2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 2,982
- 4,457
Watanzania tumezoea kuona sifa za marehemu zikiwa nyingi kuliko mabaya yake.
Ukiangalia watu maarufu waliokufa wote utagundua wanapewa sifa lakini wakiwa na madudu kibao tena ya wazi kabisa.
(Majina yapo kapuni)
Tumeona kwa ndugu yetu Mengi hana hata chembe ya ufisadi, wizi au kukwepa kulipa kodi. Hakika ni nani kama yeye kwa tz?
Ukiangalia watu maarufu waliokufa wote utagundua wanapewa sifa lakini wakiwa na madudu kibao tena ya wazi kabisa.
(Majina yapo kapuni)
Tumeona kwa ndugu yetu Mengi hana hata chembe ya ufisadi, wizi au kukwepa kulipa kodi. Hakika ni nani kama yeye kwa tz?