Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Ikiwa rumors has it kuwa mastaa wakubwa nollywood, Genevieve Nnaji na omotola Jalade kuwa haziivi kwa muda mrefu, hvi karibuni mastaa hao walithibitisha uvumi huo si Kweli kama watu wanavyoeneza...
5 Reactions
59 Replies
9K Views
Hivi ili uwanja ujae unaweza chukua hadi watu wangapi maana tunaubishano me nilikuwa na sema uwanja unaweza chukua hata watu lak 1 kuna mwngine ana bisha sasa nimekuja kwenu kwa mtu anayejua ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mama Wema Sepetu amshushia kipigo kikali Diana Kimaro na kuapa kumvunja mguu ! Kwa mujibu wa GPL Wema Sepetu siku kadhaa zilizopita alienda Arusha lakini alipewa onyo na mama yake mzazi kuwa ni...
2 Reactions
167 Replies
29K Views
Wadau wa JF celebrities, Nimeyafuatilia maisha au lifestyles ya waigizaji wanne wa kike wa Nigeria kweli sikuyaamini mafanikio makubwa walioyonayo kimaisha. Nimemfuatilia Omotola, Genevieve...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Aman iwe juu wakuu Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Babu kale kamnyonyoa vibaya sana mzee Wa kutafuta kiki kwenye misiba ya watu na majina ya watu Mzee Wa kutembea pekupeku Mzee...
5 Reactions
131 Replies
17K Views
Aman iwe juu Leo ndo nimeona mtu anajiliza nilikuwaga tu nasikia kuna watu huwa wanajiliza msiban Yaan mtu analia jiko kavu kamaa dagaa Wa kigoma Jamaa anajifanya kuongea kwa huzuni huku uson...
13 Reactions
72 Replies
11K Views
Eeh mziki wa bongo fleva unalipa, hongera ommy D, tunyooshe wanazengo[emoji23], ila Gari yenyewe mwenzangu mmh sijaipenda mbea mie
1 Reactions
115 Replies
21K Views
baada yakufanya analysis kwa muda mrefu sahivi nampitisha fid q kama msanii bora wa hip hope Tanzania Fid quote: Sitaki huko mbele ibaki MISELE au MAJUTO au MILUPO kuwa tele.. YABAKI MADUSKO...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Wimbo wa 'no woman no cry' wa hayati Bob Marley Leo nilimtembelea rafiki yangu katika story huku tunakula muziki mzuri wa Bob Marley Ghafla kikaja kibao matata cha no woman no cry akaniuliza...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Nimeona clip za video zikiwaonesha Diamond akiwa Kahama na Harmonise akiwa Mtwara, wakirusha fedha na wanachi wakizigombania. Nauliza tu imekaaje kwenye sheria zetu za fedha?
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari wadau,baada ya kuswali swala ya IDD leo nimiengia IG nikakutana na mbwembwe za bwana nasibu. Ametumia helicopter kuingia uwanjani. Ni wazo zuri ila tahadhari ichukuliwe ile sio gari ya...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Huyu laizer uwezo wake ni mdogo mdogo sana, beat zake zinafanana, hivi laizer anaweza tengeneza beat kama ya pana au diana, kiukweli huyu producer amenichosha na anapoelekea ataua WCB. Diamond...
15 Reactions
105 Replies
20K Views
Kusema ukweli tangu alikiba aamue kujiweka mbali na ushindani wa mziki wa kibiashara na diamond music industry hainogi tena. Mziki kwa sasa umetawaliwa na vijana wa wcb tu.,hdi inachosha wanatoa...
2 Reactions
18 Replies
3K Views
habarini zenu wajameni kwa wale wanaofuatilia mziki wa bongo fleva, na wa afrika mashariki kwa ujumla matumaini yangu ni kwamba mnamjua mtayarishaji wa beats maarufu kwa jina p-majani kinywele...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Jay Z ndiye rapa wa kwanza duniani kuwa bilionea, kwa mujibu wa ripoti ya Jarida la Forbes iliyowekwa wazi wiki hii. Rapa huyo ambaye ni moja kati ya wafanyabiashara wakubwa ametajwa kuufikia...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
idd m baraka
0 Reactions
1 Replies
776 Views
Wakenya wameapa kama watakutana na Willy Paul Mbinguni wataomba wahamishiwe motoni . Willy Paul amekua mwimbaji wa Injili huko kenya. Haya ndio matatizo ya kuimba Injili hata kanisa hujui lipo...
4 Reactions
38 Replies
9K Views
Binafsi naona kama music kwa sasa Tanzania unabembwa na hawa vijana waasanii wa Wasafi. Kwa sasa ni nadra sana kuona akina Fid Q , Weusi sijui na akina nani kupata show nyingi za ndani.Naona kama...
6 Reactions
34 Replies
6K Views
Kila nikiisikiliza kolabo ya Diamond na Fally Ipupa(INAMA) najikuta nafurahia midundo tu na siyo uimbaji wa bwana Nassib Abdul. Najua ni vyema kubadilika lakini wakati mwingine tuangalie na...
8 Reactions
67 Replies
9K Views
Mambo vipi wakuu, Habari za weekend? Moja kwa moja kwenye mada, Sir nature ni mmoja ya manguli wa bongo flava tangu kitambo mpaka sasa. Hapo zamani necha alikua ana uandishi flani hivi ambapo...
11 Reactions
111 Replies
16K Views
Back
Top Bottom