Miss ruvuma 2006 ambaye pia ni muigizaji wa bongo muvi na mwanamuziki Isabella Mpanda ajinadi hadharani kuingilia penzi la Vanesa Mdee na Juma Jux huku akimtusi vibaya Vanessa kwamba si lolote...
Habarini wakuu,naomba kuuliza hivi huyu jamaa O.T wa kitenge siku hizi yuko wapi?Nilikuwa namkubali sana enzi hizo EATV na kipindi cha JUKE BOX baadaye akahamia TBC.Nashauri wadau mlioko humu...
Show yako ya kahama was lit ile ndio definition ya msanii wa kimataifa tume enjoy mpaka watu wakataka usiondoke jukwaani ubunifu ulikuwa wa Hali ya juu, sound ilikuwa nzuri, jukwaa lilikuwa lime...
Kwa mujibu jarida la Kibiashara la Marekani la Forbes, Rihanna amekuwa Mwanamuziki wa Kike tajiri duniani akiwa na utajiri wa Dola za Kimarekani Milioni 600(Tsh. 1,378,560,000,000)
Nafasi ya...
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa
Husika na kichwa cha habali hapo juu
Kuna huyu bwana mdogo aitwaye majizo mwenye kituo cha EFM ni noma sana yaan clouds nzima wamefyata juu yake bwana mdogo...
Tanzania inazidi kupiga hatua katika investment ya media house's Tuliona azam tv alivokuja na ni azam ni namba moja upande wa TV studio's ila kwenye radio bado.
Upande wa radio hapa tz kuna watu...
Kwenye siku ya Iddi.
Lavalava atakuwa kigoma.
Mbosso atakuwa Tanga.
Rayvanny atakuwa Dar Live.
Harmonize atakuwa Nangwanda Mtwara.
Diamond atakuwa Kahama na Geita.
Zote ni show kubwa sio za...
Hivi uliumizwaje.. Mpaka kuimba huu wimbo
Eti bora wamalize na kutulia......sio kutangazia kuwa yule demu tumemtumia
Barnaba boy.......loverboy
Uzi tayari
Aman iwe juu yenu wakuu msiwe wapuuz kama wafia dini wanao uana kisa wanatofautiana dini, msiwe wapuuz kama wafia dini wanaoitana makafiri kisa wanatofautina dini. Hawaaminian kabisa mkiristo...
Aman iwe nanyi wapendwa
Kama kichwa cha habali kinavyo jieleza hapo juu
Yule mdada asiye ishiwa vituko ambaye ni host wa tv na msanii wa kizaz kipya anayejulikana kama gift stanfod aka gigy...
Nimefatilia sana hili jambo na kukosa jibu.Kwanini baadhi ya wasanii wetu hawajiamini sijui.Kaja Bill Gates tajiri mkubwa duniani,kenda vijijini na hana body guard hata mmoja,sisi kulikoni?
Ikiwa rumors has it kuwa mastaa wakubwa nollywood, Genevieve Nnaji na omotola Jalade kuwa haziivi kwa muda mrefu, hvi karibuni mastaa hao walithibitisha uvumi huo si Kweli kama watu wanavyoeneza...
Hivi ili uwanja ujae unaweza chukua hadi watu wangapi maana tunaubishano me nilikuwa na sema uwanja unaweza chukua hata watu lak 1 kuna mwngine ana bisha sasa nimekuja kwenu kwa mtu anayejua ili...
Mama Wema Sepetu amshushia kipigo kikali Diana Kimaro na kuapa kumvunja mguu ! Kwa mujibu wa GPL Wema Sepetu siku kadhaa zilizopita alienda Arusha lakini alipewa onyo na mama yake mzazi kuwa ni...
Wadau wa JF celebrities,
Nimeyafuatilia maisha au lifestyles ya waigizaji wanne wa kike wa Nigeria kweli sikuyaamini mafanikio makubwa walioyonayo kimaisha.
Nimemfuatilia Omotola, Genevieve...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.