Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kila nilipokuwa nikimtizama hasa anatangaza Taarifa ya Habari ya Runinga ambayo huwa inarushwa na Kituo cha Runinga cha Star tv kila Jumatatu hadi Ijumaa Saa 3 Kamili hadi Saa 3 Unusu nilikuwa...
10 Reactions
119 Replies
13K Views
Mpaka sasa ni moja ya redio maarufu kwa watu inatajwa sana kwa sasa=na clouds ... My note,walete burudani tu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Msanii wa muziki Bongo, Q Chillah amesema licha ya kuwa na njia mbali mbali za msanii kutangaza muziki wake bado atahitaji support ya media. Muimbaji huyo ambaye hivi karibuni ameachia ngoma mpya...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Ushahidi wa mkojo wa mwanasiasa Wema Sepetu umezusha mabishano ya kisheria baada ya Wakili Albert Msando kumhoji Inspekta wa polisi kama alikuwepo wakati mkojo huo " unapatikana na kuchukuliwa"...
3 Reactions
43 Replies
6K Views
Ni kawaida kwa binadamu ku shukuru/kum acknowledge binadamu mwenzie baada ya kufariki.Tabia ambayo imeota mizizi katika maisha yetu japokuwa sio tabia nzuri/mbegu nzuri ya kuipanda. Katika muziki...
1 Reactions
76 Replies
9K Views
Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond amesema mazungumzo katika kesi yake Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu upande wa watoto kati yake na mwanamitindo Hamisa Mobeto, imekwenda vizuri...
3 Reactions
22 Replies
9K Views
Joyce Kiria aibuka tena na issue ya mumewe lakini awamu hii amewachana wanaombeza. Instagram: joycekiriasuperwoman: Watu wangu Nifunzeni jinsi ya kusonya na kunyali nyumbu wote waliotoka povuuuu...
1 Reactions
114 Replies
14K Views
Tumelalamikia Kwa Mrefu Mno, Juu Ya Suala La Makampuni Ya Visimbuzi Kutuchaji Gharama Za Katazama Zile 5 Local Channel, Ambazo Tokea Awali Tuliambiwa Ni Za Bure,But Sasa Mwaka Na Nusu Tunalipishwa...
0 Reactions
1 Replies
813 Views
Hawa wanasiasa maarufu watatu ukiangalia historia zao za utotoni zinafanana wote wamepata malezi ya mzazi mmoja mmoja ( mama). Ila katika kuyafikia mafanikio ya kisiasa walipitia njia " ngumu"...
4 Reactions
12 Replies
2K Views
Hizi habari zingeanzia Tanzania tungesema jamaa kama kawaida yake anatengeneza kiki, kumbe ukweli ni kwamba, asilimia kubwa ya yale yanayosemwa kwamba jamaa anatengeneza kiki; huwa yanatengenezwa...
2 Reactions
41 Replies
13K Views
Ikiwa zimepita siku 10 tu toka tuanze mwaka huu wa 2018. Mwanzilishi wa Facebook Mark Zucckerberg ameshaingiza kiasi cha dola bilioni 4 ( TRILIONI 8.9 za kitanzania) kulingana na orodha ya...
10 Reactions
62 Replies
6K Views
mbosso khan anaendelea kutoa dozi ya kuua mtu. wale haters endeleeni ila jueni ajaja kushndana na mtu anafanya yake mziki mzuri unaongea hakuna anaeweza zuia hii talent.... watu wanaweweseka...
0 Reactions
32 Replies
21K Views
Naangalia hawa madogo,naona leo ni stori za diamond tu karibia lisaaa lizima,huku wakimpiga vijembe Sallam eti awaachie msanii wao...kumbe wanampenda sana Chibu na wananjua kabisa bila chibu...
0 Reactions
31 Replies
9K Views
Wadau baada ya Abdu kiba kutoa kibao chake cha Jeraha siku moja mbele Timbulo naye akatoa kibao chake akikiita Promise, Jeraha na Promise zina mashahiri yaliyofanana neno kwa neno! sikiliza hapa...
1 Reactions
15 Replies
7K Views
Mfanyabiashara na mchekeshaji maarufu bongo Idriss Sultani amekiri wazi kwa sasa wanawake wengi na warembo wanamuogopa kuwa naye kwenye mahusiano kutokana na kazi yake pamoja na umaarufu alionao...
2 Reactions
36 Replies
8K Views
Nampenda sana mwanamke huyu na popote alipo sifa zangu toka moyoni zikufikie. Nimemtafakari kwa kina sana na kujiuliza kwanini mabinti bongo wamemjengea chuki Jibu; Zari ni mzuri hakuna...
5 Reactions
166 Replies
38K Views
Clouds media wamekuwa miungu watu kwa mrefu kwenye Tasnia ya muziki na wanahisi wanaweza kufanya watakalo kwenye muziki Wamwkuwa watu wa fitina,wanyonyaji na wanafiki Nani asiyejua kuwa ruby...
9 Reactions
48 Replies
6K Views
Huu ndo wakati wa media nyingine kujitengenezea biashara kwa kuongeza wafuasi ukizingatia team chibu kwa sasa imeanza kujenga chuki kwa clouds kutokana na mgogoro unaoendelea so ikitokea media...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Rose Ndauka MUIGIZAJI mwenye mikogo Bongo Muvi, Rose Ndauka amefunguka kuwa anatamani sana kuongeza mtoto mwingine kutokana na raha anayoipata kutoka kwa mtoto wake huyo wa kike aitwaye Naveen...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Back
Top Bottom