Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kaanda onesho la peke yake na likafanikiwa. Kashindansha watoto kucheza ngololo na washindi watatu waliopatikana atawalipia fees miaka yote waliyobakiza shulen ikiwa ni pamoja na kuwahamishia...
0 Reactions
45 Replies
6K Views
Aliyekuwa muwakilishi wa Kenya kwenye shindano la Big Brother Africa ‘The Chase’, Huddah Monroe aka Thee Boss Lady amerusha dongo kwa mrembo wa Tanzania Jackie Cliff ambaye alikamatwa na dawa...
0 Reactions
4 Replies
8K Views
Mwaka unaelekea kuisha, tumeona na kushudia na kusikia mengi yaliyotendwa na watu wetu maarufu hapa Tz. bila kujali itikadi yoyote ile, kidini, kisiasa, rangi, matendo yake katika jamii, anaishi...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Yaelekea mwanadada Jackie alikuwa amejipanga kisawa sawa na alijitoa muhanga na kujua lolote lingeweza kumpata kutokana na kazi aliyo kuwa akifanya ya kubeba sembe. Jackie alijipanga na kuamua...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Maheeda, staa ambaye anasifika kuongoza katika sanaa ya kupiga picha za utupu amewashangaza wengi kwa mara nyingine. Kupitia kwa mtandao, staa huyu wa injili aliamua kusherehekea krismasi kwa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
JAMANI hii imekaa kiudaku zaidi.Eti kati ya hawa wawili nani mkali?je ile zaadi ya woman of the year aliyoshinda dinna ni sawasawa au ndo waandaji kutaka free publicity?yaani kwa kuwa ni mtangazi...
0 Reactions
16 Replies
20K Views
Msanii wa filamu Wastara jana ameungana na wadau mbalimbali wa filamu makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kusoma dua kwaajli ya marehemu mume wake, Juma Kilowoko aliyekuwa maarufu kwa jina...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Kuna Ubishi Umekua Ukiendelea Hapa Mtaani Pia Na Katika Baadhi Ya Media Eti Kati Ya Nyimbo Hizi Ipi Ni Kali Kuliko Zote Ushabiki Tuuweke Pembeni 1.roho Yangu-rich Mavoko 2.my Number One-diamond...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
kuna jamaa hapa kwenye hii picha amevaa shati la "Baltiki" huku mikono akiwa ameifumbata...............
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Stori imetolewa hapa>>> Bakari Kisongo Wa 'Twanga Pepeta' Anaswa Live Katika Tendo La Kulazimisha Mapenzi - bkuHABARI Ufuska mtupu! Mnenguaji wa kiume wa Bendi ya African Stars ‘Twanga...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
MSANII WA TIPTOP CONECTION AKAMATWA NA GUNIA AROBAINI ZA BANGI, SOMA MKASA MZMA HAPA Msanii anaejulikana kwa jina la deso hivi karibuni amekamatwa na gunia arobaini za bangi na mpaka sasa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Unategemea kusikia collabo ya Diamond Platnumz, Ali Kiba na Ommy Dimpoz? Kama una ndoto hiyo, basi iondoe kabisa kwasababu kwa mujibu wa Ali Kiba, kuwepo kwa collabo hiyo ni sawa na kudeki...
0 Reactions
49 Replies
29K Views
  • Closed
Kwa miezi takribani miwili super blogger nchini Wiliam J.Malecela "le mutuz" anatangaza suala la kufunga ndoa kubwa kabisa mpaka amefikiria kuchukua uwanja wa taifa. Lakini swali wengi...
4 Reactions
134 Replies
25K Views
Fatilia StarTv anafanya interview(recorded)_Mcheza kwao
0 Reactions
17 Replies
10K Views
Stori Imekusanywa kutoka Hapa>>>DIAMOND NA LULU MICHAEL: UKWELI UMEWEKWA WAZI RASMI!!! STAA kiwango katika tasnia ya filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amekanusha uvumi uliozagaa mitaani...
0 Reactions
12 Replies
13K Views
Habari! Mimi hili suala la kifo cha 2pac linanichanganya sana, mbona halipo wazi kama vifo vya kina michael jackson, withney houstone, bob marley na wengine? Kuna mtu yeyote mwenye taarifa za...
0 Reactions
8 Replies
14K Views
wana jf napenda kujua yuko wapi Mr.Nice alikuwa mmoja ya wanamziki waliokuwa wanapendwa na watu wa kila lika
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Msanii wa filamu, Wastara Juma amewaomba Watanzania na wadau mbalimbali kuungana naye siku ya tarehe 28 December 2013 saa tatu asubuhi makaburini Kisutu jijini Dar es Salaam kwaajili ya kufanya...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Back
Top Bottom