Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Nimepita kitaa kimoja nikakuta wana wanabishana kubusu ule wimbo wa Mwanana FA unaoitwa alikufa kwa ngoma. Kuna mwana alikuwa anadai kuwa ule wimbo FA aliimba tu but mistari ilichorwa na jamaa...
0 Reactions
49 Replies
7K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Marlaw amepotea kwenye ramani ya muziki wa Bongo Fleva, hasikiki tena, licha ya kutoa nyimbo mpya kila siku, lakini hapati tena kushikilia chati za redio kama...
4 Reactions
66 Replies
23K Views
Habari wadau.. Diamond Plutnumz japo hajaenda sana shule ila ndio smart boy kulilo wote niliowahi kuwaona Tanzania. Amekulia Tandale na amekuwa bilionea bila kumuibia mtu, kula rushwa wala...
15 Reactions
19 Replies
4K Views
Hvi kumbe lile bifu la dada Jide na domo liliisha? Maana hawa nao walikua hawapatanagi, mmh nimefurahi kumuona jide kwa mara ya kwanza kwenye event inayomhusu Diamond, kweli dada jide siku hizi kakua
1 Reactions
61 Replies
11K Views
Tamasha la Nicki Minaj lazua gumzo Saudia Haki miliki ya picha Getty Images Image caption Nicki Minaj anajulikana kwa kuvalia mavazi ya kuonesha...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Nimeona mmeleta wasanii wanaovutia ,kwenye listi yooote mliyoweka huyu kaka hakuna anaemfikia hata robo[emoji108][emoji108][emoji108],au mna makengeza mnaweka kin diamond wana midomo ya kumeza...
10 Reactions
414 Replies
45K Views
Wanaume wa Tanga kwa kupenda mitelezo hamjambo, mwenzenu kakimbilia kwa bibi yake kisa hela, kazi hamtaki kufanya mnataka kuteleza tu [emoji23][emoji23][emoji23] Ningekuwa Diamond walahi huyu...
6 Reactions
31 Replies
4K Views
Siku ambayo atakuja kuhukumiwa huyu dada watu mnaweza msiamini lakini ukweli ndio huo Binti baada ya kutafutiwa dhamana akatoka, ilitakiwa kwa sasa atulie aweke mikakati ya kupambana na hii kesi...
9 Reactions
100 Replies
19K Views
Msanii wa filamu nchini, Wema Sepetu amezua kizaa zaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akigoma kukamatwa na polisi baada ya mahakama hiyo kumwachia huru na kisha kumkamata tena na kumuweka...
2 Reactions
70 Replies
9K Views
Huyo ndie Mwanamitindo wa kitaifa na kimataifa zaidi anaitwa @noelgiotz wa tz wote saport yako ndio itamfanya azidi KUSONGA mbere zaidi ku like sana kazi zake na kupost sana kwenye pejizenu...
3 Reactions
77 Replies
19K Views
Zari taratibu na hiyo kiu yako ya ndoa, bwana atapepea huyo akuachie jina tu ubaki Mrs hewa, haujifunzi tu? Kwa Diamond hivo hivo Mrs Dee Mrs Dee ukanunua na lile sijui joho sijui gauni nyuma...
8 Reactions
94 Replies
11K Views
Nilishawahi kuandika kuhusu huyu shogiyoyo kana kimwehu mwehu na kiroho papu, yan ana kiherehere flan hivi cha kishamba shamba, anajichetuaga akili halafu mashauzi yenyewe hayawezi sasa. Sasa...
3 Reactions
58 Replies
8K Views
Haka kamamii by the way kametulia, I like how she entertains no drama , she is just her and her world, she is not trying to compete or compare with any of her boyfriend’s ex, that’s Tanasha for...
7 Reactions
48 Replies
9K Views
Angalieni kwenye top 10 ya nyimbo bora za mwezi hapa chini https://www.okayafrica.com/east-african-music-songs-best-month-june/
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiukweli tunashindwa kumuelewa huyu kijana na nyimbo zake amekua mtu wa hovyo kutoa nyimbo zisizo na content zenye kuelemisha au kushawishi Jamii kwa namna moja au nyengine in a positive way...
2 Reactions
99 Replies
12K Views
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel. Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka...
22 Reactions
78 Replies
10K Views
Zari umeni let down bhana , Talking about Tanasha? Like seriously? That’s how boss lady behaves ?, yan that’s too low kwa kweli yan umeniboa kupitiliza, now ndo naamini why diamond said huja move...
13 Reactions
42 Replies
8K Views
Juma jux msanii hatimae kashusha mashine mpya kalii nyeupee. Mashine hiyo kali ni mwanadada ambae jux anaonekana akiwa nae huko serengeti national park wakila bata!
2 Reactions
57 Replies
10K Views
Eeeeeeeeh kumekuchaaa mamaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].......!! Mambo hazarani kashasahau majanga yake atakua na balaa uyu dada au akili zake hazimtoshi Sent using Jamii Forums...
1 Reactions
33 Replies
10K Views
Ndugu wana celebrities forum. Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno. Nilishasema huko nyuma kwamba...
5 Reactions
57 Replies
10K Views
Back
Top Bottom