Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mwanamitindo na influencer mmoja maarufu Chelsea Robinson aliamua kufanyiwa upasuaji wa kuongeza makalio (bum implants). Lengo lake lilikuwa kupata umbo la kuvutia zaidi ambalo lingeendana na...
8 Reactions
13 Replies
2K Views
Leo Agosti 13 ni kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rapa maarufu Fareed Kubanda, anayejulikana kama Fid Q akiwa amefanikiwa kutoa albamu kadhaa ikiwemo Propaganda, Roho, Kitaaolojia, na Mbinguni. Machi...
0 Reactions
0 Replies
367 Views
Wana JF, Mjue Mr. Daudi Kanyau mfanyabiashara ambaye alimtajirisha Shigongo na magazeti yake ya udaku. Awali ya yote, Kanyau alikuwa rafiki sana na mtoto wa Mwinyi (Abass). Basi kwenye biashara...
4 Reactions
59 Replies
18K Views
https://www.instagram.com/reel/DNKynyksZuT/?igsh=MXZ2Ym0zcGh1MDNjdQ== Kuna wakati nilieleza kuhusu Diamond Platnumz kuandika hitsong ya Pawa ambayo imeimbwa na Mbosso nilioga matusi hapa. Sasa...
1 Reactions
32 Replies
4K Views
Rayvanny ameshare furaha yake kubwa baada ya wimbo wake wa Tetema kushika namba moja trending dunia nzima, Chui ameshare hayo katika ukurasa wake wa Instagram. Soma pia: RAYVANNY KASHUKA NA...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
Muigizaji na mchekeshaji maarufu Zimwi amekuwa akisumbuliwa na maradhi kwa muda mrefu Hivi karibuni amefanya mahojiano na waandishi wa habari na kuwaeleza kuwa yeye ni baba wa mtoto mmoja na...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Kwa muda mrefu kumekuwa na hiyo ligi kama card b kimuziki yuko vizuri kuliko Nick Minaj ila binafsi kila nikijaribu kusikiliza ngoma za huyu mwamama card b nashindwa kabisa kuzielewa nabaki...
14 Reactions
97 Replies
14K Views
Huyu mmakonde alisema tarehe 8 mwezi huu anaachia album kama kawaida yake huwa anaachia usiku wa kuamkia ijumaa Sasa mpaka Sasa hivi yupo kimya hata majina ya nyimbo hajapost je amewafanya...
0 Reactions
5 Replies
557 Views
Hili ndio battle la Singeli lipo viral kwa sasa. Nani ameicheza vizuri? Origin ya Singeli ni mkoa upi?
0 Reactions
5 Replies
406 Views
Msanii maarufu wa muziki wa Hip Hop kutoka Tanzania, Nikk Mbishi, amepata pigo kubwa kufuatia kifo cha baba yake mzazi, John Marwa Machuche, kilichotokea tarehe 02 Agosti 2025. Msiba ulihudhuriwa...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Any way tukiwa tunasubiri Daku ngoja tupitishane humu kwanza, Kwa kizazi cha sasa kinaweza kuwa hakilifahamu hili jina la Steve Kabuye aka Steve kafire mtu mwenye Sauti yenye mamlaka pale...
7 Reactions
80 Replies
12K Views
Nani anamfahamu vizuri pastor Tony kapola. Kanisa lake liko wapi ? Nilisikia liko morogoro kutwa yupo Dar,dodoma Kwanini waumini wake na mke wanavaa nguo za ovyo ? Inakuaje ameungana na hawa...
21 Reactions
375 Replies
56K Views
Karibu sana Mdogo wangu Diamond katika Umri wa utu uzima, Sasa wewe jijuwe sio Kijana Tena, Kwa maana Umri wa ujana mwisho ni miaka 35. Kama ilivyo Kwa mwanamama Jokate ambaye naye si kijana Tena...
8 Reactions
48 Replies
3K Views
Taharuki hii ilianza baada ya binti mzungu anayeitwa Sweeney kuwekwa kwenye tangazo la American Eagle. Tangazo hilo limefanya vizuri sana kibiashara, lakini kwa upande mwingine, lilizua kilio...
6 Reactions
86 Replies
5K Views
Hivi mtu unawezaje kuishi na mtoto sio wako na unamuhudumia kama Diamond anavyosema
3 Reactions
79 Replies
3K Views
Ashraf Hakimi , mchezaji wa timu ya PSG ya Ufaransa, unaweza kusema ni Mungu anampenda, pia maombi ya mama yake yanamsaidia. Kwa mara nyingine mwamba amenusurika kufanyiwa umafia na mpenzi wake...
15 Reactions
26 Replies
2K Views
Kuna stori ilisambaa eti Ngwea alibeba madawa tumboni kuyaleta TZ baada ya show aliyofanya South, hiki kitu hakijawahi kumake sense Soko la madawa kubwa zaidi kwa Africa lipo South Africa, Madawa...
14 Reactions
39 Replies
2K Views
Kuna viitikio ninavyokumbuka TBT kutokana jinsi baadhi ya wadau walivyotafsili ktk Nyimbo mblmbl 1.wimbo wa AY ,YULE ktk kiitikio Cha wimbo huo nampenda sana jinsi alivyoo yuleee nampenda sana...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Wakali wa movies Sina haja ya kumuongelea Tom Cruise ni nani wengi wenu mtakua mnamfahamu Ila nimeumia sana sana kama vile ndio mke wangu huyu, anapiga hii mashine nadhan mnamfaham huyu dada...
16 Reactions
96 Replies
5K Views
Nimeskiliza ngoma zote za album ya Alikiba ngoma zimepoa sana. Kati ya nyimbo zote nimependa nyimbo mbili tu *Niteke *Let me Nyimbo zingine zote hamna kitu na marudio tu ya ngoma zake...
2 Reactions
65 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…