Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

TASNIA ya utangazaji Bongo ina historia pana, lakini hapa nitakuwekea rekodi sawa ya watangazaji wa kizazi kipya wanaong’ara muda wote kutoka katika redio na runinga mbalimbali nchini...
2 Reactions
25 Replies
15K Views
Nimepita mahujiano kati ya nikimbishi na waongozaji wa kipindi cha bar tender mwishoni mwa kipindi waongoza kipindi wakamuuliza swali nikimbishi kuwa andike kirefu cha Wi-Fi, nikimbishi akaanza...
2 Reactions
39 Replies
6K Views
Hakuna utata kwa sasa Nandy is a most well paid female artist kwa bongo now , The chick makes money , plenty of it , na she is trying to live her best life ila sijui kana nini, mi naonaga...
1 Reactions
50 Replies
8K Views
Rapper Rosa Ree Ameachia Wimbo Mpya Siku ya Leo Unaitwa Champion, Katika Track hiyo amemshirikisha Mwimbaji Ruby, Unaweza Kusikiliza Wimbo Huo hapa Chini Mtu Wangu: <center></center> Wameweza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna ndege mdogo anamjua mrefu anaspidi sana na kumkamata ni kazi sana. Unachotakiwa ni kumkamata akiwa hai kisha unampeleka kwa fundi wanaojua ni wachache tanga na bagamoyo ila ukiulizia humkosi...
2 Reactions
75 Replies
53K Views
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam nchini Tanzania imemuonya msanii wa Filamu nchini humo, Wema Sepetu(30), kutokukiuka masharti ya dhamana, vinginevyo haitasita kufutia dhamana yake...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Huyu Dada maarufu,mtangazaji wa kipindi cha redio clouds media kilichojikita kwenye mambo ya mahusiano inavyoonyesha mahusiano yamemtesa sana mpaka ukimsikiliza kwa umakini anawachukia sana...
11 Reactions
73 Replies
17K Views
Habari za huko nyumbani wakuu? Nimeshuhudia kioja cha mwaka hapa London jmapili iliyopita,ilikuwa ni majira ya saa 12 jioni,wakati rafiki yangu kutoka nyumbani aliponiomba nimpe kampani kwa demu...
1 Reactions
42 Replies
7K Views
" Namshukuru Mungu amenipatia mke mwema sana ana sifa zote nilizokuwa nazitaka, hana kasoro kabisa mke wangu " @mwijaku #Clouds360 #CloudsTV Ninachojua Mimi hata Mwanamke awe Mzuri ( Mrembo )...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Miaka ya hivi karibuni imekua kama Fashion kwa mastaa wa kike nchini ku hang out au kuwa karibu zaidi na wanaume Tata( Mashoga) , kuliko wasichana wenzao, hali hii imekua kwa Kasi sana kuliko...
3 Reactions
68 Replies
18K Views
Matamasha mawili ya mwanamuziki Nguli wa miondoko ya Rumba nchini DRC Kofi Olomide yamefutwa huko nchini Afrika Kusini kutokana na kukutwa na makosa ya ubakaji hivi karibuni dhidi ya mnenguaji...
4 Reactions
51 Replies
6K Views
How should I start to elaborate my feelings against you,the truth is clear that Nakupenda bado mpenzi wangu,najua mapedejee wa mjini walikudanganya sana hadi ukanisaliti,kwa muda mfupi tu...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
http://nairobiwire.com/2019/06/what-diamonds-mother-said-about-her-lover-cheating-and-fathering-child-with-younger-woman.html Mama mtoto anaitwa Sharifa Tambaza. Kwa wasioujua huu ukoo wa...
7 Reactions
107 Replies
17K Views
Nimekuwa nafatilia sana filamu za Kanumba, Jinsi binti (Hanipha Daud) almaarufu Jenipha Kanumba alivyoonesha uwezo wake ndio jinsi taswira yake inavyoweza kuja kuonekana katika maisha ya...
11 Reactions
92 Replies
29K Views
jamani warioba anafanya nini tena kitaa,mbona tuliishaanza kuona afadhali???nimetumiwa picha na mdau jamaa kapasuka vibaya,na video ikionyesha anagombana ugomvi wa watoto wa darasa la pili. dah...
7 Reactions
44 Replies
9K Views
Daaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie. Mwenye kujua information zaidi za huyu dada...
1 Reactions
72 Replies
40K Views
Ijumaa ilifanyika interview ya z anton na ferooz Kwenye kipindi Cha block 89 Cha wasafifm ile interview was superb Ila nimependa pale jonijo alivyonuuliza swali ferooz ngoma ipi zako zote uliona...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Umaarufu ni kama uhai...wakati ukiwa juu unakuwa hai..ukishuka unakata roho ya umaarufu unabaki kuwa wa wakaida Huyu ndugu yangu mtanzania namshauri kwa upendo wakati huu autumie vizuri...
13 Reactions
33 Replies
5K Views
Habarini wadau? Ndugu TID naona mambo si mambo, na anaonekana yuko tungi balaa. Je ni frustrations ama?
0 Reactions
104 Replies
15K Views
Ulimwengu auna huruma wandugu inasikitisha Sana mtu mwenye mikono na miguu kula pesa ya yatima ambayo watu kwa huruma zao wamechanga kumsaidia mtoto wa marehemu Nimesikiliza radio moja ya africa...
3 Reactions
38 Replies
5K Views
Back
Top Bottom