mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Wana JF,
Mjue Mr. Daudi Kanyau mfanyabiashara ambaye alimtajirisha Shigongo na magazeti yake ya udaku.
Awali ya yote, Kanyau alikuwa rafiki sana na mtoto wa Mwinyi (Abass). Basi kwenye biashara zao Kanyau akakatwa Pakistan na kudungwa kwa muda fulani.
Baada ya kurudi akakuta amenyang’anywa mke wake aitwaye Saida na alihamishwa kutoka walipokuwa wanapanga Sinza.
Likaanzishwa bifu zito ambalo Kanyau ilibidi amtumie E. Shigongo kumuandika Abass mara kwa mara huku wakipiga picha za tafrani za kila aina na kuzitupia kwenye magazeti ya Kiu na Ijumaa.
Ilifika hatua usipomnunulia mke wako gazeti la Kiu na Ijumaa basi upati mzigo magazeti haya yaliuza sana kutokana na mzozo huo.
Ndipo mzee Mwinyi kwa kutambua urafiki wao, akawaamulia mke Saida akarudi kwa Kanyau na Abass akaenda kusomea urubani Marekani. Nasikia sasa hivi Kanyau kachukua chombo cha mwanamziki wa kizazi kipya Diamond.
Tayari picha za kijana wa Kanyau imetoka akimbusu mamandogo wake Zarina the bosslay mtoto wa M7. Hapo tutegemee kurudi kwa magazeti haya maana Kanyau ana mapene ya kumwaga na mkewe Saida hatakubali lazima alipize.
Hata hivyo Shigongo alifaidi sana ugomvi kwa kuuza magazeti yake na vitabu ukizingatia watoto wa Mwinyi walikuwa hawagusiki na ndio habari ya mjini. Kila mtu sababu alitaka awe karibu nao.
Soma zaidi hapa > Kigogo wa Madawa ya Kulevya akamatwa Dar. Mali zake zashikiliwa...