Wajua tena sisi mwezi huu tunakwenda nyumbani kwa ajili ya kukutana na familia zetu.
Juzi Nilipokuwa Dar nilikuwa nasikia matangazo Radio 5 FM...91.3 Dar kuwa Diamond atakiwasha Geneva of Africa...
Akiongea na AyoTv, mwanamuziki Ali Kiba amesema, 'Nimegundua mimi ni mkubwa zaidi ya tuzo. Japo ni sifa lakini kiukweli music wangu una thamani kuliko tuzo. Ndio maana ninapoona ulazima naenda...
@ GUYS SISTER NI MBONGO MWENZETU ANASHIDANIA KUWA BALOZI WA JET MAGAZINE ANAHITAJI KURA 5,000 BY KESHO PLEASE GO HERE:- .......https://miss.jetsetmag.com/vote-for/aicha-mosha .....SELECT STEP 1...
Habari zilizopatikana nchini kenya zinasema director wa video ya nagharamia iliyoshooting South Africa na mkenya Enok Olic ameamua kubaki na video hiyo kwasababu Christian Bella na Ali Kiba...
Diampond platnumz ametajwa kuwania kipengele cha Best male East Africa, Vanessa Mdee akiwania kipengele cha best female East Africa, Wakazi akiwania best hip hop , Yamoto Bendi wakiwania kipengele...
Kwa mujibu wa wakuu wa Mtandao wa Kijamii wa Twitter wamesema, Katy Perry anaongoza kwa kuwa na wafuasi wengi ambao ni 78.3 milioni, akifuatiwa na Justin Bieber - 70.5 milioni.
Wengine ni pamoja...
Leo Christian Bella Kaachia single ake alio mshirikisha Koffi Olomide Inayo itwa `ACHA KABISA' kama umepata wasaa wa kuisikiliza itakuwa pouwa
Sijaona wala kuelewa Alicho imba Koffi Olomide...
Habari ikufikie kuwa mtoto mtamu anayesumbua katika tasnia ya filamu Bongo , Jacqueline Wolper Massawe ameweka pembeni masuala ya uigizaji kwa muda usiojulikana kwa kile alichodai ni kujipa muda...
Diamond Platnumz ameamua kumleta muongozaji wa video zake, Mike Ogoke maarufu kama Godfather na timu yake kuja kufanya video zake jijini Dar es Salaam.
Diamond akiwa na msaidizi wa Godfather...
WAkuu katika mash up collabo za nyimbo 4 alizofanya Alikiba na Victoria Kimani (Kenya), Mash up 3 zote zimepata kura nyingi na kuingia directly kwenye Album ya CokeStudio.
Hii ni historia East...
WanaJF,
Bunge la 11 lina visa vyake vingi ila kwa leo napenda nije na hiki cha mbunge kisu na mrembo kuliko wabunge wote bungeni, nae sio mwingine bali ni Bona Kaluwa (mb), ambae ni mbunge wa...
​
(CNN)Oscar Pistorius has been found guilty of the murder of Reeva Steenkamp after South Africa's Supreme Court of Appeal overturned the previous conviction of culpable homicide.
Judge...
Wakuu habari!
Mpigie kura Alikiba katika tuzo za Swahili fashion katika kipengele cha "Best sylish Male" kwa kutuma maneno ya fuatayo "SWF SMP 01" kwenda "15670" kwa njia sms na huduma hii ni...
The 50-year-old actor is said to be keen to write a book but some publishers have reportedly baulked at the huge sum.
The 50-year-old actor, who last month revealed he is HIV positive, has...
KALI YA KUFUNGIA MWAKA
Msanii nguli wa taarabu nchini Mzee Yusuph yupo nchini africa kusini kushoot video yake mpya ya taarabu. hii itakuwa video ya kwanza ya taarabu kufanyika bondeni na...
Msanii Vanessa Mdee (kushoto) akibadilishana mawazo na wafanyakazi mbalimbali wa Shirika la DKT International kabla ya kufungua rasmi Tamasha la Divas Only ambalo lilifanyika jijini Dodoma...
Kwa kweli Mungu anajalia mtu yeyote mradi kujituma na kujipanga kwako haijalishi ulikuwa wapata hela ndogo sana ninachoamini mimi hata kama unalipwa hela ndogo sana na wewe ukawa una malengo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.