seansenior
Member
- Jan 30, 2018
- 10
- 17
Clouds media wamekuwa miungu watu kwa mrefu kwenye Tasnia ya muziki na wanahisi wanaweza kufanya watakalo kwenye muziki
Wamwkuwa watu wa fitina,wanyonyaji na wanafiki
Nani asiyejua kuwa ruby alinyonywa kwa kupewa pesa ndogo kwenye shows zao mpaka akagoma na wakaamua kutopiga nyimbo zake kabisa FITNA
Hawapigi tena nyimbo za lady jay dee eti ugomvi wake na gadner
Fid q alisema "wanataka kumshusha mmoja ili mwingine awe juu"
Nafikiri for the first time watakuja kufail kwa huyu kijana mchapakazi believe me or not clouds are exploiters of artists works
Wamwkuwa watu wa fitina,wanyonyaji na wanafiki
Nani asiyejua kuwa ruby alinyonywa kwa kupewa pesa ndogo kwenye shows zao mpaka akagoma na wakaamua kutopiga nyimbo zake kabisa FITNA
Hawapigi tena nyimbo za lady jay dee eti ugomvi wake na gadner
Fid q alisema "wanataka kumshusha mmoja ili mwingine awe juu"
Nafikiri for the first time watakuja kufail kwa huyu kijana mchapakazi believe me or not clouds are exploiters of artists works