazoezi mepesi mepesi ambayo bwana Simon alikuwa anayafanya.
"Unanipatia sana" Cecilia aliongea huku akichekelea mwanaume alimjibu kwa kuukutanisha mdomo wake na wa mkewe mpaka pale walipokuja kupitiwa na usingizi.

Ndoa ni tamu ila ndoa ni ngumu sana

Love is love but love is not all about love.....siku nikipendwa nitayaandika vizuri mapenzi

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 2......................
Hatua zote zilifuatwa kwa usahihi, ukafika muda wa kula kiapo na kuweza kupeana ahadi za maisha yao wakati huo bibi harusi alikuwa amefunuliwa usoni niliganda kwa sekunde thelathini kuushangaa uso wa mchongoko mithili ya Ciara msanii maarufu sana kutoka nchi ya Marekani, jicho kubwa la duara lilifanya uhisi anakuita huyo mrembo kila anapo kutazama, vishimo viwili kwenye mashavu yake vilitosha kunifanya mimi nitabasamu "MUNGU fundi sana" ni kauli iliyo nitoka bila kutarajia ikiwa ni sehemu ya kuutukuza uumbaji wake kwa huyo mtoto wa kike niliyekuwa nikimuangalia mbele yangu. Zoezi la kiapo liliisha mbele ya watu wengi sana hatimaye sasa Cecilia Ambrose alikuwa mke halali wa Bwana Simon Benedict, hakukuwa na kingine kanisani hapo sherehe ilihamia HAYATT REGENCY HOTEL miongoni mwa hoteli bora ndani ya jiji la Dar es salaam, zilitolewa zawadi nyingi sana kutoka pande za familia zote mbili japokuwa hazikuwa familia za maisha ya juu sana ila kwa kiwango chao walikuwa wamejitahidi mno. Saa mbili usiku ndio muda ambao sherehe ilikuwa imeisha kwa hawa wawili waliruhusiwa kuondoka wengine tukiendelea kuenjoi vyakula, vinywaji na muziki ambao ulikuwa hauchoshi kuusikiliza.
"Mpenzi" sauti ya kiume yenye shangwe iliita kutoka kwa Simon
"Abee baba" sauti laini ya mtoto mzuri aliyekomaa kwenye kufundwa iliitikia kwa stara zote mbele ya mumewe.
"Sina imani kama nina neno zuri sana la kukupa usiku wa leo kama ndege wafananao huruka pamoja mimi ndiye njiwa wako wa kiume sitahitaji kumuagiza njiwa barua kwako hii nimeiandaa mwenyewe mama mtarajiwa wa wanangu" utulivu na mpangilio wa maneno ya mume halali wa Cecilia yalikuwa ni muziki mzuri sana kwenye masikioni ya mkewe huku kitanda kilichokuwa kimepambwa kwa usahihi kikiwa ni hatima ya mwisho ya maongezi hayo, kiliwasubiri kwa hamu sana, maneno mazuri yalifanya meno ya mwanamke mrembo sana Cecilia yaonekana kwa mbali kwenye mwanga hafitu mwekundu na blue uliokuwa sehemu ya mapambo ya chumba hicho.
"Sina kauli mbele yako baba mtarajiwa wa wanangu nakusikiliza wewe tu" maneno yanayo mfanya kila mwanaume ajihisi ni shujaa mbele ya ulimwengu, yalimpa kicheko bwana Simon
"He he he, mkate umepata muokaji ni mwiko kuuunguza, kama nilikuahidi siku ya kwanza kwamba nitakuwa nawewe kwenye safari ya hili huba huru mpaka mwisho wa maisha yangu basi nitalaaniwa kama nitautupa huu moyo dhaifu sana uliopo mbele yangu, moyo wangu wote ni sehemu ya maisha yako, kama damu ingekuwa na alama basi ukinikata ungeliona jina lako" taratibu tenzi zilikuwa zikimshuka bwana Simon huku kwa mujibu midomo yao ikiwa imebakisha sentimita kadhaa kuwasafirisha kutoka kwenye ulimwengu wa watu wa kawaida na kuwapeleka kwenye dunia ya ulimwengu wa watu wawili waishio kwenye nafsi moja, kwao maumivu huwa ni sehemu tu ya simulizi ya maisha yao, ungesema nini kibaya watu hao wakakuelewa kuhusu mapenzi! hakuna kitu kingine. Ndimi zilizokiri kutunziana mioyo mpaka sehemu ya miili yao ziligusana taratibu mate yakiwa sukari nzuuri sana ya mgusano huo ambao hakuna uliye mboa kati yao, dakika kumi ziliisha wakiwa wanabadilishana ladha halisi ya mate yao, mikono ilikuwa sehemu ya kupunguza uzito wa nguo zilizokuwa kwenye miili yao, watake nini duniani dakika mbili mbele hakukuwa na mtu hata mmoja aliyekuwa na nguo kwenye mwili wake kabisa ukiacha Cecilia ambaye alibakiwa na nguo ya ndani tu.
Utundu wa bwana Simon ilikuwa silaha ambayo kila siku huwa inamlegeza bibie Cecilia kila wakutanapo, aliutumia udhaifu huo kumteka mtoto wa kike kwenye dunia yake ya mapenzi ambaye hakuambilika chochote kwa mwanaume wa maisha yake huyo. Silaha zake kubwa mbili ndizo zilimpa kiburi bwana Simon kwenye sita kwa sita , Cecilia hakukumbuka kwamba ni kwa wakati gani alikuwa amefiishwa kwenye kona moja ya kitanda na kulazwa kwa usahihi mto ukiwa sehemu ya kukifanya kiuno chake kiwe juu kabisa, ulimi na vidole vya mkono ambavyo vilikuwa vikichezeshwa kama vile mtu anapiga gitaa ndivyo vilimfanya Cecilia asikumbuke hata jina lake maskini mtoto wa kingoni.
Safari ilianzia kwenye paji la uso wake kushuka mpaka juu ya eneo la pua, lipsi zake za mdomo zilimezwa na kulambwa kwa weledi kama vile mtu analamba ice cream yenye utamu ulio pitiliza wakati huo vidole vya bwana Simon vilikuwa vinacheza taratibu tena kwa mujibu na shanga nzuri zilizokuwa zimevalishwa kwa ustadi mkubwa kwenye kiuno cha mrembo huyo akiwa amebakiwa na nguo ya ndani tu pekee mpaka wakati huo. Zoezi hilo lilidumu kwa dakika tano ambapo hakuna sehemu ya mdomo haikuguswa na mdomo, sio ulimi, sio meno, sio fizi, sio lipsi mwanaume alihakikisha kila sehemu inaonja ladha halisi ya ulimi wake, shuguli ilihamia shingoni yalikuwa ni miongoni mwa maeneo yaliyokuwa yakimpa udhaifu mkubwa sana Cecilia, alikuwa anajikunja kama nyoka na kujigeuza geuza mithili ya chatu anaye hangaika kumeza mbuzi mkubwa nyikani. Dakika zingine tano ungeweza kudhani Bwana Simon alikuwa ana vipimo vya muda ndizo zilitumika kuishangaza shingo ya mrembo huyo wakati huo nguo ya ndani ilikuwa imeloa kila sehemu na usingeweza kumwamini mtu yeyote kama angekwambia nguo hiyo ilikuwa imenunuliwa asubuhi tu ya siku hiyo. Safari iliendelea kwenye sikio la mrembo huyo, usafi wa haja ndio ulio mvutia bwana Simon kupoteza dakika zake tatu kwenye hayo masikio mawili, yalimfanya mtoto wa watu kupiga makelele kama vile anataka kufa lakini alikuwa amefika kwenye kilele kikubwa zaidi cha mlima duniani, maji maji ndicho kitu kilichokuwa kinatoka kwenye sehemu zake za siri, maskio yalikuwa yanapulizwa kwa nguvu kisha mwanaume anakuwa kama anavuta hewa hiyo kwenye mdomo wake joto Kali linaingia kwenye hayo masikio akimaliza na neno I love you my wife kwa mbali vilimfanya mtoto wa watu kuwa kama kichaa.

Vikombe viwili vya maziwa vilivyokuwa vimeandaliwa kwenye kifua safi cha bibie Cecilia vilimfanya Simon afakamie kama vile hana akili nzuri, alinyonya zamu kwa zamu kwa zaidi ya dakika mbili wakati huo mkono mmoja ulikuwa unacheza na sehemu ya nyuma ya goti la Cecilia, maskini mtoto wa watu muda wote alikuwa anaweweseka kitandani akitoa jasho kama vile ametoka kufumaniwa, ulimi ulishushwa mpaka kwenye kitovu alipiga sauti kali baada ya meno kugusa gusa nyama ya juu ya sehemu hiyo, mkono uliokuwa nyuma ya goti ulizushwa na kuingizwa kwenye sehemu ya thamani zaidi kwa mwanamke yeyote yule duniani huku ulimi ukiwa umezamishwa kwenye kitovu. Cecilia alikuwa tayari amefika safari yake mara mbili sasa akiwa hata hajatolewa nguo yake ya ndani.

Mwanaume akinyanyuka kidogo kisha akainamisha kichwa chake, meno yake yaliishika nguo ya ndani ya mkewe na kuivuta kwa mbwembwe mikono yake ikiwa inatalii kifuani na mmoja ukiwa unacheza na shanga kiunoni Cecilia hata nguvu za kuleta ugumu hakuwa nazo sasa nguo ilitupwa mbali wote walikuwa wamebaki kama walivyo, sehemu hiyo ilikuwa na usafi ulio tukuka mwanaume hakuona shida kuisogeza midomo yake kwa usahihi bibie uvumilivu ulimshinda alimuinua kwa ngugu bwana Simon na kumvutia mdomoni mwake tena huku akiichukua mali yake ambayo ilikuwa mwilini mwa bwana Simon na shuguli ikawa imeanza rasmi kwenye majira hayo ya usiku, saa saba na nusu usiku ndio muda ambao walikuwa wanamaliza mizunguko yao ya kwanza ndani ya zile siku saba za mwanzo.
"Mume wangu"
"Naam mama"
"Ulishawahi kuwaza kuniacha"
"Siku ukiona nimekuacha basi jua hiyo siku mimi nimekufa na sipo tena duniani mama"
"Nakupenda sana mume wangu naomba usije ukaniumiza tafadhali mimi siwezi kuishi bila wewe kwenye hii dunia ni bora nife pekeangu siwezi"
"Mpenzi safari niliianzisha mwenyewe, dereva ni mimi mwenyewe kukuacha nitakuja nimejidhulumu mwenyewe, hii nafsi ni mali ya wewe tu" baada ya tukio la kukamilisha ndoa yao ambalo walilitendea haki kitandani yalifuata maneno mazuri sana ambayo Cecilia alikuwa anaongea huku akiwa analia, mapenzi aliyokuwa anapewa hakuwahi kufikiri kwamba kwenye hii dunia kuna mwanaume mwingine anaweza kumpa alihitaji muda wote mwanaume huyo awe mali yake peke yake, alikuwa analia huku amekilalia kifua kipana cha mwanaume ambacho kilituna kiasi chake kwa mazoezi mepesi mepesi ambayo bwana Simon alikuwa anayafanya.
"Unanipatia sana" Cecilia aliongea huku akichekelea mwanaume alimjibu kwa kuukutanisha mdomo wake na wa mkewe mpaka pale walipokuja kupitiwa na usingizi.

Ndoa ni tamu ila ndoa ni ngumu sana

Love is love but love is not all about love.....siku nikipendwa nitayaandika vizuri mapenzi

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 3......................

Asubuhi na mapema sana wakati kunakaribia kupambazuka mwanaume alikuwa yupo kwenye mwili wa mkewe akitimiza majukumu yake mkewe alishtuka kutoka usingizini hakuwa na namna zaidi ya kuendelea kuifaidi ndoa yao hiyo kwa asilimia zote miamoja mpaka kuna kucha walikuwa wapo hoi kitu kilicho walazimu wawili hawa kulala tena ili kupunguza uchovu, siku ya kwanza kabisa ya ndoa yao walikuwa wameitumia ipasavyo kama ilivyokuwa ikiwahitaji waitumie. Majira ya saa tano walikuja kuchukuliwa na gari kupelekwa uwanja wa ndege ni suala lililokuwa limepangwa kwa muda mrefu sana tiketi zao zilikuwa zipo tayari zimesha andaliwa, safari iliyokuwa inafuata hapo ilikuwa ni kuelekea ndani ya nchi ya Afrika ya Kusini kwa ajili ya fungate yao, ndoa ni tamu sana ila ndoa ni ngumu sana jamani.

“Najiona ni binadamu niliye pendelewa sana kwenye maisha yangu, usiku kila nikilala na kuamka ndoto nzuri ya kuvutia ndicho kivutio kizuri kwangu unapokuwa mbele ya macho yangu, dunia ina nchi nyingi sana siwezi kusema nimetembea kote ila niwewaona wanawake wa aina zote waliopo ulimwenguni lakini moyo uliamua kubaki kwako tu pekee.

Sio moja ya wanaume walio bahatika kuwa bora sana kwa asilimia zote ila kidogo nilibahatika kupewa moyo wenye utajiri wa mahaba hivyo mpenzi usinizoee tafadhali

Siku nikifa nitaomba nipate mtu wa kufanana naye huko niendako safari yangu iweze kwenda kupata pumziko la moyo, sitamani kuishiwa maneno kwenye mdomo wangu kuusifia ukuu wa MUNGU kwenye kukuumba mwanamke mzuri kama wewe basi ulimi wangu acha uishie hapa kwa haya machache niliyo pata kuyasema, kama nitaweza kukuacha mwanamke kama wewe naomba dunia inilaani na kunizomea” kama kawaida yake bwana tenzi Simon alikuwa anampa mkewe maneno yenye asali ndani yake hakuna mwanamke atapata mtu wa kumjali namna ile na akamuacha hicho kitu hakipo ujue mwanaume anafeli mahali, angesema nini mtoto wa watu zaidi ya kung’ang’ania kifuani kwa mwanaume wake huyo.

Kiristenbosch National Botanical Garden ndio mahali walipokuwa wapendanao hawa wawili, hii ndiyo bustani bora zaidi ndani ya bara la Afrika lakini pia ni bustani bora zaidi ya mimea duniani, sifa yake kuu ni uzuri wake ikiwa inapatikana kusini mwa miteremko ya Capetown. Ilitengenezwa rasmi na kuanza kutumika mnamo miaka ya 1913 lengo likiwa ni kukuza, kutunza pamoja na kuuonyesha utajiri wa mimea uliopo ndani ya nchi ya mzee Madiba Afrika ya kusini. Kuvutia kwa bustani hiyo nzuri sana ilikuwa ni zawadi tosha sana kwa bibie Cecilia Ambrose.

“Haya ni maisha ambayo nilikuwa nayaota kila siku kwenye maisha yangu, tangu siku umeamua kunitamkia basi nilijifunza kuwa mwanamke bora kwa ajili yako, nitakuwa mke wa mfano ambaye nitaandikwa kwenye kila sehemu ya mifano ya dunia, sitataka kwako kuwa Delila au kuwa Eva nikakudanganya, hadithi ya mapenzi yangu kwako nahitaji niwe Bonnie ambaye nitakuwa tayari kufa kwa ajili yako Clyde, nahitaji uwe mume wa peke yangu wa maisha yangu nitajiona mwenye bahati zaidi nakupenda sana tunu nzuri ya maisha yangu” Kifua kipana kilitumika kama sehemu ya pumziko la mrembo Cecilia wakati anayatoa mashairi ambayo yalimfanya mwanaume ayafumbe macho yake, masikio yalikuwa yanasikia sauti nzuri sana ambayo haikuwa ikiyaumiza masikio yake, upepo mwananana kwenye hiyo miteremko na sauti za ndege kwa mbali iliwafanya wakae hapo kwa muda mrefu sana kwao muda ulikuwa unaenda kwa kasi sana walitamani MUNGU awe anazirudisha dakika nyuma ili waendelee kuufaidi uwepo wao wa pamoja.

Majira ya usiku walikuwa ndani ya SEA POINT ni ukumbi mkubwa sana ambao upo maalumu kwa ajili ya kuangalizia filamu, hauko mbali sana na bahari ikiwa ni dakika ishirini tu kutoka ilipo bustani nzuri sana ya Kirstenbosch, humo ndani siku hiyo watu walikuwa wamehudhuria maharusi wawili pamoja na watu wengi sana kutoka sehemu mbalimbali za Africa Kusini na duniani kwa ujumla walikuwa wamepata bahati ya kutembelewa na mfalme wa mapenzi duniani Shah Rukh Khan akiwa ameongozana na mwanadada ambaye ni mwigizaji maarufu na mke wa mwigizaji maarufu sana duniani na BOLLYWOOD huko India Ajay Devgan afahamikaye kwa jina la Kajol Devgan, ilikuwa ni miongoni mwa watu wa kusini mwa bara la Afrika pamoja na watu waafrika kwa ujumla kubahatika kutembelewa na mwanadamu ambaye inadaiwa ana haiba ya kuja kuifundisha dunia kuhusu elimu ya mapenzi na maumivu yake, ni mtu ambaye huwezi kuizungumzia tasnia ya mapenzi usimtaje basi utakuwa wazi hujayajua mapenzi bado na unapaswa kurudishwa tena darasani uweze kufundishwa namna binadamu huyo alivyoweza kuyafasiri mapenzi na dunia inajifunza kwake.

Kwa wale walio bahatika kuwa miongoni mwa wanadamu wengi sana kuweza kuitazama tamthilia bora ya mapenzi kuwahi kuandikwa, inawezekana sio ya kwanza ila kwangu ndiyo tamthilia bora zaid ya mapenzi kuwahi kuchezwa na binadamu ambaye yupo hai kabisa jina lake ni maarufu sana KUCH KUCH HOTA HAI ikiwa na maana ya hisia zilizo fichwa ambazo mtu anakuwa nazo kwa watu anao wapenda. Basi siku hiyo tamthiliya hiyo ilikuwa inaonyeshwa hapo laivu watu wakiwa wanamshuhudia mfalme huyo akiwa yupo mbele ya ukumbi huo ambao ndio ulikuwa unaionyesha tamthiliya hiyo. Hiyo ilikuwa ni zawadi kubwa mno kwa Cecilia hakuwahi kuwaza kama anaweza kubahatika kumuona Shah Rukh Khan na mrembo Kajol kwa macho yake mawili zaidi ya kuwashuhudia watu hao kwenye runinga tu.

Masaa mawili yaliyotumika kwenye huo ukumbi yaliwafanya watu watoe machozi pamoja na kufurahia kwa namna tamthiliya hiyo ilivyokuwa imezikonga nyoyo zao, hakuna aliyekuwa anatamani iishe lakini siku zote muda huwa unatoa hatima ya kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu. Walitoka humo ndani wakiwa wamepata somo kubwa sana la mapenzi wakati huo walikuwa wanampungia mkono mtaalamu wa mapenzi, Cecilia alikuwa akikimbia huku na huku upepo mzuri ukimpepea taratibu alikuwa mwenye furaha sana siku hiyo hakika hakujutia kuolewa alilaani kwanini alichelewa kukutana na mwanaume kama huyo kwenye maisha yake, usiku wa manane ndio muda ambao waliweza kurudi kwenye hoteli waliyokuwa wamefikia ili kuendeleza ule ubora wa zile siku saba za mwanzo kabisa za ndoa yao.

Leo kilifanyika kitu kigeni sana kwenye macho yake Cecilia wakiwa kwenye kochi mumewe alianzia ukorofi hapo dakika moja alikuwa amebakiwa na nguo za ndani tu pekee
“Unataka kufanya nini mume wangu bwana mimi nimechoka nataka kulala” sauti ya mideko ilikuwa inamtoka kwa shida sana kwani alikuwa amezidiwa alijifanya tu kuringa kama kawaida inavyotakiwa mwanamke awe pale anapokuwa faragha na mumewe au mwanaume wake hicho ndicho kitu huwa kinamfanya mwanaume amuweke akilini mwanamke wake popote pale anapokuwa basi hawezi kumsahau huyo mwanamke wake. Ile sitaki nataka ndicho alichokuwa anakifanya Cecilia mwili ulikuwa unamuwasha kila sehemu, hakuna kiungo ambacho mumewe alikiacha salama mwanamke alikuwa ameshikika haswa, aliitika hata sehemu ambayo alikuwa hajaitwa kabisa. Mwanaume alikuwa na manjonjo mengi hakujishughulisha kulijibu swali la mkewe zaidi zaidi aliliendea friji lilipokuwa limewekwa ndani yake alitoa wine nzito aliimiminia kwenye glasi, akaweka barafu ndani ya hiyo wine kisha akaibeba na kuelekea sehemu aliyokuwa amemlaza mkewe kwenye sofa ambaye mpaka wakati huo hakuwa na nguo yoyote ile kwenye mwili wake, alikuwa akijishika shika kila sehemu alihisi mwanaume huyo anachelewa sana kumpatia dawa yake ambayo ingemfanya awe mwepesi na mwili wake ukatulia.

Bwana simon sifa zilikuwa zimemzidia sana alimlaza mke wake chali kila kitu akiwa anakishuhudia kwa macho yake moyoni alimshukuru MUNGU kuweza kumletea hiyo zawadi ya mke ambaye alikuwa amekamilika kwa kila kitu kabisa, aliitoa barafu kwenye ile wine kisha akaibugia kwenye mdomo wake, safari ilianzia kwenye mguu mmoja wa mkewe, alikuwa anaipitisha barafu hiyo ambayo ilimshtua mkewe kwa huo ubaridi lakini alikuwa akisikia burudani ambayo asingehitaji ije ifike kwenye ukomo, mwanaume aliizungusha kwa ustadi mkubwa mpaka kwenye kiuno cha mkewe ambapo palikuwa na shanga ndogo ndogo zilizo mpa ukichaa bwana Simon, barafu ilipandishwa mpaka kwenye kitovu cha bibie Cecilia alipiga makelele kwani mpaka muda huo safari yake moja alikuwa amesha ikamilisha tayari. Machozi ilikuwa sehemu ya kuikamilisha furaha yake hiyo, juu kidogo kwenye sehemu iliyotuna zaidi kifuani hakuachwa salama kilio chake hakikuwa sababu ya mwanaume kutozitendea haki hizo sehemu mbili hapo kifuani kwake, barafu ilipandishwa kwa mdomo mpaka kwenye lipsi pana za mwanadada Cecilia ambaye aliipokea kwa pupa kwa sababu aliona kama mwanaume huyo anamchelewesha sana, kila mmoja alikuwa akiifaidi juisi hiyo ya asili kutoka kwa mwenzake mikono yao ikiwa kwenye viungo vyao ambavyo walikuwa wanaenda kuvisulubu muda sio mrefu, mwanaume alikuwa anaunguruma kwa mguvu baada ya kushikwa kwenye sehemu inayo mpa kiburi kila mwanaume duniani kuwa nayo.

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 3......................

Asubuhi na mapema sana wakati kunakaribia kupambazuka mwanaume alikuwa yupo kwenye mwili wa mkewe akitimiza majukumu yake mkewe alishtuka kutoka usingizini hakuwa na namna zaidi ya kuendelea kuifaidi ndoa yao hiyo kwa asilimia zote miamoja mpaka kuna kucha walikuwa wapo hoi kitu kilicho walazimu wawili hawa kulala tena ili kupunguza uchovu, siku ya kwanza kabisa ya ndoa yao walikuwa wameitumia ipasavyo kama ilivyokuwa ikiwahitaji waitumie. Majira ya saa tano walikuja kuchukuliwa na gari kupelekwa uwanja wa ndege ni suala lililokuwa limepangwa kwa muda mrefu sana tiketi zao zilikuwa zipo tayari zimesha andaliwa, safari iliyokuwa inafuata hapo ilikuwa ni kuelekea ndani ya nchi ya Afrika ya Kusini kwa ajili ya fungate yao, ndoa ni tamu sana ila ndoa ni ngumu sana jamani.

“Najiona ni binadamu niliye pendelewa sana kwenye maisha yangu, usiku kila nikilala na kuamka ndoto nzuri ya kuvutia ndicho kivutio kizuri kwangu unapokuwa mbele ya macho yangu, dunia ina nchi nyingi sana siwezi kusema nimetembea kote ila niwewaona wanawake wa aina zote waliopo ulimwenguni lakini moyo uliamua kubaki kwako tu pekee.

Sio moja ya wanaume walio bahatika kuwa bora sana kwa asilimia zote ila kidogo nilibahatika kupewa moyo wenye utajiri wa mahaba hivyo mpenzi usinizoee tafadhali

Siku nikifa nitaomba nipate mtu wa kufanana naye huko niendako safari yangu iweze kwenda kupata pumziko la moyo, sitamani kuishiwa maneno kwenye mdomo wangu kuusifia ukuu wa MUNGU kwenye kukuumba mwanamke mzuri kama wewe basi ulimi wangu acha uishie hapa kwa haya machache niliyo pata kuyasema, kama nitaweza kukuacha mwanamke kama wewe naomba dunia inilaani na kunizomea” kama kawaida yake bwana tenzi Simon alikuwa anampa mkewe maneno yenye asali ndani yake hakuna mwanamke atapata mtu wa kumjali namna ile na akamuacha hicho kitu hakipo ujue mwanaume anafeli mahali, angesema nini mtoto wa watu zaidi ya kung’ang’ania kifuani kwa mwanaume wake huyo.

Kiristenbosch National Botanical Garden ndio mahali walipokuwa wapendanao hawa wawili, hii ndiyo bustani bora zaidi ndani ya bara la Afrika lakini pia ni bustani bora zaidi ya mimea duniani, sifa yake kuu ni uzuri wake ikiwa inapatikana kusini mwa miteremko ya Capetown. Ilitengenezwa rasmi na kuanza kutumika mnamo miaka ya 1913 lengo likiwa ni kukuza, kutunza pamoja na kuuonyesha utajiri wa mimea uliopo ndani ya nchi ya mzee Madiba Afrika ya kusini. Kuvutia kwa bustani hiyo nzuri sana ilikuwa ni zawadi tosha sana kwa bibie Cecilia Ambrose.

“Haya ni maisha ambayo nilikuwa nayaota kila siku kwenye maisha yangu, tangu siku umeamua kunitamkia basi nilijifunza kuwa mwanamke bora kwa ajili yako, nitakuwa mke wa mfano ambaye nitaandikwa kwenye kila sehemu ya mifano ya dunia, sitataka kwako kuwa Delila au kuwa Eva nikakudanganya, hadithi ya mapenzi yangu kwako nahitaji niwe Bonnie ambaye nitakuwa tayari kufa kwa ajili yako Clyde, nahitaji uwe mume wa peke yangu wa maisha yangu nitajiona mwenye bahati zaidi nakupenda sana tunu nzuri ya maisha yangu” Kifua kipana kilitumika kama sehemu ya pumziko la mrembo Cecilia wakati anayatoa mashairi ambayo yalimfanya mwanaume ayafumbe macho yake, masikio yalikuwa yanasikia sauti nzuri sana ambayo haikuwa ikiyaumiza masikio yake, upepo mwananana kwenye hiyo miteremko na sauti za ndege kwa mbali iliwafanya wakae hapo kwa muda mrefu sana kwao muda ulikuwa unaenda kwa kasi sana walitamani MUNGU awe anazirudisha dakika nyuma ili waendelee kuufaidi uwepo wao wa pamoja.

Majira ya usiku walikuwa ndani ya SEA POINT ni ukumbi mkubwa sana ambao upo maalumu kwa ajili ya kuangalizia filamu, hauko mbali sana na bahari ikiwa ni dakika ishirini tu kutoka ilipo bustani nzuri sana ya Kirstenbosch, humo ndani siku hiyo watu walikuwa wamehudhuria maharusi wawili pamoja na watu wengi sana kutoka sehemu mbalimbali za Africa Kusini na duniani kwa ujumla walikuwa wamepata bahati ya kutembelewa na mfalme wa mapenzi duniani Shah Rukh Khan akiwa ameongozana na mwanadada ambaye ni mwigizaji maarufu na mke wa mwigizaji maarufu sana duniani na BOLLYWOOD huko India Ajay Devgan afahamikaye kwa jina la Kajol Devgan, ilikuwa ni miongoni mwa watu wa kusini mwa bara la Afrika pamoja na watu waafrika kwa ujumla kubahatika kutembelewa na mwanadamu ambaye inadaiwa ana haiba ya kuja kuifundisha dunia kuhusu elimu ya mapenzi na maumivu yake, ni mtu ambaye huwezi kuizungumzia tasnia ya mapenzi usimtaje basi utakuwa wazi hujayajua mapenzi bado na unapaswa kurudishwa tena darasani uweze kufundishwa namna binadamu huyo alivyoweza kuyafasiri mapenzi na dunia inajifunza kwake.

Kwa wale walio bahatika kuwa miongoni mwa wanadamu wengi sana kuweza kuitazama tamthilia bora ya mapenzi kuwahi kuandikwa, inawezekana sio ya kwanza ila kwangu ndiyo tamthilia bora zaid ya mapenzi kuwahi kuchezwa na binadamu ambaye yupo hai kabisa jina lake ni maarufu sana KUCH KUCH HOTA HAI ikiwa na maana ya hisia zilizo fichwa ambazo mtu anakuwa nazo kwa watu anao wapenda. Basi siku hiyo tamthiliya hiyo ilikuwa inaonyeshwa hapo laivu watu wakiwa wanamshuhudia mfalme huyo akiwa yupo mbele ya ukumbi huo ambao ndio ulikuwa unaionyesha tamthiliya hiyo. Hiyo ilikuwa ni zawadi kubwa mno kwa Cecilia hakuwahi kuwaza kama anaweza kubahatika kumuona Shah Rukh Khan na mrembo Kajol kwa macho yake mawili zaidi ya kuwashuhudia watu hao kwenye runinga tu.

Masaa mawili yaliyotumika kwenye huo ukumbi yaliwafanya watu watoe machozi pamoja na kufurahia kwa namna tamthiliya hiyo ilivyokuwa imezikonga nyoyo zao, hakuna aliyekuwa anatamani iishe lakini siku zote muda huwa unatoa hatima ya kila kitu kwenye maisha ya mwanadamu. Walitoka humo ndani wakiwa wamepata somo kubwa sana la mapenzi wakati huo walikuwa wanampungia mkono mtaalamu wa mapenzi, Cecilia alikuwa akikimbia huku na huku upepo mzuri ukimpepea taratibu alikuwa mwenye furaha sana siku hiyo hakika hakujutia kuolewa alilaani kwanini alichelewa kukutana na mwanaume kama huyo kwenye maisha yake, usiku wa manane ndio muda ambao waliweza kurudi kwenye hoteli waliyokuwa wamefikia ili kuendeleza ule ubora wa zile siku saba za mwanzo kabisa za ndoa yao.

Leo kilifanyika kitu kigeni sana kwenye macho yake Cecilia wakiwa kwenye kochi mumewe alianzia ukorofi hapo dakika moja alikuwa amebakiwa na nguo za ndani tu pekee
“Unataka kufanya nini mume wangu bwana mimi nimechoka nataka kulala” sauti ya mideko ilikuwa inamtoka kwa shida sana kwani alikuwa amezidiwa alijifanya tu kuringa kama kawaida inavyotakiwa mwanamke awe pale anapokuwa faragha na mumewe au mwanaume wake hicho ndicho kitu huwa kinamfanya mwanaume amuweke akilini mwanamke wake popote pale anapokuwa basi hawezi kumsahau huyo mwanamke wake. Ile sitaki nataka ndicho alichokuwa anakifanya Cecilia mwili ulikuwa unamuwasha kila sehemu, hakuna kiungo ambacho mumewe alikiacha salama mwanamke alikuwa ameshikika haswa, aliitika hata sehemu ambayo alikuwa hajaitwa kabisa. Mwanaume alikuwa na manjonjo mengi hakujishughulisha kulijibu swali la mkewe zaidi zaidi aliliendea friji lilipokuwa limewekwa ndani yake alitoa wine nzito aliimiminia kwenye glasi, akaweka barafu ndani ya hiyo wine kisha akaibeba na kuelekea sehemu aliyokuwa amemlaza mkewe kwenye sofa ambaye mpaka wakati huo hakuwa na nguo yoyote ile kwenye mwili wake, alikuwa akijishika shika kila sehemu alihisi mwanaume huyo anachelewa sana kumpatia dawa yake ambayo ingemfanya awe mwepesi na mwili wake ukatulia.

Bwana simon sifa zilikuwa zimemzidia sana alimlaza mke wake chali kila kitu akiwa anakishuhudia kwa macho yake moyoni alimshukuru MUNGU kuweza kumletea hiyo zawadi ya mke ambaye alikuwa amekamilika kwa kila kitu kabisa, aliitoa barafu kwenye ile wine kisha akaibugia kwenye mdomo wake, safari ilianzia kwenye mguu mmoja wa mkewe, alikuwa anaipitisha barafu hiyo ambayo ilimshtua mkewe kwa huo ubaridi lakini alikuwa akisikia burudani ambayo asingehitaji ije ifike kwenye ukomo, mwanaume aliizungusha kwa ustadi mkubwa mpaka kwenye kiuno cha mkewe ambapo palikuwa na shanga ndogo ndogo zilizo mpa ukichaa bwana Simon, barafu ilipandishwa mpaka kwenye kitovu cha bibie Cecilia alipiga makelele kwani mpaka muda huo safari yake moja alikuwa amesha ikamilisha tayari. Machozi ilikuwa sehemu ya kuikamilisha furaha yake hiyo, juu kidogo kwenye sehemu iliyotuna zaidi kifuani hakuachwa salama kilio chake hakikuwa sababu ya mwanaume kutozitendea haki hizo sehemu mbili hapo kifuani kwake, barafu ilipandishwa kwa mdomo mpaka kwenye lipsi pana za mwanadada Cecilia ambaye aliipokea kwa pupa kwa sababu aliona kama mwanaume huyo anamchelewesha sana, kila mmoja alikuwa akiifaidi juisi hiyo ya asili kutoka kwa mwenzake mikono yao ikiwa kwenye viungo vyao ambavyo walikuwa wanaenda kuvisulubu muda sio mrefu, mwanaume alikuwa anaunguruma kwa mguvu baada ya kushikwa kwenye sehemu inayo mpa kiburi kila mwanaume duniani kuwa nayo.

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 4......................

Cecilia alikuwa ni fundi kutoka ndani ya Songea mtoto wa kike alifundwa vyema tangu siku ya kwanza alikuwa amezidiwa na mumewe ila leo alihitaji naye amuonyeshe mwanaume huyo namna kitanda kinavyotakiwa kumilikiwa na mwanamke ili hata mwanaume asiweze kutoka nje ya ndoa yake.

Alijitahidi kumgeuza mumewe ambaye mkono wake ulikuwa upo kwenye bustani ndogo iliyokuwa imechongwa vizuri sana ilimvutia bwana Simon kuendelea kushika tunda zuri lililokuwa katikati ya bustani hiyo alikuwa anamfanya mwanamke huyo awe kama amependwa na maruhani anapokuwa anaishika hiyo sehemu, maji maji ya moto yalimtoka mwanadada wa watu lakini alijitahidi mpaka alifanikiwa kukaa juu ya mumewe alimuwekea mumewe kidole mdomoni akimpa ishara ya kunyamaza yaani akae kimya tena kwa kutulia kabisa. Kisha mke halali wa ndoa huyu akiwa yupo uchi kabisa wa mnyama alinyanyuka kwa madoido huku sehemu zake akizitingisha kwa nyuma wakati analisogelea begi lake dogo la mkononi lililokuwa karibu na televisheni, bwana Simon udenda ulimtoka kwa hicho alichokuwa anakiona mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi sana wala hakuweza kuamini kama huyo alikuwa ni mkewe kabisa wa ndoa, kila alivyokuwa anamwanagalia alikuwa anazidi kuwa mpya kabisa kwenye macho yake kitu kilicho fanya azidi kumpenda sana huyo mwanamke.

Cecilia alirudi akiwa na kichupa kidogo cha asali kwenye mkono wake, asali hiyo ilimiminiwa kuanzia kwenye shingo ndefu kidogo ya bwana Simon kupitia kifuani mpaka ulipokuwa utajiri wa watoto duniani, mdomo laini wenye ulimi wa kudeki bahari mithili ya nyoka afanyavyo anapokuwa anautoa ulimi wake nje ulikuwa ukipita kwenye shingo ya bwana Simon ambaye alikuwa akiweweseka tu, asali ililambwa kwa weledi utadhani ni fundi nyumba akiitumia pima maji yake kwa usahihi asije akaharibu ujenzi wa nyumba, safari iliishia kwenye mali ya mwanamke kwa mwanaume, hicho ndicho kitu pekee kinacho kamilisha furaha ya mwanamke duniani, sehemu hiyo ilimezwa, ikatemwa iliguswa kila sehemu bwana Simon uvumilivu ulimshinda alimgeuza mwanamke huyo na kuanza kujilia vyake, siku hiyo ni kama Cecilia alihitaji kumkomoa mumewe kiuno kilikuwa kama kimeteguliwa, kilipelekwa kwa mahesabu kiasi kwamba bwana Simon alikuwa akitamka maneno ambayo hata yeye mwenyewe asingeweza kuyatolea tafsiri mtoto wa kingoni alikuwa amemshika panapo shikika bwana huyu.

Saa kumi za usiku walikuwa wameridhishana vya kutosha hakuna aliyeweza kukumbuka kwenda kitandani wote walilala hapo hapo kwenye kochi, walikuja kushtushwa asubuhi majira ya saa nne na mhudumu ambaye alikuwa akigonga, bwana Simon aliamka na kumuamsha mkewe ambaye aligoma.

“Sitaki niache nilale bwana mume wangu” Simon alicheka sana kwa mideko aliyokuwa nayo mkewe huyo shughuli ya usiku ilimchosha sana hakuwa na uwezo hata wa kutembea muda huo alichoka mno. Mwanaume alipokea supu aliyokuwa ameletewa baada ya kupigiwa simu kwa muda mrefu lakini haikupokelewa waliamua kuja kumgongea moja kwa moja kujua kama yupo salama. Alimbeba mkewe na kwenda kumrushia kwenye jakuzi ambalo lilikuwa na maji ya moto kiasi hicho ndicho kilicho mshtua mkewe kutoka kwenye huo usingizi ambao alikuwa hataki kuukosa.

“Nimesema uniache” aliongea huku akitoka humo kwenye maji na kuanza kumfukuza mumewe wakiwa wanacheka sana basi mumewe alimbeba na kwenda kumuogesha ambapo kabla hajafanya hivyo walipata penzi kwanza huko huko bafuni kisha akarudi akiwa amembeba mkewe mkonononi na kumkalisha kwenye mapaja yake akianza kumlisha nayeye akiwa anakula taratibu. Wanawake wengi wanatamani wangekuwa ndiye bibie Cecilia lakini kwa dunia hii ni ngumu sana kuwa Cecilia kwa aina ya wanaume waliopo.

Wiki ilikatika wakiwa wanainjoi maisha yao mazuri ya mapenzi huko Afrika ya kusini baada ya hapo ni muda sasa ulikuwa umewadia kutoka kwenye hoteli nzuri ambayo ilikuwa ikipatikana kwenye bustani hiyo bora zaidi Afrika, rasmi walikuwa wamerudi ndani ya jiji la Dar es salaam ili kuendelea na majukumu mengine kwa sababu bwana Simon alikuwa ni mfanyakazi kwenye kampuni moja kubwa sana hapa mjini.

Alicious marine transportation ndiyo kampuni ambayo bwana Simon alikuwa akifanya kazi, alikuwa meneja wa hiyo kampuni ambayo ilikuwa ikijushughulisha na usafirishaji wa majini ikisafirisha mizigo pamoja na mizigo mikubwa kwa midogo ambayo ilikuw ikipita kwa njia ya majini. Kazi yake hiyo iliweza kumfanya kuwa mtu ambaye hakuwa na maisha magumu ya kuweza kukizi mahitaji ya familia, hakuwa na pesa nyingi sana lakini kazi hiyo ilikuwa inampa maisha mazuri tu ya kueleweka kumfanya yeye na mkewe kuanzisha familia ya furaha kwani kila walicho kihitaji walikuwa na uwezo wa kukipata. Baada ya fungate yao kuweza kuisha yeye meneja na mtu mhimu sana ndani ya kampuni alikuwa anahitajika haraka sana aweze kurudi kazini kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa kabisa.

Magomeni ndiyo sehemu ambayo alikuwa anaishi na mkewe kipenzi huku kampuni aliyokuwa akifanyia kazi ikiwa maeneo ya mnazi mmoja ambapo tawi lake kubwa lilikuwa pembezoni kabisa mwa bahari ya Hindi, jumatatu na mapema mkewe alikuwa amemnyooshea nguo safi ambazo wazi wazi ungemtazama tu ungejua ni mtu ambaye anatunzwa vilivyo huko kwake, begi lake dogo na gari yake aina ya Hurrier new model lilimsaidia sana kwenye kazi zake hizo ambazo ndizo zilimfanya aweze kuyamudu maisha ndani ya jiji hili kubwa sana nchini, mtu wa kwanza kumpokea alikuwa ni rafiki yake kipenzi ambaye walijuana tangu wakiwa chuoni na ndiye aliyekuwa best man wake kwenye harusi yake.

“Aaaah kaka naona umeanza na kutoka shavu saivi sio kwa mahaba unayo pewa hayo unatutamanisha nasisi kuweza kuingia huko” sauti ya rafiki yake Andrew iliweza kumshtua akiwa anaelekea kwenye ofisi yake ambayo ni zaidi ya wiki sasa alikuwa hajatia mguu kabisa, aliyatoa meno yake yote kuonekana amepokea sifa hizo kama ilivyo kawaida kwa sisi wanaume unapokuwa unasifiwa na rafiki yako huwa tunajisikia fahari sana kwa sababu mtu wako wa karibu sana akikipenda kitu unacho kifanya huwa inaleta nguvu kubwa mno hususani kwenye suala zima la maisha.

“Tatizo lenu vijana wa siku hizi mnajifanya ni wajuaji sana, tukiwaambia oeni mnaanza kujifanya mnajua kuyatafsiri mapenzi ila laiti kama ungejua raha ya ndoa ungeenda kuoa muda huu” aliongea kwa furaha sana akimkumbatia sana rafiki yake kwa furaha.

“Tutakoma siku hizi naona mpaka umekuwa mwalimu unaanza na kutufundisha hahaahhahahahha mapenzi yameingiliwa siku hizi, e bwana vipi safari ilikuaje na shemeji yangu mzima huko nyumbani” ni watu waliokuwa wamezoeana sana hivyo utani ulikuwa ni sehemu kubwa sana ya maisha yao.
“Shemeji yako waafya sana ndoa imemkubali mpaka anaanza kuwa kibonge, kuhusu kusini mwa watu waafrika huko ni kwema mno, ni nchi iliyo jengwa sana natamani siku moja Tanzania tukipata viongozi shupavu sana tuweze kufikia uwezo kama wa nchi ile basi tutakuwa tumefika mbali sana ndugu yangu unajihisi kama vile uko peponi. Ni bahati pia kukutana na kipenzi cha wadada ulimwenguni Shah Rukh Khan aisee tumeinjoi mnoo” maelezo yake yalikuwa yamemtamanisha sana rafiki yake ambaye habari ya ujio wa mwigizaji maarufu huyo aliishia kuziona kwenye mitandao tu, basi waliagana kila mtu akiingia kwenye majukumu yake rasmi ulikuwa ni muda wa kazi.

“Baba” ni mida ya mchana akiwa bize na kazi kwenye laptop yake alishtushwa na meseji ambayo ilikuwa imetoka kwa mkewe.
“Naaam mabububa vipi yako hali?”
“Mie siko sawa mpaka ule yangu amani ya moyo nitaipata na mapigo yangu yatatulia”
“Basi naacha kila kitu muda huu naenda kuujazia moyo wako tabasamu”
“Usinidanganye ule kweli nitanuna”

Wale wa kubembelezwa hadi mkule mjuane wengine mkibembelezwa hivyo niiteni mbwa nipo hapa

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 4......................

Cecilia alikuwa ni fundi kutoka ndani ya Songea mtoto wa kike alifundwa vyema tangu siku ya kwanza alikuwa amezidiwa na mumewe ila leo alihitaji naye amuonyeshe mwanaume huyo namna kitanda kinavyotakiwa kumilikiwa na mwanamke ili hata mwanaume asiweze kutoka nje ya ndoa yake.

Alijitahidi kumgeuza mumewe ambaye mkono wake ulikuwa upo kwenye bustani ndogo iliyokuwa imechongwa vizuri sana ilimvutia bwana Simon kuendelea kushika tunda zuri lililokuwa katikati ya bustani hiyo alikuwa anamfanya mwanamke huyo awe kama amependwa na maruhani anapokuwa anaishika hiyo sehemu, maji maji ya moto yalimtoka mwanadada wa watu lakini alijitahidi mpaka alifanikiwa kukaa juu ya mumewe alimuwekea mumewe kidole mdomoni akimpa ishara ya kunyamaza yaani akae kimya tena kwa kutulia kabisa. Kisha mke halali wa ndoa huyu akiwa yupo uchi kabisa wa mnyama alinyanyuka kwa madoido huku sehemu zake akizitingisha kwa nyuma wakati analisogelea begi lake dogo la mkononi lililokuwa karibu na televisheni, bwana Simon udenda ulimtoka kwa hicho alichokuwa anakiona mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi sana wala hakuweza kuamini kama huyo alikuwa ni mkewe kabisa wa ndoa, kila alivyokuwa anamwanagalia alikuwa anazidi kuwa mpya kabisa kwenye macho yake kitu kilicho fanya azidi kumpenda sana huyo mwanamke.

Cecilia alirudi akiwa na kichupa kidogo cha asali kwenye mkono wake, asali hiyo ilimiminiwa kuanzia kwenye shingo ndefu kidogo ya bwana Simon kupitia kifuani mpaka ulipokuwa utajiri wa watoto duniani, mdomo laini wenye ulimi wa kudeki bahari mithili ya nyoka afanyavyo anapokuwa anautoa ulimi wake nje ulikuwa ukipita kwenye shingo ya bwana Simon ambaye alikuwa akiweweseka tu, asali ililambwa kwa weledi utadhani ni fundi nyumba akiitumia pima maji yake kwa usahihi asije akaharibu ujenzi wa nyumba, safari iliishia kwenye mali ya mwanamke kwa mwanaume, hicho ndicho kitu pekee kinacho kamilisha furaha ya mwanamke duniani, sehemu hiyo ilimezwa, ikatemwa iliguswa kila sehemu bwana Simon uvumilivu ulimshinda alimgeuza mwanamke huyo na kuanza kujilia vyake, siku hiyo ni kama Cecilia alihitaji kumkomoa mumewe kiuno kilikuwa kama kimeteguliwa, kilipelekwa kwa mahesabu kiasi kwamba bwana Simon alikuwa akitamka maneno ambayo hata yeye mwenyewe asingeweza kuyatolea tafsiri mtoto wa kingoni alikuwa amemshika panapo shikika bwana huyu.

Saa kumi za usiku walikuwa wameridhishana vya kutosha hakuna aliyeweza kukumbuka kwenda kitandani wote walilala hapo hapo kwenye kochi, walikuja kushtushwa asubuhi majira ya saa nne na mhudumu ambaye alikuwa akigonga, bwana Simon aliamka na kumuamsha mkewe ambaye aligoma.

“Sitaki niache nilale bwana mume wangu” Simon alicheka sana kwa mideko aliyokuwa nayo mkewe huyo shughuli ya usiku ilimchosha sana hakuwa na uwezo hata wa kutembea muda huo alichoka mno. Mwanaume alipokea supu aliyokuwa ameletewa baada ya kupigiwa simu kwa muda mrefu lakini haikupokelewa waliamua kuja kumgongea moja kwa moja kujua kama yupo salama. Alimbeba mkewe na kwenda kumrushia kwenye jakuzi ambalo lilikuwa na maji ya moto kiasi hicho ndicho kilicho mshtua mkewe kutoka kwenye huo usingizi ambao alikuwa hataki kuukosa.

“Nimesema uniache” aliongea huku akitoka humo kwenye maji na kuanza kumfukuza mumewe wakiwa wanacheka sana basi mumewe alimbeba na kwenda kumuogesha ambapo kabla hajafanya hivyo walipata penzi kwanza huko huko bafuni kisha akarudi akiwa amembeba mkewe mkonononi na kumkalisha kwenye mapaja yake akianza kumlisha nayeye akiwa anakula taratibu. Wanawake wengi wanatamani wangekuwa ndiye bibie Cecilia lakini kwa dunia hii ni ngumu sana kuwa Cecilia kwa aina ya wanaume waliopo.

Wiki ilikatika wakiwa wanainjoi maisha yao mazuri ya mapenzi huko Afrika ya kusini baada ya hapo ni muda sasa ulikuwa umewadia kutoka kwenye hoteli nzuri ambayo ilikuwa ikipatikana kwenye bustani hiyo bora zaidi Afrika, rasmi walikuwa wamerudi ndani ya jiji la Dar es salaam ili kuendelea na majukumu mengine kwa sababu bwana Simon alikuwa ni mfanyakazi kwenye kampuni moja kubwa sana hapa mjini.

Alicious marine transportation ndiyo kampuni ambayo bwana Simon alikuwa akifanya kazi, alikuwa meneja wa hiyo kampuni ambayo ilikuwa ikijushughulisha na usafirishaji wa majini ikisafirisha mizigo pamoja na mizigo mikubwa kwa midogo ambayo ilikuw ikipita kwa njia ya majini. Kazi yake hiyo iliweza kumfanya kuwa mtu ambaye hakuwa na maisha magumu ya kuweza kukizi mahitaji ya familia, hakuwa na pesa nyingi sana lakini kazi hiyo ilikuwa inampa maisha mazuri tu ya kueleweka kumfanya yeye na mkewe kuanzisha familia ya furaha kwani kila walicho kihitaji walikuwa na uwezo wa kukipata. Baada ya fungate yao kuweza kuisha yeye meneja na mtu mhimu sana ndani ya kampuni alikuwa anahitajika haraka sana aweze kurudi kazini kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa kabisa.

Magomeni ndiyo sehemu ambayo alikuwa anaishi na mkewe kipenzi huku kampuni aliyokuwa akifanyia kazi ikiwa maeneo ya mnazi mmoja ambapo tawi lake kubwa lilikuwa pembezoni kabisa mwa bahari ya Hindi, jumatatu na mapema mkewe alikuwa amemnyooshea nguo safi ambazo wazi wazi ungemtazama tu ungejua ni mtu ambaye anatunzwa vilivyo huko kwake, begi lake dogo na gari yake aina ya Hurrier new model lilimsaidia sana kwenye kazi zake hizo ambazo ndizo zilimfanya aweze kuyamudu maisha ndani ya jiji hili kubwa sana nchini, mtu wa kwanza kumpokea alikuwa ni rafiki yake kipenzi ambaye walijuana tangu wakiwa chuoni na ndiye aliyekuwa best man wake kwenye harusi yake.

“Aaaah kaka naona umeanza na kutoka shavu saivi sio kwa mahaba unayo pewa hayo unatutamanisha nasisi kuweza kuingia huko” sauti ya rafiki yake Andrew iliweza kumshtua akiwa anaelekea kwenye ofisi yake ambayo ni zaidi ya wiki sasa alikuwa hajatia mguu kabisa, aliyatoa meno yake yote kuonekana amepokea sifa hizo kama ilivyo kawaida kwa sisi wanaume unapokuwa unasifiwa na rafiki yako huwa tunajisikia fahari sana kwa sababu mtu wako wa karibu sana akikipenda kitu unacho kifanya huwa inaleta nguvu kubwa mno hususani kwenye suala zima la maisha.

“Tatizo lenu vijana wa siku hizi mnajifanya ni wajuaji sana, tukiwaambia oeni mnaanza kujifanya mnajua kuyatafsiri mapenzi ila laiti kama ungejua raha ya ndoa ungeenda kuoa muda huu” aliongea kwa furaha sana akimkumbatia sana rafiki yake kwa furaha.

“Tutakoma siku hizi naona mpaka umekuwa mwalimu unaanza na kutufundisha hahaahhahahahha mapenzi yameingiliwa siku hizi, e bwana vipi safari ilikuaje na shemeji yangu mzima huko nyumbani” ni watu waliokuwa wamezoeana sana hivyo utani ulikuwa ni sehemu kubwa sana ya maisha yao.
“Shemeji yako waafya sana ndoa imemkubali mpaka anaanza kuwa kibonge, kuhusu kusini mwa watu waafrika huko ni kwema mno, ni nchi iliyo jengwa sana natamani siku moja Tanzania tukipata viongozi shupavu sana tuweze kufikia uwezo kama wa nchi ile basi tutakuwa tumefika mbali sana ndugu yangu unajihisi kama vile uko peponi. Ni bahati pia kukutana na kipenzi cha wadada ulimwenguni Shah Rukh Khan aisee tumeinjoi mnoo” maelezo yake yalikuwa yamemtamanisha sana rafiki yake ambaye habari ya ujio wa mwigizaji maarufu huyo aliishia kuziona kwenye mitandao tu, basi waliagana kila mtu akiingia kwenye majukumu yake rasmi ulikuwa ni muda wa kazi.

“Baba” ni mida ya mchana akiwa bize na kazi kwenye laptop yake alishtushwa na meseji ambayo ilikuwa imetoka kwa mkewe.
“Naaam mabububa vipi yako hali?”
“Mie siko sawa mpaka ule yangu amani ya moyo nitaipata na mapigo yangu yatatulia”
“Basi naacha kila kitu muda huu naenda kuujazia moyo wako tabasamu”
“Usinidanganye ule kweli nitanuna”

Wale wa kubembelezwa hadi mkule mjuane wengine mkibembelezwa hivyo niiteni mbwa nipo hapa

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Leo ni jumapili kabisa tulivu, wakati unaisindikiza wikiendi yako basi njoo ujisomee hadithi bora sana za kijasusi.

1. ULIMWENGU WA WATU WABAYA kwa shilingi 5000 tu kuanzia mwanzo ambayo in kurasa za moto 76

2. I WANT TO DIE JUDGE kwa shilingi 6000 tu ambayo ina kurasa za moto 100
Kwa atakaye nunua anapewa na HATIMA YA UJINGA WAKE yenye kurasa 12 bure kabisa.

Pia kwa wale wanao hitaji kujiunga group la WhatsApp ni shilingi 3000 tu kwa Mwezi na kwa sasa hadithi mbili zipo mkononi

1. GEREZA LA HAZWA ndo inayo endelea kwa sasa na
2. MBAKAJI WA DADA YANGU.

Namba za malipo ni
0621567672 hii ndo inayo tumika WhatsApp
0745982347

Zote jina ni FEBIANI BABUYA

Karibu uburudike na hadithi za Bux the story teller

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 4......................

Cecilia alikuwa ni fundi kutoka ndani ya Songea mtoto wa kike alifundwa vyema tangu siku ya kwanza alikuwa amezidiwa na mumewe ila leo alihitaji naye amuonyeshe mwanaume huyo namna kitanda kinavyotakiwa kumilikiwa na mwanamke ili hata mwanaume asiweze kutoka nje ya ndoa yake.

Alijitahidi kumgeuza mumewe ambaye mkono wake ulikuwa upo kwenye bustani ndogo iliyokuwa imechongwa vizuri sana ilimvutia bwana Simon kuendelea kushika tunda zuri lililokuwa katikati ya bustani hiyo alikuwa anamfanya mwanamke huyo awe kama amependwa na maruhani anapokuwa anaishika hiyo sehemu, maji maji ya moto yalimtoka mwanadada wa watu lakini alijitahidi mpaka alifanikiwa kukaa juu ya mumewe alimuwekea mumewe kidole mdomoni akimpa ishara ya kunyamaza yaani akae kimya tena kwa kutulia kabisa. Kisha mke halali wa ndoa huyu akiwa yupo uchi kabisa wa mnyama alinyanyuka kwa madoido huku sehemu zake akizitingisha kwa nyuma wakati analisogelea begi lake dogo la mkononi lililokuwa karibu na televisheni, bwana Simon udenda ulimtoka kwa hicho alichokuwa anakiona mapigo ya moyo yalikuwa yanaenda kasi sana wala hakuweza kuamini kama huyo alikuwa ni mkewe kabisa wa ndoa, kila alivyokuwa anamwanagalia alikuwa anazidi kuwa mpya kabisa kwenye macho yake kitu kilicho fanya azidi kumpenda sana huyo mwanamke.

Cecilia alirudi akiwa na kichupa kidogo cha asali kwenye mkono wake, asali hiyo ilimiminiwa kuanzia kwenye shingo ndefu kidogo ya bwana Simon kupitia kifuani mpaka ulipokuwa utajiri wa watoto duniani, mdomo laini wenye ulimi wa kudeki bahari mithili ya nyoka afanyavyo anapokuwa anautoa ulimi wake nje ulikuwa ukipita kwenye shingo ya bwana Simon ambaye alikuwa akiweweseka tu, asali ililambwa kwa weledi utadhani ni fundi nyumba akiitumia pima maji yake kwa usahihi asije akaharibu ujenzi wa nyumba, safari iliishia kwenye mali ya mwanamke kwa mwanaume, hicho ndicho kitu pekee kinacho kamilisha furaha ya mwanamke duniani, sehemu hiyo ilimezwa, ikatemwa iliguswa kila sehemu bwana Simon uvumilivu ulimshinda alimgeuza mwanamke huyo na kuanza kujilia vyake, siku hiyo ni kama Cecilia alihitaji kumkomoa mumewe kiuno kilikuwa kama kimeteguliwa, kilipelekwa kwa mahesabu kiasi kwamba bwana Simon alikuwa akitamka maneno ambayo hata yeye mwenyewe asingeweza kuyatolea tafsiri mtoto wa kingoni alikuwa amemshika panapo shikika bwana huyu.

Saa kumi za usiku walikuwa wameridhishana vya kutosha hakuna aliyeweza kukumbuka kwenda kitandani wote walilala hapo hapo kwenye kochi, walikuja kushtushwa asubuhi majira ya saa nne na mhudumu ambaye alikuwa akigonga, bwana Simon aliamka na kumuamsha mkewe ambaye aligoma.

“Sitaki niache nilale bwana mume wangu” Simon alicheka sana kwa mideko aliyokuwa nayo mkewe huyo shughuli ya usiku ilimchosha sana hakuwa na uwezo hata wa kutembea muda huo alichoka mno. Mwanaume alipokea supu aliyokuwa ameletewa baada ya kupigiwa simu kwa muda mrefu lakini haikupokelewa waliamua kuja kumgongea moja kwa moja kujua kama yupo salama. Alimbeba mkewe na kwenda kumrushia kwenye jakuzi ambalo lilikuwa na maji ya moto kiasi hicho ndicho kilicho mshtua mkewe kutoka kwenye huo usingizi ambao alikuwa hataki kuukosa.

“Nimesema uniache” aliongea huku akitoka humo kwenye maji na kuanza kumfukuza mumewe wakiwa wanacheka sana basi mumewe alimbeba na kwenda kumuogesha ambapo kabla hajafanya hivyo walipata penzi kwanza huko huko bafuni kisha akarudi akiwa amembeba mkewe mkonononi na kumkalisha kwenye mapaja yake akianza kumlisha nayeye akiwa anakula taratibu. Wanawake wengi wanatamani wangekuwa ndiye bibie Cecilia lakini kwa dunia hii ni ngumu sana kuwa Cecilia kwa aina ya wanaume waliopo.

Wiki ilikatika wakiwa wanainjoi maisha yao mazuri ya mapenzi huko Afrika ya kusini baada ya hapo ni muda sasa ulikuwa umewadia kutoka kwenye hoteli nzuri ambayo ilikuwa ikipatikana kwenye bustani hiyo bora zaidi Afrika, rasmi walikuwa wamerudi ndani ya jiji la Dar es salaam ili kuendelea na majukumu mengine kwa sababu bwana Simon alikuwa ni mfanyakazi kwenye kampuni moja kubwa sana hapa mjini.

Alicious marine transportation ndiyo kampuni ambayo bwana Simon alikuwa akifanya kazi, alikuwa meneja wa hiyo kampuni ambayo ilikuwa ikijushughulisha na usafirishaji wa majini ikisafirisha mizigo pamoja na mizigo mikubwa kwa midogo ambayo ilikuw ikipita kwa njia ya majini. Kazi yake hiyo iliweza kumfanya kuwa mtu ambaye hakuwa na maisha magumu ya kuweza kukizi mahitaji ya familia, hakuwa na pesa nyingi sana lakini kazi hiyo ilikuwa inampa maisha mazuri tu ya kueleweka kumfanya yeye na mkewe kuanzisha familia ya furaha kwani kila walicho kihitaji walikuwa na uwezo wa kukipata. Baada ya fungate yao kuweza kuisha yeye meneja na mtu mhimu sana ndani ya kampuni alikuwa anahitajika haraka sana aweze kurudi kazini kuhakikisha kila kitu kinaenda sawa kabisa.

Magomeni ndiyo sehemu ambayo alikuwa anaishi na mkewe kipenzi huku kampuni aliyokuwa akifanyia kazi ikiwa maeneo ya mnazi mmoja ambapo tawi lake kubwa lilikuwa pembezoni kabisa mwa bahari ya Hindi, jumatatu na mapema mkewe alikuwa amemnyooshea nguo safi ambazo wazi wazi ungemtazama tu ungejua ni mtu ambaye anatunzwa vilivyo huko kwake, begi lake dogo na gari yake aina ya Hurrier new model lilimsaidia sana kwenye kazi zake hizo ambazo ndizo zilimfanya aweze kuyamudu maisha ndani ya jiji hili kubwa sana nchini, mtu wa kwanza kumpokea alikuwa ni rafiki yake kipenzi ambaye walijuana tangu wakiwa chuoni na ndiye aliyekuwa best man wake kwenye harusi yake.

“Aaaah kaka naona umeanza na kutoka shavu saivi sio kwa mahaba unayo pewa hayo unatutamanisha nasisi kuweza kuingia huko” sauti ya rafiki yake Andrew iliweza kumshtua akiwa anaelekea kwenye ofisi yake ambayo ni zaidi ya wiki sasa alikuwa hajatia mguu kabisa, aliyatoa meno yake yote kuonekana amepokea sifa hizo kama ilivyo kawaida kwa sisi wanaume unapokuwa unasifiwa na rafiki yako huwa tunajisikia fahari sana kwa sababu mtu wako wa karibu sana akikipenda kitu unacho kifanya huwa inaleta nguvu kubwa mno hususani kwenye suala zima la maisha.

“Tatizo lenu vijana wa siku hizi mnajifanya ni wajuaji sana, tukiwaambia oeni mnaanza kujifanya mnajua kuyatafsiri mapenzi ila laiti kama ungejua raha ya ndoa ungeenda kuoa muda huu” aliongea kwa furaha sana akimkumbatia sana rafiki yake kwa furaha.

“Tutakoma siku hizi naona mpaka umekuwa mwalimu unaanza na kutufundisha hahaahhahahahha mapenzi yameingiliwa siku hizi, e bwana vipi safari ilikuaje na shemeji yangu mzima huko nyumbani” ni watu waliokuwa wamezoeana sana hivyo utani ulikuwa ni sehemu kubwa sana ya maisha yao.
“Shemeji yako waafya sana ndoa imemkubali mpaka anaanza kuwa kibonge, kuhusu kusini mwa watu waafrika huko ni kwema mno, ni nchi iliyo jengwa sana natamani siku moja Tanzania tukipata viongozi shupavu sana tuweze kufikia uwezo kama wa nchi ile basi tutakuwa tumefika mbali sana ndugu yangu unajihisi kama vile uko peponi. Ni bahati pia kukutana na kipenzi cha wadada ulimwenguni Shah Rukh Khan aisee tumeinjoi mnoo” maelezo yake yalikuwa yamemtamanisha sana rafiki yake ambaye habari ya ujio wa mwigizaji maarufu huyo aliishia kuziona kwenye mitandao tu, basi waliagana kila mtu akiingia kwenye majukumu yake rasmi ulikuwa ni muda wa kazi.

“Baba” ni mida ya mchana akiwa bize na kazi kwenye laptop yake alishtushwa na meseji ambayo ilikuwa imetoka kwa mkewe.
“Naaam mabububa vipi yako hali?”
“Mie siko sawa mpaka ule yangu amani ya moyo nitaipata na mapigo yangu yatatulia”
“Basi naacha kila kitu muda huu naenda kuujazia moyo wako tabasamu”
“Usinidanganye ule kweli nitanuna”

Wale wa kubembelezwa hadi mkule mjuane wengine mkibembelezwa hivyo niiteni mbwa nipo hapa

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 5......................


“Sawa mpenzi maneno yako kwangu ni jua kali juu ya milima yenye theluji lazima itayeyuka tu pindi miale hiyo ya mwanga wa jua inapotua juu yake lazima niyafanyie kazi maneno yako” ndoa kilikuwa kitu ambacho kilifanya Bwana Simon ajione dunia haikuwahi kuwa na mwanaume ambaye aliwahi kupendwa kama yeye, alikuwa tayari kumsikiliza mkewe kwenye kila jambo ili kuhakikisha mrembo huyo anakuwa mtu mwenye furaha muda wote kwenye maisha yake.

Majira ya jioni alikuwa kwenye gari kuelekea nyumbani kwake hakuwa mtu wa kujichanganya sana ukizingatia hata ndoa yake bado ilikuwa changa mno alikuwa na kazi kubwa sana kuhakikisha anailinda kwa namna yoyote ile kwa huyo mwanamke mrembo ambaye ndiye aliyekuwa anamfanya ayasifie mapenzi kwenye kila maneno kumi ambayo yalikuwa yanamtoka kwenye kinywa chake hata ufanyaji wake wa kazi uliongezeka sana kwa sababu alikuwa akiifanya akiwa mwingi wa bashasha na furaha pekee ndivyo vitu vilivyokuwa vimeutawala moyo wake mwanaume huyu. Nyumbani alipokelewa kwa kanga nyepesi ambayo ilikuwa kwenye mwili ulio jazia nyama za haja, sio mwingine ni mwili wa mwanamke ambaye alikuwa mbele yake mkewe wa ndoa kabisa. Nyumba ilikuwa kama mpya kabisa, hakuna ambacho macho yake hayakukifurahia kuweza kukiona hapo mbele yake hakika Cecilia binti Ambrose alikuwa amefundwa sana vilivyo kwenye kuitunza nyumba yake. Manukato yaliziburudisha pua za bwana Simon wakati anakaribishwa ndani begi lake likichukuliwa na mikono ya mkewe maua maua yalikuwa yamejazwa kwenye kila sehemu ambayo alikuwa anakanyaga, safari ilienda kuishia kwenye bafu kubwa ambalo ndani yake kulikuwa na jakuzi kubwa la kuogea na ndani yake yalijazwa maua mekundu ambayo yalipangwa kwa usahihi na kuandikwa welcome back home my husband, nadhani wanawake wengi huwa hawaelewi ni namna gani mwanaume anaweza kutekwa kwenye mapenzi wengi huwa wanadhani mwanaume huchanganyikiwa kwa uzuri wao pamoja na kumpa limbwata lakini amini hakuna uchawi kwenye mapenzi hata kama utafanya kazi ni kwa muda mchache sana haya mambo hapo juu ndiyo huwa yanafanya mwanaume yeyote kuwa kichaa kwa mwanamke wake na huwa tayari kumpigania mwanamke huyo kwa gharama yoyote ile. Mtoto wa kiume leo alirudishwa tena utotoni aliogeshwa kama mtoto mdogo kisha baada kumaliza aliulizwa

“Baba utakula ndo ule au ule ndo utaku….” Hakuziruhusu sarufi zote zimtoke mkewe mdomo wake ulikuwa umefika kwenye maembe dodo mawili ambayo yalikuwa yapo kwenye kifua cha mkewe ambaye alianza kugugumia kwa taabu sana akisikilizia msisimko mkubwa ambao alikuwa anaupata kwenye moyo wake, nyoka wa bwana Simoni alizama kwenye shimo lenye joto kali sana hilo ambalo lilikuwa linamilikiwa na mkewe kipenzi, alikuwa akisukuma kwa kasi sana huku kiuno laini kikiipokea misukumo hiyo kwa nyonga ambayo ilikuwa ikizunguswa kwa usahihi kama mapangaboi ya ndege ambavyo huwa yanarushwa pale yanapokuwa angani wakati ndege inapaa angani. Walibebana wakiendelea kutimiza adhima ya mioyo yao walilishana kwa bashasha huku wakiwa wanaendelea kuzisulubisha nyeti zao muda wote.

Siku zilienda na muda ulienda sana Simon alikuwa mtu wa kuwahi sana nyumbani, hakuwa mtu ambaye angekuwa na ujanja wa kutoka kwenda sehemu yoyote ile kiuno cha mtoto wa kingoni kilimfanya aweze kuwakataa wanawake wote ambao walikuwa wakimsumbua sana kuanzia sehemu aliyokuwa akiifanyia kazi mpaka mtaani alikokuwa anakaa, mkewe ilikuwa ni silaha yake ya maangamizi hakuhitaji hawa dada zetu wa mjini kwani alijua shida yao ni pesa tu ila hakuna chochote ambacho walikuwa wakijua kuhusu mapenzi wengi wao huwa ni masista duu lakini shughuli ya kitandani hakuna chochote ambacho wanakielewa. Mwaka mzima uliweza kukatika na sasa mkewe bibie Cecilia Ambrose alikuwa ashakuwa mwenyeji wa jiji la Dar kwa kiasi chake, safari za kwenda kula mihogo Coco beach, kula upepo mzuri Ununio, siku moja moja kwenda Golden Tulip Masaki na kupelekwa shoping sehemu mbali mbali na mumewe zilimfanya kuwa mwenyeji kabisa na alikuwa anaweza kwenda sehemu yoyote ile akiwa peke yake na asingeweza kupotea kabisa kwenye mji huu ulikuwa tayari ilishakuwa sehemu ya maisha yake. Karibu na hapo kwake kulikuwa na mpangaji mwenzake wa kike ambaye ndiye mtu waliyetokea kuzoeana na walikuwa wanaenda wote mpaka sokoni.
Recho/Rachel ndilo lilikuwa jina la huyo mrembo, ustaarabu wake na ukarimu aliokuwa nao pamoja na kujituma kwenye kazi ilikuwa sababu kubwa ya kuwa rafiki mkubwa wa hiyo familia ya bwana Simon.

“Rafiki yangu umebahatika kupata mwanaume ambaye ni ndoto ya kila mwanamke hapa duniani jitahidi sana utulie kwenye ndoa yako bibi huu mji una mambo mengi sana usipo jiangalia unaweza ukajikuta unapoteza furaha ambayo umeihangaikia kwa muda mrefu sana maana huu ni mji ambao hauzoeleki kabisa” yalikuwa ni maneno ambayo alikuwa anayatamka Recho kwenda kwa rafiki yake Cecilia wakiwa wanatoka kwenye supermarket kuchukua mahitaji ya nyumbani, gari ya Ccecilia ambayo alikuwa amezawadiwa na mumewe ndilo walilokuwa wamelitumia kama usafiri kwa siku hiyo hawakuwa na muda kabisa wa kuanza kudandia dala dala njiani.

“Asante kwa ushauri shoga angu ndio maana huwa sio mtu wa kujichanganya kabisa, nampenda sana yule mwanaume unajua sisi wanawake ni wadhaifu sana hivyo kuna mazingira ukijichanganya tu kidogo unaweza ukajikuta umetoka kabisa nje ya mstari na unakuja kushtuka wakati tayari ulisha haribu majuto yanafuatia” alijbu kwa tabasamu Cecilia baada ya mumewe kusifiwa alijiambia moyoni kwamba alitakiwa kuongeza umakini wa kumjali mumewe kwani watu nje walionekana walisha aanza kumtolea macho ndio maana rafiki yake huyo aliweza kumpa ushauri mapema sana ili asije akalia na jiji hili ambalo pindi upatapo matatizo huwezi ukaona mtu yeyote yule wa kuweza kukupa hata moyo kila mtu huwa analia na matatizo yake mwenyewe.

“Eee mwaya mwanaume mwenyewe yule ana mvuto kama nini na wadada wa magomeni hapa ninavyo wajua ni hatari sana kwa ndoa za watu natamani sana kuwaona mkiishi kwa furaha kama mlivyo kila siku iendayo kwa MUNGU ndiyo maana nakwambia mapema baadae usije ukanilaumu kwa kuto kukutahadhalisha mapema juu ya uhatari wa mji huu ndugu yangu” Recho alikuwa anampa wosia mkubwa sana rafiki yake ambao pengine kama angeuchezea ungemtokea puani hapo baadae alikumbushwa kwamba hapa ni Dar es salaam na sio Songea, moyoni hata Recho alikiri kwamba rafiki yake alikuwa amempata mwanaume bora sana hata ingekuwa imemtokea yeye basi angehakikisha haipotezi nafasi kama hiyo kwenye maisha yake.
“Unanijali sana ndugu yangu lakini mbona wewe sijawahi kukuona na mtu yeyote yule tangu nije hapa, hata mgeni kuingia ndani kwako sijawahi kuona kabisa” Cecilia aliuliza swali huku akiwa yupo makini kwenye usukani ili asije akasababisha matatizo jioni hiyo kwenye bara bara.

“Ni miaka miwili sasa nikiwa sipo kwenye mapenzi, mimi nilijaaliwa kuwa miongoni mwa wanawake ambao wamelelewa kwenye maadili bora sana hivyo nilikuwa nijiheshimu kupita kiasi, miaka sita iliyopita niliweza kukutana na mwanaume mmoja nikiwa namaliza elimu yangu ya chuo kikuu naye alikuwa anaelekea kumaliza, alikuwa mtu aliye barikiwa lugha nzuri sana ambayo ilifamfanya kumrahisishia safari yake ya kunishawishi kwenye maisha yake na ndipo kwa mara ya kwanza nilipokuja kuijua dunia ya mapenzi kwa sababu sikuwahi kabisa kujua nini maana halisi ya neno mapenzi hapa duniani. Ndiye mwanaume wa kwanza kunitoa usichana wangu, nilikuwa mtiifu sana kwa yule mwanaume ilifika hatua nikawa nahitaji tutambulishane mpaka nyumbani kwa sababu nilikuwa nipo tayari kufanya chochote kile mbacho alikuwa anakihitaji kwa wakati ule ila ndiye huyo ambaye alifanya niyachukie sana haya mapenzi hapa ulimwenguni na kuona hayana maana yoyote ile kwangu.

5 inaishia hapa

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 5......................


“Sawa mpenzi maneno yako kwangu ni jua kali juu ya milima yenye theluji lazima itayeyuka tu pindi miale hiyo ya mwanga wa jua inapotua juu yake lazima niyafanyie kazi maneno yako” ndoa kilikuwa kitu ambacho kilifanya Bwana Simon ajione dunia haikuwahi kuwa na mwanaume ambaye aliwahi kupendwa kama yeye, alikuwa tayari kumsikiliza mkewe kwenye kila jambo ili kuhakikisha mrembo huyo anakuwa mtu mwenye furaha muda wote kwenye maisha yake.

Majira ya jioni alikuwa kwenye gari kuelekea nyumbani kwake hakuwa mtu wa kujichanganya sana ukizingatia hata ndoa yake bado ilikuwa changa mno alikuwa na kazi kubwa sana kuhakikisha anailinda kwa namna yoyote ile kwa huyo mwanamke mrembo ambaye ndiye aliyekuwa anamfanya ayasifie mapenzi kwenye kila maneno kumi ambayo yalikuwa yanamtoka kwenye kinywa chake hata ufanyaji wake wa kazi uliongezeka sana kwa sababu alikuwa akiifanya akiwa mwingi wa bashasha na furaha pekee ndivyo vitu vilivyokuwa vimeutawala moyo wake mwanaume huyu. Nyumbani alipokelewa kwa kanga nyepesi ambayo ilikuwa kwenye mwili ulio jazia nyama za haja, sio mwingine ni mwili wa mwanamke ambaye alikuwa mbele yake mkewe wa ndoa kabisa. Nyumba ilikuwa kama mpya kabisa, hakuna ambacho macho yake hayakukifurahia kuweza kukiona hapo mbele yake hakika Cecilia binti Ambrose alikuwa amefundwa sana vilivyo kwenye kuitunza nyumba yake. Manukato yaliziburudisha pua za bwana Simon wakati anakaribishwa ndani begi lake likichukuliwa na mikono ya mkewe maua maua yalikuwa yamejazwa kwenye kila sehemu ambayo alikuwa anakanyaga, safari ilienda kuishia kwenye bafu kubwa ambalo ndani yake kulikuwa na jakuzi kubwa la kuogea na ndani yake yalijazwa maua mekundu ambayo yalipangwa kwa usahihi na kuandikwa welcome back home my husband, nadhani wanawake wengi huwa hawaelewi ni namna gani mwanaume anaweza kutekwa kwenye mapenzi wengi huwa wanadhani mwanaume huchanganyikiwa kwa uzuri wao pamoja na kumpa limbwata lakini amini hakuna uchawi kwenye mapenzi hata kama utafanya kazi ni kwa muda mchache sana haya mambo hapo juu ndiyo huwa yanafanya mwanaume yeyote kuwa kichaa kwa mwanamke wake na huwa tayari kumpigania mwanamke huyo kwa gharama yoyote ile. Mtoto wa kiume leo alirudishwa tena utotoni aliogeshwa kama mtoto mdogo kisha baada kumaliza aliulizwa

“Baba utakula ndo ule au ule ndo utaku….” Hakuziruhusu sarufi zote zimtoke mkewe mdomo wake ulikuwa umefika kwenye maembe dodo mawili ambayo yalikuwa yapo kwenye kifua cha mkewe ambaye alianza kugugumia kwa taabu sana akisikilizia msisimko mkubwa ambao alikuwa anaupata kwenye moyo wake, nyoka wa bwana Simoni alizama kwenye shimo lenye joto kali sana hilo ambalo lilikuwa linamilikiwa na mkewe kipenzi, alikuwa akisukuma kwa kasi sana huku kiuno laini kikiipokea misukumo hiyo kwa nyonga ambayo ilikuwa ikizunguswa kwa usahihi kama mapangaboi ya ndege ambavyo huwa yanarushwa pale yanapokuwa angani wakati ndege inapaa angani. Walibebana wakiendelea kutimiza adhima ya mioyo yao walilishana kwa bashasha huku wakiwa wanaendelea kuzisulubisha nyeti zao muda wote.

Siku zilienda na muda ulienda sana Simon alikuwa mtu wa kuwahi sana nyumbani, hakuwa mtu ambaye angekuwa na ujanja wa kutoka kwenda sehemu yoyote ile kiuno cha mtoto wa kingoni kilimfanya aweze kuwakataa wanawake wote ambao walikuwa wakimsumbua sana kuanzia sehemu aliyokuwa akiifanyia kazi mpaka mtaani alikokuwa anakaa, mkewe ilikuwa ni silaha yake ya maangamizi hakuhitaji hawa dada zetu wa mjini kwani alijua shida yao ni pesa tu ila hakuna chochote ambacho walikuwa wakijua kuhusu mapenzi wengi wao huwa ni masista duu lakini shughuli ya kitandani hakuna chochote ambacho wanakielewa. Mwaka mzima uliweza kukatika na sasa mkewe bibie Cecilia Ambrose alikuwa ashakuwa mwenyeji wa jiji la Dar kwa kiasi chake, safari za kwenda kula mihogo Coco beach, kula upepo mzuri Ununio, siku moja moja kwenda Golden Tulip Masaki na kupelekwa shoping sehemu mbali mbali na mumewe zilimfanya kuwa mwenyeji kabisa na alikuwa anaweza kwenda sehemu yoyote ile akiwa peke yake na asingeweza kupotea kabisa kwenye mji huu ulikuwa tayari ilishakuwa sehemu ya maisha yake. Karibu na hapo kwake kulikuwa na mpangaji mwenzake wa kike ambaye ndiye mtu waliyetokea kuzoeana na walikuwa wanaenda wote mpaka sokoni.
Recho/Rachel ndilo lilikuwa jina la huyo mrembo, ustaarabu wake na ukarimu aliokuwa nao pamoja na kujituma kwenye kazi ilikuwa sababu kubwa ya kuwa rafiki mkubwa wa hiyo familia ya bwana Simon.

“Rafiki yangu umebahatika kupata mwanaume ambaye ni ndoto ya kila mwanamke hapa duniani jitahidi sana utulie kwenye ndoa yako bibi huu mji una mambo mengi sana usipo jiangalia unaweza ukajikuta unapoteza furaha ambayo umeihangaikia kwa muda mrefu sana maana huu ni mji ambao hauzoeleki kabisa” yalikuwa ni maneno ambayo alikuwa anayatamka Recho kwenda kwa rafiki yake Cecilia wakiwa wanatoka kwenye supermarket kuchukua mahitaji ya nyumbani, gari ya Ccecilia ambayo alikuwa amezawadiwa na mumewe ndilo walilokuwa wamelitumia kama usafiri kwa siku hiyo hawakuwa na muda kabisa wa kuanza kudandia dala dala njiani.

“Asante kwa ushauri shoga angu ndio maana huwa sio mtu wa kujichanganya kabisa, nampenda sana yule mwanaume unajua sisi wanawake ni wadhaifu sana hivyo kuna mazingira ukijichanganya tu kidogo unaweza ukajikuta umetoka kabisa nje ya mstari na unakuja kushtuka wakati tayari ulisha haribu majuto yanafuatia” alijbu kwa tabasamu Cecilia baada ya mumewe kusifiwa alijiambia moyoni kwamba alitakiwa kuongeza umakini wa kumjali mumewe kwani watu nje walionekana walisha aanza kumtolea macho ndio maana rafiki yake huyo aliweza kumpa ushauri mapema sana ili asije akalia na jiji hili ambalo pindi upatapo matatizo huwezi ukaona mtu yeyote yule wa kuweza kukupa hata moyo kila mtu huwa analia na matatizo yake mwenyewe.

“Eee mwaya mwanaume mwenyewe yule ana mvuto kama nini na wadada wa magomeni hapa ninavyo wajua ni hatari sana kwa ndoa za watu natamani sana kuwaona mkiishi kwa furaha kama mlivyo kila siku iendayo kwa MUNGU ndiyo maana nakwambia mapema baadae usije ukanilaumu kwa kuto kukutahadhalisha mapema juu ya uhatari wa mji huu ndugu yangu” Recho alikuwa anampa wosia mkubwa sana rafiki yake ambao pengine kama angeuchezea ungemtokea puani hapo baadae alikumbushwa kwamba hapa ni Dar es salaam na sio Songea, moyoni hata Recho alikiri kwamba rafiki yake alikuwa amempata mwanaume bora sana hata ingekuwa imemtokea yeye basi angehakikisha haipotezi nafasi kama hiyo kwenye maisha yake.
“Unanijali sana ndugu yangu lakini mbona wewe sijawahi kukuona na mtu yeyote yule tangu nije hapa, hata mgeni kuingia ndani kwako sijawahi kuona kabisa” Cecilia aliuliza swali huku akiwa yupo makini kwenye usukani ili asije akasababisha matatizo jioni hiyo kwenye bara bara.

“Ni miaka miwili sasa nikiwa sipo kwenye mapenzi, mimi nilijaaliwa kuwa miongoni mwa wanawake ambao wamelelewa kwenye maadili bora sana hivyo nilikuwa nijiheshimu kupita kiasi, miaka sita iliyopita niliweza kukutana na mwanaume mmoja nikiwa namaliza elimu yangu ya chuo kikuu naye alikuwa anaelekea kumaliza, alikuwa mtu aliye barikiwa lugha nzuri sana ambayo ilifamfanya kumrahisishia safari yake ya kunishawishi kwenye maisha yake na ndipo kwa mara ya kwanza nilipokuja kuijua dunia ya mapenzi kwa sababu sikuwahi kabisa kujua nini maana halisi ya neno mapenzi hapa duniani. Ndiye mwanaume wa kwanza kunitoa usichana wangu, nilikuwa mtiifu sana kwa yule mwanaume ilifika hatua nikawa nahitaji tutambulishane mpaka nyumbani kwa sababu nilikuwa nipo tayari kufanya chochote kile mbacho alikuwa anakihitaji kwa wakati ule ila ndiye huyo ambaye alifanya niyachukie sana haya mapenzi hapa ulimwenguni na kuona hayana maana yoyote ile kwangu.

5 inaishia hapa

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 6......................

Baada ya mwaka mmoja kupita tangu tuyaanze mahusiano hayo alinichota akili zote kabisa nikawa siwezi kuambiwa chochote nikajipa imani kwa asilimia miamoja kwamba mimi ndiye mkewe mpaka ikafika hatua kabisa nikaanza kujiita mrs Beni ikiwa tu ni kuonyesha imani na mapenzi makubwa sana ambayo nilikuwa nayo kwake ajabu nadhani hata hilo mwenzangu hakuwahi kulijali kabisa kwenye maisha yake na sikuweza kuelewa kama yeye alikuwa akiwaza nini juu ya hilo. Kwa vile nilikuwa nimejiaminisha kwamba alikuwa ni mwanaume wangu halali basi siku moja nikajichetua nikajibeba kwenda mpaka kwake bila taarifa nikiamini namfanyia surprise bila kujua nilikuwa naenda kuupatia moyo maumivu ambayo yalikuwa ni magumu mno kuyakabili na kuyavumilia ukizingatia ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumpenda mwanaume hivyo nilimkabidhi moyo wangu wote na kila kitu.

Nilifika kwake vizuri tu nilitaka kubisha hodi lakini niliamua kuingia baada ya kuugusa mlango tu ukawa unafunguka, nilivyo fungua tu nilitamani nipasuke pale pale nife kabisa nisiweze kushuhudia kile kitu ila bahati mbaya sana hakukuwa na kitu ambacho kingeweza kuichukua nafsi yangu kwa wakati ule, asikwambie mtu kuhusu neno mapenzi uwe unazisikia tu hizi hadithi kwa watu wengine mapenzi yanauma kuliko hata ambavyo huwa yanasimuliwa kwa watu, moyo ulikuwa kama vile kuna mtu alikuwa ananipiga shoti kifuani nilikuwa ninahema kwa nguvu sana jasho likinitoka kama maji unaweza ukadhani nilikuwa nimetoka kufanya kazi moja ambayo ilikuwa ni ngumu sana na bahati mbaya mpaka muda huo alikuwa hajaniona kabisa.

Alikuwa yupo sebuleni tena kwenye makochi ambayo mimi ndiye niliye yanunua kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa alikuwa yupo uchi wa mnyawa akiwa anafanya mapenzi na wanawake wawili ambao nao wote walikuwa wapo uchi wa mnyama kabisa, hakuna siku niliwahi kuumia kama siku ile nilitazama huku na huku kama nitaona hata kisu niwaue wote kisha namimi nijiue pale pale lakini ilishindikana kwani wakati nasogeza mguu mmoja tu mbele nguvu ziliniishia nikadondoka chini kama mzigo, sikuelewa kilicho endelea tena nilikuja kushtuka kesho yake mchana nikiwa ndani ya hospitali kuu ya taifa ya Mhimbili nikiwa nimezungushiwa drip mbili kwenye mikono yangu kuonyesha wazi nilikuwa kwenye hali mbaya sana. Machozi mengi sana yalikuwa yakinitoka kwenye uso wangu kila nilipokuwa nalikumbuka lile tukio nilikuwa naona moyo wangu unachoma mno sikuhitaji tena kuja kumuona huyo mwanaume kwenye maisha yangu mpaka nakufa, niligeuza macho pembeni alikuwa amekaa hapo akiwa amejiinamia kama sio yeye vile na alivyokuwa amebahatika kuwa na sura ya upole basi hakuna mtu angeweza kuamini kwamba ni kweli yeye ndiye aliyekuwa amefanya hilo tukio.

“Toka humu ndani shetani wewe, sihitaji kukuona tokaaaaaaa” niliongea kwa hasira nikiwa ninahema kwa shida sana alionekana wazi hakutaka kuondoka ila madaktari walimsisitiza aweze kuondoka kwani ilionekana uwepo wake ni shida sana kwangu pale kitandani. Kilichotokea sikuhitaji nyumbani wajue hivyo niliamua kujitenga mwenyewe mpaka mwaka mmoja ulivyo isha ndipo hali yangu ilianza kutengamaa, nilifungua mgahawa wangu na saluni kubwa ya kike nikaamua kuyaishi maisha yangu tu sikuhitaji tena mapenzi kwa huo muda niliteseka mno lakini baadaye nilikuja kuizoea hiyo hali kabisa.

Mwaka mwingine ulikatika ikiwa ni miaka miwili tangu niachane na first lover wangu Ben licha ya kunisumbua sana mwaka wa kwanza akiomba msamaha lakini sikuwa tayari kumsamehe niliziba kila mianya ambayo ingefanya tuweze kukutana tena na stori yake ikaishia hapo” hadithi yake ya mapenzi ilimsisimua mno Cecilia ambaye mpaka kwa wakti huo alikuwa amepaki gari pembezoni mwa barabara ili aweze kuisikiliza hadithi hiyo vizuri ambayo kiukweli alivutiwa nayo sana japo ilikuwa ya kuhuzunisha ni kama alikuwa anaangalia tamthilia nzuri ya kikorea ila haikuwa hivyo hiyo ilikuwa ni historia ya maisha ya kweli ambayo aliyaishi Recho rafiki yake.

“Maskini rafiki yangu pole sana umekutwa na mambo mazito sana ambayo kwa binadamu wa kawaida kuyabeba ni ngumu mno japo ndio uhalisia wenyewe huo lakini umesemaje kwamba ni miaka miwili ukiwa huna mtu wakati kwa hesabu ya miaka sita uliyo niambia nikipiga hesabu na muda ulio upoteza kwa Ben pamoja na kupumzika inakuwa mitatu?” swali hili alihitaji kulielewa vizuri mrembo Cecilia.

“Ile miaka miwili ambayo niliamua kukaa mwenyewe baada ya kuachana na Ben nilikutana na mkaka mmoja ambaye alikuwa amemleta dada yake kwenye saluni yangu akiwa anampamba kwa ajili ya sendoff yake, wakati ule nilikuwa nashinda mwenyewe saluni hivyo niliwahudumia mimi mwenyewe wakati wa kuondoka alidai kwamba alivutiwa sana na huduma yangu hivyo aliomba mawasiliano yangu ili wakiwa na uhitaji namimi kwenye biashara hiyo basi wangekuwa wananipata kwa uharaka zaidi, nilikuwa mfanya biashara ambaye niliijali sana kazi yangu kwa asilimia mia na kwa wakati huo sikuwa na wazo la neno mapenzi kichwani hivyo nilitoa namba bila kujua malengo yake ya kuichukua ile namba kwangu.

Baada ya siku mbili alianza kunitafuta, wiki nzima iliisha akiwa ananitafuta akisisitiza anahitaji tuonane, sijui nilijiroga vipi kukubali kukutana naye bila kujua dhamira yake ni nini, alinipeleka kwenye hoteli moja nzuri sana akihitaji niagize kila nilicho taka, niliagiza chakula na juice tu pekee. Nilikula nikijua ni maswala ya kibiashara ndiyo yaliyokuwa yamefanya tukutane siku ile, nilibanwa nikaenda msalani na kurudi nikiwa sina wasiwasi wowote lakini sijui alikuwa ameweka nini kwenye ile juice yangu, baada ya kuinywa tu mwili wangu ulianza kusisimka isivyokuwa kawaida nilikuwa na hamu ya mapenzi iliyopitiliza mpaka nilianza kulia nikihitaji nipate mwanaume wa kuweza kunikuna ipasavyo ili hali yangu iwe sawa niliona kama vile hajiongezi japo nilijua wazi alikuwa ananifanyia makusudi kwani ni yeye ndiye aliyekuwa ameyafanya yale yote. Sikuogopa kama tulikuwa tupo watu wengi mle ndani nilimuinamia na kuanza kuinyonya midomo yake kwa pupa, nilitaka nianze kuvua nguo pale pale hamu niliyokuwa ninayo haikuwa ya kawaida hata kidogo yaani nilikuwa sijielewi kichwani nilikuwa nawaza kufanya mapenzi tu kwani bila hivyo nilikuwa najiona naenda kufa kwa hamu niliyokuwa nayo.

Kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu nilikuwa nalilia mhogo wa mwanaume usiombe ile hali iliyo nikuta mimi siku ile ije ikukute kwenye maisha yako utazitupa nguo zako hata mbele ya umati wa watu. Mwanaume baada ya kuona ninauhitaji mhogo wake nikitoa na machozi nikiwa naushika shika mbele za watu hapo hakuvunga alinibeba kama karatasi mkononi licha ya shepu zuri la kuvutia ambalo nimebarikiwa na mzigo huku nyuma lakini mbele yake nilikuwa mwepesi mno, baada ya kufika kwenye chumba ambacho nadhani alikuwa amekilipia mapema maana sikuona hata akienda kukilipia inaonekana mchezo wake aliuandaa vyema sana, alifika na kunitupia kitandani nilitupa nguo zangu zote mbali nikamvamia na kuanza kumvua mimi mwenyewe maana niliona kama vile alikuwa akichelewa kuzitoa nguo hizo wakati mimi nilikuwa na hamu kubwa sana mpaka wakati huo. Mtanange ulianza kwa fujo nadhani alikuwa anataka kunikomoa bila kujua mimi ndiye niliyekuwa ninahitaji mechi kali kwa wakati ule kwa madudu ambayo nilikuwa nimepewa, nilikuwa nakizungusha kiuno changu kama mbwa kichaa ambavyo huwa anakimbia hovyo mtaani, baada ya dakika arobaini nadhani alikuwa ameanza kuelemewa lakini sikumuachia tulienda mpaka masaa mawili akiwa hoi hawezi hata kunyanyuka ndio muda ambao mwili wangu uliweza kurudi kwenye hali yake na akili yangu iliweza kurudi kwa usahihi kama mwanzo.

6 nasema hapa ndo tamati

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 6......................

Baada ya mwaka mmoja kupita tangu tuyaanze mahusiano hayo alinichota akili zote kabisa nikawa siwezi kuambiwa chochote nikajipa imani kwa asilimia miamoja kwamba mimi ndiye mkewe mpaka ikafika hatua kabisa nikaanza kujiita mrs Beni ikiwa tu ni kuonyesha imani na mapenzi makubwa sana ambayo nilikuwa nayo kwake ajabu nadhani hata hilo mwenzangu hakuwahi kulijali kabisa kwenye maisha yake na sikuweza kuelewa kama yeye alikuwa akiwaza nini juu ya hilo. Kwa vile nilikuwa nimejiaminisha kwamba alikuwa ni mwanaume wangu halali basi siku moja nikajichetua nikajibeba kwenda mpaka kwake bila taarifa nikiamini namfanyia surprise bila kujua nilikuwa naenda kuupatia moyo maumivu ambayo yalikuwa ni magumu mno kuyakabili na kuyavumilia ukizingatia ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumpenda mwanaume hivyo nilimkabidhi moyo wangu wote na kila kitu.

Nilifika kwake vizuri tu nilitaka kubisha hodi lakini niliamua kuingia baada ya kuugusa mlango tu ukawa unafunguka, nilivyo fungua tu nilitamani nipasuke pale pale nife kabisa nisiweze kushuhudia kile kitu ila bahati mbaya sana hakukuwa na kitu ambacho kingeweza kuichukua nafsi yangu kwa wakati ule, asikwambie mtu kuhusu neno mapenzi uwe unazisikia tu hizi hadithi kwa watu wengine mapenzi yanauma kuliko hata ambavyo huwa yanasimuliwa kwa watu, moyo ulikuwa kama vile kuna mtu alikuwa ananipiga shoti kifuani nilikuwa ninahema kwa nguvu sana jasho likinitoka kama maji unaweza ukadhani nilikuwa nimetoka kufanya kazi moja ambayo ilikuwa ni ngumu sana na bahati mbaya mpaka muda huo alikuwa hajaniona kabisa.

Alikuwa yupo sebuleni tena kwenye makochi ambayo mimi ndiye niliye yanunua kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa alikuwa yupo uchi wa mnyawa akiwa anafanya mapenzi na wanawake wawili ambao nao wote walikuwa wapo uchi wa mnyama kabisa, hakuna siku niliwahi kuumia kama siku ile nilitazama huku na huku kama nitaona hata kisu niwaue wote kisha namimi nijiue pale pale lakini ilishindikana kwani wakati nasogeza mguu mmoja tu mbele nguvu ziliniishia nikadondoka chini kama mzigo, sikuelewa kilicho endelea tena nilikuja kushtuka kesho yake mchana nikiwa ndani ya hospitali kuu ya taifa ya Mhimbili nikiwa nimezungushiwa drip mbili kwenye mikono yangu kuonyesha wazi nilikuwa kwenye hali mbaya sana. Machozi mengi sana yalikuwa yakinitoka kwenye uso wangu kila nilipokuwa nalikumbuka lile tukio nilikuwa naona moyo wangu unachoma mno sikuhitaji tena kuja kumuona huyo mwanaume kwenye maisha yangu mpaka nakufa, niligeuza macho pembeni alikuwa amekaa hapo akiwa amejiinamia kama sio yeye vile na alivyokuwa amebahatika kuwa na sura ya upole basi hakuna mtu angeweza kuamini kwamba ni kweli yeye ndiye aliyekuwa amefanya hilo tukio.

“Toka humu ndani shetani wewe, sihitaji kukuona tokaaaaaaa” niliongea kwa hasira nikiwa ninahema kwa shida sana alionekana wazi hakutaka kuondoka ila madaktari walimsisitiza aweze kuondoka kwani ilionekana uwepo wake ni shida sana kwangu pale kitandani. Kilichotokea sikuhitaji nyumbani wajue hivyo niliamua kujitenga mwenyewe mpaka mwaka mmoja ulivyo isha ndipo hali yangu ilianza kutengamaa, nilifungua mgahawa wangu na saluni kubwa ya kike nikaamua kuyaishi maisha yangu tu sikuhitaji tena mapenzi kwa huo muda niliteseka mno lakini baadaye nilikuja kuizoea hiyo hali kabisa.

Mwaka mwingine ulikatika ikiwa ni miaka miwili tangu niachane na first lover wangu Ben licha ya kunisumbua sana mwaka wa kwanza akiomba msamaha lakini sikuwa tayari kumsamehe niliziba kila mianya ambayo ingefanya tuweze kukutana tena na stori yake ikaishia hapo” hadithi yake ya mapenzi ilimsisimua mno Cecilia ambaye mpaka kwa wakti huo alikuwa amepaki gari pembezoni mwa barabara ili aweze kuisikiliza hadithi hiyo vizuri ambayo kiukweli alivutiwa nayo sana japo ilikuwa ya kuhuzunisha ni kama alikuwa anaangalia tamthilia nzuri ya kikorea ila haikuwa hivyo hiyo ilikuwa ni historia ya maisha ya kweli ambayo aliyaishi Recho rafiki yake.

“Maskini rafiki yangu pole sana umekutwa na mambo mazito sana ambayo kwa binadamu wa kawaida kuyabeba ni ngumu mno japo ndio uhalisia wenyewe huo lakini umesemaje kwamba ni miaka miwili ukiwa huna mtu wakati kwa hesabu ya miaka sita uliyo niambia nikipiga hesabu na muda ulio upoteza kwa Ben pamoja na kupumzika inakuwa mitatu?” swali hili alihitaji kulielewa vizuri mrembo Cecilia.

“Ile miaka miwili ambayo niliamua kukaa mwenyewe baada ya kuachana na Ben nilikutana na mkaka mmoja ambaye alikuwa amemleta dada yake kwenye saluni yangu akiwa anampamba kwa ajili ya sendoff yake, wakati ule nilikuwa nashinda mwenyewe saluni hivyo niliwahudumia mimi mwenyewe wakati wa kuondoka alidai kwamba alivutiwa sana na huduma yangu hivyo aliomba mawasiliano yangu ili wakiwa na uhitaji namimi kwenye biashara hiyo basi wangekuwa wananipata kwa uharaka zaidi, nilikuwa mfanya biashara ambaye niliijali sana kazi yangu kwa asilimia mia na kwa wakati huo sikuwa na wazo la neno mapenzi kichwani hivyo nilitoa namba bila kujua malengo yake ya kuichukua ile namba kwangu.

Baada ya siku mbili alianza kunitafuta, wiki nzima iliisha akiwa ananitafuta akisisitiza anahitaji tuonane, sijui nilijiroga vipi kukubali kukutana naye bila kujua dhamira yake ni nini, alinipeleka kwenye hoteli moja nzuri sana akihitaji niagize kila nilicho taka, niliagiza chakula na juice tu pekee. Nilikula nikijua ni maswala ya kibiashara ndiyo yaliyokuwa yamefanya tukutane siku ile, nilibanwa nikaenda msalani na kurudi nikiwa sina wasiwasi wowote lakini sijui alikuwa ameweka nini kwenye ile juice yangu, baada ya kuinywa tu mwili wangu ulianza kusisimka isivyokuwa kawaida nilikuwa na hamu ya mapenzi iliyopitiliza mpaka nilianza kulia nikihitaji nipate mwanaume wa kuweza kunikuna ipasavyo ili hali yangu iwe sawa niliona kama vile hajiongezi japo nilijua wazi alikuwa ananifanyia makusudi kwani ni yeye ndiye aliyekuwa ameyafanya yale yote. Sikuogopa kama tulikuwa tupo watu wengi mle ndani nilimuinamia na kuanza kuinyonya midomo yake kwa pupa, nilitaka nianze kuvua nguo pale pale hamu niliyokuwa ninayo haikuwa ya kawaida hata kidogo yaani nilikuwa sijielewi kichwani nilikuwa nawaza kufanya mapenzi tu kwani bila hivyo nilikuwa najiona naenda kufa kwa hamu niliyokuwa nayo.

Kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu nilikuwa nalilia mhogo wa mwanaume usiombe ile hali iliyo nikuta mimi siku ile ije ikukute kwenye maisha yako utazitupa nguo zako hata mbele ya umati wa watu. Mwanaume baada ya kuona ninauhitaji mhogo wake nikitoa na machozi nikiwa naushika shika mbele za watu hapo hakuvunga alinibeba kama karatasi mkononi licha ya shepu zuri la kuvutia ambalo nimebarikiwa na mzigo huku nyuma lakini mbele yake nilikuwa mwepesi mno, baada ya kufika kwenye chumba ambacho nadhani alikuwa amekilipia mapema maana sikuona hata akienda kukilipia inaonekana mchezo wake aliuandaa vyema sana, alifika na kunitupia kitandani nilitupa nguo zangu zote mbali nikamvamia na kuanza kumvua mimi mwenyewe maana niliona kama vile alikuwa akichelewa kuzitoa nguo hizo wakati mimi nilikuwa na hamu kubwa sana mpaka wakati huo. Mtanange ulianza kwa fujo nadhani alikuwa anataka kunikomoa bila kujua mimi ndiye niliyekuwa ninahitaji mechi kali kwa wakati ule kwa madudu ambayo nilikuwa nimepewa, nilikuwa nakizungusha kiuno changu kama mbwa kichaa ambavyo huwa anakimbia hovyo mtaani, baada ya dakika arobaini nadhani alikuwa ameanza kuelemewa lakini sikumuachia tulienda mpaka masaa mawili akiwa hoi hawezi hata kunyanyuka ndio muda ambao mwili wangu uliweza kurudi kwenye hali yake na akili yangu iliweza kurudi kwa usahihi kama mwanzo.

6 nasema hapa ndo tamati

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
Mmh aisee
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 6......................

Baada ya mwaka mmoja kupita tangu tuyaanze mahusiano hayo alinichota akili zote kabisa nikawa siwezi kuambiwa chochote nikajipa imani kwa asilimia miamoja kwamba mimi ndiye mkewe mpaka ikafika hatua kabisa nikaanza kujiita mrs Beni ikiwa tu ni kuonyesha imani na mapenzi makubwa sana ambayo nilikuwa nayo kwake ajabu nadhani hata hilo mwenzangu hakuwahi kulijali kabisa kwenye maisha yake na sikuweza kuelewa kama yeye alikuwa akiwaza nini juu ya hilo. Kwa vile nilikuwa nimejiaminisha kwamba alikuwa ni mwanaume wangu halali basi siku moja nikajichetua nikajibeba kwenda mpaka kwake bila taarifa nikiamini namfanyia surprise bila kujua nilikuwa naenda kuupatia moyo maumivu ambayo yalikuwa ni magumu mno kuyakabili na kuyavumilia ukizingatia ndiyo ilikuwa mara yangu ya kwanza kumpenda mwanaume hivyo nilimkabidhi moyo wangu wote na kila kitu.

Nilifika kwake vizuri tu nilitaka kubisha hodi lakini niliamua kuingia baada ya kuugusa mlango tu ukawa unafunguka, nilivyo fungua tu nilitamani nipasuke pale pale nife kabisa nisiweze kushuhudia kile kitu ila bahati mbaya sana hakukuwa na kitu ambacho kingeweza kuichukua nafsi yangu kwa wakati ule, asikwambie mtu kuhusu neno mapenzi uwe unazisikia tu hizi hadithi kwa watu wengine mapenzi yanauma kuliko hata ambavyo huwa yanasimuliwa kwa watu, moyo ulikuwa kama vile kuna mtu alikuwa ananipiga shoti kifuani nilikuwa ninahema kwa nguvu sana jasho likinitoka kama maji unaweza ukadhani nilikuwa nimetoka kufanya kazi moja ambayo ilikuwa ni ngumu sana na bahati mbaya mpaka muda huo alikuwa hajaniona kabisa.

Alikuwa yupo sebuleni tena kwenye makochi ambayo mimi ndiye niliye yanunua kama zawadi ya siku yake ya kuzaliwa alikuwa yupo uchi wa mnyawa akiwa anafanya mapenzi na wanawake wawili ambao nao wote walikuwa wapo uchi wa mnyama kabisa, hakuna siku niliwahi kuumia kama siku ile nilitazama huku na huku kama nitaona hata kisu niwaue wote kisha namimi nijiue pale pale lakini ilishindikana kwani wakati nasogeza mguu mmoja tu mbele nguvu ziliniishia nikadondoka chini kama mzigo, sikuelewa kilicho endelea tena nilikuja kushtuka kesho yake mchana nikiwa ndani ya hospitali kuu ya taifa ya Mhimbili nikiwa nimezungushiwa drip mbili kwenye mikono yangu kuonyesha wazi nilikuwa kwenye hali mbaya sana. Machozi mengi sana yalikuwa yakinitoka kwenye uso wangu kila nilipokuwa nalikumbuka lile tukio nilikuwa naona moyo wangu unachoma mno sikuhitaji tena kuja kumuona huyo mwanaume kwenye maisha yangu mpaka nakufa, niligeuza macho pembeni alikuwa amekaa hapo akiwa amejiinamia kama sio yeye vile na alivyokuwa amebahatika kuwa na sura ya upole basi hakuna mtu angeweza kuamini kwamba ni kweli yeye ndiye aliyekuwa amefanya hilo tukio.

“Toka humu ndani shetani wewe, sihitaji kukuona tokaaaaaaa” niliongea kwa hasira nikiwa ninahema kwa shida sana alionekana wazi hakutaka kuondoka ila madaktari walimsisitiza aweze kuondoka kwani ilionekana uwepo wake ni shida sana kwangu pale kitandani. Kilichotokea sikuhitaji nyumbani wajue hivyo niliamua kujitenga mwenyewe mpaka mwaka mmoja ulivyo isha ndipo hali yangu ilianza kutengamaa, nilifungua mgahawa wangu na saluni kubwa ya kike nikaamua kuyaishi maisha yangu tu sikuhitaji tena mapenzi kwa huo muda niliteseka mno lakini baadaye nilikuja kuizoea hiyo hali kabisa.

Mwaka mwingine ulikatika ikiwa ni miaka miwili tangu niachane na first lover wangu Ben licha ya kunisumbua sana mwaka wa kwanza akiomba msamaha lakini sikuwa tayari kumsamehe niliziba kila mianya ambayo ingefanya tuweze kukutana tena na stori yake ikaishia hapo” hadithi yake ya mapenzi ilimsisimua mno Cecilia ambaye mpaka kwa wakti huo alikuwa amepaki gari pembezoni mwa barabara ili aweze kuisikiliza hadithi hiyo vizuri ambayo kiukweli alivutiwa nayo sana japo ilikuwa ya kuhuzunisha ni kama alikuwa anaangalia tamthilia nzuri ya kikorea ila haikuwa hivyo hiyo ilikuwa ni historia ya maisha ya kweli ambayo aliyaishi Recho rafiki yake.

“Maskini rafiki yangu pole sana umekutwa na mambo mazito sana ambayo kwa binadamu wa kawaida kuyabeba ni ngumu mno japo ndio uhalisia wenyewe huo lakini umesemaje kwamba ni miaka miwili ukiwa huna mtu wakati kwa hesabu ya miaka sita uliyo niambia nikipiga hesabu na muda ulio upoteza kwa Ben pamoja na kupumzika inakuwa mitatu?” swali hili alihitaji kulielewa vizuri mrembo Cecilia.

“Ile miaka miwili ambayo niliamua kukaa mwenyewe baada ya kuachana na Ben nilikutana na mkaka mmoja ambaye alikuwa amemleta dada yake kwenye saluni yangu akiwa anampamba kwa ajili ya sendoff yake, wakati ule nilikuwa nashinda mwenyewe saluni hivyo niliwahudumia mimi mwenyewe wakati wa kuondoka alidai kwamba alivutiwa sana na huduma yangu hivyo aliomba mawasiliano yangu ili wakiwa na uhitaji namimi kwenye biashara hiyo basi wangekuwa wananipata kwa uharaka zaidi, nilikuwa mfanya biashara ambaye niliijali sana kazi yangu kwa asilimia mia na kwa wakati huo sikuwa na wazo la neno mapenzi kichwani hivyo nilitoa namba bila kujua malengo yake ya kuichukua ile namba kwangu.

Baada ya siku mbili alianza kunitafuta, wiki nzima iliisha akiwa ananitafuta akisisitiza anahitaji tuonane, sijui nilijiroga vipi kukubali kukutana naye bila kujua dhamira yake ni nini, alinipeleka kwenye hoteli moja nzuri sana akihitaji niagize kila nilicho taka, niliagiza chakula na juice tu pekee. Nilikula nikijua ni maswala ya kibiashara ndiyo yaliyokuwa yamefanya tukutane siku ile, nilibanwa nikaenda msalani na kurudi nikiwa sina wasiwasi wowote lakini sijui alikuwa ameweka nini kwenye ile juice yangu, baada ya kuinywa tu mwili wangu ulianza kusisimka isivyokuwa kawaida nilikuwa na hamu ya mapenzi iliyopitiliza mpaka nilianza kulia nikihitaji nipate mwanaume wa kuweza kunikuna ipasavyo ili hali yangu iwe sawa niliona kama vile hajiongezi japo nilijua wazi alikuwa ananifanyia makusudi kwani ni yeye ndiye aliyekuwa ameyafanya yale yote. Sikuogopa kama tulikuwa tupo watu wengi mle ndani nilimuinamia na kuanza kuinyonya midomo yake kwa pupa, nilitaka nianze kuvua nguo pale pale hamu niliyokuwa ninayo haikuwa ya kawaida hata kidogo yaani nilikuwa sijielewi kichwani nilikuwa nawaza kufanya mapenzi tu kwani bila hivyo nilikuwa najiona naenda kufa kwa hamu niliyokuwa nayo.

Kwa mara ya kwanza kabisa kwenye maisha yangu nilikuwa nalilia mhogo wa mwanaume usiombe ile hali iliyo nikuta mimi siku ile ije ikukute kwenye maisha yako utazitupa nguo zako hata mbele ya umati wa watu. Mwanaume baada ya kuona ninauhitaji mhogo wake nikitoa na machozi nikiwa naushika shika mbele za watu hapo hakuvunga alinibeba kama karatasi mkononi licha ya shepu zuri la kuvutia ambalo nimebarikiwa na mzigo huku nyuma lakini mbele yake nilikuwa mwepesi mno, baada ya kufika kwenye chumba ambacho nadhani alikuwa amekilipia mapema maana sikuona hata akienda kukilipia inaonekana mchezo wake aliuandaa vyema sana, alifika na kunitupia kitandani nilitupa nguo zangu zote mbali nikamvamia na kuanza kumvua mimi mwenyewe maana niliona kama vile alikuwa akichelewa kuzitoa nguo hizo wakati mimi nilikuwa na hamu kubwa sana mpaka wakati huo. Mtanange ulianza kwa fujo nadhani alikuwa anataka kunikomoa bila kujua mimi ndiye niliyekuwa ninahitaji mechi kali kwa wakati ule kwa madudu ambayo nilikuwa nimepewa, nilikuwa nakizungusha kiuno changu kama mbwa kichaa ambavyo huwa anakimbia hovyo mtaani, baada ya dakika arobaini nadhani alikuwa ameanza kuelemewa lakini sikumuachia tulienda mpaka masaa mawili akiwa hoi hawezi hata kunyanyuka ndio muda ambao mwili wangu uliweza kurudi kwenye hali yake na akili yangu iliweza kurudi kwa usahihi kama mwanzo.

6 nasema hapa ndo tamati

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 7......................

“Umenifanya nini Hemed?” niliuliza kwa mshangao baada ya kuona nipo uchi wa mnyama nikiwa naunyonya mhogo wake ni wazi nilionekana kuuhitaji tena
“Mimi ndiye ninaye paswa kukuuliza umekuwaje?” alinisimulia kila kitu namna nilivyo mfanyia mbele za watu kwa kumlazimisha na kama angeniacha pale basi nilikuwa nadhalilika, nilijua kuna ujanja amenifanyia lakini moyoni nilifurahia sana kwa sababu nilikuwa nina hamu ya zaidi ya miaka miwili na sikuwa nikijua kwamba ni mtu gani ambaye angeweza kunikata hiyo kiu. Nilijifanya kuchukia sana nikataka kwenda kuvaa nguo zangu nikiwa uchi wa mnyama lakini mwanaume alinivuta na kunirudisha kwake ambapo nilienda kuukalia mhogo wake ambao moja kwa moja ulimezwa na mdomo wangu wa asili unao wachanganya wanaume wote rijali hapa duniani.

“Tumefanya ukiwa haujielewi sasa nahitaji tufaidi kwenye huu uwanja ukiwa unajielewa kabisa” aisee kuna wanaume wanayajua mapenzi hapa duniani, nilipelekwa sehemu ambazo sikuwahi kufika hakuna sehemu ya kwenye mali yangu safi hiyo ambayo haikuguswa na yule mwanaume nilijikuta nampenda pale pale nilikuwa tayari hata kama siku hiyo hiyo angesema anioe
“Naomba unioe ni maneno ambayo yalinitoka wakati namalizia kufika kileleni kwa mara ya tatu tangu tuanze raundi ya pili nikiwa napiga makelele nikiyatoa machozi ya furaha kwenye macho yangu” alitabasamu tu na kunijibu

“Muda sio mrefu unaenda kuwa mke wangu halali kabisa wa ndoa mama usijali” maneno yake yalinipa furaha sana nikajikuta nasahau na maumivu ya nyuma. Siku zilienda tulikuwa tunafanya mapenzi kila tulipokutana na nilifurahia sana hicho kitu ilikuwa ikipita siku mbili sijafanya naye mapenzi basi siwezi kulala kwa amani ningeteseka sana siku hiyo. Lakini baadaye nikiwa ndo naanza kukolea sana kwa mwanaume huyo nilikuja kugundua kwamba ana mke na watoto wawili, nilimuuliza kistaarabu kwanini hakuniambia mapema alinijibu kistaarabu pia kwamba alinipenda sana hivyo aliogopa kama angeniambia mapema huenda angenikosa hivyo alikuwa anajipanga ili aje aniambie taratibu kama inawezekana niwe mkewe wa pili. Hilo ni jambo ambalo mimi sikuliafiki kabisa licha ya yeye kuwa tayari kunioa lakini dini yangu haikuniruhusu kuingia kwenye mitala hivyo nilikataa ila tukawa tunakutana tu nikiwa na hamu ya mapenzi akawa ananituliza mpaka pale nilipokuja kuzoea nikaamua kuendelea na maisha yangu mpaka sasa ni mwaka wa pili nipo mwenyewe tu bado sijaona mwanaume sahihi wa kuweza kuishi naye kama baba wa familia” nadhani alikuwa anastahili kupewa tuzo ya heshima ya mwana mapenzi bora wa mwaka kwa hadithi yake tamu sana ambayo huenda ungehisi unatazama ni tamthiliya nzuri sana ya kupendeza kwenye macho ya kila mtu ambaye aliyahusudu mapenzi.

“Laiti kama ungekuwa mwigizaji au kama ungetoa hadithi ya mapenzi hakuna hadithi ambayo ingeuza zaidi kuizidi hadithi yako, ni hadithi bora zaidi ya mapenzi ambayo mimi nimewahi kuisikia kwenye maisha yangu nikiwa niko hai na mzima wa afya kabisa, leo nimeelewa kwanini huna muda na wanaume licha ya wanaume wengi sana kuonyesha wazi kukuhitaji sana kwenye maisha yao, pole sana MUNGU akusaidie uweze nawewe kupata mwanaume bora wa kuweza kutengeneza naye maisha shoga yangu” Cecilia alikuwa amevutiwa sana na hadithi ya mwenzake baada ya kuipata yote sasa alikuwa analitoa gari lake hapo pembezoni na kulirudisha barabarani kuweza kuwahi nyumbani ikiwa ni nusu sasa nzima wamekaa hapo saa kumi na mbili za jioni kwa saa za nchi ya Tanzania.

“Kwahiyo ninavyo kushauri kumlinda mumeo kuwa makini sana usije ukasema hatukukwambia bibi eeh jiji lina wenyewe hili” walicheka kwa pamoja na kugongesheana mikono wakati huo Recho alikuwa ameshuka kwenye gari akiwa anaingia kwenye nyumba yake kubwa ya vyumba viwili ambayo alikuwa amepanga huku Cecilia akipaki gari yake na kutoa mizigo yake kuuingiza ndani kwa ajili ya chakula cha jioni ambapo alitegemea muda wowote ule mumewe angeweza kurudi.




Ni stori ambayo ilimgusa sana bwana Simon Benedict baada ya kuisikia kwa mke wake kuhusu Mikasa ambayo aliweza kuipitia bibie Recho kwenye maisha yake ya mapenzi, kilikuwa ni kisa cha kusisimua sana lakini pia kwa wakati huo huo kilikuwa ni kisa ambacho kilikuwa kinasikitisha sana na hayo ndiyo mapenzi ambayo yanaimbwa sana hapa duniani na yanawatokea sana wanadamu ambao ndio watu hasa wanayo yaishi hayo mapenzi yenyewe. Jioni moja kwenye Bar moja pembezoni kabisa kwa bara bara walikuwa wamekaa marafiki wawili wakiwa wanashauriana kuhusu maisha, ni watu ambao walikuwa wameivana sana kwa kila kitu, kwao maendeleo ndicho kitu ambacho walikipa nafasi kubwa sana, hawakuweza kuruhusu jambo lolote lisilokuwa linahusu maendeleo liweze kuingia kwenye vichwa vyao likaharibu mielekeo mizima ya maisha yao, ni vijana wa kisasa walikuwa lakini ni wale ambao wanajielewa na hawakuwa watu wa kuweza kuyumbishwa na watu wa hovyo hovyo kwenye maisha yao yote. Kwenye meza ya bar hiyo kulikuwa na kopo kubwa la maji likifuatiwa na chupa mbili za bia, Andrew na rafiki yake Simon ndio watu waliokuwa wamekaa hapo, Simon hakuwa mnywaji kabisa wa pombe kwani ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakizijali afya zao sana lakini kwa Andrew ilikuwa ni tofauti kidogo kwani alikuwa ni mtu ambaye ilikuwa lazima apate walau hata chupa mbili kwa siku ili akili yake iweze kukaa sawa japo hakuwa mtu ambaye alikuwa amezamia kwenye ulevi aliiamini sana kauli ya kunywa kistaarabu.

“Ndugu yangu ujana tulio nao huu ni maji ya moto sana ukicheza nayo vibaya hayawezi kukumbuka kwamba wewe ndiye uliyeweza kuyachemsha yatakuunguza tu, kwa umri ulio nao na mipango mikubwa uliyo nayo inakuhitaji uwe na mke ndugu yangu hawa wanawake wa mtaani mara leo upo na huyu na kesho upo na yule wanaweza wakakufikisha pabaya sana ndoto zako ukaziachia njiani” Bwana Simon alikuwa akiongea huku akiwa bize kunawa mikono yake kwani mishikaki ambayo walikuwa wameagiza pamoja na juisi ilikuwa imeletwa na mhudumu mmoja mrembo wa haja ambaye alikuwa kama kivutio kwa wateja wengi sana waliokuwa wakikatiza kwenye hiyo mitaa ilipokuwepo hiyo bar.

“Hilo nalijua vizuri sana rafiki yangu lakini wewe mwenyewe ni shahidi mkubwa sana kwa mambo ambayo yamewakuta baadhi ya marafiki zetu, walioa wanawake ambao wameyafanya maisha yao kuwa ya majuto kila siku wanayaishi kama vile wako jela, hicho kitu huwa kinanitisha mno aina ya wanawake waliopo kwa dunia ya leo ni changamoto kubwa sana, leo anakuja amevaa nguo za heshima sana siku ukimuweka ndani unaweza ukatamani ni bora hata ukaishi na jini, mapenzi ni mazuri sana ila mapenzi ndicho kitu kibaya sana kwenye maisha ya binadamu kwa wakati huo huo kwahiyo kwangu mimi huwa nahisi kabisa kwamba sijamuona bado mwanamke wa kuweza kuingia kwenye mifumo ya maisha yangu ili niweze kumuweka ndani nikamuita sasa huyu ndiye mke wangu wa ndoa hicho kitu nakiogopa mno ndugu yangu” Maneno ya Andrew yalionyesha wazi ni mtu ambaye alisha jikatia tamaa kabisa kuhusu kitu kinacho itwa mapenzi kwenye maisha yake ndiyo sababu iliyoweza kumfanya mpaka akawa anaongea kinyonge sana mbele ya rafiki yake huyo.

“Grace najua ndilo jina linalo katiza kwenye fikra zako kila unapowaza neno ndoa na kila unapo waona wanawake wakipita mbele yako, ni maumivu makali sana ambayo nayajua uliyapitia siku ile baada ya kumsubiri yule mwanamke siku ile kwenye ile hoteli ambayo ulilipia pesa nyingi sana ili uje kumvalisha pete mwanamke ambaye ulimpenda sana kwenye maisha yako, ujio wake akiwa ameongozana na mwanaume mwingine ambaye kwa mara ya kwanza ulidhani atakuwa ni ndugu yake labda ndio uliofanya mpaka ukawachukia wanawake wote duniani. Maneno makali tena akilambana midomo na yule mwanaume mbele yako kwenye siku ambayo ulijipanga kumtambulisha rasmi kama mkeo mtarajiwa ndivyo vilivyo ikata mishipa yako ya kuamini kitu kinaitwa mapenzi hapa duniani lakini unatakiwa ukumbuke sana sio kila Grace ni mwepesi na sio kila mwanamke ni Grace, hii dunia imeumbwa kwa nafsi tofauti sana zenye tabia tofauti kabisa hata kama mngezaliwa tumbo moja lazima mtatofautiana tu, acha kuwahukumu wanawake wote wakati kuna wanawake kila siku wanalilia na kuwajali wanaume kwa kila kitu lakini hao hao wanaume ndio wanao waumiza watoto wa kike ndiyo sababu ukifuatilia kwa umakini wanaume ndio tunao ongoza kuumiza sana wanawake kwenye mapenzi.


Ebu mpe neno moja bwana Andrew

7 tunaishia hapa na kisa cha wahanga wa mapenzi hawa tukutane sehemu ya 8 ambayo ndiyo kurasa Bora zaidi ndani ya simulizi hii fupi, utajifunza mambo mengi sana kuhusu mapenzi muda utakuwa refa mzuri wa kuamua sehemu hiyo iletwe muda gani.

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 7......................

“Umenifanya nini Hemed?” niliuliza kwa mshangao baada ya kuona nipo uchi wa mnyama nikiwa naunyonya mhogo wake ni wazi nilionekana kuuhitaji tena
“Mimi ndiye ninaye paswa kukuuliza umekuwaje?” alinisimulia kila kitu namna nilivyo mfanyia mbele za watu kwa kumlazimisha na kama angeniacha pale basi nilikuwa nadhalilika, nilijua kuna ujanja amenifanyia lakini moyoni nilifurahia sana kwa sababu nilikuwa nina hamu ya zaidi ya miaka miwili na sikuwa nikijua kwamba ni mtu gani ambaye angeweza kunikata hiyo kiu. Nilijifanya kuchukia sana nikataka kwenda kuvaa nguo zangu nikiwa uchi wa mnyama lakini mwanaume alinivuta na kunirudisha kwake ambapo nilienda kuukalia mhogo wake ambao moja kwa moja ulimezwa na mdomo wangu wa asili unao wachanganya wanaume wote rijali hapa duniani.

“Tumefanya ukiwa haujielewi sasa nahitaji tufaidi kwenye huu uwanja ukiwa unajielewa kabisa” aisee kuna wanaume wanayajua mapenzi hapa duniani, nilipelekwa sehemu ambazo sikuwahi kufika hakuna sehemu ya kwenye mali yangu safi hiyo ambayo haikuguswa na yule mwanaume nilijikuta nampenda pale pale nilikuwa tayari hata kama siku hiyo hiyo angesema anioe
“Naomba unioe ni maneno ambayo yalinitoka wakati namalizia kufika kileleni kwa mara ya tatu tangu tuanze raundi ya pili nikiwa napiga makelele nikiyatoa machozi ya furaha kwenye macho yangu” alitabasamu tu na kunijibu

“Muda sio mrefu unaenda kuwa mke wangu halali kabisa wa ndoa mama usijali” maneno yake yalinipa furaha sana nikajikuta nasahau na maumivu ya nyuma. Siku zilienda tulikuwa tunafanya mapenzi kila tulipokutana na nilifurahia sana hicho kitu ilikuwa ikipita siku mbili sijafanya naye mapenzi basi siwezi kulala kwa amani ningeteseka sana siku hiyo. Lakini baadaye nikiwa ndo naanza kukolea sana kwa mwanaume huyo nilikuja kugundua kwamba ana mke na watoto wawili, nilimuuliza kistaarabu kwanini hakuniambia mapema alinijibu kistaarabu pia kwamba alinipenda sana hivyo aliogopa kama angeniambia mapema huenda angenikosa hivyo alikuwa anajipanga ili aje aniambie taratibu kama inawezekana niwe mkewe wa pili. Hilo ni jambo ambalo mimi sikuliafiki kabisa licha ya yeye kuwa tayari kunioa lakini dini yangu haikuniruhusu kuingia kwenye mitala hivyo nilikataa ila tukawa tunakutana tu nikiwa na hamu ya mapenzi akawa ananituliza mpaka pale nilipokuja kuzoea nikaamua kuendelea na maisha yangu mpaka sasa ni mwaka wa pili nipo mwenyewe tu bado sijaona mwanaume sahihi wa kuweza kuishi naye kama baba wa familia” nadhani alikuwa anastahili kupewa tuzo ya heshima ya mwana mapenzi bora wa mwaka kwa hadithi yake tamu sana ambayo huenda ungehisi unatazama ni tamthiliya nzuri sana ya kupendeza kwenye macho ya kila mtu ambaye aliyahusudu mapenzi.

“Laiti kama ungekuwa mwigizaji au kama ungetoa hadithi ya mapenzi hakuna hadithi ambayo ingeuza zaidi kuizidi hadithi yako, ni hadithi bora zaidi ya mapenzi ambayo mimi nimewahi kuisikia kwenye maisha yangu nikiwa niko hai na mzima wa afya kabisa, leo nimeelewa kwanini huna muda na wanaume licha ya wanaume wengi sana kuonyesha wazi kukuhitaji sana kwenye maisha yao, pole sana MUNGU akusaidie uweze nawewe kupata mwanaume bora wa kuweza kutengeneza naye maisha shoga yangu” Cecilia alikuwa amevutiwa sana na hadithi ya mwenzake baada ya kuipata yote sasa alikuwa analitoa gari lake hapo pembezoni na kulirudisha barabarani kuweza kuwahi nyumbani ikiwa ni nusu sasa nzima wamekaa hapo saa kumi na mbili za jioni kwa saa za nchi ya Tanzania.

“Kwahiyo ninavyo kushauri kumlinda mumeo kuwa makini sana usije ukasema hatukukwambia bibi eeh jiji lina wenyewe hili” walicheka kwa pamoja na kugongesheana mikono wakati huo Recho alikuwa ameshuka kwenye gari akiwa anaingia kwenye nyumba yake kubwa ya vyumba viwili ambayo alikuwa amepanga huku Cecilia akipaki gari yake na kutoa mizigo yake kuuingiza ndani kwa ajili ya chakula cha jioni ambapo alitegemea muda wowote ule mumewe angeweza kurudi.




Ni stori ambayo ilimgusa sana bwana Simon Benedict baada ya kuisikia kwa mke wake kuhusu Mikasa ambayo aliweza kuipitia bibie Recho kwenye maisha yake ya mapenzi, kilikuwa ni kisa cha kusisimua sana lakini pia kwa wakati huo huo kilikuwa ni kisa ambacho kilikuwa kinasikitisha sana na hayo ndiyo mapenzi ambayo yanaimbwa sana hapa duniani na yanawatokea sana wanadamu ambao ndio watu hasa wanayo yaishi hayo mapenzi yenyewe. Jioni moja kwenye Bar moja pembezoni kabisa kwa bara bara walikuwa wamekaa marafiki wawili wakiwa wanashauriana kuhusu maisha, ni watu ambao walikuwa wameivana sana kwa kila kitu, kwao maendeleo ndicho kitu ambacho walikipa nafasi kubwa sana, hawakuweza kuruhusu jambo lolote lisilokuwa linahusu maendeleo liweze kuingia kwenye vichwa vyao likaharibu mielekeo mizima ya maisha yao, ni vijana wa kisasa walikuwa lakini ni wale ambao wanajielewa na hawakuwa watu wa kuweza kuyumbishwa na watu wa hovyo hovyo kwenye maisha yao yote. Kwenye meza ya bar hiyo kulikuwa na kopo kubwa la maji likifuatiwa na chupa mbili za bia, Andrew na rafiki yake Simon ndio watu waliokuwa wamekaa hapo, Simon hakuwa mnywaji kabisa wa pombe kwani ni miongoni mwa watu ambao walikuwa wakizijali afya zao sana lakini kwa Andrew ilikuwa ni tofauti kidogo kwani alikuwa ni mtu ambaye ilikuwa lazima apate walau hata chupa mbili kwa siku ili akili yake iweze kukaa sawa japo hakuwa mtu ambaye alikuwa amezamia kwenye ulevi aliiamini sana kauli ya kunywa kistaarabu.

“Ndugu yangu ujana tulio nao huu ni maji ya moto sana ukicheza nayo vibaya hayawezi kukumbuka kwamba wewe ndiye uliyeweza kuyachemsha yatakuunguza tu, kwa umri ulio nao na mipango mikubwa uliyo nayo inakuhitaji uwe na mke ndugu yangu hawa wanawake wa mtaani mara leo upo na huyu na kesho upo na yule wanaweza wakakufikisha pabaya sana ndoto zako ukaziachia njiani” Bwana Simon alikuwa akiongea huku akiwa bize kunawa mikono yake kwani mishikaki ambayo walikuwa wameagiza pamoja na juisi ilikuwa imeletwa na mhudumu mmoja mrembo wa haja ambaye alikuwa kama kivutio kwa wateja wengi sana waliokuwa wakikatiza kwenye hiyo mitaa ilipokuwepo hiyo bar.

“Hilo nalijua vizuri sana rafiki yangu lakini wewe mwenyewe ni shahidi mkubwa sana kwa mambo ambayo yamewakuta baadhi ya marafiki zetu, walioa wanawake ambao wameyafanya maisha yao kuwa ya majuto kila siku wanayaishi kama vile wako jela, hicho kitu huwa kinanitisha mno aina ya wanawake waliopo kwa dunia ya leo ni changamoto kubwa sana, leo anakuja amevaa nguo za heshima sana siku ukimuweka ndani unaweza ukatamani ni bora hata ukaishi na jini, mapenzi ni mazuri sana ila mapenzi ndicho kitu kibaya sana kwenye maisha ya binadamu kwa wakati huo huo kwahiyo kwangu mimi huwa nahisi kabisa kwamba sijamuona bado mwanamke wa kuweza kuingia kwenye mifumo ya maisha yangu ili niweze kumuweka ndani nikamuita sasa huyu ndiye mke wangu wa ndoa hicho kitu nakiogopa mno ndugu yangu” Maneno ya Andrew yalionyesha wazi ni mtu ambaye alisha jikatia tamaa kabisa kuhusu kitu kinacho itwa mapenzi kwenye maisha yake ndiyo sababu iliyoweza kumfanya mpaka akawa anaongea kinyonge sana mbele ya rafiki yake huyo.

“Grace najua ndilo jina linalo katiza kwenye fikra zako kila unapowaza neno ndoa na kila unapo waona wanawake wakipita mbele yako, ni maumivu makali sana ambayo nayajua uliyapitia siku ile baada ya kumsubiri yule mwanamke siku ile kwenye ile hoteli ambayo ulilipia pesa nyingi sana ili uje kumvalisha pete mwanamke ambaye ulimpenda sana kwenye maisha yako, ujio wake akiwa ameongozana na mwanaume mwingine ambaye kwa mara ya kwanza ulidhani atakuwa ni ndugu yake labda ndio uliofanya mpaka ukawachukia wanawake wote duniani. Maneno makali tena akilambana midomo na yule mwanaume mbele yako kwenye siku ambayo ulijipanga kumtambulisha rasmi kama mkeo mtarajiwa ndivyo vilivyo ikata mishipa yako ya kuamini kitu kinaitwa mapenzi hapa duniani lakini unatakiwa ukumbuke sana sio kila Grace ni mwepesi na sio kila mwanamke ni Grace, hii dunia imeumbwa kwa nafsi tofauti sana zenye tabia tofauti kabisa hata kama mngezaliwa tumbo moja lazima mtatofautiana tu, acha kuwahukumu wanawake wote wakati kuna wanawake kila siku wanalilia na kuwajali wanaume kwa kila kitu lakini hao hao wanaume ndio wanao waumiza watoto wa kike ndiyo sababu ukifuatilia kwa umakini wanaume ndio tunao ongoza kuumiza sana wanawake kwenye mapenzi.


Ebu mpe neno moja bwana Andrew

7 tunaishia hapa na kisa cha wahanga wa mapenzi hawa tukutane sehemu ya 8 ambayo ndiyo kurasa Bora zaidi ndani ya simulizi hii fupi, utajifunza mambo mengi sana kuhusu mapenzi muda utakuwa refa mzuri wa kuamua sehemu hiyo iletwe muda gani.

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 8......................


Sikiliza nikueleze kitu rafiki yangu kuchelewa kuoa sana haimaanishi kwamba ndiyo utampata mwanamke sahihi kwenye maisha yako, wanawake unao waona mtaani ndio hao hao wapo kwenye dunia ya leo una vitu vitatu vikubwa sana vya kuvifanya badala ya kulalamika kila siku kwamba wanawake hawaeleweki. Chakwanza linapokuja suala la kuoa hapo kinacho tumika sana ni mambo ya imani, dini huwa inachukua nafasi yake kwa kiasi kikubwa sana jitahidi umuombe MUNGU sana kwa kila namna aweze kukupatia mke aliye bora hata kama sio muumini mkubwa wa haya mambo ila ndoa ni kitu nyeti sana kwenye maisha ya binadamu yeyote yule, kitu cha pili ni kutuliza akili na kutumia muda wa kutosha kwenye kumtafuta mwanamke huyo ambaye unahitaji kumuoa, uzuri wa mtu ni mhimu sana kwenye macho ila hakikisha hiyo sio sababu ya pekee ambayo itakufanya uingie kwenye ndoa utakuja kulia saaana baadae, wekeza muda wa kutosha umjue mtu wako kwa kila kitu, lakini kitu cha tatu ni kukubali kuyapokea madhaifu yake na kujaribu kumfanya kuwa mwanamke unaye mtaka wewe, hawa ni viumbe wadhaifu mno sehemu kubwa ya maisha yao huwa wanafanya maamuzi kulingana na aina ya wanaume walio nao kwahiyo tabia zako ndizo zitakazo mfanya awe kwa namna wewe utakavyo mzoesha, kuwa makini sana” maneno yenye busara lakini yakiwa yanatoka kwenye kinywa kilichokuwa kinamaanisha sana kutoka kwa Simon kwenda kwa rafiki yake Andrew yaliweza kumuingia rafiki yake kwa usahihi mkubwa sana japokuwa baada ya kumaliza tu kuyatamka Simon hata hakuaga alibeba simu yake na kuondoka kumaanisha kwamba alikuwa anamaanisha sana alichokuwa amekiongea, rafiki yake alibaki mwenyewe akiwaza sana kuhusu maneno mazuri sana ambayo alikuwa ameyapata kutoka kwa rafiki wa maisha yake huyo alimshukuru sana MUNGU kumletea rafiki kama huyo kwenye maisha yake.

Mipango ya maisha ndicho kitu kikubwa ambacho huwa kinafuata kwenye familia yoyote ile baada ya kumalizana na suala zima la ndoa, hiyo ndiyo silaha kubwa ya familia yoyote ile yenye mafanikio makubwa. Bwana Simon na mke wake walikaa mezani kuiandika mipango ya maisha yao kwa usahihi wazo lililokuwa limepitishwa ni kuhusu kuijenga nyumba yao wenyewe ili waweze kuondoka kwenye nyumba hiyo ya kupanga. Shilingi milioni miatano ndicho kiasi ambacho kilitakiwa kutafutwa na kukusanywa ili waweze kuipata moja ya nyumba kubwa ambayo ingeenda kukamilisha nusu ya ndoto zao na ndiyo sababu kubwa ambayo iliwafanya wasiwe na haraka sana ya kuweza kupata watoto ili kujipa zaidi muda wa kuyajenga maisha yaliyokuwa bora kwao.

Bwana Simon alikuwa ni mtu mwenye kuwajibika sana linapokuja suala ya mkewe, alimpa kila kitu, hakuna kitu mkewe alimuomba akamnyima alimfanya mwanamke huyo kuishi kama malkia ndani ya hili jiji kubwa. Pesa ya kujengea nyumba yao kutokana na Simon kuwa na baadhi ya majukumu mengi ikiwemo ya kuisaidia familia yake na ndugu wengine aliamua kwamba pesa hizo ziwekwe kwenye akaunti ya benki mpya ambayo ingesimamiwa na mkewe.

“Kosa la imani ndicho kitu ambacho kinawaliza watu wengi sana mpaka inafikia hatua ya kuweza kutengeneza uadui mkubwa sana pamoja na kuchukiana sana baina ya watu ambao huenda wana historia kubwa nyuma ya mapenzi. Vita nyingi za mapenzi duniani vyanzo vyake ni makosa makubwa sana ambayo yanatengenezwa kwa imani ambazo binadamu huwa tunaziweke kichwani, haimaanishi kwamba usiwe na imani na mtu ambaye unampenda hapana ila jitahidi sana usiweke imani kubwa wala kuwa na matarajio makubwa mbele ya kiumbe ambaye alizaliwa na mwanamke, binadamu ni kiumbe dhaifu sana ambaye anaweza kuuondoa msimamo wake kwa kitu kidogo au neno moja tu na hilo ndilo tatizo kubwa sana ambalo linazua vilio kwa watu wengi sana hapa duniani siku hizi. Watu wanategemea makubwa sana kupita kiwango ndio maana baadaye mtu huyo asipo kifikia kile kiwango ambacho walikuwa wanakitegemea wao huwa wanaumia wao na ndipo hapo maumivu ya mapenzi yanapo zalishwa”

“Sasa kama makosa ya imani yanawafanya watu waumie sana kiasi hicho tuamini kipi sasa kwenye mapenzi (aliniangalia akicheka kidogo kisha akalijibu swali langu)”

“Chakwanza kwenye mapenzi hakikisha unauamini sana moyo wako ila maamuzi hakikisha unayafanya kwa kichwa chako. Hii sentensi watu wengi sana huwa wanashindwa kuielewa vizuri, ni kwamba moyo huwa una matamanio sana ndio maana huwa ukichagua kitu utang’ang’ania sana kwa vile macho yameupelekea taarifa hivyo kama ukaupa nafasi kubwa moyo kufanya maamuzi basi hatari ya wewe kuja kuyapata maumivu ni kubwa sana kwani sehemu inayo zalisha maumivu kwenye mwili wa binadamu ndio hiyo hiyo inayo zalisha maumivu ya mapenzi hivyo taarifa huwa inasafiri haraka sana kutoka kwenye sehemu hiyo ya ubongo ambayo ndiyo inayo zalisha hayo maumivu kuyapeleka kwenye moyo ambapo ndipo hapo utamsikia mtu akilia kwa sababu ya mapenzi maumivu anayokuwa anayapitia hapo huwezi hata kuyasimulia. Akili inapaswa sana kutumika hata kama hicho kitu moyo unakipitisha kuna muda maumivu ya muda mfupi yenye amani ni mhimu sana kuliko furaha ya muda mfupi yenye maumivu makali sana ya muda mrefu. Lakini kitu cha pili ni kuwa na matarajio ya kufikirika sana, unajua sisi binadamu huwa ni wabinafsi sana watu wengi wanayatafuta sana mapenzi ili wapewe furaha kubwa wakijisahau kwamba nawao inabidi watoe furaha kubwa pia kwa watu wengine huo ndio huwa mwanzo wa watu kuwa na matarajio ya kupata mambo makubwa kutoka kwa wapendwa wao huku wakijisahau kwamba watu hao nao ni wanadamu wa kawaida sana ambao wana makosa kama wao, hakuna binadamu aliye kamili ndiyo maana hakuna mtu anaweza akatimiza matarajio yako kwa asilimia unazo zitaka wewe na hapo ndipo mifarakano huwa inaanza kwenye mapenzi na kuzalisha ubaya ambao mwisho wake huwa ni kuumizana na kuvunjana mioyo bila sababu zozote zile za msingi”

“Kama ni hivyo sasa kwanini watu wanapenda na kuumia?”

“Mhhhhhhh umri wako bado mdogo sana kuuliza baadhi ya mambo ukiwa mkubwa siku moja nitakuja nikuelezee kwa usahihi sana ila unapaswa ujue kwamba hata hizo kamusi kwa kiingereza wanazoziita dictionary ambazo watu huwa wanaziamini sana kwenye kupata maana halisi ya karibia kila neno ambalo lipo hapa duniani lakini wameshinda kutoa maana ya moja kwa moja kuhusu neno Mapenzi, mapenzi ni nini? ni swali ambalo kila mwanadamu huwa ana tafsiri yake kulingana na yeye anavyo yaishi mapenzi. Hiyo inakupa maana ndogo ya kwamba hakuna sababu ya msingi ya kukipenda kitu, ukiona unakipenda kitu kwa sababu fulani basi ujue wazi umekitamani ikija kutokea siku moja hiyo sababu iliyokufanya ukakipenda ikatoweka basi hautakipenda tena kwenye maisha yako, (alitabasamu sana baada ya kuniona nimeduwaa kwa yale maelezo yake), watu wanaumia kwa sababu hawajui mapenzi ni nini hiyo ndiyo sababu kubwa” ni majibizano ambayo nayakumbuka vizuri sana kati yangu mimi na mwalimu wangu mmoja wa FEMA CLUB wakati nipo kidato cha kwanza, siku hiyo maada ilikuwa inahusu somo la mahusiano ambalo mimi ndiye nilikuwa kinara wa kuuliza hayo maswali wakati mwalimu wangu huyo ambaye mpaka leo huwa namkumbuka sana alikuwa akitoa somo kubwa sana la mpenzi kupitia maswali yangu wakati wanafunzi wengine wakiwa wametulia kimya kuweza kufurahia somo hilo ambalo lilikuwa ni somo la ziada tu kwa ajili ya kuwafundisha vijana maisha halisia ambayo wanaenda kuyaishi mtaani wanapo enda kuendelea na maisha mengine huko. Baada ya kunijibu hilo swali alikusanya chaki zake na kidaftari chake ambacho kilionekana kutunziwa kumbu kumbu za mhimu sana huku usoni kwake akiwa amelichanua tabasamu ambalo lilimfanya aonekane kuwa mtu mwenye furaha sana kwenye maisha yake.


Hiyo ndiyo sababu kubwa ambayo ilinifanya nikaanza kuyaogopa na kuyaheshimu sana mapenzi hapa duniani, nikiwa kama mtu ambaye nililishuhudia kwa ukaribu sana tukio la harusi ya bwana Simon Benedict na mkewe mrembo Cecilia Ambrose nilianza kuingiwa na wasi wasi sana na ndoa yao sio kwa sababu walikuwa labda wanagombana au kuna hata mmoja ambaye alikuwa akichepuka nje ya ndoa kwa wakati huo hapana, nilikuwa na elimu ya kutosha kuhusu mapenzi niliwaonea huruma kwa sababu walikuwa na matarajio makubwa sana kati yao, kuna vitu ambavyo binadamu hawezi kuvitimiza hata afanyaje hivyo imani kiasi ndicho kitu kinacho hitajika kwenye mapenzi ili kupunguza athari kubwa ambazo zinaweza kutokea kwa baadaye kama mambo yakienda nje na matarajio ambayo huwa yanawekwa kwenye mapenzi. Inawezekana alikuwa sahihi ila kama mwanaume huenda alikurupuka sana kumpa nafasi kubwa sana mkewe namna hiyo ya kumruhusu kuimiliki akaunti ambayo ndiyo ingetegemewa kwenye kwenda kuitengeneza nyumba yao kwa ajili ya familia yao.

Ni kosa gani kubwa uliwahi kulifanya kwenye mapenzi ambalo limekufanya ujutie mpaka leo?

Na uniambie mpaka hapa ni kitu gani umejifunza kwenye maisha na mapenzi kwa ujumla?

Binafsi nadhani umepata somo kubwa sana kuhusu mapenzi na imani ya mahusiano

Sehemu ya 8 tupumzike kidogo

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 8......................


Sikiliza nikueleze kitu rafiki yangu kuchelewa kuoa sana haimaanishi kwamba ndiyo utampata mwanamke sahihi kwenye maisha yako, wanawake unao waona mtaani ndio hao hao wapo kwenye dunia ya leo una vitu vitatu vikubwa sana vya kuvifanya badala ya kulalamika kila siku kwamba wanawake hawaeleweki. Chakwanza linapokuja suala la kuoa hapo kinacho tumika sana ni mambo ya imani, dini huwa inachukua nafasi yake kwa kiasi kikubwa sana jitahidi umuombe MUNGU sana kwa kila namna aweze kukupatia mke aliye bora hata kama sio muumini mkubwa wa haya mambo ila ndoa ni kitu nyeti sana kwenye maisha ya binadamu yeyote yule, kitu cha pili ni kutuliza akili na kutumia muda wa kutosha kwenye kumtafuta mwanamke huyo ambaye unahitaji kumuoa, uzuri wa mtu ni mhimu sana kwenye macho ila hakikisha hiyo sio sababu ya pekee ambayo itakufanya uingie kwenye ndoa utakuja kulia saaana baadae, wekeza muda wa kutosha umjue mtu wako kwa kila kitu, lakini kitu cha tatu ni kukubali kuyapokea madhaifu yake na kujaribu kumfanya kuwa mwanamke unaye mtaka wewe, hawa ni viumbe wadhaifu mno sehemu kubwa ya maisha yao huwa wanafanya maamuzi kulingana na aina ya wanaume walio nao kwahiyo tabia zako ndizo zitakazo mfanya awe kwa namna wewe utakavyo mzoesha, kuwa makini sana” maneno yenye busara lakini yakiwa yanatoka kwenye kinywa kilichokuwa kinamaanisha sana kutoka kwa Simon kwenda kwa rafiki yake Andrew yaliweza kumuingia rafiki yake kwa usahihi mkubwa sana japokuwa baada ya kumaliza tu kuyatamka Simon hata hakuaga alibeba simu yake na kuondoka kumaanisha kwamba alikuwa anamaanisha sana alichokuwa amekiongea, rafiki yake alibaki mwenyewe akiwaza sana kuhusu maneno mazuri sana ambayo alikuwa ameyapata kutoka kwa rafiki wa maisha yake huyo alimshukuru sana MUNGU kumletea rafiki kama huyo kwenye maisha yake.

Mipango ya maisha ndicho kitu kikubwa ambacho huwa kinafuata kwenye familia yoyote ile baada ya kumalizana na suala zima la ndoa, hiyo ndiyo silaha kubwa ya familia yoyote ile yenye mafanikio makubwa. Bwana Simon na mke wake walikaa mezani kuiandika mipango ya maisha yao kwa usahihi wazo lililokuwa limepitishwa ni kuhusu kuijenga nyumba yao wenyewe ili waweze kuondoka kwenye nyumba hiyo ya kupanga. Shilingi milioni miatano ndicho kiasi ambacho kilitakiwa kutafutwa na kukusanywa ili waweze kuipata moja ya nyumba kubwa ambayo ingeenda kukamilisha nusu ya ndoto zao na ndiyo sababu kubwa ambayo iliwafanya wasiwe na haraka sana ya kuweza kupata watoto ili kujipa zaidi muda wa kuyajenga maisha yaliyokuwa bora kwao.

Bwana Simon alikuwa ni mtu mwenye kuwajibika sana linapokuja suala ya mkewe, alimpa kila kitu, hakuna kitu mkewe alimuomba akamnyima alimfanya mwanamke huyo kuishi kama malkia ndani ya hili jiji kubwa. Pesa ya kujengea nyumba yao kutokana na Simon kuwa na baadhi ya majukumu mengi ikiwemo ya kuisaidia familia yake na ndugu wengine aliamua kwamba pesa hizo ziwekwe kwenye akaunti ya benki mpya ambayo ingesimamiwa na mkewe.

“Kosa la imani ndicho kitu ambacho kinawaliza watu wengi sana mpaka inafikia hatua ya kuweza kutengeneza uadui mkubwa sana pamoja na kuchukiana sana baina ya watu ambao huenda wana historia kubwa nyuma ya mapenzi. Vita nyingi za mapenzi duniani vyanzo vyake ni makosa makubwa sana ambayo yanatengenezwa kwa imani ambazo binadamu huwa tunaziweke kichwani, haimaanishi kwamba usiwe na imani na mtu ambaye unampenda hapana ila jitahidi sana usiweke imani kubwa wala kuwa na matarajio makubwa mbele ya kiumbe ambaye alizaliwa na mwanamke, binadamu ni kiumbe dhaifu sana ambaye anaweza kuuondoa msimamo wake kwa kitu kidogo au neno moja tu na hilo ndilo tatizo kubwa sana ambalo linazua vilio kwa watu wengi sana hapa duniani siku hizi. Watu wanategemea makubwa sana kupita kiwango ndio maana baadaye mtu huyo asipo kifikia kile kiwango ambacho walikuwa wanakitegemea wao huwa wanaumia wao na ndipo hapo maumivu ya mapenzi yanapo zalishwa”

“Sasa kama makosa ya imani yanawafanya watu waumie sana kiasi hicho tuamini kipi sasa kwenye mapenzi (aliniangalia akicheka kidogo kisha akalijibu swali langu)”

“Chakwanza kwenye mapenzi hakikisha unauamini sana moyo wako ila maamuzi hakikisha unayafanya kwa kichwa chako. Hii sentensi watu wengi sana huwa wanashindwa kuielewa vizuri, ni kwamba moyo huwa una matamanio sana ndio maana huwa ukichagua kitu utang’ang’ania sana kwa vile macho yameupelekea taarifa hivyo kama ukaupa nafasi kubwa moyo kufanya maamuzi basi hatari ya wewe kuja kuyapata maumivu ni kubwa sana kwani sehemu inayo zalisha maumivu kwenye mwili wa binadamu ndio hiyo hiyo inayo zalisha maumivu ya mapenzi hivyo taarifa huwa inasafiri haraka sana kutoka kwenye sehemu hiyo ya ubongo ambayo ndiyo inayo zalisha hayo maumivu kuyapeleka kwenye moyo ambapo ndipo hapo utamsikia mtu akilia kwa sababu ya mapenzi maumivu anayokuwa anayapitia hapo huwezi hata kuyasimulia. Akili inapaswa sana kutumika hata kama hicho kitu moyo unakipitisha kuna muda maumivu ya muda mfupi yenye amani ni mhimu sana kuliko furaha ya muda mfupi yenye maumivu makali sana ya muda mrefu. Lakini kitu cha pili ni kuwa na matarajio ya kufikirika sana, unajua sisi binadamu huwa ni wabinafsi sana watu wengi wanayatafuta sana mapenzi ili wapewe furaha kubwa wakijisahau kwamba nawao inabidi watoe furaha kubwa pia kwa watu wengine huo ndio huwa mwanzo wa watu kuwa na matarajio ya kupata mambo makubwa kutoka kwa wapendwa wao huku wakijisahau kwamba watu hao nao ni wanadamu wa kawaida sana ambao wana makosa kama wao, hakuna binadamu aliye kamili ndiyo maana hakuna mtu anaweza akatimiza matarajio yako kwa asilimia unazo zitaka wewe na hapo ndipo mifarakano huwa inaanza kwenye mapenzi na kuzalisha ubaya ambao mwisho wake huwa ni kuumizana na kuvunjana mioyo bila sababu zozote zile za msingi”

“Kama ni hivyo sasa kwanini watu wanapenda na kuumia?”

“Mhhhhhhh umri wako bado mdogo sana kuuliza baadhi ya mambo ukiwa mkubwa siku moja nitakuja nikuelezee kwa usahihi sana ila unapaswa ujue kwamba hata hizo kamusi kwa kiingereza wanazoziita dictionary ambazo watu huwa wanaziamini sana kwenye kupata maana halisi ya karibia kila neno ambalo lipo hapa duniani lakini wameshinda kutoa maana ya moja kwa moja kuhusu neno Mapenzi, mapenzi ni nini? ni swali ambalo kila mwanadamu huwa ana tafsiri yake kulingana na yeye anavyo yaishi mapenzi. Hiyo inakupa maana ndogo ya kwamba hakuna sababu ya msingi ya kukipenda kitu, ukiona unakipenda kitu kwa sababu fulani basi ujue wazi umekitamani ikija kutokea siku moja hiyo sababu iliyokufanya ukakipenda ikatoweka basi hautakipenda tena kwenye maisha yako, (alitabasamu sana baada ya kuniona nimeduwaa kwa yale maelezo yake), watu wanaumia kwa sababu hawajui mapenzi ni nini hiyo ndiyo sababu kubwa” ni majibizano ambayo nayakumbuka vizuri sana kati yangu mimi na mwalimu wangu mmoja wa FEMA CLUB wakati nipo kidato cha kwanza, siku hiyo maada ilikuwa inahusu somo la mahusiano ambalo mimi ndiye nilikuwa kinara wa kuuliza hayo maswali wakati mwalimu wangu huyo ambaye mpaka leo huwa namkumbuka sana alikuwa akitoa somo kubwa sana la mpenzi kupitia maswali yangu wakati wanafunzi wengine wakiwa wametulia kimya kuweza kufurahia somo hilo ambalo lilikuwa ni somo la ziada tu kwa ajili ya kuwafundisha vijana maisha halisia ambayo wanaenda kuyaishi mtaani wanapo enda kuendelea na maisha mengine huko. Baada ya kunijibu hilo swali alikusanya chaki zake na kidaftari chake ambacho kilionekana kutunziwa kumbu kumbu za mhimu sana huku usoni kwake akiwa amelichanua tabasamu ambalo lilimfanya aonekane kuwa mtu mwenye furaha sana kwenye maisha yake.


Hiyo ndiyo sababu kubwa ambayo ilinifanya nikaanza kuyaogopa na kuyaheshimu sana mapenzi hapa duniani, nikiwa kama mtu ambaye nililishuhudia kwa ukaribu sana tukio la harusi ya bwana Simon Benedict na mkewe mrembo Cecilia Ambrose nilianza kuingiwa na wasi wasi sana na ndoa yao sio kwa sababu walikuwa labda wanagombana au kuna hata mmoja ambaye alikuwa akichepuka nje ya ndoa kwa wakati huo hapana, nilikuwa na elimu ya kutosha kuhusu mapenzi niliwaonea huruma kwa sababu walikuwa na matarajio makubwa sana kati yao, kuna vitu ambavyo binadamu hawezi kuvitimiza hata afanyaje hivyo imani kiasi ndicho kitu kinacho hitajika kwenye mapenzi ili kupunguza athari kubwa ambazo zinaweza kutokea kwa baadaye kama mambo yakienda nje na matarajio ambayo huwa yanawekwa kwenye mapenzi. Inawezekana alikuwa sahihi ila kama mwanaume huenda alikurupuka sana kumpa nafasi kubwa sana mkewe namna hiyo ya kumruhusu kuimiliki akaunti ambayo ndiyo ingetegemewa kwenye kwenda kuitengeneza nyumba yao kwa ajili ya familia yao.

Ni kosa gani kubwa uliwahi kulifanya kwenye mapenzi ambalo limekufanya ujutie mpaka leo?

Na uniambie mpaka hapa ni kitu gani umejifunza kwenye maisha na mapenzi kwa ujumla?

Binafsi nadhani umepata somo kubwa sana kuhusu mapenzi na imani ya mahusiano

Sehemu ya 8 tupumzike kidogo

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 9......................



Siku hazisimami, masaa yanasogea wiki zinakatika na miezi inasonga, ndoa ilikuwa na furaha sana Cecilia sasa alikuwa mwenyeji kabisa ndani ya jiji la Dar es salaam maisha yalikuwa mazuri mno kwa upande wa familia yake yeye pamoja na kwa rafiki yake Recho ambaye mpaka muda huo hakuwa na mwanaume yeyote yule kwa kudai kwamba bado hakuwa amempata mwanaume ambaye angeona kwamba anamfaa kwa kuanzisha naye maisha nadhani sababu ya msingi alikuwa nayo yeye mwenyewe. Mpaka muda huo pesa ambayo ilikuwa ipo kwenye mikono ya Cecilia kama akiba kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yao mpya ambao walitarajia kuuanza mwaka ambao ungefuatia ilikuwa ni milioni mia mbili za kitanzania, ni wikiendi moja majira ya jioni kidogo kwenye hoteli moja kubwa sana maeneo ya Mbezi beach, kama kawaida ya maeneo hayo siku za wikiendi huwa wanatoka watu mbali mbali kwa ajili ya kwenda kufurahi na marafiki, wapenzi wao pamoja na waume zao kwa wake, siku hiyo Cecilia alikuwa na rafiki yake wa karibu aitwaye Recho wakiwa wana furahia sana maeneo hayo ya bahari miili yao ikiwa na bikini tu pekee ambapo maumbo waliyokuwa nayo yalitosha sana kuwatoa mate wanaume ambao walikuwa wanajipitisha pitisha mbele ya wadada hao wawili.

Ni muda ambao akaunti ya Cecilia ilikuwa inasoma shilingi za kitanzania milioni miambili, hii ndiyo ile akaunti ambayo iliwekwa kwa ajili ya kujengea nyumba yao ikiwa imebakia shilingi milioni miatatu, Simon wakati huo alikuwa yupo nchini Kenya kwa ajili ya biashara baada ya mzigo wa kampuni kuweza kukamatwa huko kwahiyo yeye ndiye aliyeweza kwenda kulishughulikia hilo tatizo.

Furaha iliendelea kwa marafiki wawili hawa ambao hawakuwa na mawazo ya maisha, pesa kwao MUNGU alipitisha mkono wake ikawa baraka zilikuwepo lakini wakati wakiendelea kucheza cheza hapo na kukata kata maungo yao ambayo yalikua yakivutia sana kuna kijana mmoja hivi ambaye alikuwa maji ya kunde, urefu ulio jitosheleza ilikuwa sehemu yake ya mvuto kila alipo pita huku mwili wake ambao ulituna na kujigawa kwa usahihi kama vile kuna mtu alitumia vipimo kuweza kuutengeneza mwili huo alikuwa anaelekea ile sehemu ambayo Cecilia na Recho walikua wakikatikiana na kuweza kuwatamanisha wanaume ambao walikuwa wakijipitisha karibu yao hapo, licha ya kijana huyo kuangaliwa na wanawake wengi sana lakini macho yake yote yalikuwa mbele kule walikokuwa wamesimama akina Cecilia

“Mambo warembo” aliongea kwa mapozi ya uchokozi huku akitikisa rasta zake kichwani

“Safi tukusaidie nini” Cecilia ndiye aliyeweza kulijibu hilo swali

“Nahitaji kuongea nawewe mrembo” aliongeza yule mwanaume ambaye alikuwa amemkazia macho Cecilia mpaka aliogopa

“Ongea tu nakusikiliza hapa hapa”

“Naiomba namba yako”

“Namba yangu ya nini”

“Wewe ni mwanamke mzuri sana na unavutia mno niwe tu mkweli sijakupenda ila tu nimekutamani sana” aliongea kwa kujiamini mno kitu ambacho kiliwaacha wale wawili mdomo wazi. Kilicho msaidia ni kujiamini kwake kwa sababu vijana wengi wamezoea akienda kwa mwanamke anaanza kumdanganya kwamba amempenda sana lakini kwa huyu ilikuwa ni tofauti kabisa baada ya kujiaminisha huku akimwambia wazi wazi Cecilia kwamba ememtamani na sio kumpenda, Cecilia alibabaika akajikuta anatoa namba yake ya simu bila hata kujielewa mpaka alipokuja kushtuka baadaye na kujiuliza aliwezaje kutoa namba kiwepesi vile lakini aliishia kucheka tu na kutabasamu bila kupata majibu yoyote yale huku rafiki yake akisikitika tu.

Maisha yaliendelea kama kawaida bila kuona kitu chochote kile lakini baada ya wiki moja kupita aliona namba ngeni ikiingia kwenye simu yake kupitia whatsapp yake, hakumjua ni nani hivyo aliweza kuijibu, alishangazwa anatumiwa picha ambazo alikumbuka vyema kwamba ni za mtu ambaye alikutana naye wiki moja iliyo pita kule Mbezi Beach, ni kijana ambaye alikuwa akivutia mno kimwonekano wake akajikuta anavutiwa sana kuchati naye.

“hello cutie” meseji kutoka kwa kijana huyo mwenye mwili wake iliingia kwenye simu ya Cecilia

“Nambie”

“Sina jipya sana zaidi ya kukwambia kwamba nakutamani sana kwa jinsi ulivyo nadhani hata kitandani mambo yako siyo haba” kijana huyo alituma hiyo meseji huku akiambatanisha na picha yake ambayo ilikatwa bila kuonekana sura akiwa kwenye nguo yake ya ndani tu ambayo ilimchora maungo yake ya siri kitu kilicho mpa wakati mgumu sana Cecilia na kumfanya ameze mate kwa nguvu akihema alicho kiona hapo alijikuta tu mwili wake unasisimka sana.

“Mhhhh we mkaka wewe umeniona wapi huko chumbani kama sio ukorofi huo bhana” alijisahau na kuanza kujidekesha wala hakukumbuka kwamba yeye ni mke wa mtu na mkononi kwake alikuwa ana pete ya ndoa kabisa kumaanisha ni mke halali.

“Hilo shepu huko nyuma, hiyo sura yako pana iliyo chongoka kiasi, hayo macho makubwa yaliyo jaa nusu kwa masaa ishirini na manne ukijumlisha na hivyo vishimo viwili humo kwenye mashavu yako vinanipa sana hamasa kubwa ya kuwa moja ya watu ambao nitakuwa nina furaha sana kwenye maisha yangu kuweza kulila hilo tundo hapo kati kati” alijikuta mpaka analowanisha nguo yake ya ndani Cecilia akiwa amejifungia chumbani kwake akichati na huyo kijana, alijihisi yeye ndiye mwanamke mwenye bahati zaidi kuwahi kuzaliwa kwenye huu ulimwengu hakudhani kama aliwahi kutokea mwanamke yeyote mzuri kumzidi kama alivyokuwa anajazwa sifa nyingi basi kichwa chake kikawa kinavimba sana kila wakati mpaka akavua nguo zake na kuanza kulitingisha shepu lake mbele ya kioo akiwa uchi wa mnyama na kujionea wivu sana kwa kuhisi alimpendelea sana mumewe kukubali kuolewa naye.

“Mhhhh mpenzi sema nipo njiani narudi nyumbani mafuta yameniishia kwenye gari sijui nafanyaje hapa”

“Nipe namba yako”

“0621567672” namba ilitumwa hazikupita hata dakika mbili muamala ukasoma shilingi laki mbili kwenye simu, hakuamini hicho kitu kwamba kirahisi tu mtu hata hawajuani vizuri akaweza kumtumia kiasi hicho cha pesa.

“Asante sana mpenzi”

“Mimi ni wako usijali” kwenye maisha ya mapenzi wanaume wenye vitendo ndio hao ambao huwa wanaishinda mioyo ya wanawake dhaifu ndicho kitu kilicho kuwa kinamtokea Cecilia. Alitoka nje na kwenda kumwambia hicho kitu rafiki yake ambaye aliamua kumtoa out baada ya kujikunjia shilingi laki mbili kwa dakika kadhaa tu bila kutoa jasho lolote lile, waliila sana hiyo pesa japokuwa rafiki yake aliweza kumuonya sana juu ya hicho kitu ambacho alikuwa anakifanya kilikuwa hatari mno kwenye ndoa yake. Zilipita siku tatu ikiwa yule mtu hajamtafuta alihisi huenda mtu huyo alikuwa ameghairi kuhusu hicho kitu lakini alishangaa meseji inaingia kwenye simu yake kwenye ile ile namba ambayo alidhani imemkati tamaa.

Mtaka cha uvunguni sharti ainame Cecilia kuinama kukifuata cha uvungu kwake haikuwa taabu kabisa, ngoja tuone anaishia wapi mtoto wa kingoni.

Sehemu ya Tisa inafika mwisho

Bux the passionate lover

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 11.....................


“Daaaaah unanitamanisha sana ujue nimeumisi ule mchezo kitandani”

“Mhhhhhh kipi kilikufurahisha mume wangu”

“Mwanamke mzuri sana, umbo limejichosha na kushikika vyema, hizo shanga ndo sipati hata namna ya kuzielezea ukiongeza na mtoto ulivyo fundi sikutaka kutoka kabisa juu yako nilihisi napata uchizi, mama mzazi ashukuriwe huko aliko”

“hahahah bhana wewe ndiye fundi zaidi ulinifanyia mambo ambayo hakuna mwanaume aliwahi kunifanyia kabla kwenye maisha yangu nakupenda sana”

“Waooooo malkia basi naomba mama ujirekodi hata video ukijichezea chezea ukiwa uchi nipate tulizo la moyo si unajua bila wewe sina maisha mama yangu”

“Mimi ni wako na mwili wangu wote ni wako mume wangu nipe dakika tano tu nakutumia, I love you” maneno huwa yanatengeneza vitendo na vitendo huwa vinaleta uhalisia wa mambo ambayo ndiyo binadamu wanayafanya, mapenzi ambayo alipewa baada ya kuisaliti ndoa yake kwa mara ya kwanza pamoja na maneno mazuri yalimfanya akili zimruke na kujisahaulisha kwamba yeye ni mwanamke ambaye yupo kwenye ndoa ya halali kabisa na rafiki yake aliweza kumuonya sana kuhusu huu mji lakini hakuwa tayari kuweza kumsikiliza mtu yeyote yule mpaka huo muda, alivua nguo zake na kujirekodi video hiyo yenye urefu wa dakika tano ili kumridhisha mchepuko wake huyo ambaye hakuwahi hata kujua anakaa wapi au anafanya kazi gani. Hakuhitaji ushauri wa mtu yeyote yule katika hilo aliituma video hiyo bila hata kuwaza mara mbili, video ilisomwa upande wa pili lakini hakuna kilicho jibiwa baada ya kumfikia mlengwa, alijua lazima atakuwa kuiangalia alishangaa anatuma meseji zingine kwenye uwanja huo wa whatsapp lakini ilikuwa inaonyesha imeenda ila haijasomwa basi akaamua kusubiria jioni yake aweze kuchati na huyo mwanaume wake.

Jioni ilifika ikawa ni vile vile, baada ya mumewe kurudi alikuwa akiigiza kuwa sawa lakini alikuwa akijiiba na kwenda chooni akiwa anapiga simu hiyo jibu lilimsikitisha sana namba ilikuwa haipatikani kabisa, ilikatika wiki jibu likiwa ni lile lile ilimfanya ajisikie vibaya sana lakini hakuwa na namna yoyote ile ya kuweza kufanya. Baada ya mwezi mmoja kuisha Cecilia alipokea simu kwa uharaka baada ya kuona namba iliyo andikwa beach shower ikimpigia aliipokea kwa pupa kwa sababu alikuwa anaisubiri kwa hamu sana simu hiyo kwa zaidi ya mwezi lakini alicho kisikia kilimfanya airudishe tena kwenye mkono wake kuweza kuhakiki kama namba hiyo alikuwa amekosea kuisoma au ni yenyewe kweli lakini alijua ni yenyewe.

“Nina shida na milioni hamsini haraka sana zitume kwenye akaunti namba ambayo nakutumia hivi karibuni kabla sijaisambaza video yako kwenye mitandano ya kijamii haraka sana, halafu ingia whatsapp saivi” sauti yenye mamlaka iliamuru upande wa pili, alihisi kuchanganyikiwa mwili ulikuwa na joto mno licha ya nyumbani kwake hapo kuwa na kiyoyozi cha kutosha, ilimbidi kuifungua whatsapp yake ili kujua kuna nini huko huku mikono yake ikiwa inatetemeka sana, alicho kikuta ilikuwa ni ile video ambayo ni yeye mwenyewe ndiye aliyeweza kumtumia mtu huyo mwezi mmoja ulio pita chini ikiwa na namba ya akaunti ya benki ikifuatiwa na maelezo.

“Una dakika tano tu niwe nimeiona pesa ole wako sasa ajue mtu asubuhi haitafika utaikuta kila sehemu ya mitandao video hiyo” aliitupa simu yake chini baada ya kupiga hesabu namna mitandao ya kijamii inavyo enda kasi vipi kama kweli mtu huyo angeisambaza maana yake angeishia kuwa kama kituko mbele ya jamii, alipiga simu huku akilia akibembeleza mtu huyo asiweze kumfanyia huo unyama kwani yeye alikitoa kwake kwa sababu alikuwa amempenda lakini hakuna alicho eleweka zaidi ya kuahidiwa tu kwamba kama angetuma pesa hiyo basi hiyo video ingefutwa. Hakuwa na namna nyingine zaidi ya kuchukua kwenye zile milioni miambili ambazo yeye ndiye aliyeweza kupewa aweze kuzitunza kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yao akaituma milioni hamsini kwa huyo mtu kisha namba hiyo ikawa haipatikani tena. Uliisha mwezi mwingine jambo hilo likiwa ni siri yake mwenyewe hakuweza kumshirikisha mtu yeyote yule katika hilo, alijipa imani kwamba kila kitu kilikuwa kimeisha lakini ni kama alikuwa amejichoma baada ya kutuma zile pesa upande wa pili mtu huyo aliweza kugundua huyo mwanamke ni mtu mwenye pesa nyingi sana.

Siku moja asubuhi majira ya saa nne akiwa anapata chai kwenye meza kubwa ya kisasa hapo kwake Magomeni, moyo wake ulishtuka hata kikombe cha chai ambacho alikuwa amekishika kilimponyoka mkononi mwake baada ya simu yake kuita na mpigaji alikuwa ni yule yule mwenye namba iliyo seviwa beach shower alitamani sana asiipokee na ndicho alicho kifanya lakini alitumiwa meseji ambayo hata kuifungua aliogopa sana.

“Nina shida na milioni mia mbili ili nifute ushahidi wote maana video bado ipo kwahiyo chaguo ni lako” alitamani hata kuzimia pesa iliyokuwa inatajwa ilikuwa ni pesa nyingi sana ambayo hata asingekuwa na uwezo nayo kabla hajafanya chochote aliona ujumbe ukiingia kwenye whatsapp yake aliufungua kwa uoga, hakuamini ilikuwa ni video ile ile ambayo mara ya kwanza aliambiwa itafutwa baada ya kutuma milioni hamsini. Aliangua sana kilio lakini alitulia baada ya simu yake kuita

“Unataka nini kwenye maisha yangu shetani mkubwa wewe” baada ya kutukana hivyo simu ilikatwa kisha ukaingia ujumbe mfupi

“ingia kwenye Instagram yako bada ya dakika kumi ukaungane na watu ambao wanaenda kukutazama hicho ulicho kuwa unakifanya kwenye hiyo video” haya maneno yalimtisha sana ikambidi awe mpole huku akilia, alipiga simu kwa mtu huyo ikawa inakatwa ndipo alipo amua kujilipua

“Nina milioni miamoja na hamsini tu ndizo nilizo bakiwa nazo tafadhali usifanye hivyo nakuomba” alituma meseji hiyo baada ya kuona hakuwa na namna yoyote ile ya kufanya.

“Ndani ya masaa mawili njoo na begi lenye hela hizo maeneo ya Coco beach nitakuelekeza mahali pa kuziweka ole wako kutokee tatizo lolote lile” baada ya kutumiwa meseji hiyo ya onyo hakuwa na namna alikimbilia funguo ya gari yake na begi kubwa sana la kwenda kubebea hizo pesa, alienda benki bila hata kujiuliza wala kutaka ushauri kwa mtu akabeba pesa zote za akiba milioni miamoja hamsini zilizokuwa zimebaki na kuondoka nazo kwa pupa kama kichaa ambapo alifika nazo maeneo ya Coco beach na kwenda kuziweka mahali, dakika mbili mbele kuna mtu alipita na kuokota hilo begi na kupotea nalo kwenye changanyikeni ya watu, alipiga simu ya huyo beach shower wake aliambiwa iyo namba haipo ajaribu tena, alilia sana lakini hakuwa na kimbilio lolote lile zaidi ya kurudi kwake akiwa kama mtu aliye changanyikiwa.

Ndoa ndoano aliongea disasta, ndoa ni upendo unao salia baada ya kuridhishwa kingono.......kuna ndoa kweli hapa Kwa mtazamo wako

Haya tukutane kwenye final episode 11 mimi namaliza
Hiki ndicho kitabu changu bora zaidi cha kijasusi kuwahi kukiandika mpaka muda huu.......idea generation, mpangilio wa matukio, uwingi wa nchi na wahusika..Dope..... Tanzania X Japan ......it's a movie not a tale ULIMWENGU WA WATU WABAYA


ULIMWENGU WA WATU WABAYA PDF yake kwa mfumo wa nakala laini (soft copy) ndiyo hiyo hapo kwa mwenye shilingi 5000 tu unatumiwa na utaishi nayo milele.

0621567672
0745982347

FEBIANI BABUYA nicheki utumiwe muda huo huo.

Bux the story teller
Pic_1662892058329.jpg
 
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 11.....................


“Daaaaah unanitamanisha sana ujue nimeumisi ule mchezo kitandani”

“Mhhhhhh kipi kilikufurahisha mume wangu”

“Mwanamke mzuri sana, umbo limejichosha na kushikika vyema, hizo shanga ndo sipati hata namna ya kuzielezea ukiongeza na mtoto ulivyo fundi sikutaka kutoka kabisa juu yako nilihisi napata uchizi, mama mzazi ashukuriwe huko aliko”

“hahahah bhana wewe ndiye fundi zaidi ulinifanyia mambo ambayo hakuna mwanaume aliwahi kunifanyia kabla kwenye maisha yangu nakupenda sana”

“Waooooo malkia basi naomba mama ujirekodi hata video ukijichezea chezea ukiwa uchi nipate tulizo la moyo si unajua bila wewe sina maisha mama yangu”

“Mimi ni wako na mwili wangu wote ni wako mume wangu nipe dakika tano tu nakutumia, I love you” maneno huwa yanatengeneza vitendo na vitendo huwa vinaleta uhalisia wa mambo ambayo ndiyo binadamu wanayafanya, mapenzi ambayo alipewa baada ya kuisaliti ndoa yake kwa mara ya kwanza pamoja na maneno mazuri yalimfanya akili zimruke na kujisahaulisha kwamba yeye ni mwanamke ambaye yupo kwenye ndoa ya halali kabisa na rafiki yake aliweza kumuonya sana kuhusu huu mji lakini hakuwa tayari kuweza kumsikiliza mtu yeyote yule mpaka huo muda, alivua nguo zake na kujirekodi video hiyo yenye urefu wa dakika tano ili kumridhisha mchepuko wake huyo ambaye hakuwahi hata kujua anakaa wapi au anafanya kazi gani. Hakuhitaji ushauri wa mtu yeyote yule katika hilo aliituma video hiyo bila hata kuwaza mara mbili, video ilisomwa upande wa pili lakini hakuna kilicho jibiwa baada ya kumfikia mlengwa, alijua lazima atakuwa kuiangalia alishangaa anatuma meseji zingine kwenye uwanja huo wa whatsapp lakini ilikuwa inaonyesha imeenda ila haijasomwa basi akaamua kusubiria jioni yake aweze kuchati na huyo mwanaume wake.

Jioni ilifika ikawa ni vile vile, baada ya mumewe kurudi alikuwa akiigiza kuwa sawa lakini alikuwa akijiiba na kwenda chooni akiwa anapiga simu hiyo jibu lilimsikitisha sana namba ilikuwa haipatikani kabisa, ilikatika wiki jibu likiwa ni lile lile ilimfanya ajisikie vibaya sana lakini hakuwa na namna yoyote ile ya kuweza kufanya. Baada ya mwezi mmoja kuisha Cecilia alipokea simu kwa uharaka baada ya kuona namba iliyo andikwa beach shower ikimpigia aliipokea kwa pupa kwa sababu alikuwa anaisubiri kwa hamu sana simu hiyo kwa zaidi ya mwezi lakini alicho kisikia kilimfanya airudishe tena kwenye mkono wake kuweza kuhakiki kama namba hiyo alikuwa amekosea kuisoma au ni yenyewe kweli lakini alijua ni yenyewe.

“Nina shida na milioni hamsini haraka sana zitume kwenye akaunti namba ambayo nakutumia hivi karibuni kabla sijaisambaza video yako kwenye mitandano ya kijamii haraka sana, halafu ingia whatsapp saivi” sauti yenye mamlaka iliamuru upande wa pili, alihisi kuchanganyikiwa mwili ulikuwa na joto mno licha ya nyumbani kwake hapo kuwa na kiyoyozi cha kutosha, ilimbidi kuifungua whatsapp yake ili kujua kuna nini huko huku mikono yake ikiwa inatetemeka sana, alicho kikuta ilikuwa ni ile video ambayo ni yeye mwenyewe ndiye aliyeweza kumtumia mtu huyo mwezi mmoja ulio pita chini ikiwa na namba ya akaunti ya benki ikifuatiwa na maelezo.

“Una dakika tano tu niwe nimeiona pesa ole wako sasa ajue mtu asubuhi haitafika utaikuta kila sehemu ya mitandao video hiyo” aliitupa simu yake chini baada ya kupiga hesabu namna mitandao ya kijamii inavyo enda kasi vipi kama kweli mtu huyo angeisambaza maana yake angeishia kuwa kama kituko mbele ya jamii, alipiga simu huku akilia akibembeleza mtu huyo asiweze kumfanyia huo unyama kwani yeye alikitoa kwake kwa sababu alikuwa amempenda lakini hakuna alicho eleweka zaidi ya kuahidiwa tu kwamba kama angetuma pesa hiyo basi hiyo video ingefutwa. Hakuwa na namna nyingine zaidi ya kuchukua kwenye zile milioni miambili ambazo yeye ndiye aliyeweza kupewa aweze kuzitunza kwa ajili ya ujenzi wa nyumba yao akaituma milioni hamsini kwa huyo mtu kisha namba hiyo ikawa haipatikani tena. Uliisha mwezi mwingine jambo hilo likiwa ni siri yake mwenyewe hakuweza kumshirikisha mtu yeyote yule katika hilo, alijipa imani kwamba kila kitu kilikuwa kimeisha lakini ni kama alikuwa amejichoma baada ya kutuma zile pesa upande wa pili mtu huyo aliweza kugundua huyo mwanamke ni mtu mwenye pesa nyingi sana.

Siku moja asubuhi majira ya saa nne akiwa anapata chai kwenye meza kubwa ya kisasa hapo kwake Magomeni, moyo wake ulishtuka hata kikombe cha chai ambacho alikuwa amekishika kilimponyoka mkononi mwake baada ya simu yake kuita na mpigaji alikuwa ni yule yule mwenye namba iliyo seviwa beach shower alitamani sana asiipokee na ndicho alicho kifanya lakini alitumiwa meseji ambayo hata kuifungua aliogopa sana.

“Nina shida na milioni mia mbili ili nifute ushahidi wote maana video bado ipo kwahiyo chaguo ni lako” alitamani hata kuzimia pesa iliyokuwa inatajwa ilikuwa ni pesa nyingi sana ambayo hata asingekuwa na uwezo nayo kabla hajafanya chochote aliona ujumbe ukiingia kwenye whatsapp yake aliufungua kwa uoga, hakuamini ilikuwa ni video ile ile ambayo mara ya kwanza aliambiwa itafutwa baada ya kutuma milioni hamsini. Aliangua sana kilio lakini alitulia baada ya simu yake kuita

“Unataka nini kwenye maisha yangu shetani mkubwa wewe” baada ya kutukana hivyo simu ilikatwa kisha ukaingia ujumbe mfupi

“ingia kwenye Instagram yako bada ya dakika kumi ukaungane na watu ambao wanaenda kukutazama hicho ulicho kuwa unakifanya kwenye hiyo video” haya maneno yalimtisha sana ikambidi awe mpole huku akilia, alipiga simu kwa mtu huyo ikawa inakatwa ndipo alipo amua kujilipua

“Nina milioni miamoja na hamsini tu ndizo nilizo bakiwa nazo tafadhali usifanye hivyo nakuomba” alituma meseji hiyo baada ya kuona hakuwa na namna yoyote ile ya kufanya.

“Ndani ya masaa mawili njoo na begi lenye hela hizo maeneo ya Coco beach nitakuelekeza mahali pa kuziweka ole wako kutokee tatizo lolote lile” baada ya kutumiwa meseji hiyo ya onyo hakuwa na namna alikimbilia funguo ya gari yake na begi kubwa sana la kwenda kubebea hizo pesa, alienda benki bila hata kujiuliza wala kutaka ushauri kwa mtu akabeba pesa zote za akiba milioni miamoja hamsini zilizokuwa zimebaki na kuondoka nazo kwa pupa kama kichaa ambapo alifika nazo maeneo ya Coco beach na kwenda kuziweka mahali, dakika mbili mbele kuna mtu alipita na kuokota hilo begi na kupotea nalo kwenye changanyikeni ya watu, alipiga simu ya huyo beach shower wake aliambiwa iyo namba haipo ajaribu tena, alilia sana lakini hakuwa na kimbilio lolote lile zaidi ya kurudi kwake akiwa kama mtu aliye changanyikiwa.

Ndoa ndoano aliongea disasta, ndoa ni upendo unao salia baada ya kuridhishwa kingono.......kuna ndoa kweli hapa Kwa mtazamo wako

Haya tukutane kwenye final episode 11 mimi namaliza
TUNGO: Hatima ya ujinga wake
MTUNZI: Bux the passionate lover
MWANDISHI: Bux the story teller

Episode 12.....................



Zilipita siku mbili ndipo mumewe alikuwa anarudi kutoka jijini Mwanza ambako alisafiri kikazi, alisikia mlango ukigongwa kwa nguvu sana, alijinyanyua kivivu kuelekea huko mlangoni alishtuka baada ya kumuona mumewe akirudi na boda boda badala ya gari yake huku akionekana kama mtu aliye changanyikiwa wakati huo alimlipa dereva boda boda na kuongoza ndani moja kwa moja akiwa mwenye mawazo sana.

“Mume wangu kuna nini huku uliko toka” mwanaume alihema baada ya swali hilo

“Mke wangu kampuni imevamiwa zimeibiwa milioni miatano na kesi tumegeuziwa sisi wafanyakazi kuhusika kwenye hilo hivyo wamechukua akaunti zetu za Bank zote pamoja na kila tulichokuwa nacho mpaka magari wakidai kwamba sisi ndio wahusika wakuu wa kila kitu haoa nilipo nimechanganyikiwa na kazi hakuna tena” bwana Simon alijibu akionekana wazi kuwa mtu mwenye mawazo sana.

“Hiyo akaunti yako ya Bank ilikuwa na shilingi ngapi” aliuliza akisikiliza kwa umakini, mwanaume alitoa leso kwanza ili ajifute machozi maana alikuwa amechanganyikiwa sana.

“Milioni mia nne” MUNGU wanguuuuuu, Cecilia alishangaa sana hakuwahi kujua kama mumewe alikuwa ana kiwango kikubwa sana cha pesa namna hiyo, alielewa kwamba kumbe ndiyo maana mumewe alisema ni lazima nyumba yao iweze kukamilika mwakani.

“Ebu nipe hiyo kadi ya Bank yenye hizo pesa ambazo huwa unazihifadhi kwa ajili ya ujenzi zinaweza zikanisaidia kwenye kuanzisha biashara nyingine hapa mjini” Simon aliongea huku akiwa anazunguka zunguka humo ndani kwake kuonyesha wazi hicho kilichokuwa kimemtokea kilimuumiza mno, ajabu alishangaa mkewe akimwangalia tu huku amekaa chini akilia.

“Wewe haujanisikia au” ilimbidi kuongea kwa ukali sana alihisi huenda labda mwanamke huyo alikuwa hamsikii vizuri

“Mume wangu” Cecilia alikuwa akiongea huku akipiga magoti kuonyesha anataka kuomba msamaha.

“Wewe sipo kwenye maigizo hapa nimekwambia nahitaji kadi ya Bank haraka sana” lakini hakujibiwa kitu chochote, aliona kama ni dharau kubwa sana ingali yupo kwenye hasira kali, alirusha kofi zito ambalo lilimpata vyema Cecilia kwenye shavu akadondokea kwenye sofa

“Weee mpuuzi ina maana haunisikii au, yaani nakwambia kaniletee kadi ya Bank ya pesa ninazo zitafuta mwenyewe unaniangalia usoni hivi hunijui eeh” hasira alizokuwa nazo ni kali sana aliutoa mkanda wake na kuanza kumtandika nao mwanamke huyo ambaye alionekana kuwa mjeuri mno mbele ya mume wake. Baada ya kuona haongei chochote alienda jikoni ambako alitoka na kisu, kama bahati ni muda ambao Andrew alikuwa anafika hapo ndani kwa sababu wote walikutwa na hiyo kesi kwenye kampuni yao hivyo alikuja hapo kujua yeye na rafiki yake wanafanyaje juu ya tuhuma hizo nzito ambazo zilikuwa zimewakumba kitu kilicho pelekea wao kupokonywa kila kitu, alifanikiwa kumshika rafiki yake huyo ambaye alikuwa anataka kumdhuru mkewe ambaye alikuwa amejiinamia tu chini akilia kwa kwikwi, kelele za humo ndani pia zilimfanya Recho kuingia maana alisikia mabishano na kilio kwa majirani zake na marafiki zake hao bila kujua nini chanzo.

“Shemeji kwani tatizo liko wapi kama anahitaji ni kadi ya Bank mpe tu kwa sababu anataka ni kuangalia fursa nyingine ya kibiashara akaifanye na sio kwamba labda anataka kwenda kufanyia vitu vya hovyo hapana” Andrew alimbembeleza shemeji yake akijua huenda mwanamke huyo alikuwa ana wasi wasi kwamba pesa hizo zinaenda kutumika sehemu ambayo siyo.

“Shemeji kwenye akaunti hakuna hata mia” kauli yake ilimfanya Simon asimame kwa hasira sana.

“We mwanamke unasemaje? yaani hakuna hela kivipi? Milioni miambili zimeenda wapi?” aliuliza kwa mshangao asiamini kile anacho kisikia kwenye masikio yake.

“Mume wangu naomba unisamehe nitakwambia usinipige tafadhali” kofi lingine kali kwenye uso wake ndilo lililo mfanya akubali kuongea kila kitu kilichokuwa kimetokea.

Mpaka anamaliza kusimulia hiyo hadithi yake wote humo ndani walikuwa wamechoka hakuna aliyeweza kuamini, alionekana kuwa mke bora sana hawakujua ni kitu gani kilimpata mpaka kufanya huo upuuzi wa kujirekodi hiyo video pamoja na kumtumia mtu huyo pesa zote hizo. Baada ya kuweza kuiona video hiyo Simon alimwaga machozi sana kwa sababu ni mwanamke ambaye alimuamini kwa asilimia miamoja ndio sababu alimkabidhi mpaka utunzaji fedha nyingi mno milioni miambili, aligeuka na kumwangalia rafiki yake huku akisikitika alielewa hayo mambo ndiyo yaliyo mfanya rafiki yake Andrew awe muoga sana kuweza kuoa.

“Kama nikimuona ndani ya nusu saa ijayo namchinja inabidi uondoke muda huu ninavyo zungumza unanielewa mpuuzi wewe siwezi kuishi na kahaba ndani ya nyumba yangu mtu unaye uza mwili wako, ulikosa nini kwangu wewe, ndiye mwanamke pekee niliyekuwa tayari kukupa kila kitu, nilikupa dunia yangu uitawale lakini bado wapi haukuridhika, kama ikitokea nikakuruhusu kukaa hapa kwa sasa basi nitafungwa kwa kesi ya mauaji nakuomba uende nyumbani kwenu kwanza” mwanaume aliongea kistaarabu ila kwa uchungu sana akitoa kibunda cha pesa mfukoni na kumrushia mwanamke huyo ilikuwa kama laki tano hivi kisha akaelekea chumbani ambako alitoka na mabegi ya mkewe yenye nguo na kumuomba Andrew amsindikize mwanamke huyo ambaye aliomba sana msamaha bila mafanikio yoyote yale, Andrew alitamani sana kumuombea shemeji yake msamaha lakini hilo halikuwezekana kabisa Simon alikuwa mwenye hasira sana hakuhitaji ushauri wowote ikamlazimu Recho abaki pale kama mfariji wake kwani alijua kama angemwacha mtu huyo hapo huenda angejifanyia kitu kibaya sana.

Ulipita mwezi mzima ambapo ndio muda ambao hali ya Simon ilianza kutengamaa kwa msaada mkubwa wa Recho pamoja na rafiki yake Andrew ambaye alirudi baada ya kumfikisha Cecilia huko kwao Songea ambako alipokelewa kwa aibu kubwa mno na familia yake ikaamua kumtenga kabisa baada ya kuwadhalilisha pakubwa sana kwani walikuja kujua kila kitu kilichokuwa kimetokea.

Mwezi wa pili baadaye kampuni iliweza kuwarudisha wafanyakazi wake wote baada ya kuwagundua na kuwakamata watu waliokuwa wamefanya uwizi huo hiyo ilipelekea watu wote ndani ya kampuni kurudishiwa vitu vyote ambavyo walikuwa wamepokonywa pamoja na mali zao. Ni muda ambao tabasamu lilichanua kwa mara nyingine tena kwa bwana Simon baada ya kurudishwa kwenye nafasi yake na MUNGU aliwabariki yeye na Recho walioana rasmi kuwa mume na mke ambao walihamia Upanga wakiyaishi maisha mazuri sana wakisaidiwa kwa ukaribu vitu vingi na rafiki yao kipenzi Andrew, lakini kwa upande wa Cecilia Ambrose hali ilikuwa ni tofauti sana baada ya kuweza kutengwa na familia yake yote alichanganyikiwa mpaka leo yupo kwao huko Songea akiwa ni kichaa ambaye anatanga tanga kila mahali.

Nilisikitika sana pia nilifurahi sana kuweza kukishuhudia kisa hiki chenye kufurahisha sana na chenye kuhuzunisha sana ndiyo sababu nilivutiwa sana kukiandika. Kwenye maisha ya leo akina Cecilia, beach shower ni wengi sana hivyo kuwa makini sana unapo upa nafasi moyo kufanya maamuzi ya nani wa kuutawala.

Ila kama mkimpata mwanamke kama Recho nipigieni simu nitamuoa siku hiyo hiyo.

“Kijana wangu fanya vyote lakini usije ukaoa Dar es salaam” hii ni kauli ambayo niliwahi kuambiwa na mzee mmoja hivi maeneo ya ubungo stendi ya mabasi ila mpaka leo sijawahi kuelewa maana yake kubwa ilikuwa ni ipi. Kama ikatokea kuna mtu anaielewa kwa usahihi basi atanitafuta aweze kunisaidia kunipa maana yake.

Bux the passionate lover

Goodbye


MWISHO

Sent from my TA-1053 using JamiiForums mobile app
 
Hello wanafamilia wa Story za Bux na mwandishi Febiani Babuya.

Leo nimewaletea andiko lingine fupi.

Kwa wale ambao wanapenda sana simulizi za misuko suko ya maisha pamoja na maisha halisi ya mtaani haswa, basi simulizi ya MIMI NAITWA GAMA ipo kwa ajili yenu.

Simulizi inamhusu jamaa mmoja ambaye alizaliwa kwenye maisha magumu sana tena zaidi ya sana, ukitaka kujua nini maana ya maisha magumu basi wewe lisome jina lake tu hali ambayo inampelekea kuwa muokota makopo mtaani. Ugumu wa maisha yake unamfanya kumtupia lawama zote baba yake mzazi huku akimshuhudia mama yake akifa kikatili mbele ya macho yake mawili.

Anaahaidi kumuua baba yake kwa mkono wake mwenyewe, hasira zake zinampelekea kuishia gerezani kisha kuwa muuaji baada ya kutoka huko.

Maisha ambayo aliyachagua yanamfanya kuishia kuokota makopo na kula jalalani. Mwanaume huyo anafanikiwa kuishi mwaka mmoja tu wa furaha huku mwaka huo ukiacha majonzi makubwa sana kwa familia.

Ni bonge la simulizi hii usiikose kabisa ili uyasome maisha halisi ya mtanzania wa mtaani.

Hadithi inaitwa MIMI NAITWA GAMA na nimeiandika yote mpaka mwisho ila hii haitapatikana huku Facebook,instagram au Jf mpaka ulipie ndo utaweza kusioma.

Unaipata kwa shilingi 1500 tu, yaani elfu moja na miatano tu pekee, yote.

Lipia kupitia namba

0621567672
0745982347

Jina FEBIANI BABUYA

ILI UIFURAHIE WIKIENDI YAKO KWA KUYASOMA MAISHA YA MTANZANIA HALISI WA MTAANI HASWA.

Wasalaam.
Screenshot_20230528-070958_WhatsAppBusiness.jpg
Screenshot_20230528-070933_WPS%20Office.jpg
 
Habarini ndugu zangu? Hope mko poa.


Jambo jema ni kwamba mwezi wa 9 tutakuwa na hardcopy/ nakala ngumu ya kitabu cha GEREZA LA HAZWA.


NITATOA TAARIFA MAPEMA KABISA.


Nawatakieni asubuhi njema.
FB_IMG_1693195898337.jpg


Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom