Comedian wa Bongo

Comedian wa Bongo

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,278
Je, ni komedian (mchekeshaji) gani hapa Bongo anayeweza kulinganishwa na Eric Omondi wa kenya? Kwa mnaomfahamu naomba mnijuze nicheki ukali wake.
 
Tupien picha ya braza K hapa kama sicheki mode anitoe jamii forum
 
Aisee blaza k hana mpinzani ndugu zanguni! Yule jamaa ni noma...
 
Braza k
 

Attachments

  • 1430678218059.jpg
    1430678218059.jpg
    12.3 KB · Views: 1,297
braza k ni mkali. siku hizi stand up comedy ndio ipo kwenye trend so anatakiwa apatikane mtu atakae compete na soko ingekua vizuri. Binafsi huwa siwaelewi wale kina Bukuku.

Wabongo wengi tumekariri kujipaka mavitu usoni au kuvaa kike au kuongea sauti za ajabu bila kusahau kuweka uso dizaini mbalimbali ndio utachekesha kumbe sio hivyo. Basket mouth na Nigeria na Erick Omond hawafanyi hivyo vyote ila ukiwasikiliza hakika utacheka sana. Comedian wa Bongo tuige mfano.
 
Je, huyu kinyambe ni solo stand-up comedian kama e. omondi?

Braza K bwana acha kabisa
Kama ni braza k wa futuhi, huyo ni group comedian siyo solo.

braza k funga kazi
braza k wa futuhi siyo comedian ila ni group clown.

Aisee blaza k hana mpinzani ndugu zanguni! Yule jamaa ni noma...
braza k anafanya kwenye group siyo solo stand-up performer.

Kwangu, braza k siyo comedian ila ni clown tu.

braza k ni mkali. siku hizi stand up comedy ndio ipo kwenye trend so anatakiwa apatikane mtu atakae compete na soko ingekua vizuri. Binafsi huwa siwaelewi wale kina Bukuku.

Wabongo wengi tumekariri kujipaka mavitu usoni au kuvaa kike au kuongea sauti za ajabu bila kusahau kuweka uso dizaini mbalimbali ndio utachekesha kumbe sio hivyo. Basket mouth na Nigeria na Erick Omond hawafanyi hivyo vyote ila ukiwasikiliza hakika utacheka sana. Comedian wa Bongo tuige mfano.
Ni kweli. Hatuna wa kumlinganisha na e.omondi au a.kansiime
Majuto naye si solo stand-up comedian kwenye class ya omondi
 
Kwa ujumla hapa Bongo hakuna solo stand-up comedian aliye kwenye class ya anna kansiime, eric omondi au gwiji jimmy carr. Comedian wetu hapa bongo wanafanya kwenye kundi tu - ze komedi, futuhi,pikabom nk.
 
Back
Top Bottom