Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wasanii kibao dizaini hawajampa support ya kutosha Dogo Aslay hasa kipindi kigumu cha kufiwa na mama yake mzazi..
1 Reactions
24 Replies
8K Views
pwilo cute b Shardcole nifah
1 Reactions
48 Replies
9K Views
Msanii wa kundi la yamoto bendi dogo Asley amefiwa na mama yake mzazi. Source: timesfm page yao fb, R.I.P mother
0 Reactions
55 Replies
25K Views
Kuna tofauti gani,kati ya msanii mkubwa na underground mkubwa
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Zimepita ziku chache tangu Ikulu iandae sherehe kubwa iliyoitwa ya Rais kuagana na wasanii, ambapo katika sherehe hiyo wasanii mbalimbali wa filamu na muziki walihudhuria na kuungana na viongozi...
11 Reactions
28 Replies
10K Views
Nazikumbuka Tungo za R.O.M.A "Uchafu wa Mrisho, unamfanya Benja aonekane msafi" "We ni mkwere wa Chalinze ambae hautomsahau Mnyakyusa, Mwakyembee alowafunisha Monduli siasa" "Wameacha tizi wakaoa...
0 Reactions
14 Replies
5K Views
daaa kweli diamond anawakati mgumu sana nimepita kule tweeter nimeona anaomba apigiwe kura amebaki akiambulia matusi ooh nenda lumumba oooh pale jangwani mbona ujamwambia wakina weka mbali na...
8 Reactions
179 Replies
20K Views
Hii ni TOP 10 kati ya video za wanamuziki wa Afrika 2015 zilizotazamwa zaidi Youtube.. Na kati ya mafanikio anayoweza kujivunia mwanamuziki, ni suala la youtube ambapo inaonyesha;- + Ni jinsi...
2 Reactions
14 Replies
5K Views
Diamond Platnumz amepata nafasi nyingine ya kushirikiana na mastaa mbalimbali wa Afrika akiwemo Wizkid wa Nigeria, kurekodi wimbo wa kampeni ya Umoja wa mataifa, ‘United Nations Global Goals...
0 Reactions
29 Replies
5K Views
Kichwa cha bongo fleva, kinazidi kutuwakilisha vema anga za kimataifa, na hii ni zamu ya MTV EMA ambapo huwa wanachaguliwa wasanii bora watano tu!! wa kwenda kujumuika na wasanii wa marekani...
4 Reactions
37 Replies
4K Views
Wakuu! Mbali na team ya Diamond kuendesha propaganda na uongo wa kila namna katika mchakato wa upigaji kura wa tuzo za Nigeria Entrainment Awards (NEA), kuwa eti Mashabiki wa Diamond wamepiga...
3 Reactions
195 Replies
18K Views
Yule mtangazaji na Dj mahiri wa kike wa kipindi cha XXL kinachorushwa na kituo cha redio ya watu Clouds Fm amekua kimya mda mrefu sana sijamsikia akitangaza, Je ameshasepa hapo mjengoni? Na kama...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Msanii Ali kiba amenogewa na ccm na kuomba kampeni zifanyike mwaka mzima ambapo jana alikuwa morogoro katika kampeni za kumnadi Magufuli kuonyesha jinsi alivyopania izi show baada ya kukaa na...
0 Reactions
27 Replies
7K Views
Tangu kuanza kwa kampeni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oct - 2015, wasanii mbali mbali walijitokeza kuunga aidha UKAWA au CCM. Ni ukweli usiopingia CCM imekusanya kundi kubwa la wasanii...
6 Reactions
36 Replies
5K Views
PENZI ni kikohozi, kulificha huwezi ! Habari ya mjini kwa sasa ni mahaba niue ya muuza nyago kwenye nyimbo za wanamuziki wa Bongo Fleva, Agness Gerald ‘Masogange ' na staa wa muziki nchini...
2 Reactions
81 Replies
24K Views
MYNER SPARTAN MDADA CELEB WA KIBONGO AMBAYE ANAKIMBIZA KWA UZURI MJINI HAPA NA NI MPENZI WA CELEB MWINGINE WA KIBONGO AITWAYE DULLAH SPARTAN MUNGU AWAONGOZE KWENYE MAPENZI YAO
1 Reactions
25 Replies
8K Views
Katika hali na kuhuzunisha na kustabisha mashabiki wa kiba wameamua kulilia nomination za MTV Ema kwa kuanzisha tag zao et I nomintee kiba wakati kiba video ya chekecha haijawahi pigwa MTV pwilo...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Team wema ikiongozwa na wema sepetu safari hii wame mshika pabaya kiba ni baada ya kumuambia kuwa lazima ashiriki kampeni za ccm na kumpost kuwa Ana muunga mkono magufuli la sivyo hawampigi kura...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kwa Africa ni nadra Sana kukuta msanii ana 1m followers hadi sasa ni wasanii watatu tu ndo wenywe followers 1m Instagram ambao ni Diamond, Davido na Wiz Kid
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Msanii wa hip hop kutoka Detroit Bryon Cox alias Dex Osama 26 usiku wa kuamkia Jana aliuawa kwa kupigwa risasi akiwa kwenye ukumbi wa wadada wanaocheza uchi(strip club) Crazy Horse. Dex Osama...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom