Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

JF Prefixes:

Bifu lilianzia baada ya hii interview aliyofanyiwa Chid Benz ,Chid alishauri Lady Jaydee akaimbe Gospel miaka miwili akae sawa ndipo arudi tena kwenye bongo fleva . Sasa lady Jaydee aliona kama...
20 Reactions
233 Replies
13K Views
Bwana haji Manara sawa kuoa ni haki yako ya kidini lakini isiwe geuze kuwa chanzo cha mapato kwa kulenga michango utakayopewa na ndugu na jamaa. Haiwezekani wewe ni kuoa kuacha kuoa kuacha...
7 Reactions
30 Replies
2K Views
1. chambua kama karanga-saida karoli 2. kitobelo-saida karoli 3. Mapenzi kizungu zungu-saida karoli 4. Wanok nok-Mandojo&domokaya 5. taswira-mandojo&domokaya 6. niaje-mandojo&domokaya 7. Nizikwe...
16 Reactions
167 Replies
32K Views
Mm kunichekesha si rahisi sana ila hawa madogo wanaitwa MABANTU Leo nimeona video yao inaitwa Mali safi nimecheka. Safi vijana tumechoka tu kuona vixen wenye chura kwenye video za bongo.
0 Reactions
4 Replies
488 Views
Maana wote wametoka kimuziki Gerezani kariakoo Abby skills kwao mtaa wa kipata Queen Doreen dada yake Mondi anatokea mitaa hiyohiyo aliwahi kuwa video vixen wa kazi ya Abby Skills na Mr Blue -...
3 Reactions
1 Replies
320 Views
Kama ulikuwa hujui basi ni hivi aliyekuwa muimbaji na mfalme wa pop duniani Michael Jackson alipanga mipango ili aweze kuishi miaka 150 hapa duniani Baadhi ya mipango hiyo ni - Aliajiri...
9 Reactions
22 Replies
830 Views
#ETrending Follow @rickmedianews Usiku wa kuamkia leo Staa wa muziki @rayvanny amefanikiwa kushinda Tuzo 5 za #EAEA ( East Africa Arts Entertainment Awards) zilizofanyika nchini Kenya. Vipengele...
0 Reactions
13 Replies
487 Views
Leo nimejiridhisha kabisa juu ya msanii Harmonize kuwa mihadarati anayotumia na wanawake afikishe sober house mapema sana. Hofu ya afya yake ya akili ilianza muda sana ila nikafunika kombe...
7 Reactions
52 Replies
2K Views
Msanii Diamond karibia hayo Mafanikio yote uliyoyaonyesha katika Video ya huo Wimbo wako (Kichupa Chako) ambayo kama kawaida ya Mr. Kiherehere Gerson Msigwa (Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni Sanaa...
1 Reactions
0 Replies
232 Views
Nakupa homework; nitajie wimbo wa Ngwair akilia kuteswa na mapenzi. Nioneshe ngoma ya Albert Mangweha, akilalamika maisha yamempiga mpaka akakata tamaa. Ukipata, nitakwenda Kihonda, Morogoro...
76 Reactions
148 Replies
21K Views
Taarifa zilizotufikia usiku wa kuamkia leo zinaeleza kuwa Mtangazaji aitwaye Denis Rupia maarufu kama Chogo amefariki dunia. Taarifa hizi zimetolewa na Meneja Mkuu wa EFM, Denis Ssebo jukwaani...
2 Reactions
102 Replies
5K Views
Tuache utani, Mziki ni kazi ngumu jamani kama hauna strategies thabiti. Wanaijeria walalamika kuhusu ASAKE kubadilika muonekano na kuanza kufanana na watu wa kawaida japo kuwa ana mamilioni ya...
0 Reactions
7 Replies
889 Views
Hivi majuzi Rihanna alikuwa amepost picha akiwa amevaa nguo za Masista wale wa kiroma.Watu wengi Sana wamemponda wengine kusema hana heshima.Wengine kusema anadhalilisha ukristo. Watu ilibidi...
4 Reactions
63 Replies
2K Views
Jamii ya wapenda muziki wa gospel afrika mashariki imeshtushwa na kusikitika sana baada ya kusikia matamshi ya mwimbaji maarufu zaidi wa muziki wa gospel hapa Tanzania kuwa; 1. Mungu alimpa wito...
25 Reactions
152 Replies
6K Views
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa. Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo...
15 Reactions
70 Replies
5K Views
Msanii Mkubwa Bongo Fleva atabiriwa kifo na Wachungaji kutoka Kenya na Zimbambwe Sasa shughuli inabaki kwetu kama sio Ally bhasi ni Nasibu, maana ndiyo sifa walizotajwa nazo. Nawatakiwa Asubuhi...
6 Reactions
133 Replies
6K Views
Kwa mara ya kwanza mtangazaji nguli nchini Taji Liundi amefunguka kuhusu maisha yake binafsi na mchango wake katika tasnia ya muziki. Taji Liundi aka Master T ambaye amefanya kazi na vituo...
4 Reactions
34 Replies
11K Views
Hii dunia katika kila tasnia zimekuwa zikitengeneza ma star, hugawia kwa viwango, wengine huitwa ma Super Star wengine huitwa Mega Stars. Lakini tuunapokuja Kwa Shahrukh Khan tunashindwa kupata...
2 Reactions
26 Replies
979 Views
  • Redirect
Huyu jamaa nadhani anajulikana kuwa ali left group kipindi kidogo aka shoga taajiri Africa. Najiuliza je pale mahakamani angekana yeye si me ingekuwaje au wangemfikiria pengine pa kumpeleka...
0 Reactions
Replies
Views
Kwa wale wapenzi na mashabiki wa Ferre Gola Le padre, aliyebarikiwa sauti nzuri na kipaji kikubwa cha kuimba mziki mzuri wa Rhumba kutoka DRC CONGO. Masaa 22 yaliyopita kutoka kwenye akaunti...
1 Reactions
4 Replies
229 Views
Back
Top Bottom