Amani iwe nanyi wakuu.Ifuatayo ni orodha ya makada maarufu wanaoalikwa bungeni kwa lengo la kwenda kuongeza ushawishi wa maendeleo kwa vijana.
1.Pierre liquid huyu hayupo kwenye kundi la wasanii...
Urafiki wa kinafiki kati ya Mange Kimambi na Hamisa Mobeto unazidi kutia mashaka kila kukicha.
Mobeto amekuwa akimtupia vijembe vya chinichini Mange Kimambi katika hali ya kuigiza kama utani, pia...
Wapenzi wasikilizaji.
Mpaka leo nyimbo hizi mbili zimefikisha siku mbili.
Wimbo wa Mbosso ukiwa na views 640,000 huku wimbo wa Alikiba ukiwa na views 430,000.
Naomba tutoe maoni. Ni nani...
Nimefuatilia articles nyingi ambazo zinamuelezea bob marley lakini kuna mahali nimekutana na hii kumhusu huyu jamaa..
Kiukweli hapa ameelezewa vizur hata kwa sie ambao tumezaliwa miaka ya 90s...
> Mchezaji huyo aliyesajiliwa na Klabu ya Barcelona akitokea Ajax Amsterdam amepost picha kupitia ukurasa wake wa Instagram akionekana ndani mbuga hiyo
> Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji...
Wakuu habari zenu!
Nikiwa naendelea na harakati zangu huku nasikiliza radio basi imepigwa ngoma moja ya msanii wa kike kutoka THT. Aisee huyu Dada wa kuitwa Jolie mi ananidatisha sana na sauti...
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi...
Bengali ladies are famous for their beauty all over the world. And when it comes about the beauty of the actresses then I must say that all the actresses of any region are really beautiful. The...
Habari wapendwa!!
Kichwa cha habari kama kinavyo sema!!
Hit Maker wa "INAMA" DIAMOND PLATNUMZ maarufu Chibu Dangote a.k.a Baba yake Tiffa Dangote amekuwa wa kwanza kufikisha subscribers Million...
Kuna baadhi ya watu wanasema media Ni kubwa kuliko msanii lakini me nisema bila msanii no media especially kwa zile za kiburudani,njmeongea haya kwasababu diamond anafanya vizuri pamoja na lebel...
Katika pitapita zangu huko mjengoni insta nkaona habari inatrend sana ya mlimbwende Hamisa Mobeto kutumbuiza Ikulu hadi mkulu kumsifia "kusifiwa na mkulu si mchezo" alisikika mtu mmoja akisema...
Aman itamalaki
Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba
Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na...
Tangu nihamie mjini kutoka kijijini kwetu miaka ya tisini sikuwahi kuukubali sana muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo fleva na japo kidogo niliwahi kupenda baadhi ya nyimbo za wasanii wa...
Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro...
Wakati wanazengo wakisubir kwa hamu harusi ya super staa kutoka katika kiwanda cha bongo movie , Elizabeth Michael , maarufu kama Lulu, Mwanadada huyo amepost video kwenye insta story yake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.