Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nina mdau wangu mmoja yeye ni shabiki mkubwa wa bwana kiba ila kakata tamaa kabisa kwa sasa.. Mtazamo wangu kwa bwana kiba ni kwamba.... Nyimbo aliyotoa na kundi lake ni ya kawaida, ci ya kuimba...
3 Reactions
34 Replies
5K Views
Kendrick Lamar, Tarehe 25.06.2018, ndani ya jengo la burudani la L.A Live, lililotulia pale kwenye Mtaa wa South Park, Downtown, Los Angeles nchini Marekani, kituo maarufu cha televisheni...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Mwanahabari wa TBC1 Mbozi Katala amesema kwamba Diamond Platnumz alikuwa na maisha magumu sana hapo mwanzo maana kuna siku aliwahi kwenda TBC1 na kumwomba poda. Ameongeza kuwa siku hiyo hakuingia...
5 Reactions
31 Replies
11K Views
Kwenye nchi za Ulaya na Marekani ni ufahari mtu kununua kitu chochote kile kilichotumiwa au kumilikiwa na mtu maarufu ama mashuhuri kwa bei kubwa sana na kuhifadhi kwenye majumba yao. Lakini ni...
7 Reactions
57 Replies
5K Views
Akiwa anamtakia birthday mond
2 Reactions
59 Replies
7K Views
Waungwana karibuni kwa maoni yenu. Ni matumaini yangu nyimbo zote mbili mmeshazisikia sasa ni wakati kutoa maoni yenu je ni wimbo upi umekubamba zaidi kati ya Hamissa Mobetto "madam hero" na wimbo...
1 Reactions
19 Replies
6K Views
Mmh hilo jumba la diamond alilopost huko insta ni balaa, hamisa alikua Ana haki ya kuroga aiseh🤣🤣, hongera bwana chibu, halafu nilisahau kukuwish na Mimi , HAPPY BIRTHDAY...
8 Reactions
177 Replies
37K Views
Unakumbuka Video ya Nitarejea ya Diamond? Basi yule msichana aliyeshirikiana naye katika huo wimbo hali yake si nzuri kisanii na kimaslahi pia kisa cha kusema kuwa anauchukia huo wimbo kwani...
7 Reactions
97 Replies
36K Views
Wakati wa The Jackson Five Jamii iliwapokea na kuwakubali kama kundi la Muziki lililosheheni vipaji. Baadae ilibainika kuwa Michael Jackson alikuwa na kipaji maalum kuliko wenzake, na tena haikuwa...
1 Reactions
17 Replies
4K Views
Habarini zenu. Msanii Ali Kiba anatarajia kudondosha nyimbo yake mpya inayokwenda kwa jina la HELA itakayo anguka muda wowote kuanzia sasa Huko mitandao ya kijamii imefulika na kuwa na shauku...
2 Reactions
64 Replies
25K Views
Sina uzoefu na kupost humu ndani ila hii kitu imenishangaza. Nilikuwa naangalia Enews mahojiano ya "Y Tone" kuwa kuna picha yake inasambaa amevaa shanga kiunoni kwa jinsi anavyojibu ni kuwa Mara...
2 Reactions
20 Replies
6K Views
Jana nilikuwa buzy kinyama kumfanyia Mama yangu Birthday Yes nimesharudi Tz So nikatonywa kwa Sepenga nae Anabirthday siku ya jana Wow WEMA na My Mom wanashare same Birthday Happy Belated...
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Watanzania wakikutolea uvivuu kwenye mitandao ya kijamii utakubali show tuu.. Alikiba Katoa wimboo mbovu Sana ambao Audio yake aliitoa zamani now kafanya Video.. Kiukweli Nyimbo ni Mbovuuu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Tangu ang'atuke WCB chama kubwa linaloshikilia muziki wa bongo kwa sasa(kubali au kataa huo ndo ukweli) kijana Mavoko anaonyesha jitihada za kuzaliwa upya kisanaa lakini changamoto kubwa naona...
4 Reactions
89 Replies
16K Views
Tofauti na matarajio ya wengi , Leo ni birthday ya mwanamuziki mkubwa nchini , Diamond Platnum's , hivyo watu walitegemea birthday wishes za kumiminika kutoka kwa mastaa wenzie, Ila hali imekau...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Doh Shikamoo KIKI Kwahiyo keshapatikana Tz Sweet Heart au? Hizi mambo za kunyang'anyana majina mbona mambo ya kiduanzi sana utoto mwiiingi mbona majina yako mengi. Haya basi kama langu...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Kwa wale wanaosomea marketing au sheria watakua wanaelewa zaidi mambo ya BRAND PERSONIFICATION , na intellectual property rights ( patents , copyrights, trademark n so on). Wasanii wengi wanakua...
7 Reactions
52 Replies
5K Views
Ndugu zangu kama ilivyokawaida ile redio station pendwa super brand namba moja nchini clouds FM na clouds media, wameanza msimu mpya wa tamasha lao la fiesta. Katika hali ya tofauti kabisa na...
2 Reactions
27 Replies
6K Views
Mbaya zaidi kaongeza na "PROUD OF YOU" Kama Bosi mwenyewe anamkubali D 100% Vijakazi wanatoa wapi jeuri ya kumdindia kijana wetu?
3 Reactions
16 Replies
7K Views
Back
Top Bottom