Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwenye wimbo wa Bongo Hip Hop wa FidQ kuna mstari unasema hivi:- "Sio tu BONGO mpaka NG'AMBO hakuna UHURU wa HABARI... kuna uhuru wa mwenye CHOMBO, MITAMBO na mwenye MALI... Kujifanya hawasikii...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalaam wana JF... Ni ukweli ulio wazi vyombo vyetu vyote vya habari vinatabia zinazo fanana na vinatofautiana sana kwa kiasi kidogo sana vyombo vyote vinapenda kubembelezwa ,kuabudiwa,kusifiwa...
11 Reactions
68 Replies
12K Views
Mpaka sasa hawaamini hao Clouds, waendelee kukuina kichwa sanaaaa Hili jembe lishatoboa tundu muda sanaa, wamechelewa waendelee kujipanga kwa hao wengine walokubali kunyanyaswa Kwa sasa...
7 Reactions
21 Replies
45K Views
Kwenye ukurasa wake wa instagram amesema wcb__wamekataa__kuwakaa Je ana maana gani? UPDATES
1 Reactions
73 Replies
13K Views
Mtakumbuka siku ya leo, Meneja wa Diamond ametokwa na mapovu balaa akimshambulia mtu ambaye alikuwa hamtaji jina, badae akaahidi kusema ukweli kama alivyoandika hapa => Meneja wa wcb sallam sk...
5 Reactions
70 Replies
15K Views
SOURCE: MWANANCHI Waswahili wanamsemo wao usemao ajali kazini. Hivyo ndivyo ilivyotokea kwa Msanii wa Bongo Fleva, Naseeb Abdul maarufu Diamond ambaye amewasili katika viunga vya Mahakama ya...
1 Reactions
40 Replies
9K Views
Kubali ukatae habari za kimbeya nyingi zinatoka WCB so msifikirie anguko la WCB kumbuka hata wao clouds watasheki. Ngoja tuone mwisho wake.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
KISUTU: Leo Februari 8, 2018 msanii Wema Sepetu amafika Mahakamani hapo kwa ajili ya kufatilia kesi yake ya kukutwa na msokoto wa Dawa za Kulevya aina ya bangi. Wema amefika Mahakamani hapo akiwa...
1 Reactions
7 Replies
7K Views
Hatari sana haya mambo,mzuka wa queen Darlin leo akiwa jukwaani Mwembe yanga kumkaribisha Mbosso. Darlin alidhihirisha maana halisi ya wimbo wake ntakufirisi...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Toni Braxton recently dropped by Good Morning America on Jan. 25 to promote her forthcoming film, Faith Under Fire, and spilled some serious tea about her budding romance with Cash Money mogul...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Moja ya kipande chake cha ngoma mpya inaonekana 20 Percent akiwachana kiaina Clouds Fm kwa kuwaaambia ukitaka kudhalilishwa Nenda Clouds hata Sketi watakuambia uvae.kwa Mwendo huu sijui kama tutafika
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Mwanamuziki aliyeuteka ulimwengu wa Bongo fleva Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ amejikuta ndani ya skendo nyingine baada ya mwanadada mrembo anayeitwa Mia kukiri kuwa alilala na nae nyumbani kwake...
3 Reactions
66 Replies
16K Views
Hivi huyo kijana ana umri gani? Unajua kuna umri mtu unaweza kuwa mapepe lakini ukiona umri umezidi lakini bado tu una mapepe fulani ambayo wanaume wengine hawana, unatakiwa ukalishwe chini...
1 Reactions
53 Replies
6K Views
  • Closed
Jamani, tumechoka kumsikia Ruge Mutahaba kwenye kashfa zisizokuwa na kikomo. Kuanzania Malaria NO More, hadi Sakata la Lady JayDee. Ruge anatuhumiwa kuwa kiongozi katika kuziba rizki na maslahi za...
0 Reactions
44 Replies
36K Views
Dar es Salaam. Mmoja wa mameneja wa Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz, Sallam Sharaf amekanusha kuwa na matatizo na uongozi wa Clouds Media Group na kwamba wana ushirikiano mzuri wa...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Sitii, wala kuongeza neno, alichosema ni: Kumbe tatizo ni kumpoteza huyu kijana?????? Waambie familia yako na wazazi waliyokuleta katika haya maisha huyu MTOTO kaletwa kwa makusudi maisha haya...
1 Reactions
41 Replies
9K Views
  • Closed
Sina nia yakumdhalilisha au kumtusi au kumdhihaki Mange Kimambi lakini huwa najiuliza huyu dada kweli yuko sawa kiakili? Ukiangalia matendo yake, maneno yake, haiba yake na maandishi yake unapata...
0 Reactions
41 Replies
8K Views
Mkali wa HipHop Bongo Fid Q ameonekana kukamatika kimahaba kwa mrembo ambaye amemtambulisha nyumbani kwao Mwanza na ameiambia eNEWZ kuwa kwa sasa yupo kwenye mahusiano rasmi. Fid Q amesema...
1 Reactions
31 Replies
13K Views
I grew up listening to Bob Marley. His music influenced me in so many ways and continue to do so. From his politically charged lyrics, to songs of freedom we are all witnesses to one of God's...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom