Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kutoka temeke mpaka Ujerumani!!! Aaaaa !!!! HIPHOP Inalipa!!!!!
2 Reactions
60 Replies
9K Views
Habarini wakuu,naomba kuuliza hivi huyu jamaa O.T wa kitenge siku hizi yuko wapi?Nilikuwa namkubali sana enzi hizo EATV na kipindi cha JUKE BOX baadaye akahamia TBC.Nashauri wadau mlioko humu...
4 Reactions
11 Replies
4K Views
Show yako ya kahama was lit ile ndio definition ya msanii wa kimataifa tume enjoy mpaka watu wakataka usiondoke jukwaani ubunifu ulikuwa wa Hali ya juu, sound ilikuwa nzuri, jukwaa lilikuwa lime...
7 Reactions
30 Replies
5K Views
Kwa mujibu jarida la Kibiashara la Marekani la Forbes, Rihanna amekuwa Mwanamuziki wa Kike tajiri duniani akiwa na utajiri wa Dola za Kimarekani Milioni 600(Tsh. 1,378,560,000,000) Nafasi ya...
3 Reactions
37 Replies
7K Views
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa Husika na kichwa cha habali hapo juu Kuna huyu bwana mdogo aitwaye majizo mwenye kituo cha EFM ni noma sana yaan clouds nzima wamefyata juu yake bwana mdogo...
2 Reactions
25 Replies
18K Views
Jay z
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania inazidi kupiga hatua katika investment ya media house's Tuliona azam tv alivokuja na ni azam ni namba moja upande wa TV studio's ila kwenye radio bado. Upande wa radio hapa tz kuna watu...
3 Reactions
44 Replies
12K Views
Kwenye siku ya Iddi. Lavalava atakuwa kigoma. Mbosso atakuwa Tanga. Rayvanny atakuwa Dar Live. Harmonize atakuwa Nangwanda Mtwara. Diamond atakuwa Kahama na Geita. Zote ni show kubwa sio za...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Hivi uliumizwaje.. Mpaka kuimba huu wimbo Eti bora wamalize na kutulia......sio kutangazia kuwa yule demu tumemtumia Barnaba boy.......loverboy Uzi tayari
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Aman iwe juu yenu wakuu msiwe wapuuz kama wafia dini wanao uana kisa wanatofautiana dini, msiwe wapuuz kama wafia dini wanaoitana makafiri kisa wanatofautina dini. Hawaaminian kabisa mkiristo...
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Aman iwe nanyi wapendwa Kama kichwa cha habali kinavyo jieleza hapo juu Yule mdada asiye ishiwa vituko ambaye ni host wa tv na msanii wa kizaz kipya anayejulikana kama gift stanfod aka gigy...
6 Reactions
166 Replies
20K Views
1.P-funky majani 2.Mika Mwamba Kali 3.Master jay 4.Enrico 5.Allan Mapigo 6.Roy Bukuku 7.Marco challi 8.Saidy Commorien 9.Tudd Thomas 10.Man water Addtion Lamar Bony luv Marijan rajabu Bizzman...
5 Reactions
91 Replies
61K Views
NISAMEHE: AMERICA:
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Nimefatilia sana hili jambo na kukosa jibu.Kwanini baadhi ya wasanii wetu hawajiamini sijui.Kaja Bill Gates tajiri mkubwa duniani,kenda vijijini na hana body guard hata mmoja,sisi kulikoni?
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Ikiwa rumors has it kuwa mastaa wakubwa nollywood, Genevieve Nnaji na omotola Jalade kuwa haziivi kwa muda mrefu, hvi karibuni mastaa hao walithibitisha uvumi huo si Kweli kama watu wanavyoeneza...
5 Reactions
59 Replies
9K Views
Hivi ili uwanja ujae unaweza chukua hadi watu wangapi maana tunaubishano me nilikuwa na sema uwanja unaweza chukua hata watu lak 1 kuna mwngine ana bisha sasa nimekuja kwenu kwa mtu anayejua ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mama Wema Sepetu amshushia kipigo kikali Diana Kimaro na kuapa kumvunja mguu ! Kwa mujibu wa GPL Wema Sepetu siku kadhaa zilizopita alienda Arusha lakini alipewa onyo na mama yake mzazi kuwa ni...
2 Reactions
167 Replies
29K Views
Wadau wa JF celebrities, Nimeyafuatilia maisha au lifestyles ya waigizaji wanne wa kike wa Nigeria kweli sikuyaamini mafanikio makubwa walioyonayo kimaisha. Nimemfuatilia Omotola, Genevieve...
1 Reactions
47 Replies
6K Views
Aman iwe juu wakuu Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu Babu kale kamnyonyoa vibaya sana mzee Wa kutafuta kiki kwenye misiba ya watu na majina ya watu Mzee Wa kutembea pekupeku Mzee...
5 Reactions
131 Replies
17K Views
Back
Top Bottom