Hii imetokana na video Diamond aliyeyoipost Instagram ikimwonyesha Jokate akikata mauno club huku nyimbo ya Diamond (mdogomdogo) ikipigwa...
Diamond aliandika na caption #Mbona bado, mtanyooka...
And the winner is @diamondplatnumz for Artist of the Year #AfricanAchieversAwards
Salaam SK
@Sallam_SK Tunamshukuru Mungu anazidi kudhihirisha kilicho bora kwa vitendo,Africa inatambua juhudi...
I'm just assuming. Davido ameshajua market ya Tanzania na East Africa liko kwa hawa hasa kwa upande wa mashabiki pengine anaweza akawa mtu wa kwanza kuwashirikisha pasipo wao kujua au hata wakawa...
Wasalaam wanajamvi!
Safari ya Mwana dada Wema sepetu imeishia UWT baada ya kupata kura 90! Hata hivyo naye martha mrata kaangukia pua baada ya kupata kura 235! Huku Asharose Mattembe akipata kura...
Wadau hawa warembo wetu wa Bongo Movie, Irene Uwoya na Jaqueline, nani mrembo zaidi ya mwenzake? Ki mvuto, thamani katika jamii. Tunguke hapa nani anamzidi mwenzake katika nyanja tofauti?
My...
Jamani leo naomba mnisaidie kwenye hili jambo, kuna kasumba ya watu kujadili mambo mengi sana mpaka maumbile au viungo vya baadhi ya macelebrity hapa nchini.
Mfano, wengi tushasikia mjadala juu...
Umofia kwenu wana JF,
Ray ameshangazwa sana na baadhi ya wasanii kama kina JB na wengine kuinua sanaa ya sinema, tofauti na alivyotegemea. Namnukuu "Thus why I'm so wonders, yaani nimeshangaa"
∆Tunaambiwa kilasiku tujitahidi kupunguza maadui na sio kuwaongeza, Diamond kafanya hivyo mwakahuu, na kilichonifurahisha zaidi kapatana na wale watu wote wenye mchango mkubwa kwenye...
Tanzania is once again paving through the way of success in the music industry through it's popular musician Diamond platnumz, Success isn't talked but seen, this can be seen crystal clear in the...
Katika wasanii wanaojiita ma wachekeshaji sio kama Stan Bakora anastahili, mbona me hata hajawahi kunichekesha.
Nadhani hana kipaji ile umaarufu ni wa kutengeneza tu ukichangiwa na kick.
Au...
Ni muda mrefu sana sasa sijamsikia akitangaza na kwa bahati mbaya sijawahi kusikia chochote kumhusu. Je, kuna mwenye kujua alipo kwa sasa na anafanya nini?
Wakuu wimbo huu ambao upo in form of demo, umeendelea kupata downloaders wengi kwenye web na blogs mbalimbali East Africa, na blogs mbalimbali za Nigeria. Wimbo huu unakwenda kwa jina la "School...
Hivi huyu mtu anajielewa? Huwezi ukawa msanii mwenye akili upanie kum-kiss Angelina Jolie ukipata hela, mara ukivaa kiatu mara moja hurudii, una madem 65.
Huyu dogo anahitaji ushauri
Wakati watu leo wako bize kuthrowback ishu mbali mbali ghafla nimemkumbuka mkali wa hizi kazi,Kibra Msitu wa vina a.k.a Juma Nature.
Nakumbuka mara ya kwanza namuona anachana kipindi hiko mie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.