Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mtaani kuna habari zinasambaa kwa kasi kuwa msanii wa hit song ya muziki, Msanii Darasa anakula unga. Juzi kati nikafanikiwa kumuona kwenye Clouds Tv kwenye show ya jiwe la mwezi pale Morogoro...
6 Reactions
130 Replies
27K Views
Wakati wanazengo wakisubir kwa hamu harusi ya super staa kutoka katika kiwanda cha bongo movie , Elizabeth Michael , maarufu kama Lulu, Mwanadada huyo amepost video kwenye insta story yake...
2 Reactions
44 Replies
11K Views
Hawa vijana wa kings music ya King kiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wana uwezo mkubwa sana ila naona wamekosa promo kutoka kwa boss wao. Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hongera kwa kutimiza miaka mingine mingii dada yangu from the same county sabukuru nziza umunsi mwiza w’amavuko
1 Reactions
14 Replies
6K Views
Msanii wa Filamu nchini, Wema Sepetu yuko matatani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kutoa hati ya kumkamata kwa kuruka dhamana. Wema anakabiliwa na mashtaka ya kusambaza video ya ngono...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
Lebo ya Alikiba "Kings music" wametoa ngoma inaitwa Rhumba,Ni ngoma Kali sana,Ila kinacho niumiza ni pale napoona kipaji kikubwa walicho nacho hawa vijana ila maajabu boss wao kashindwa kuwabrand.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kings music ya Alikiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wanaonekana wana Talent kubwa ila ajabu wamekosa mtu wa kuwabrand.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hawa vijana wa kings music ya King kiba wametoa ngoma Kali inaitwa Rhumba,Vijana wana uwezo mkubwa sana ila naona wamekosa promo kutoka kwa boss wao. Alikiba jaribu kufanya mziki kisasa uwa-brand...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hii redid rfa ndio redio pekee inayofika kila kijiji cha nchi hii inazidi hata TBC redio Ni redio inasikilizwa sana, sina takwimu sahihi ila ni redio ambayo ni miongoni mwa redio inayosikilizwa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Mi nilijua lile gauni lako la kipaimara ulilovaa kwenye harusi yako ilikua bahati mbaya kumbe ndo fashion zako, Lucy ni muigizaji mzuri sana na anajiheshimu ila huwa unaniangusha kwenye mavazi tu...
7 Reactions
74 Replies
17K Views
Kwa heshima na taadhima, napenda kumleta kwenu mtunzi na mwimbaji bora kabisa wa muziki wa kizazi kipya, kijana na msanii Benson.. Sina maneno mazuri ya kumuongelea kijana huyu, ila nendeni yu-...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Jamani ila zari anajua kupanikisha watu, khaa kwa hiyo zile mbwe mbwe za kuhama ilikua ni geresha au ? Yani nikiangalia video nacheka mbavu sina, yani kama mtu una hasira unaweza pasua simu kwa...
4 Reactions
221 Replies
21K Views
Aman iwe nayi wapendwa katika bwana husika na kichwa cha habari hapo juu Mziki wa sasa umekuwa na changamoto nyingi sana hasa kwa wadada maana hukumbana na vikwazo vingi sana either kutoka kwenye...
2 Reactions
107 Replies
18K Views
Tyson Furry ukipenda muite Gpsy King akiri wazi wazi kwamba Wilder ndiye toughest heavyweight kwa sasa na ndiye the most hardest counter puncher ever, awaonya AJ pamoja na Dillian Whyte wasijiroge...
1 Reactions
75 Replies
9K Views
Mimi ni mmoja wa mashabiki wa msanii Joh makini tangu anatoka akitengenezwa kuja kuchuana na msanii mwenye kipaji kuliko wote bongo (Chid benz). Mwamba wa kaskazini alitikisa anga la mziki na...
25 Reactions
286 Replies
37K Views
Wakuu yuko wapi huyu producer amba ambaye kipindi cha nyuma kidogo alikua maarufu sana iringa baadae akaja kuhamia daresalam! Alitengeneza ngoma za wasanii wengi mfano Album nzima ya Rama D...
11 Reactions
96 Replies
15K Views
Anaonekana amechoka muonekano wake hauridhishi nini kimempata huyu kijana mwenzetu?
1 Reactions
91 Replies
20K Views
Miss ruvuma 2006 ambaye pia ni muigizaji wa bongo muvi na mwanamuziki Isabella Mpanda ajinadi hadharani kuingilia penzi la Vanesa Mdee na Juma Jux huku akimtusi vibaya Vanessa kwamba si lolote...
1 Reactions
59 Replies
14K Views
Back
Top Bottom