Labda nitaje ninaowajua hasa uwezo wao wa kazi wanazofanya kwa uchache tu,Dr licky abdalah,edibily lunyamila,professor jay,lady jaydee,John Dilinga,jenerali ulimwengu,Joti&Mpoki,Kanumba,babu wa loliondo! Nafikiri mmoja wapo kati ya hao anastahili kuwa the most famous celebrity.just curious guys.
Labda nitaje ninaowajua hasa uwezo wao wa kazi wanazofanya kwa uchache tu,Dr licky abdalah,edibily lunyamila,professor jay,lady jaydee,John Dilinga,jenerali ulimwengu,Joti&Mpoki,Kanumba,babu wa loliondo! Nafikiri mmoja wapo kati ya hao anastahili kuwa the most famous celebrity.
Babu wa Loliondo