Nimegundua kwa nini Diamond hutoa nyimbo hata tano ndani ya mwezi mmoja na akitulia kwa muda wa mwezi bila kutoa wimbo anafutika ghafla kwwnye ulimwengu wa muziki.
Hii itakuwa inatokana na nyimbo...
Wadau
Leo tarehe 22/12/2017 ni siku maalumu sana kwa Watanzania wote kwani ni kumbukumbu ya siku aliyozaliwa Mh Kasimu Majaliwa ambaye ni Waziri Mkuu wa Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na...
Habari za jioni
Leo 30/11/2017 wakati wa kipindi cha jahazi kinaanza nimeshituka kusikia wimbo wa Ruby_sijuti kwa mara nyingine ukipigwa redioni clous baada ya huyu mdada kupotea katika gemu...
Nimekuwa nikitamani kumjua kwa jina ili nipate kupakua wimbo mmoja huwa napenda kuusikia kwenye Super Mix ya Ea Radio, sijui jina la wimbo ila nadhani unaitwa Vuma.
Kacheza kionjo kwenye kipindi...
Baraka da prince katoa ngoma iitwayo "Nipe nguvu" ni ngoma Kali ila cha ajabu viewers wake uko you tube wanapanda na kushuka.
Ebu msome fuatilia habari hii moja ya shabiki zake anavyosema hapa...
Habari zenu wadau wa jukwaa hili pendwa..
Nipo hapa Kampala katika pita pita yangu mtaan nakutana na mabango na vipeperushi vinavyosomeka kesho tarehe 21.. Kutakuwa na party ya kufa mtu...
Naona graph ya richi mavoko tokea ajiunge wasafi inazid kupanda day after day. Kwa wale tuliokuwa tunalalamika na kumponda kwa nn mavoko kajishusha kwnd kusimamiwa kazi na lebel ya wcb, kwa kweli...
Hivi nini kinaendelea kwa huyu bi dada loveness love a.k.a deeva wa clouds, kwasababu lately amekuwa akipost Instagram ujumbe ambao katika hali ya kawaida unaweza kuhisi kuwa hayupo sawa kabisa...
Daah kwa sisi club bangers hii inakuwa zawadi nzuri sana kwetu sisi kipindi kama iichi karibia na sikukuu .....msanii rayvanny kaachia bonge la ngoma umo ndani yumo na madj wawili mmoja wapo ni dj...
Muda mrefu kumekuwa na minong'ono ya chinichini kwamba kuna baadhi ya wasanii pale WCB wana uwezo mkubwa tatizo nyota wengine uwezo wao mdogo ila wanabebwa na kiki.
Wapo wanaodai Rayvann ndiye...
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyojieleza hapo
Yule dada snura mush wa majanga anatafuta mwanaume wa kumupa mimba azae
Sunura kaweka waz swala hilo baada ya dar...
Kweli pesa inambadilisha mtu, harmonize huyu huyu ambae alikua hajui hata kusema "thank you" leo anabonga ungeli kama hana akili nzuri, hofu yangu ni je alikiba tayari amesha weza na yeye?? maana...
wakuu.
ni furaha kubwa sana kwa watoto wa Diamond Tiffah na Nillan wakimsubiri Baba yao mdogo azaliwe ili waanze kucheza nae itakua furaha sana kumpata Baba mdogo a.k.a mtoto wa Shamte.
Dk. Harrison Mwakyembe December 16, 2017 alizindua mfumo mpya wa Kieletroniki wa Utambuzi wa Wanamuziki ambao utaanza kutumika nchini kwa ajili ya kulinda maslahi ya wasanii.
Moja ya vitu...
Mwimbaji wa marekani Jason Darulo mwenye urefu wa meta 1.84 na hit maker wa Tip Toe alomshirikisha French Montana atataka Rayvvany wa WCB wasafi kushirikishwa kwenye remix ya Tip Toe hivi punde...
=> Caption za Istagram naandika mwenyewe na naona naandika maneno ya kawaida wala simpigi mtu vijembe.
=> Watu wengi naona wanantukana Zari na yeye hapa hana ndugu kwahiyo nikiona hivyo lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.