Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Wakuu habari! Nipo kigamboni hapa na jamaa mmoja wa karibu sana na Rais wa Wasafi, Sio siri yale aliyonieleza nibaki tu mdomo wazi. Kumbe siku hizi kuna tuzo za kununua kulingana na...
2 Reactions
26 Replies
6K Views
hatimae rais wa wasafi duniani na kwenye galaxy,baba wa mtoto mwenye jina kubwa duniani na mwanamziki mwenye mkwanja mrefu kuliko wasanii wote afrika mashariki na kati anaetingisha na nyimbo ya...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Ndugu... Nawapongeza sana kwa uwezo wenu wa kuelewa mambo na kuona mbali ,kwangu mna thamani kuliko fedha na tuzo za BEt au hata Mtv. Mmeonyesha ukomavu wakuitazama jamii na matarajio yake...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiukweli mimi ni mpenzi mkubwa wa DIAMOND. lakini naangalia sporah show hapa anahojiwa ally kiba kiukweli huyu dogo ni mtu mwenye busara sana, tena ana akili na maadili. Kwa mambo aliyofanyiwa na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari yako: Naamini utakuwepo jf au kama siyo marafiki zako wapo humu please fikisha ujumbe huu kwake.. Kwa upande wangu CB ni mwimbaji mwenye sauti nzuri sana lakini pia tune zake...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Hizi ni salamu tu, za pongezi kwa huyu Raisi wa bongo flavour na muwakilishi wa Taifa la Tanzania, aliyetunukiwa kuwa NEMBO YA TAIFA mwaka huu mwanzoni, hakika anazidi kutuweka vifua mbele kwa...
6 Reactions
23 Replies
7K Views
Mafanikio ya Nana aliyoshirikishwa na Diamond Platnumz yamemfanya msanii wa Nigeria, Flavour naye kumshirikisha staa huyo wa Tanzania. Tangu itoke miezi minne iliyopita video ya Nana imefikisha...
4 Reactions
16 Replies
3K Views
Ingawa kila mtu anahaki ya kupenda chama chochote lakini msiseme kua CCM ndio chama kinachowajari wasanii. Walikuwepo wasanii mahiri ambao walikua wahamasishaji wakubwa wa CCM lakini hata...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Mfalme wa Bongo Flavor Alikiba, aendelea kutoboa anga za kimataifa baada ya kuchaguliwa kuwa miongoni mwa watumbuizaji wa event kubwa ya Afrima Awards nchini Nigeria ambapo kwa mujibu wa ratiba ya...
0 Reactions
62 Replies
11K Views
mbongo fleva mondebinladen aka platnumz ametusua tena baada ya kuvuna tuzo ambazo kiba ataishia kuzisikia tu radioni.monde ameshinda tuzo ya msanii wa mwaka anaependwa zaidi na wimbo bora wa mwaka...
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Msanii na hifadhi ya taifa Diamond Platinumz amepata nomination ya best African act katika tuzo za MTV Europe awards zitakazofanyika Milan Italy. Diamond amepita bila kupingwa pamoja na Davido...
3 Reactions
66 Replies
6K Views
Siku chache baada ya kumwanika mchumba' ke , raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ambaye tayari amemvisha pete ya uchumba, mambo yamekuwa siyo mambo kwa staa wa filamu za Kibongo , Jacqueline...
0 Reactions
23 Replies
7K Views
Alikiba mi shabiki wako damu ila kwa huu utoto uliofanya insta wa kupost magufuli umenikera sana na kunifedhehesha, nipo najiandaa kufanya umamuzi mgumu juu ya hili.
7 Reactions
187 Replies
26K Views
Mr Nice ameponea chupuchupu kupoteza maisha baada ya kudai kula chakula chenye sumu. Mr Nice akiwa amelazwa hospitali Kupitia ukurasa wake wa facebook Mr Nice ameandika:Mungu ni wakutumainiwa...
2 Reactions
17 Replies
4K Views
Afya ni majaliwa ya Mungu,leo kundi la OK linasimama majukwaani kwenye kampeni za ccm hata kutoa post mitandaoni za kudhihaki afya ya Lowassa wamesahau yalimpata mwenzao Vengu? mwaka wa nne leo...
14 Reactions
107 Replies
20K Views
Jionee mwenyewe. ============ Mashabiki wa Diamond Platnumz wavamia ukurasa wa Neyo wa Twitter Baada ya MTV kutangaza Neyo atakuwa jukwaani kwenye utoaji wa tuzo za MTV mashabiki wa Chibu...
0 Reactions
514 Replies
64K Views
Wasanii kibao dizaini hawajampa support ya kutosha Dogo Aslay hasa kipindi kigumu cha kufiwa na mama yake mzazi..
1 Reactions
24 Replies
8K Views
pwilo cute b Shardcole nifah
1 Reactions
48 Replies
9K Views
Msanii wa kundi la yamoto bendi dogo Asley amefiwa na mama yake mzazi. Source: timesfm page yao fb, R.I.P mother
0 Reactions
55 Replies
25K Views
Kuna tofauti gani,kati ya msanii mkubwa na underground mkubwa
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Back
Top Bottom