Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kijana ameshaanza kukosa ubunifu nyimbo yake mpya ni sample ya beat ya bwana misosi mabinti wa kitanga
1 Reactions
26 Replies
6K Views
Kuna kipindi Diamond aliwapa sana hamasa wasanii wenzake kujikita katika miradi ya biashara pale alipofanikiwa kupiga pesa ndefu alipopewa asilimia kadhaa ya biashara ya "diamond Karanga" yeye...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Alikiba ni msanii mkubwa sana ila sasa cha kushangaza nyimbo zake hazina lyrics kwenye platform kubwa kama app ya Musixmatch Mwana muziki yeyote duniani anayejielewa na kujua anafanya nini lazma...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Huyu dada nampenda sanaa ila historia yake siijui na kama anakashfa na scandel sijazisikia kwa wanaomjua vizuri hebu tupe habari zake ================ Taarifa zaidi na michango toka kwa...
5 Reactions
79 Replies
29K Views
Huyu bwana yuko vizuri sana tena sana...ila kwa sasa ameanza kulewa sifa.. 1. Amekuwa mvutaji wa sigara sana 2. Mtumiaji wa pombe sana 3. Watu wake wa karibu wanasema ameanza kiburi...kazinguana...
8 Reactions
106 Replies
60K Views
Naamini mko piece,bien,wazima kabisa. Kwa walio wagonjwa poleni. Naomba tafadhalini sana kwa mwenya kuweza kunipatia namba ya simu ya mheshimiwa sana,mhenga Bibi Tabitha Siwale,nina shida nae. Asante.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Staa kutoka kiwanda cha Nollywood , Regina Daniels , Ameshangaza ulimwengu kwa kitendo chake cha kuolewa na Mzee wa miaka 59 , huku yeye akiwa na miaka 18 tu ambayo alitimiza Mwaka jana october...
6 Reactions
107 Replies
18K Views
Hizi timu zitakuwa Kali Sana. Ni pale Harmonize atakapoamua kuitupa WCB na kuamua kujitegemea kimuziki, itakuwa patashika nguo kuchanika ukisingatia kuwa wore ni wakali wa Bongofleva na Mara...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Sitaki kuamini hii Ndo Mara ya kwanza young Dee anaingia USA, maana sio kwa kutupostia mpaka VISA , kweli ushamba mzigo , Sasa sijui Na huko kaenda kufanya show Au ndo baecation. Siku hizi naona...
12 Reactions
90 Replies
16K Views
Mm siyo shabiki wa huyu jamaa lakini mwenye hii ngoma salute sana kaua vibaya sana, huchoki kusikiliza. Akiendelea kutoa ngoma kama hii mfulululizo atakamata sana soko la mziki hapa bongo. Salute...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Steve Nyerere ameomba watu wasiwe na haraka kuhusu ratiba ya msiba wa mtoto PATI na atatoa ratiba nzima akifika Nairobi .Pumzika kwa amani mtoto Pati
6 Reactions
53 Replies
9K Views
Msanii nyota wa bongo fleva Vanessa Mdee wamewachana kituo Cha muziki Cha Muziki kwa kusema kimekuwa na upendeleo kwa muda mrefu kwa baadhi ya wasanii.Msanii Bilnass nae alimuunga mkono Vanessa...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Mzee konkii jaman katoa nyimbo mpya inaitw dude
0 Reactions
16 Replies
3K Views
1.Huanza kujikita kwenye dini. 2.Kujiweka karibu na washikaji. 3.Kupunguza kujidai (kujiona) 4.Kuongea vizuri na watu 5.Kutumia usafiri wa kawaida 6.Kuimba kama anaanza muziki 7.Kuwaponda...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
MWILI ni kitu muhimu sana kinachotakiwa kuthaminiwa na kila binadamu. Huwezi kuwa mtu kamili kama huna mwili, hata vitabu vya dini vinatufundisha kwamba mwili ni hekalu la Roho Mtakatifu hivyo...
0 Reactions
36 Replies
28K Views
Yani mbwembwe zote zile za kuwa diss wenzake nikajua labda ametokea maisha bora kumbe katokea kuishi nyumba ya udongo mvua kubwa ikinyesha nyumba inamomonyoka...
0 Reactions
131 Replies
18K Views
Yupo wapi huyu mtu,alikuwaga ni repoter wa itv nina mda cjamsikia,mwenye kujua alipo atujuze. 24 Agosti 2017: Mkuu wa idara ya habari ITV Steven Chuwa (Kulia) akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
BAADA ya matatizo ya mapenzi, hatimaye msanii Wema Sepetu, ameweka wazi kuwa hataki tena kutembea na masharobaro kwani mapenzi yao yanakuwa hayana malengo zaidi ya kuchezeana. Akizungumza hivi...
0 Reactions
71 Replies
13K Views
Ila wanazengo, katika wambea wa insta ambao siwaelewagi ni huyu Rachel dangwa, sijui shoga yetu hazimo kichwani, yani mambo yake jamani na vitu anavyopost insta utasema huyu hamnazo, mwenzenu huwa...
3 Reactions
43 Replies
11K Views
Ni moja ya msanii mzuri wa hip hop bongo pia mziki wake unaheshimika lakini toka ameacha kuimba na kuingia kwenye siasa huyu kinachomfelisha ni kutokuwa na msimamo. Mara CHADEMA,ACT na sasa hivi...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom