Labda ndo nazeeka,labda sijui trends kwa sasa ndo aina hii ya muziki, muziki uunaboa wakuu, wasanii wanafanana uandishi, beat, sauti Kila kitu.
Tafuta ngoma zote zinazofanya vizuri uniambie...
Mwanamasumbwi asiyepigika, Floyd Joy Money Mayweather hatimaye asilimu na kuwa muislamu.
Floyd amechukua uamuzi huo mara baada ya kufanya utafiti wa kina na kugundua uislamu ndio dini ya haki na...
Habari waungwana,Msanii asiyeishiwa skendo Tanzania Baba Nyllan au Baba Makabila(Diamond Platnumz) anatarajia kafanya party kubwa hapo Juma Pili kwa kingiilio cha Dola za marekani 500 kwa tiketi...
Kiukweli nashangaa Joe ndio CEO Clouds Media Group ambao kwa sasa hawapigi nyimbo 100% from WCB hata zile za ft..
Hii inaonyesha namna gani picha haziendi kabisa.
Joe kuonekana pale hii...
Msanii wa muziki wa Bongo fleva aliyewahi kutamba na vibao vikali kama vile ‘Amore’ amefunguka na kudai anapendelea sana kufanya tendo la ndoa.
Baby Madaha ametoa kali hiyo ya mwaka na...
Mi nakazia tu...
Know how to sell,
Know what to sell,
know how to develop a product to sell,
Selling is the most important skill for any entrepreneur.
Kua na product / service / mtaji wa...
Huyu jamaa ni moja kati ya watu wasioongelewa kabisa hapa nchini hususani katika tasnia ya filamu za kibongo,japokuwa wengi wetu filamu za kitanzania zimetutoka kabisa mioyoni mwetu,ila kuna watu...
Serikali ya CCM ni ongopa kila wimbo ambao hauwasifii... Huu ni Wimbo wa Nay wa Mitengo unakwenda kwajina la ALISEMA,Tayari Nay anadai amepigiwa Simu Nzito hivyo ametuasa tusikilize wimbo huwo kwa...
HII KITU NIMEKIPATA KWA MSAADA WA MTANDAO WA DUBAI
Dah wana uturn ni kwa masikitiko makubwa mno nawaletea habari hii, Jokate kamnyakua Diamond kutoka kwa wema. Yani navyowaeleza ni kwamba kwa siku...
Siku ya leo umekua ya burudani tosha kwangu,kuna mapini yameshushwa leo kule Youtube.Video kali na burudani imeenda kwa Lavalava,wimbo bora kwa Nay wa mitego na burudani imeenda kwa Maua sama...
Ripoti: Wasanii 10 wa muziki wanaotajwa kulipwa pesa nyingi kwenye show Tanzania!
Tasnia ya muziki nchini Tanzania na Afrika Mashariki inakuwa kwa kasi zaidi licha ya kuwa inakumbwa na changamoto...
Felix Wazekwa amtungia Papa Simaro Lutumba ngoma hii. Lutumba 80 kazawadiwa mtaa Kinshasa (Avenue Lutumba Simaro) na Kabila na Kuchongewa sanamu kama ilivyo kwenye hiyo video. Kizuri zaidi...
Nimeshangaa, Nimesikitishwa Na nimehuzunishwa Kwanini Vyombo Vya habari Vikubwa Tanzania Kama ITV,TBC,STAR TV,CLOUDS TV,Na vingine Vimekaa Kimya Katika Kureport Tukio alilofanya Diamond Leo...
Msanii Diamond Platnumz ambaye anasheherekea siku ya kuzaliwa kwake Uko kwao Tandale.Mambo yamekuwa si mambo Wageni walikwa mbalimbali wamealikwa ikiwemo
Haji manara
Vanesa Mdee
Reginald Mengi...
Salute..
Kwa wale vijana wa zamani, mnzikumbuka muvi za wakongwe wakali wa kung fu kutoka China. Enzi hizo miaka ya 70 Hongkong ndio kulikua Na solo LA filamu huku muvi karibia zote zikitengenezwa...
Katika kusherehekea siku yake ya kuzaliwa msanii wa muziki wa Bongo Fleva nchini Tanzania, Diamond Platnumz amewaahidi mambo yafuatayo wakazi wa Tandale (mahali alipozaliwa na kukulia)...
1...
Ubuyu unaoenea kwa siri kwenye mitandao ya kijamii kwa sasa, ni kuhusu ndoa ya super star Wema Sepetu inayotarajiwa kufungwa hivi karibuni.
Chanzo cha ubuyu kinaeleza kuwa hatua zote muhimu...
Nina mdau wangu mmoja yeye ni shabiki mkubwa wa bwana kiba ila kakata tamaa kabisa kwa sasa..
Mtazamo wangu kwa bwana kiba ni kwamba....
Nyimbo aliyotoa na kundi lake ni ya kawaida, ci ya kuimba...
Kendrick Lamar,
Tarehe 25.06.2018, ndani ya jengo la burudani la L.A Live, lililotulia pale kwenye Mtaa wa South Park, Downtown, Los Angeles nchini Marekani, kituo maarufu cha televisheni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.