Msanii wa filamu nchini Rose Ndauka amefunguka na kuweka wazi kuwa kwenye tasnia hiyo wapo baadhi ya watu wachache ambao wameingia kwenye tasnia hiyo wakiwa na lengo la kujiuza na kupata wanaume...
RayVanny Anatuabisha Watanzania Jamani! Inakuwaje Msanii Anajisia Kufikisha Views Million 4 ndani ya Siku wakati Yeye Sio Sababu Ya Kufikisha Hao Views? Hata walio Mshirikisha Watashangaa,Au...
Watu wangu wa zamaniiiiiii,
Leo nimeona kwenye page ya mkongwe DJ John Dillinga kuwa big boss wa jiji la Dar atakuja kujikumbusha nyakati muziki ukiwa muziki ndani ya club legends zamani nyumbani...
Acha niandike lile ambalo nimeliona kwa hizi siku za karibuni, si mzuri sana katika uandishi hivo kwenye makosa mtanisamehe.
Awali ya yote heshima yenu wakuu natumai siku imeanza vizuri kwa wengi...
Leo ni siku muhimu sana, Siku aliyozaliwa mtu Mtu muhimu sana.
Mtu ambaye wengi wanafaidi harakati zake bila hata kujua hata wale wa upande mwingine pia wanatembelea kwenye harakati zake.
Ni mtu...
Katika hali isiyo ya kawaida,kuna raia shazi wameonekana katika maeneo mbalimbali ya Darisalade wakiwa na mabango. yaliyoandikwa'Baba Kasema'Wajuba hao wameonekana fas za kawe,Buguruni,Barabara ya...
Wanajamvi naamini mko salama,
Binafsi ni mpenzi sana wa Muziki mara nyingi nikitoka mishe zangu naweka redio ambayo inaplay muziki na mara nyingi naweka WASAFI FM.
Aisee kila inapofika saa Mbili...
Muziki wa vijana Bongo Fleva umetoka mbali lazima tuwatambue ambao kupitia kazi zao wamefanya mziki uwe Hapa,hawa ni baadhi yao unaweza kuongezea,wameleta fulsa kwa vijana wa sasa hatakama wao...
Aisee huyu Kijana ameupeleka mziki wa Bongo kimataifa, kama Mtu unamchukia Kijana huyu wa Tandale aisee Utapata Tabu mnooo... Yani Diamond ni Jeshi la mtu mmoja anabadilisha ladha za muziki kila...
Wakuu Habari!!
Habari inayotrend katika intertainment industry ni Diamond platinumz kusaini deal Kama ambassador wa PariMatch.
Sisi Kama vijana Inabidi tuache majungu na tuige kwa watu...
Watangazaji hawa wamenishangaza leo msikilizaji kaomba wimbo wa Innos B ft Diamond plutnumz - Yope rmx wanasema hawaujui wakati wimbo huo youtube una trend number 1 kwa taarifa yenu huu wimbo ndo...
Akihojiwa katika kipindi cha kikaangoni cha EATV msanii nyota Amberlulu amedai ktk mtihani wa kidato cha nne alipata division two ya 34!
Hiki ndo kizazi cha TZ ya viwanda!! Kinyaa!!
Ni msanii aliyewapa wengi matumaini kwamba akiwa mkubwa atakua kakomaa sana kisanaa,
kaanza mziki tangu mtoto mdogo kabisa, ndhani wengi tunaijua ile single yake ya bow wowo wow yippie yo yippe...
Mzee Benson Wanjau, maarufu kama Mzee OJWANG HATARI, mume wa Mama Kayaii, amefariki usiku huu majira ya Saa 2 katika hospitali ya taifa Kenyatta alipikuwa akipata matibabu ya maradhi...
Nasikia Kuna kipindi yule mwarabu anaitwa lukasi mishuka ya gesti na nansi misumari baada ya kuoana walikuwa wanakosa hata hela ya kula..na the late bwana machache/mume wa k nitaipata lini ndo...
Habari za asubuhi wana JF?
Baada ya salamu nijikite kwenye mada husika.
Naombeni kuuliza pia kama wahusika wapo humu wanisaidie.
Nimejiuliza maswali mengi sana kuhusu hawa ndugu zangu na si kwa...
Mambo vipi naitwa MadeeAlly leo Sept 06 2019 kwa hiari yangu nimeamua kuzuia kuchezwa kwa nyimbo zangu ambazo nimezifanya kwenye ardhi ya South Africa especially #VUVULA na zingine zisipigwe...