Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

STAA wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, anadaiwa kumtia matatani askari magereza mmoja ambaye jina halikupatikana mara moja, Ijumaa Wikienda lilishuhudia mkanda mzima. Ndani ya...
2 Reactions
48 Replies
9K Views
mbosso khan aka mshedede ametuletea kitu kipya chakuitwa Alele. balaa alilokuja nalo huyu mnyama ndio maana watu wamepagawa wanataka kukata umeme tishio jipya mjini mhind wa kusin
2 Reactions
47 Replies
21K Views
MWANADADA kutoka kiwanda cha filamu na muziki Bongo, Baby Madaha ameeleza kuwa katika maisha yake hakuna kitu kilichowahi kumtafuna na kumletea shida kwenye familia yake kama skendo ya kutumia...
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Habari wadau. Nipo benki Fulani napata huduma muda huu saa sita na dk 16 mchana. Wamefungulia clouds TV ila sauti hakuna. Kuna mgeni wa kike kavaa kigauni chekundu na viatu vya haja. Huyu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwanna Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Hapo kipindi cha nyuma ngosha the don alihusishwa kuwa na beef na john makin mwamba wa kaskazin Beef hilo...
7 Reactions
78 Replies
11K Views
Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo na Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amesema kuwa jana jioni alikwenda Genk nchini Ubelgiji nyumbani kwa Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars...
1 Reactions
4 Replies
4K Views
Na kwa sasa clouds wanampandisha Aslay achukue nafasi poleni sana wale wanazi wa kiba. Ni msanii Fulani mbovu mwenye nyodo anayeishi kwa kivuli cha diamond
2 Reactions
37 Replies
6K Views
Bodigadi wa Diamond, Mwarabu Seleman Mirundi, akifanya mazoezi ya kikomandoo kwenye msitu wa chuo kikuu kuhofia watu wasione mazoezi yake. Juu picha za wanajeshi wa Irani ambao pia ni...
9 Reactions
244 Replies
68K Views
East Africa radio wamegoma kucheza nyimbo za WCB lakini Leo hii nimewasikia wakipeperusha tangazo la Diamond Platnumz la Diamond Karanga huku wakilipa promo kubwa sana.. Pia na Clouds Fm radio...
1 Reactions
39 Replies
9K Views
halla jf... kama kawaida jumapili nipo nyumbani nimechill kuisindikiza weekend, kwa kawaida mara nyingi mm sio mdau wa clouds radio/tv, kwa hiyo top 20 huwa sisikilizi sana, badala yake huwa...
1 Reactions
47 Replies
7K Views
Jamaa anafanya tour kwenye redio zisizo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata za Dar esa salaaam hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm tatizo ni nini hivo ivi redio havina impact...
0 Reactions
48 Replies
8K Views
Kwa wapenda ubuyu, Mange kaliamsha dude huko.. Part 1. Mimi Tena nilete janja janja ya Sallam toka lini?? . . Story iko hivi. Mnaonijua toka enzi za uturn I think mtakuwa mnakumbuka kuwa...
20 Reactions
225 Replies
46K Views
Hawa clouds ni wazi bwana makonda ana kila haki ya kutowaomba msamaha na kubaki na msimamo wao Clouds ni chombo cha habar cha kuchunga sana,ni kama kakundi Fulani kakujenga fitna na kuongeza...
7 Reactions
30 Replies
4K Views
Toka asubuhi mambo huko insta yamekuwa wanaita ...hiviiiiiii ...Maana mwanadada anakuja na list ya wanawake waliotembea na mmoja ya viongozi wakubwa kidini tena akidai anawala mkundy bila ajizi...
19 Reactions
242 Replies
30K Views
Beautiful onyinye wa bongo kama wanavyo muita watu. Miss Tanzania Wema Sepetu aka sepetunga ni kwamba ameshindwa kurudisha account yake ya Instagram ambayo inasaidika imekuwa hacked (Kudukuliwa)...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mwanandondi huyo mambaye kwa sasa amefungua shamba la ukubwa wa ekari 40, kwa ajili ya kilimo cha bangi, amejiweka karibu na mwanamuziki Snoop ambaye nae tayari anafanya shughuli za uzalishaji wa...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Rachel najua upo humu JF. Najua nikikushauri utaniblock. Baada ya ile hotel kutangaza offer yao ya Tsh 22,400,000/=, huyu mdada akaanza kupost hivi; Usiyemtaka amekuja mwenyewe. Ukiona manyoya...
10 Reactions
518 Replies
59K Views
Kwakweli Mungu yupo jamani Yani kwa many any aso wanayotoa Clouds Fm kwa wasaniii wengi nchini ni afadhali WASAFI wameingilia kati wakaweka Radio na TV yao... Tunaamini WASAFI hawana njaa za...
10 Reactions
160 Replies
25K Views
Mwanandondi msataafu ameripotiwa kufanya kazi na mwanamuziki Snoop Doggy huku akijifinza kuhusu bangi. Mwanandondi huyo mambaye kwa sasa amefungua shamba la ukubwa wa ekari 40, kwa ajili ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Joseph Kusaga mmliki wa Clouds media ndio mtu anayeni inspaya kwa biashara zake haswa upande wa media. Ni ndoto yangu kufikia mafanikio kama yake. Ni mfano wa kuigwa kwa vijana wengi. Lakini...
20 Reactions
123 Replies
13K Views
Back
Top Bottom