who's Tanzania's Most famous Celebrity?

just curious guys.
Labda nitaje ninaowajua hasa uwezo wao wa kazi wanazofanya kwa uchache tu,Dr licky abdalah,edibily lunyamila,professor jay,lady jaydee,John Dilinga,jenerali ulimwengu,Joti&Mpoki,Kanumba,babu wa loliondo! Nafikiri mmoja wapo kati ya hao anastahili kuwa the most famous celebrity.
 
MSIJIDAI HAMUMJUI MZEE WA KIDUKU.....

nba_g_hthabeetts_576.jpg
 

Attachments

  • nba_g_hthabeetts_576.jpg
    nba_g_hthabeetts_576.jpg
    20.3 KB · Views: 336
Kwa kuwa umesema celebrity na si superstar, jibu ni Babu wa Loliondo. Ingekuwa suala ni u-Super Star jibu ni Steven Kanumba.
 
Labda nitaje ninaowajua hasa uwezo wao wa kazi wanazofanya kwa uchache tu,Dr licky abdalah,edibily lunyamila,professor jay,lady jaydee,John Dilinga,jenerali ulimwengu,Joti&Mpoki,Kanumba,babu wa loliondo! Nafikiri mmoja wapo kati ya hao anastahili kuwa the most famous celebrity.

hapo labda jay dee,na p.jay.
 
wadada wote wa bongo walioolewa na vibabu vysa kizungu visivyokuwa na meno! ha ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom