Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

He Pals,,,, I hope mko gud Ryt,,,, okay, Freshhhh Moja ya mijadala mingi iliyoko mitandaoni ni kuhusu Harmonize kujiondoa Kwenye lebo yake ya WCB,Ukifuatilia comment za mijadala hiyo wengi...
9 Reactions
89 Replies
13K Views
Ndugu wadau,naomba kujua full squad,jina na mahali walipo wasanii walioimba wimbo wa alale pema kamanda.ule wimbo una elezea kwa ufasaha kifo na huzuni kubwa.nawasilisha
1 Reactions
12 Replies
6K Views
Mtangazaji wa kipindi cha familia Faiza Ally amesema yupo tayari kupiga picha za utupu endapo mtu anayemtaka kupiga picha hizo atafikia dau analolitaka Aliyaongea hayo alipokuwa akihojiwa na...
1 Reactions
69 Replies
15K Views
1Kigoma 2.Morogoro 3.Mbeya 4.Arusha 5.Tanga Wale jamaa wabaguzi watakuja kupinga eti na mkoa wait uwemo🤣🤣🤣
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimepatwa na furaha sana baada ya kuona taarifa kwenye ukurasa wako wa mtandao wa Instagram ukiufahamisha umma/mashabiki kuwa kwa sasa umerejea CMG, Clouds Media Group, imekuwa furaha kwa wengi...
16 Reactions
165 Replies
22K Views
Salute.. Kwa wale wapenzi Wa muvi za mkongoto na ubabe basi jina LA Iko Uwais so ngeni sana kwenu. Jamaa in mwigizaji kutoka Indonesia, anapiga karate hatare, mapigo Yale ya kuvunja vunja mifupa...
11 Reactions
172 Replies
35K Views
Muimbaji wa ‘Kakopi Kapesti’ na ‘Shaghala Baghala’, Meninah Atick, amefunga ndoa kwa mara ya pili. Hiyo inamaanisha kuwa ndoa yake na Peter Haule, mtoto wa Waziri wa Nishati na Madini...
5 Reactions
152 Replies
38K Views
Kwakweli tangu ile ngoma yake inayozungumzia adui zake walivyo mchimbia shimo la kuzika mafanikio yake sikupata tena kupenda nyimbo zake zile zimekaa kama bolingo kama kitimutimu na nyinginezo...
9 Reactions
24 Replies
5K Views
Hey Guys... I Hope mko poa wakubwa,,,Ryt,,?? Okay Fresh Najua watu wengi nikiwemo Mimi wanajiuliza,Je Ngoma za Harmonize zitaanza kupigwa Clouds baada ya kujitoa kwenye lebo ya hasimu wao...
2 Reactions
39 Replies
7K Views
Msanii mkubwa wa kimataifa kutoka Tanzania Diamond Platnumz usiku wa Jana alifanikiwa kuchukua tuzo ya Philanthropic Endeavour community action kutokana na mchango mkubwa anatoa kwa jamii.Tuzo...
6 Reactions
32 Replies
8K Views
Duniani kote watu maarufu - wanasiasa, wanamichezo, wanamuziki, waigizaji na wengineo - wamekuwa wakitumia majina tofauti na majina yao halisi/kamili/waliyopewa wakati wa kuzaliwa. Kuna sababu...
4 Reactions
192 Replies
81K Views
Mshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa October 10 2019 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Naima Omary, Samatta alifunga ndoa jijini...
13 Reactions
110 Replies
31K Views
Innos’B ama Innocent Balume kwa jina kamili ndio Bwana mdogo anaebamba sana kwenye anga za Afro Beats (Afro Congo) kwa sasa. Amevuma sana na kibao chake cha Po-Ye (uchek hapa link). ambacho...
5 Reactions
31 Replies
7K Views
Amani iwe nanyi nyote. Nimeona clip ikimuonyesha muimbaji wa nyimbo za injili mchini, Goodluck Gozbert akitumbuiza kwenye tamasha la Tigo Fiesta huko Mwanza. Nimeshangaa na kujiuliza maswali...
2 Reactions
108 Replies
16K Views
Kama huna taarifa za wasanii waliopanda mlima kilimanjaro kwa mbwembwe na wengine kuishia nusu njia kuelekea kituo cha Mandara kutoka lango la Marangu ni kwamba wenzao waliosonga mbele zaidi...
9 Reactions
88 Replies
18K Views
Habari mpya zinasema kuwa bado moyo wa Diamond Platnumz umemzimikia msanii wa muziki wa kizazi kipya mwenye figa matata Meninah licha ya wawili hao kukanusha mara kadhaa. Inadaiwa kuwa Diamond...
2 Reactions
61 Replies
16K Views
Haya jamani habari zisizo kuwa na uhakika zinasema Diamond na Meninah kuoana soon na vikao vya harusi viko chini ya usimamizi wa mama Naseeb na Queen Darleen. =============== Habari mpya...
0 Reactions
163 Replies
25K Views
Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutoka toleo la BSS Menina aolewa kwa siri,nyumbani kwao Kigamboni na mtoto wa aliekuwa waziri wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo. Inasemekana Menina aligoma...
2 Reactions
68 Replies
23K Views
Nakumbuka walisha wahi kuwekeana tarehe sawa za matamasha yao enzi beef lao likiwa kwenye peak. Nafurahi kuona wanazungumza hivi tena public. Hongera sana.
0 Reactions
29 Replies
6K Views
Nianze kwa Pongezi Kwa aliye Mteua Mkuu Wetu Wa Tabora(Toronto) , Mungu Ibariki Tanzania. Aisee huyu jamaa amekuwa Maarufu sana Tanzania kutokana na hii fani yake ya uchekeshaji na sio Kipaji...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…