Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Baada ya kuwa katika upinzani wa muda mrefu, hatimaye wasanii nyota nchini Tanzania, Diamond Platinum na ALIKIBA wamekutana na kumaliza tofauti zao za muda mrefu. Hatua hiyo imepokelewa kwa...
3 Reactions
40 Replies
58K Views
Kiba ana roho mbaya , roho ya kukunja ndio maana kila jambo analolifanya hafanikiwi. Dharau kama hizi zitamponza.
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Amefanya unyama huo na kutokomea kusiko julikana, kampiga kisu cha sikio mamake na kuliacha sikio linaning'inia kisa eti anamroga ndio maana nyimbo hazivumi. source : clouds fm
4 Reactions
127 Replies
37K Views
Raha ya kuachwa jaribu kuchagua mpz ambaye hata ex wako akimuona au akimsikia roho inamuuma na sio kutafuta bwegeee.. Asilimia kubwa hilo hatulijui muumize ex wako kwa kutoka na mtu aliye juuu...
1 Reactions
99 Replies
11K Views
Kwanza: kabisa nianze na wasafi fm ambayo ipo nyuma ya Paul makonda, hawatoweza hata siku moja kuizima CLOUDS fm ingawa wana Matatizo Yao ikiwemo kuwanyonya wasanii watu wengi tuliamini E fm ndo...
5 Reactions
114 Replies
16K Views
Wentworth Miller, Maarufu zaidi kama Michael Scofield Mwigizaji Victor Garber Ricky Martin Adam Lambert Anne Burrell na patna wake Neil Patrick Harris na patna...
1 Reactions
89 Replies
51K Views
Habari zenu wakuu kwema??..Ni hivi kume kuwa kuna huu msemo ni wa mda kidogo unaitwa Konk huu msemo ni msemo wa miaka kama 3 au mi 4 ivi imepita na huu msemo muanzilishi wa huu msemo ni Huyu dogo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
1. Ali kiba Moja kati ya wasanii ambao wamejaaliwa kipaji na sauti nzuri ila jamaa anajiamini kupita kiasi na ili akubali ushauri au idea ya kuendeleza kipaji chake nguvu kubwa sana inahitajika...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Sam Mahela ni kijana bora kabisa anayechipukia kwa kasi zaidi ktk tasnia ya habari nchini. Kijana Sam asipoonekana kwenye taarifa ya habari ya saa 2 pale ITV usiku wangu ukosa raha.Zaidi sana...
0 Reactions
82 Replies
15K Views
Mtoto wa Konki konki konki Master Dudu Baya amefunguka kuhusu tuhuma zinazomkumba baba yake za kumuhusisha na ushoga na kusema baba yake siyo shoga. Wille amesema anachofanya baba yake ni kuwataja...
1 Reactions
9 Replies
6K Views
Bondia asiyepigika mwenye pesa chafu ambaye pia anashika namba moja kwa wanamichezo walioingiza pesa ndefu zaidi mwaka huu pia anashika nafasi ya tatu kwa wanamichezo wenye pesa zaidi duniani...
1 Reactions
27 Replies
4K Views
Pancho Latino maarufu 'Mafia' amefariki dunia kwenye ajali ya kuzama kwenye maji wakati anaogelea kwenye kisiwa cha Mbudya, jijini Dar es Salaam Pancho alikuwa mtayarishaji wa muziki katika...
23 Reactions
660 Replies
111K Views
Sina uhakika kama ndo lilikua jina lako lakini nina uhakika ni hilo sijakosea. Pascalina nimependezwa mno na juhudi zako kama mwanamke kujiinua kiuchumi kuliko wanaokaa wanasubiri kuolewa...
3 Reactions
6 Replies
1K Views
Msanii mkongwe wa muziki wa hip hop nchini Dudu Baya amefunguka maana ya ‘Konki Master’, hii inakuja mara baada ya msemo huo kujizoelea umaarufu kwa muda mfupi tu tangu alipoutumia. ”Konki ni mtu...
0 Reactions
20 Replies
16K Views
Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imesema kampeni ya kuwasaka watu wanaojihusisha na vitendo vya ushoga inayoratibiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
1. Emelda Mwamwanga - Bang! Magazine 2. Ridhwan Kikwete - UVCCM 3. Constantine Magavilla - ZAIN 4. Zitto Kabwe - CHADEMA 5. Elsie Kanza - State House 6. Kelvin Twissa - Zain 7. Modesta Mahiga...
1 Reactions
95 Replies
27K Views
Baada ya Wasafi TV kufanya vizuri kila kona ya TZ sasa Wasafi FM Coming soon,ila huku sasa kwenye radio station ndo kwenye ushindani halisi,ngoja tuone
1 Reactions
42 Replies
8K Views
Mtangazaji ‘ Kipenzi ‘ cha wengi Cloudstv360 Babie Kabae katika hali isiyokuwa ya kawaida leo asubuhi aliweza kutoa ‘ dukuduku ‘ lake moyoni kwa kumshauri Rais JPM ajitahidi awe anatenga muda...
3 Reactions
25 Replies
5K Views
Alipozaliwa wazazi wake wakamwita Godfrey William Tumain....... Baadae sasa akaanza kujipachika majina ya ajabu ajabu tu......mara:- Ngumi jiwe....akaibuka na jina lingine....Mapafu ya...
0 Reactions
38 Replies
13K Views
Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu. Dudubaya kupitia...
3 Reactions
104 Replies
18K Views
Back
Top Bottom