Ali Kiba hapa kwa Dulla umefeli kabla ujaanza

sinza pazuri

JF-Expert Member
Aug 16, 2014
2,525
7,374
20240221_094937.jpg

Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.

Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
 
View attachment 2910800

Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
Ndo nini hiki umeandika 🤔🤔
 
Haka katoto hua kanajaza server za JF tu wala hakajua hua kanaandika nini,ili mradi tu kamfurahishe bwana yake pale usafini,
Kalikuja na uzi wa kusema S2Kizzy ni bora kuliko Master J kalipigwa spana hapa mpaka kakakimbia uzi wake.
Kumbe ndo huyu dogo!! 🤔🤔, ile thread niliisoma aise, nikajua huyu dogo ni wa 2008.. Maana hajui anacho andika.
 
View attachment 2910800
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.

Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
We ni mjinga na mpumbavu,Dullah kafanya kazi kwa mafanikio makubwa na ndo aliyekuwa anaibeba planet bongo,we kitu gani umewahi kusifia nje ya kusifia wanaokukaza huko WCB? acha wivu tulia na bwana wako huko wcb

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shida ya wasanii wengi wa bongo hawana wanachokiweza.

Kila jambo analolifanya Diamond na wao hupenda kuiga.

Siku Diamond atakapoacha muziki ndipo muziki wa Tanzania utakufa rasmi maana wasanii tulionao hawana wanachokijua mpaka Diamond afikirie kwa niaba yao.
 
View attachment 2910800
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.

Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
Punguza uchawa, acha wivu kwa wanaume wenzio ulitaka upewe wewe? We tunakujua ni chawa wa upande flani, nenda zako huko, **ako ww
 
View attachment 2910800
Wote tunajua Dulla planet bongo ni kijana aliyekuta planet bongo kama kipindi pendwa ikadondoka na kupotea kabisa.

Sasa ndugu Ali kiba kapewa na mnene mmoja asimamie redio na kuipromoti ambayo inazinduliwa kabla ya pasaka.
Yeye kiba akaenda kuokota dulla pale east africa radio na kumpa kitengo cha creative ambacho ni roho ya radio yoyote
Hii wataalam wa mambo wanasema kufeli kabla ya kuanza sababu huyu mshikaji hana history ya kufanikisha lolote kwenye media industry.
Lakin sishangai sababu kiba alifeli pia biashara ya vinywaji kabla haijaanza so na upepo wa kufeli kabla ya kuanza.
ukitaka kumuelezea kiba au dulla waelezee dulla na kiba wa sasa sio wa wakati huo..

kukariri watu na maisha ni kitu mbaya sana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom