Vuta subira...
Wema atakuja kukujibu
Tatizo Mb 8 zimeisha angekujibu mama WemaNapenda kujua kama Wema Sepetu ni Mzanzibari kwa sababu mzee wake (baba) alipofariki alipelekwa Zanzibar kwa kuzikwa.
Hayati Isaac Sepetu alikuwa mzenj.
Hakua mzenji ila aliishi huko miaka mingi. Yeye isack sepetu na kina brigedia mwakanjuki walipelekwa zenji na nyerere wakiwa vijana kbs na wakawa kama wazawa. Mzee sepetu alikua mkristo japo mama yake wema ni muislam mwenye asili ya singida. Mzee sepetu pia alioa mke mwingine kama mzungu hivi na akazaa nae so wema ana ndugu zake halfcast flani
Hakua mzenji ila aliishi huko miaka mingi. Yeye isack sepetu na kina brigedia mwakanjuki walipelekwa zenji na nyerere wakiwa vijana kbs na wakawa kama wazawa. Mzee sepetu alikua mkristo japo mama yake wema ni muislam mwenye asili ya singida. Mzee sepetu pia alioa mke mwingine kama mzungu hivi na akazaa nae so wema ana ndugu zake halfcast flani
mimi hii familia siielew mara baba mkristu lakini watoto waislamu.....
mimi hii familia siielew mara baba mkristu lakini watoto waislamu.....
Kwa nini kipindi cha msiba mama wema alikuwa recognised ndo kama mjane?why wewe unasema ni kimada?Mzee Sepetu alikuwa ni mnyamwezi wa TBR na nduguze wengi wapo TBR,Ila ukipitia bio yake utagundua alihamia Zenji zamani kama wewe ulivyojenga hapo ulipo,ukaoa na kuzaa wakati kwwnu ni Nanjilinji
Mama Wema alikuwa ni mke wa pili,wa kwanza alikywa mama Amani,mama Wema akajakuingilia kati......
Alikuwa mkristo mzuri kabisa so Mama Wema alikuwa ni kama Kimada tu kwa mzee Sepetu