Nataka kujua baba tifa, analipwa bei gani kwa show za ndani na nje kwa sasa, ukizingatia anatembea na team kubwa kwa ss, wapiga picha, DJ, dancers na pia ana mameneja watatu, tafadhal
Hivi huu mfumo wa kuwalipa wasanii ukianza kila wimbo unapopigwa msanii analipwa ni wasanii wangapi watasurvive?
Mi naona tutawapoteza wasanii wengi sana, sioni mtu kama 'Ruge Mutahaba' akubali...
Msechu ambaye ametoa video ya ‘Malava’ hivi karibuni inayoonekana kuwavutia wengi kutokana na jinsi alivyoutumia unene wake kufanya video ifurahishe, amesema kuwa watu inabidi wafahamu kwamba...
Habari wakuu,
Mi mgeni humu naomba niseme jambo..
Of coz nna maana yangu kupost hii kitu muda huu huenda mtaa wa pili washaenda katika kazi zao za kumroga mzee mzima King Zamunda..
Ni jambo...
Mawingu na manyunyu ya hapa na pale yalifanya nisipoteze muda mwingi Mlimani City nilipoenda Alhamis hii kwa shida binafsi kuogopa kuharibiwa siku yangu kwa kunyeshewa na mvua. Mbaya zaidi...
Katika kipindi chake cha GOSSIP COP, Sudi Brown alianza kwa kumvutia waya kwanza Le Mutuzz na kumuuliza kuhusu bifu kati yake na Nikki wa Pili kutokana na ule wimbo wake 'Baba Swalehe' ikidaiwa...
MARA nyingi kibinadamu ukiwa maarufu unajisahau kuwa unaweza kurudi na kuwa mtu wa kawaida. Hakuna garantii na Mungu kuwa utakuwa maarufu mpaka kufa. Ukikumbuka hili, utaanza kutayarisha maisha ya...
1. DAZ BABA
2. CHID BENZ
3. RAY C
4. LOD EYEZ
5. M.R NICE.
6. ROSE MHANDO
7. TID-MNYAMA
8. RACHEL
9. FEROUZ
10.BEN PAUL
*NOTE*
We give very high respect to P FUNK (MAJANI) and Q-CHIEF because...
Mtayarishaji wa muziki mkongwe Allan Mapigo anadai muimbaji nguli wa taarabu Mzee Yusufu alikua na mpango wa kufanya hip hop, lakini yeye akambadilisha mawazo kutokana na kuona anafaa zaidi kuimba...
Miss Tanzania 2006 na aliyekuwa ex wa Mr Blue,Kanumba,Diamond,model wa Namibia,Jose Maraa,Kigogo wa ikulu na watu kadhaa wasio na majina makubwa hapa town amewekwa katika list ya wateja wa...
Leo jioni Gadna kachemka kwenye kipindi cha 'kubwakubwa'!
Akiwa Na mwenzake redio EFM wamedai vita ya kwanza ya dunia ilikuwa Kati ya Mwaka 1905 hadi 1907! Ukweli ni vita hiyo ilikuwa Mwaka...
Nataka tujue kwa kiasi fulani sababu ya Mkapa wakati ule akiwa Rais siku alipoenda kuzindua Maonyesho ya Biashara katika uwanja wa Mwalimu Nyerere zamani Saba Saba, siku hiyo hiyo akaonekana...
Leo hii ndani ya XXL ya Clouds FM msanii MB Dogg amethibitisha kwamba mpango wa kuwashirikisha wanamuziki mashuhuri kutoka Marekani Lil Wayne na Chris Brown ktk wimbo wake upo na wanatarajia...
Do you want to read a book about the lives of famous Hollywood couple Beyonce and Jay Z, or are the numerous tabloid stories enough to give you an insight into their lives?
A Tanzanian author...
Anayebisha abishe tu lakini hakuna MTZ maarufu nchini Belgium kama shishi baby au shilole ambako aliangusha show kali iliyohudhuriwa na watu 28,000 jijini Antwerp kiasi kwamba haters wa huku Bongo...
Nyota njema uonekana asubuhi,mtoto wa rais mwenye Ikulu yake Madale pembeni kidogo ya jiji la Dar es salaam Tiffah au mtoto Tee amepata dili la kusoma bure kutoka shule ya ushuani wanakokula...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.