Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Amani iwe nanyi wakuu.Ifuatayo ni orodha ya makada maarufu wanaoalikwa bungeni kwa lengo la kwenda kuongeza ushawishi wa maendeleo kwa vijana. 1.Pierre liquid huyu hayupo kwenye kundi la wasanii...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Urafiki wa kinafiki kati ya Mange Kimambi na Hamisa Mobeto unazidi kutia mashaka kila kukicha. Mobeto amekuwa akimtupia vijembe vya chinichini Mange Kimambi katika hali ya kuigiza kama utani, pia...
0 Reactions
66 Replies
16K Views
Wapenzi wasikilizaji. Mpaka leo nyimbo hizi mbili zimefikisha siku mbili. Wimbo wa Mbosso ukiwa na views 640,000 huku wimbo wa Alikiba ukiwa na views 430,000. Naomba tutoe maoni. Ni nani...
1 Reactions
41 Replies
7K Views
Nimefuatilia articles nyingi ambazo zinamuelezea bob marley lakini kuna mahali nimekutana na hii kumhusu huyu jamaa.. Kiukweli hapa ameelezewa vizur hata kwa sie ambao tumezaliwa miaka ya 90s...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
> Mchezaji huyo aliyesajiliwa na Klabu ya Barcelona akitokea Ajax Amsterdam amepost picha kupitia ukurasa wake wa Instagram akionekana ndani mbuga hiyo > Aidha, zipo taarifa pia za Mshambuliaji...
4 Reactions
43 Replies
9K Views
Wakuu habari zenu! Nikiwa naendelea na harakati zangu huku nasikiliza radio basi imepigwa ngoma moja ya msanii wa kike kutoka THT. Aisee huyu Dada wa kuitwa Jolie mi ananidatisha sana na sauti...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanamziki nguli na number 1 diamond platnumz amefikisha followers mil 7 kwenye account ya insta pia hiv karibuni alifikisha subscribe mil 2 siku zinapozidi anazidi kuongeza fan base nje ya nchi...
1 Reactions
76 Replies
8K Views
Bengali ladies are famous for their beauty all over the world. And when it comes about the beauty of the actresses then I must say that all the actresses of any region are really beautiful. The...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wapendwa!! Kichwa cha habari kama kinavyo sema!! Hit Maker wa "INAMA" DIAMOND PLATNUMZ maarufu Chibu Dangote a.k.a Baba yake Tiffa Dangote amekuwa wa kwanza kufikisha subscribers Million...
10 Reactions
38 Replies
5K Views
Mbosso fundi Sana big up Sana enjoy kazi nzuri imeshootiwa Morocco na imedirectiwa na Kenny zoom production kutoka wcb
2 Reactions
43 Replies
15K Views
Kwa upande wangu ,huu wimbo wa dansi ni bora kwa mwaka 2019.https://youtu.be/xbqGKeT86-g Sent from my TECNO F3 using JamiiForums mobile app
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya watu wanasema media Ni kubwa kuliko msanii lakini me nisema bila msanii no media especially kwa zile za kiburudani,njmeongea haya kwasababu diamond anafanya vizuri pamoja na lebel...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Katika pitapita zangu huko mjengoni insta nkaona habari inatrend sana ya mlimbwende Hamisa Mobeto kutumbuiza Ikulu hadi mkulu kumsifia "kusifiwa na mkulu si mchezo" alisikika mtu mmoja akisema...
3 Reactions
31 Replies
5K Views
Hello guys, kwa yeyote mwenye hio traki naomba aiweke hapa
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Aman itamalaki Ukienda uganda utakuta wasanii ni watu matajali sana wanaomiliki vitega uchumi, magari na majumba Ukienda kenya utakuta pia wasanii ni matajiri wanaomiliki nyumba na magari na...
2 Reactions
33 Replies
8K Views
Tangu nihamie mjini kutoka kijijini kwetu miaka ya tisini sikuwahi kuukubali sana muziki wa kizazi kipya maarufu kama Bongo fleva na japo kidogo niliwahi kupenda baadhi ya nyimbo za wasanii wa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro...
6 Reactions
130 Replies
27K Views
Wakati wanazengo wakisubir kwa hamu harusi ya super staa kutoka katika kiwanda cha bongo movie , Elizabeth Michael , maarufu kama Lulu, Mwanadada huyo amepost video kwenye insta story yake...
2 Reactions
44 Replies
11K Views
Back
Top Bottom