Mkuu wanaimba kawaida sana hao jamaa '' halafu beats za nyimbo zao bado hazi toi ruksa ya wao kuweza kuliteka soko ..... ALI K anapaswa kubadilikaMaana hata uimbaji wamebadilika sana...
Hakika Kiba umewapika wakapikika hawa vijana...
Nawaona hawa madogo wakifika mbali...
Basi sawa...
Nyimbo mbaya tena sana"... hao majamaa wanaimba kiboya boya sana " hata uandishi wao pia umepitwa na wakati uliopo "...Hivi Ali kakumbwa na nini mbona ngoma zake na hao vijana wake zimepwaya sana? au ule mkono pale leaders uliondoka na nyota yake? very Sad wimbo gani sasa huu?
Ushajua mabinti wanampenda Diamond na wewe umeenda upande huo huo.Mimi team kiba " lakini nasema kwamba nyimbo mbovu ".... na hao majamaa uimbaji wao ni wakawaida tu
Ahahaa mkuu mimi nampenda sana Ali k ... ila ananiangusha mnoo".... so nachokifanya ni kuusimamia ukweli hata kama una uma ".... Domo kamzidi vitu vingi sana Ali k " haswaa inapokuja katika suala la ku-target soko la walaji wa upishi waoUshajua mabinti wanampenda Diamond na wewe umeenda upande huo huo.