Ketoka
JF-Expert Member
- Sep 23, 2015
- 1,087
- 1,913
Muimbaji Shilole amezungumza na Ayo TV pamoja na millardayo.com ambapo amesema kuwa anatamani sana siku moja kuteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya ya Igunga mahali ambapo ndipo alipotokea, Shishi amesema kuwa anatamani kuiongoza Igunga hata kama kwa nafasi ya Udiwani ili aisaidie na kuiendeleza kwenye mambo mengi.
Shilole amekiri kwamba yeye ndiye mtu aliyeifanya Igunga ikajulikana hivyo ataweza pia kuifanya Igunga ikaendelea kiuchumi na hata kuitangaza zaidi kupitia jina lake.
Shilole amekiri kwamba yeye ndiye mtu aliyeifanya Igunga ikajulikana hivyo ataweza pia kuifanya Igunga ikaendelea kiuchumi na hata kuitangaza zaidi kupitia jina lake.