Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,837
Bruce Lee ni mwigizaji mahiri na mstadi wa Kungfu, ambaye alizindua mtindo wa filamu za Kungfu na kuhimiza mageuzi katika Kungfu duniani . Yeye ni mtu wa kwanza aliyelifanya neno la Kungfu kwenye kamusi ya kiingereza.
Bruce Lee alifariki akiwa na umri wa miaka 33, filamu yake ya mwisho ?Enter The Dragon? ilitolewa siku 6 baada ya kifo chake.
Ni movie gani ya huyu jamaa uliipenda sana na itakufanya uendelee kumkumbuka?
Tunakumiss sana Bruce Lee, R.I.P.
Bruce Lee alifariki akiwa na umri wa miaka 33, filamu yake ya mwisho ?Enter The Dragon? ilitolewa siku 6 baada ya kifo chake.
Ni movie gani ya huyu jamaa uliipenda sana na itakufanya uendelee kumkumbuka?
Tunakumiss sana Bruce Lee, R.I.P.