Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Kwa muda kidogo sasa nimekuwa nikifuatilia movie za kibongo, kuna huyu dada anaitwa WELU SENGO,nimetokea kumkubali sana kwa namna anavyoigiza na ana uwezo wa kuuvaa uhusika wowote atakaopewa,pia...
1 Reactions
19 Replies
9K Views
Jana katika pita zangu nikakutana na Kipande cha Gazeti katika nyumba ya babu yake na rafiki yangu, kikiwa kimebandikwa ukutani kikiwa na majina ya wachezaji wazamani.... Nikataman kujua wako...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Ukiachana na masuala ya ngumi, hakuna bondia anayemfikia Floyd Mayweather kwa kutupia viwalo vikali.
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Wasalaam wana jamvi. Muziki wetu umukuwa sana kwa sasa tunaweza sema ni ukweli uliowazi kuwa biashara ya sanaa na muziki ni moja ya biashara kubwa kabisa kwa sasa nchini kwa sababu kuna watu wana...
0 Reactions
25 Replies
6K Views
DAR ES SALAAM: UNA kifua nikupe ubuyu? Staa mwenye kiwango cha juu ndani ya Bongo Fleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ anayepiga mzigo na Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB), muda wowote anaweza...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Happy born day beautiful onyinye usiyekuwa na mpinzani bongo movie kwa swaga matata.
0 Reactions
34 Replies
16K Views
MWANAMUZIKI maarufu duniani, Mwingereza, Edward Christopher Sheeran, maarufu kama Ed Sheeran ametangaza kuwa atapumzika kazi hiyo baada ya kuifanya kwa muda mrefu. Ametoa kauli hiyo alipokuwa...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Ni siku chache zijazo, tutaanza kuzisikiliza nyimbo za Harmonize bila kibwagizo cha ‘Wasafi Records’ na ‘Eyo Laiza’. Mwanamuziki huyo, ambaye jina lake halisi ni Rajab Abdul Kahali ameandika barua...
2 Reactions
52 Replies
7K Views
Habari zinasambaa mtandaoni kuwa Mzee Ibrahim Kaduma amefsriki huko India alikokwenda kwa matibabu. Mzee Kaduma alikuwa a staunch supporter wa Mwalimu Nyerere. Mimi nimemfahamu alipokuwa Vice...
7 Reactions
23 Replies
6K Views
Muda mrefu nimejiuliza hili swali sijapata jibu mwenye kufahamu gwiji la muziki wa reggae senzo yu wapi wadau?
0 Reactions
3 Replies
4K Views
GEORGE WEAH MWANASOKA BORA WA DUNIA,ULAYA NA AFRIKA 1995. Leo 13:15pm,29/06/2019. George Weah akitokea ligi ya Liberia,moja kwa moja hadi klabu ya Monaco,baadae kuelekea club ya Paris St Germain...
4 Reactions
8 Replies
3K Views
Ile kauli kua you can't have it all hapa Tanzania haina nafasi. Huku Tanzania wasanii wetu wana kila kitu. Utunzi, uimbaji au uigizaji, uandishi, uongozaji, mapambo na kila kitu. Wasanii wetu...
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Masaa machache tangu mbunge Sugu amvishe Pete mchumba wake , aliekuwa Ex wake na mama mtoto wake Faiza Ally amuombea uchumba wake uvunjike ili arudi kwake kwani Bado anampenda Sent using Jamii...
0 Reactions
30 Replies
7K Views
Aliyewahi kuwa mpenzi wa Mh Joseph Mbilinyi (Sugu) Faiza Ally apagawa na madanga anayoyapata akienda China mara kwa mara. Faiza amefunguka kuwa anapata madanga hatari ambayo hata akiwatajia dau...
1 Reactions
42 Replies
11K Views
Habari wana jamii JF, Taarifa zilizonifikia toka juzi kuwa Baraka yuko hoi hajitambui(ICU) inchini Kenya baada ya kumeza kete za madawa. Safari yake Ilikuwa kutoka Kenya kwenda South Africa...
7 Reactions
102 Replies
19K Views
J
3 Reactions
38 Replies
4K Views
Sherehe ilifana sana viongozi kiba wahudhuria akiwemo rais mstaafu wa awamu ya pili Mzee Mwinyi. VIONGOZI mbalimbali Wastaafu na waliopo Madarakani wakiongozwa na Rais Mstaafu Alli Hassan Mwinyi...
6 Reactions
117 Replies
31K Views
Direct to the topic,Wanajamvi wa Jukwaa hili mmekua mkichukizwa Kinyama na nyuzi za uyu chalii 'WASSAPE',,nakupelekea wajombii Wengine kudiriki kuniombea Ban, Mala Uzi ufutwe yote ni yechu tu Me...
0 Reactions
4 Replies
956 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…