Zari kutua Tanzania Jumamosi hii ....

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,382
Habari njema kwa Team zari ni hii , Mama Tee, aka zari the bosslady , mrs King D atatua nchini Tanzania Jumamosi hii(Tarehe 4) kama balozi wa diapers za softcare kutangaza bidhaa hizo ambapo pia ataelekea mliman City kwenye duka la babyshopping kwa ajili kuhamisha watu kununua bidhaa hizo .


Nicheke kimanyema mie , kama nawaona mastaa wa bongo wana yojiarishia, maana najua siku hiyo hapatosha mujini , dar nzima itahamia mliman city na mbagala siku hiyo . Dah zari anazidi ku shine tu ***** . Zari atabaki kuwa juu

Hivi Team mange niwaulize, boss wenu alishawahi kuwa balozi wa nini
 
Habari njema kwa Team zari ni hii , Mama Tee, aka zari the bosslady , mrs King D atatua nchini Tanzania jumamos hii(Tarehe 4) kama balozi wa diapers za softcare kutangaza bidhaa hizo ambapo pia ataelekea mliman City kwenye duka la babyshopping kwa ajili kuhamisha watu kununua bidhaa hizo .


Nicheke kimanyema mie , kama nawaona mastaa wa bongo wana yojiarishia, maana najua siku hiyo hapatosha mujini , dar nzima itahamia mliman city na mbagala siku hiyo . Dah zari anazidi ku shine tu ***** . Zari atabaki kuwa juu

Hivi Team mange niwaulize, boss wenu alishawahi kuwa balozi wa nini 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ila Zari katunyoosha wanawake Africa mashariki, the more watu wana mu hate sijui fake anatumia k ndo Mungu anamfungulia milango, mama watano, mbaya zaidi had wanaume wanamtolea povu
ngoja aje D asafishe RUNGU
 
Habari njema kwa Team zari ni hii , Mama Tee, aka zari the bosslady , mrs King D atatua nchini Tanzania jumamos hii(Tarehe 4) kama balozi wa diapers za softcare kutangaza bidhaa hizo ambapo pia ataelekea mliman City kwenye duka la babyshopping kwa ajili kuhamisha watu kununua bidhaa hizo .


Nicheke kimanyema mie , kama nawaona mastaa wa bongo wana yojiarishia, maana najua siku hiyo hapatosha mujini , dar nzima itahamia mliman city na mbagala siku hiyo . Dah zari anazidi ku shine tu ***** . Zari atabaki kuwa juu

Hivi Team mange niwaulize, boss wenu alishawahi kuwa balozi wa nini
Shobo zingine bhana
 
warumi nilisoma wanamcheka kuwa katupwa huku, Zari ataendelea kuwa juu. Dee lazima anajuta kumuongelea.. 😀😀😀

Tusubiri kuona nyumba ya watoto anaipangisha, kama za Ivan na zake.

Queenbae na Kingbae wamenunua nyumba.

Bonge la UPGRADE

Zari oyeeeeeeee

1556651299861.jpg


1556651311100.jpg


1556651331055.jpg



1556656253896.jpg




Video Jumamosi 04/05/2019 Zari akiwa Mbagala.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom