Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limewataka Wasanii hao kufika katika ofisi za Baraza hilo siku ya kesho, Julai 17 kufuatia kitendo chao cha kuwarushia fedha Waandishi wa Habari wakati wa Kikao...
2 Reactions
37 Replies
6K Views
GNAKO ni msanii mzuri sana kila mtu anajua hilo, na ni msanii ambaye amekaa kwenye game kwa mda mrefu, ameanza muziki akiwa kwenye group la N2N na baadae akajaribu kuwa solo kabla ya kuja kuungana...
3 Reactions
114 Replies
13K Views
Wakuu Habari Ya Uzima, Nina Wazo Moja, Tanzania na Dar es Salaam Hatuna Ukumbi Mkubwa Wa Kufanyia Matamasha Makubwa Hasa Burudani Mbali Mbali Kuchukua Nafasi Ya Leaders Club. . Sasa Wadau wa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Miaka ya 2008 mpaka 2012 ukisikia jina JOH MAKINI unapata picha ya nguli wa Hip hop ambaye alipendwa na wagumu pamoja na mademu at the same time. Joh makini ni msanii wa hip hop ambaye ana vitu...
12 Reactions
75 Replies
13K Views
katika ukurasa wake wa instagram hajamfollow mtu yeyote akimaanisha kuwa hana cha kujifunza wala kuangalia kwa wenzake na mdogo wake nae abdukiba ndio hivyo hivyo, jamaa ana roho mbaya sana ndio...
1 Reactions
35 Replies
5K Views
Habari zenu wananzengo, Guys hili bifu la mondi na kiba bado lipo pale pale, wale wanaosema hawa jamaa hawana mabifu basi wanajidanganya tu.. Jiulize ushawahi kuwaona vijana wa Kings music...
5 Reactions
162 Replies
16K Views
Ila na wewe Mbasha itakua kweli unabakwa, we mwanaume gani kila Siku unachambana na akina carrmastory mara faiza mmhm, wanaume hawanaga tabia hizo bwana , kuchamba tuchie sie akina warumi...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
Huyu msanii uwa najiuliza cipati majibu madensa,wasanii wake,maproducer,wapiga picha,wachumba,watoto wake,managers,bodyguard na familia yake yote famous. Hii nguvu anaitoa wapi,mbaya zaidi ukiwa...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
Mc wa taifa leo anaoa..juzi ndo ilikua send off Harusi ya taifa,uwanja wa taifa Ila taifa lina mambo mengi saaana hadi mengine hayakumbukwi! Hongera mc pilipili..Mungu aisimamie ndoa yako ijae...
1 Reactions
68 Replies
12K Views
Habari zenu ndugu wana jf ni matumaini mko vyema ! Niende moja kwa moja kwenye mada ,Nimetokea kufuatilia clip za youtube za maigizo ya huyu mtoto Mai ni mtoto mdogo sana ambae hajajitambua...
6 Reactions
101 Replies
15K Views
Aman iwe juu yenu Yes is onether Friday siku ya kufurah na kuenjoy Ngoja niende kwenye maada moja kwa moja au siyo mazee Anaitwa Joseph haule ni msanii na mbunge wa mikumi Bila Shaka watu...
12 Reactions
56 Replies
8K Views
Habarini Wadau, Nimewakumbuka sana The Kilimanjaro Band, hasa ngoma yao ile ya "Kachiri" "Tulizana Mpenzi" wananjenje na "Boko" Hasa kiswahili kizuri kilichotumiwa na yule mzee na pale pa...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Ila wanazengo huyu mbwa kajua kutuumbua wambea sie, wenzao tulijua ndoa ndo kushnei kumbe mapicha picha tu wanatuchezea, mxieew ... sasa lulu na wewe kujichetua juzi na ma video kujifanya una...
0 Reactions
18 Replies
5K Views
Amekamatwa na Idara ya Polisi ya New York kwa tuhuma za kuwasafirisha wanawake kwa ajili ya kuwatumikisha kingono. Ametiwa nguvuni wakati akiwa katika Jimbo la Chicago Mwanamuziki huyo wa...
1 Reactions
38 Replies
5K Views
Wangapi walikua wanasubiria engagement ya tanasha na domo kama mimi ?, by the way nilijuaga wakenya wakogo smart kuliko mademu wa tized, ila now it’s confirmed they are all the same , they are all...
4 Reactions
51 Replies
9K Views
Hi Guys,, I Hope Mko Gud,,,Right? Ok Freshhhh,,, Sikumbuki vizuri Hili bifu la hawa miamba wawili wa Bongo flava lilianza lini ila ninacho jua tu bifu lao lina muda mlefu kidogo, Kusema ukweli...
3 Reactions
26 Replies
5K Views
Kwa wale watazamaji wa series ya game of thrones kuna mwanadada anajulikana kama Daenarys Targaryen ambaye jina lake halisi ni Emilia Isabelle Euphemia Rose Clarke, raia wa Uingereza kazaliwa...
1 Reactions
67 Replies
8K Views
Ni mchezo mchafu ambao sasa umeanza kuoneshwa wazi baada ya kuwa unazungumzwa na baadhi ya mastaa wa muziki wa bongo flavour na hata baadhi ya waigizaji wa filamu za hapa kwetu Tz,,,,,ipo mifano...
2 Reactions
805 Replies
235K Views
_ Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva, Afande Sele amewataka watoto wake kwamba akifariki wahakikishe anachomwa moto. Afande Sele amewataka watoto wake wasimamie hilo kwa kuwa hiyo ni zawadi ambayo...
2 Reactions
92 Replies
10K Views
Back
Top Bottom