Msanii Nikki wa Pili ambaye ni miongoni mwa wasanii wachache wanaofanya uchambuzi wa masuala mbali mbali ikiwemo uchumi wa taifa, ametupa jiwe gizani kuhusu sera mpya ya viwanda.
Kupitia...
Msanii wa muziki wa bongo fleva Harmorapa amefunguka na kusema kuwa katika mwaka 2017 amehangaika kulipata penzi la mwanadada Wema Sepetu kiasi cha kuamua kwenda kwa mganga wa kienyeji mara tatu...
Kama umekuwa mfatiliaji wa online tv kuna hii Masanja tv ina mwanahabari anaitwa Yusuph Magupa, jamaa ana kipaji sana sema Masanja TV pale siyo mahali sahihi kwake.
Jamaa anahitaji mtu ampe...
Leo boxing day tarehe 26 msanii Alikiba aliahidi kufanya tamasha kubwa la funga mwaka na kushukuru mashabiki zake pamoja na kuzindua bidhaa zake mpya sokoni katika eneo la Escape one
Lakini...
Tunakupenda ww na mzazi mwenzio Chibu mnajitahidi sana kujitoa kwenye social media najua ndo sehemu ya maisha yenu mana bila hivyo nafikiri mngepotea ,
Una watoto 5 uliowazaa mwenyewe basi na...
Mimi naanza na Jide na Mwana FA!
Hakuna msanii ambae amefanya collabo nyingi na Mwana FA kama Lady Jay Dee a.k.a komando Jide.
Kama wasemavyo wahenga, rafiki yako mkubwa anaweza akawa adui yako...
WAPENDWA BWANA YESU ASIFIWE;
kutokana na maisha magumu na yaliyojaa na kila aina ya mkanganyiko wanadamu wengi tumexchanganyikiwa na kukuta tunafanya mambo yasiyokuwa sahihi.kibaya zaidi naamini...
Ndugu zangu wana JF mie sie mpenzi sana wa hili jukwaa ila kwa siku ya Leo imenibidi niingie hivyo hivyo
Miaka 7 nyuma Tanzania ilipiga hatua kubwa sana kwenye tasnia ya filamu na tasnia hii...
"Diamond is on probation and is managing well so far. I can even date 100 men because I love being loved, even if I leave Diamond today I will date someone else tomorrow. Diamond is still fighting...
Mafikizolo alikuwepo na tingdis alikuwepo tatizo zari ali alika watu wengi mno ila mondi kanunua pombe chache mno ndo kisa watu kusepa mapema na kuwaacha wamatumbi wa wcb pekeyao.
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
Lagos jana palikuwa na show ya kukata na shoka pale mwamba wa africa adeleji au wizkid alipoitisha show ALIYOIPA...
Huyu jamaa yuko wapi mbona kapotea haraka kusikojulikana? Meneja wake atoe majibu haraka tujue jamaa yetu yiko wapi na nini kimemsibu maana tulitegemea msimu huu wa sikukuu angemuandalia tena show...
Huku ukonga kuna hawa wasanii walikuwa wanaitwa Mapacha Wawili walitamba na kibao chao cha "Ni Rafiki tu" ni watu watu waliopoteza uelekeo na tunasema bolts zimechomoka yani no network at all...
RASILIMALI MKE.
Ukiujua huu Utamaduni vizuri, utapata Mke Mwema na mlezi wako kutoka Mabinti walio wahi kushiriki Mashindano ya Warembo. Vichupi vyao jukwaani sio tija ila ni jàdi ya mashindano.
Halla kwa wanajamii wote, huku tukiendelea kuenjoy long weekend ebu tujadili kidogo.
Kama kawaida napenda muziki mzuri pasipo kuwa na ushabiki au team maandazi. WCB nawakubali sana, kumejaa...
Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana...
bizzman alitoa wimbo wake mmoja mkali, ulikua ukichezwa daily radio one sterio.
ulikua unaitwa "ametoroshwa mpenzi wangu"
hihi kisa naona kama ni cha kweli maana jamaa alikua analalamika sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.