Wadau kuna mtu mwenye taarifa yoyote kuhusu gavana wetu wa Benki Kuu? Hivi bado anaumwa? Bado yuko US au kesharudi Dar? Ni muda mrefu, kumekuwa na umkimya sana kuhusu Mhe. Gavana ambaye ni mtu...
Kwa sisi tunaojua muziki tunaelewa ila kwa wale die hard fans hii kitu hawawezi kuielewa,kwanza hiyo habari ya alli kiba kusainiwa sony mi sioni kama ni ngeni maana kumbuka kipindi wamefanya ngoma...
Habari zenu wakuu,
Kama ilivyo katika kichwa cha habari hapo juu, kama wewe ni mmoja ya wapenzi/watazamaji wa filamu za ngumi, basi kwa upande wa bongo huwezi kumwacha nguli huyo mwenye uwezo...
Wakuu,
Kuna vita ya trending kwa wasanii wetu wa bongo fleva.
Hivi siku za hivi karibuni Alikiba na Diamond platnumz wameonesha kabisa wako katika bifu zito za mziki katika Ku trend na...
Tanasha Donna Oketch: Mkenya huyu 'anayependwa' na mwanamuziki Diamond Platnumz ni nani hasa?
Tanasha DonnaHaki TANASHA DONA/INSTAGRAM
Mwanamuziki nyota wa Tanzania Diamond Platnumz ametangaza...
Polisi wanawashikilia Watoto Wawili wa Mwigizaji John Okafor, maarufu kama #MrIbu, kwa madai ya kuiba Tsh. 153,609,096, fedha za Michango ya matibabu yake na kujaribu kutorokea Nchini Uingereza...
Kwa nn Steve Nyerere hakwenda kwenye Maandamano ya Wasanii wa Bongo Movie? Kwenye page ya Mange nimemuona Steve mapovu yanamtoka anapinga utaratibu huo uliotumiwa na Makonda na Wasanii wenzake wa...
Wana JF,
Ningependa huyu Bwana awe MC katika harusi yangu. Mwenye kufahamu namba yake ya simu, au mawasiliano mengine yoyote yatakayofanikisha kumpata, naomba anipatie
Habari!…
wazungu husema love is blind na huota popote hata majini,, nimetokea kumpenda huyu dada anaeigiza vichekesho vya mizengwe kiukweli kabisa
yani kila kunapokucha anazidi kupendeza na...
Ukiingia tu Kanisani Kwake utakuta kuna Viti vimeshapangwa kabisa ambapo......
Vya mbele kabisa hukaa VIP wa Kikristo
Vya katikatika kabisa hukaa wanaojitahidi kuufukuzia u VIP wa Kikristo
Vya...
Ni Profesa Jay, Ni Rafiki Wa Wengi...
Ndugu zangu,
Zimenisikitisha sana, taarifa za maradhi yenye kumsibu ndugu yetu Joseph Haule, maarufu kama Profesa Jay.
Profesa Jay ni rafiki wa wengi. Ni...
Tabata wamzomea Makamba
*Ni wakazi waliovunjiwa nyumba zao
*Amnyang'anya kipaza sauti mjumbe wa shina
*Ni baada ya kupinga ushauri aliotoa kwa wakazi hao
* Wakataa kuchukua viwanja mpaka...
Msanii wa kizazi kipya, Rayvanny aliyeshinda tuzo ya BET kipengele cha International Viewers Act 2017, atawasili nchini leo saa 8 mchana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...
Mpiga picha wa Harmonize na yeye aondoka Konde Gang.
@jabulant_ ambae alikuwa mpiga picha wa msanii wa Bongo Fleva @harmonize_tz ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na msanii huyo ambae ni...
Mkali wa Miondoko ya RNB Bongo Ben Pol ambaye yupo kwenye penzi zito la Mwanadada Mchekeshaji Ebitoke amesema kuwa wanaodhani kuwa mapenzi ya wawili hao ni kiki wasubiri kuona ndoa imefungwa...
Nawasalimu JF kwa salamu ya Hi Five...GOOD!
Niende kwenye point.
Ninaweza kusema naongozwa sana na hisia zang tu (Emotion), hata akili natumia pia., na kwa bahati mbaya sana sikuwa mshabiki...
Kwa wale ambao ni wafutiliaje wazuri wa mtandao wa Instagram, Jina la Hush Puppy lazma litakuwa sio jina geni kwako. Hush Puppy kijana wa ki Nigeria mwenye mbwembwe nyingi, Hush kijana ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.