kibovu kichwa
Senior Member
- May 17, 2019
- 145
- 106
Wakuu habari zenu!
Nikiwa naendelea na harakati zangu huku nasikiliza radio basi imepigwa ngoma moja ya msanii wa kike kutoka THT. Aisee huyu Dada wa kuitwa Jolie mi ananidatisha sana na sauti yake, yaani anasauti flani ya romantic inabembeleza mpaka mwisho. Tukiachana na Jolie yupo mwingine wa kuitwa Karen naye sauti yake ya kulegea legea mi wananimalizaga sana hawa watoto aisee. Siwapatii picha wakiwa kunako. Au mnasemaje wenzangu?
Nikiwa naendelea na harakati zangu huku nasikiliza radio basi imepigwa ngoma moja ya msanii wa kike kutoka THT. Aisee huyu Dada wa kuitwa Jolie mi ananidatisha sana na sauti yake, yaani anasauti flani ya romantic inabembeleza mpaka mwisho. Tukiachana na Jolie yupo mwingine wa kuitwa Karen naye sauti yake ya kulegea legea mi wananimalizaga sana hawa watoto aisee. Siwapatii picha wakiwa kunako. Au mnasemaje wenzangu?