Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hivi Anna Makinda ameolewa? Anna watoto?
1 Reactions
55 Replies
21K Views
Staa mrembo kutoka Bongo Movies, Shamsa Ford ambae hivi majuzi aliweka wazi kuachana na mume wake ambae wamezaanae mtoto mmoja, imebainika kuwa kwasasa yupo kwenye mahusino ya kimapenzi na Staa...
0 Reactions
2 Replies
9K Views
yani ni balaa.. Africa nzima inakata kata kata... https://www.youtube.com/watch?feature=player_detailpag e&v=kSZzU1dxOjo
0 Reactions
11 Replies
3K Views
wakuu mfalme ni mfalme tu. huyu jamaa ni noumaaa. jana nilikua pale dar live hatari,king kiba kafanya balaaa kwanza kulia na nyomi ya watu ambayo haijawahi kutokea hapa dar.kawachanganya na...
5 Reactions
30 Replies
4K Views
Wakuu, Diamond kaingia kwenye taarabu, kaimba wimbo wa NASEMA WAO na Hadija Kopa, ni full taarabu yaani anaimba taarabu? My god! Inayofuata ataanza kuimba Vigodoro na Michiriku. Hii video...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Ina maana hatuna watu wa kurithi hivi vichwa vya marapa kina ZAY B. SISTA P. RAHA P. NAKAAYA. Eti wakuu hakuna ata rapa moja wa kike miaka hii, tatizo nini?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Mahojiano ya Hemedy PHD kuhusu yeye Kupaka Poda, Ndoa yake aliyoahiadi kubuma na kwanini anapendwa sana wa Wadada Angalia Video Hapa Chini:
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Diamond Platnumz ameendelea kuwa na updates kila kukicha na hii ya leo ni baada ya ukuta wa nyumba yake kudondoka, Benki ya CRDB kupitia kitengo chake cha insurance imemkabidhi diamondi hundi ya...
0 Reactions
63 Replies
11K Views
Jamani kuuliza sio ujinga..natafuta umbea hapa siukuti kila siku...hivi Lulu kweli ana mimba? Na kama anayo ni ya nani jaman. Nb.nampenda sana huyu mtoto jaman nataman angekuwa ndugu yangu..hata...
0 Reactions
22 Replies
5K Views
Diamond aonyesha mjengo wake anaoujenga na ulipofikia mpaka kwa sasa, tazama hapa picha uone jinsi ilivyofikia
0 Reactions
65 Replies
31K Views
Mshkaji ndio alikuwa pacha wa Tupac kwenye muziki, they were a match made in the thug-ven. Kuna story mchizi haku-commit suicide kama ilivyoripotiwa, ila 'walimzimisha' tu coz alikuwa na kazi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tarehe ya Ndoa ishapangwa. Ni tarehe 1 May 2015 pale Mlimani City.
2 Reactions
151 Replies
29K Views
Wema amekua na scandle mbaya, hivo ommy utapotea, hutapata sabuni ya kukuosha, huoni diamond kaona anataka kupotea.
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Umofia kwenu, Habari zilizotufikia hivi karibuni ni kwamba Ostazi Juma na Musoma amechoka mbaya. Habari hizi pia zimethibitishwa na PNC, yule msanii aliyempigia magoti Ostazi kumuomba msamaha...
3 Reactions
40 Replies
13K Views
Jisomee mwenyewe madudu ya ndugu yetu. siyo wabongo, bali wamarekani wenyewe. One BA reader dishes the tea on OKC Thunder player Hasheem Thabeet and his seemingly fairytale relationship with...
0 Reactions
69 Replies
15K Views
Picha hii kutoka kwa Shilole enzi zake zamani kabla hajaanza kazi kwenye kiwanda cha burudani. Hapo alikuwa anaitwa Zuwena kabla ya majina ya Shilole na Shishi baby hayajaanza kutumika. Kweli...
4 Reactions
55 Replies
24K Views
Salama! Awali ya yote na declare interest kuwa hakika uyu Jamaa mimi binafsi namuona ni mfano bora. Ni bora hasa kwa kaya nyingi sana za kiTanzania,ambazo ni watafutaji wao sio waliokuta mali au...
2 Reactions
23 Replies
6K Views
Huyu ndo Ilham original, tajiri wa dini, ukimsikia mwingine fekero. Ina maana pale KKKT Kijitonyama ndo basi tena hatukuoni? Umewaaibisha wenzio ujue? Si ulisemaga umerudi kundini kimoja na...
6 Reactions
64 Replies
16K Views
Back
Top Bottom