Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimegundua kwa nini Diamond hutoa nyimbo hata tano ndani ya mwezi mmoja na akitulia kwa muda wa mwezi bila kutoa wimbo anafutika ghafla kwwnye ulimwengu wa muziki. Hii itakuwa inatokana na nyimbo...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wadau Leo tarehe 22/12/2017 ni siku maalumu sana kwa Watanzania wote kwani ni kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari za jioni Leo 30/11/2017 wakati wa kipindi cha jahazi kinaanza nimeshituka kusikia wimbo wa Ruby_sijuti kwa mara nyingine ukipigwa redioni clous baada ya huyu mdada kupotea katika gemu...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
  • Closed
Habari za jioni.. Kama kawaida nipo hapa Kampala leo kuna party mbili, ya Zari na ya Hamisa halafu zote zinafanyika kumbi jirani. Ni shidaaah
5 Reactions
131 Replies
26K Views
Nimekuwa nikitamani kumjua kwa jina ili nipate kupakua wimbo mmoja huwa napenda kuusikia kwenye Super Mix ya Ea Radio, sijui jina la wimbo ila nadhani unaitwa Vuma. Kacheza kionjo kwenye kipindi...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Baraka da prince katoa ngoma iitwayo "Nipe nguvu" ni ngoma Kali ila cha ajabu viewers wake uko you tube wanapanda na kushuka. Ebu msome fuatilia habari hii moja ya shabiki zake anavyosema hapa...
0 Reactions
24 Replies
6K Views
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa.. Nipo hapa Kampala katika pita pita yangu mtaan nakutana na mabango na vipeperushi vinavyosomeka kesho tarehe 21.. Kutakuwa na party ya kufa mtu...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Zari Akutana Na Hamisa Uganda Atoa Sababu Kwanini Hataki Interview
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Naona graph ya richi mavoko tokea ajiunge wasafi inazid kupanda day after day. Kwa wale tuliokuwa tunalalamika na kumponda kwa nn mavoko kajishusha kwnd kusimamiwa kazi na lebel ya wcb, kwa kweli...
6 Reactions
32 Replies
6K Views
Hivi nini kinaendelea kwa huyu bi dada loveness love a.k.a deeva wa clouds, kwasababu lately amekuwa akipost Instagram ujumbe ambao katika hali ya kawaida unaweza kuhisi kuwa hayupo sawa kabisa...
25 Reactions
160 Replies
22K Views
Sasahivi tunabanana hapa hapa, siamini kama nawewe (Sepetunga) sikuhizi unafanyia shopping kariakoo. Ahsante Mr President.
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Daah kwa sisi club bangers hii inakuwa zawadi nzuri sana kwetu sisi kipindi kama iichi karibia na sikukuu .....msanii rayvanny kaachia bonge la ngoma umo ndani yumo na madj wawili mmoja wapo ni dj...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Muda mrefu kumekuwa na minong'ono ya chinichini kwamba kuna baadhi ya wasanii pale WCB wana uwezo mkubwa tatizo nyota wengine uwezo wao mdogo ila wanabebwa na kiki. Wapo wanaodai Rayvann ndiye...
0 Reactions
72 Replies
23K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo Yule dada snura mush wa majanga anatafuta mwanaume wa kumupa mimba azae Sunura kaweka waz swala hilo baada ya dar...
2 Reactions
47 Replies
9K Views
Kweli pesa inambadilisha mtu, harmonize huyu huyu ambae alikua hajui hata kusema "thank you" leo anabonga ungeli kama hana akili nzuri, hofu yangu ni je alikiba tayari amesha weza na yeye?? maana...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
wakuu. ni furaha kubwa sana kwa watoto wa Diamond Tiffah na Nillan wakimsubiri Baba yao mdogo azaliwe ili waanze kucheza nae itakua furaha sana kumpata Baba mdogo a.k.a mtoto wa Shamte.
6 Reactions
49 Replies
8K Views
Nimeipenda nyimbo imekaa kiafrika ila nahisi beat ilitakliwa iwe better than that
1 Reactions
22 Replies
7K Views
Dk. Harrison Mwakyembe December 16, 2017 alizindua mfumo mpya wa Kieletroniki wa Utambuzi wa Wanamuziki ambao utaanza kutumika nchini kwa ajili ya kulinda maslahi ya wasanii. Moja ya vitu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwimbaji wa marekani Jason Darulo mwenye urefu wa meta 1.84 na hit maker wa Tip Toe alomshirikisha French Montana atataka Rayvvany wa WCB wasafi kushirikishwa kwenye remix ya Tip Toe hivi punde...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
=> Caption za Istagram naandika mwenyewe na naona naandika maneno ya kawaida wala simpigi mtu vijembe. => Watu wengi naona wanantukana Zari na yeye hapa hana ndugu kwahiyo nikiona hivyo lazima...
5 Reactions
125 Replies
39K Views
Back
Top Bottom