Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 217,997
Kila la heri Kamanda .
Hivi uyu jamaa ndo yule aliyekua analeta kile kibwagizo wakati wa uchaguzi kabla hawajaanza kuhutubia....
Jikite kwenye mada mkuuUmempatia jina swadakta kabisa.
Hawa ndio wanaofaidi ruzuku za chama...kila la kheri MC Mrema
Swadakta !!! kuna watu walikesha kumloga akiwemo Jingalao lakini imeshindikana .Hivi uyu jamaa ndo yule aliyekua analeta kile kibwagizo wakati wa uchaguzi kabla hawajaanza kuhutubia....
"Makamanda wote mguuu pandeee"
Hahah binafsi nilikua nakubali sana icho kibwagizo cha John Mrema...Swadakta !!! kuna watu walikesha kumloga akiwemo Jingalao lakini imeshindikana .
Pumzika kwa Amani Chacha Wangwe. Ugua pole kamanda Lissu.Mrema Na Kigaila Ni Hazina Ya Chama
ndio wapi huko mkuu ?Kwa nini usipeleke Chitchat hii post yako.!
hahahaSwadakta !!! kuna watu walikesha kumloga akiwemo Jingalao lakini imeshindikana .
Swadakta. Mmoja wa watumbua hazina ya ile saccos pendwa iliyobatizwa kwa jina la chama.Umempatia jina swadakta kabisa.
Hawa ndio wanaofaidi ruzuku za chama...kila la kheri MC Mrema
Si wewe wala mama yako anayejua hela ya ccm inakoenda .Swadakta. Mmoja wa watumbua hazina ya ile saccos pendwa iliyobatizwa kwa jina la chama.
Hahaha.....Umempatia jina swadakta kabisa.
Hawa ndio wanaofaidi ruzuku za chama...kila la kheri MC Mrema
Happy birthday mpigaji