Masoud Kipanya na Zainab Chondo ndani ya 'Mtazamo' Clouds Plus

Ngareroo

JF-Expert Member
Aug 11, 2019
2,049
2,249
Habari zenu wakubwa..I hope mko poa. Ally Masoud aka Kipanya'KP'Mchora katuni maarufu bongo katika gazeti la Mwananchi ambae pia ni Brand Manager na Mtangazaji wa Kipindi cha Power Breakfast pale Clouds FM.

Pamoja na Zainabu Chondo Mwanahabari ambae kapita katika vituo vya Kimataifa kama BBC,Deutch Welle'DW' na UBC,pia Azam na IPP Media akihudumu kama msoma habari.

These Two Comrades wameteuliwa na DSTV kufanya kipindi cha li'saa limoja tu kinachoitwa 'Mtazamo'ambacho kitakua cha mahojiano ya live na wataalamu wa mambo mbalimbali kama siasa,Uchumi pia na ucheshi wa hapa na pale kama mnavomjua Kipanya,ambapo pia Watazamaji watapata nafasi ya kuchangia na kutoa mitazamo yao juu ya mada itakayokua inazungumziwa.

Kipindi hiki kimeanza kuruka jana Jumatatu tarehe14 na kitakuwa kinaruka Jumatatu hadi Ijumaa kuanzia saa mbili usiku hadi Saa3 Chaneli namba 294 Kupitia DST. @NgarenaroBoy.
 

Attachments

  • a.jpg
    a.jpg
    20.4 KB · Views: 1
zainabu chondo demu yuko makini sanaaa,nilipita nae pale K.I.U kwa mseven tukichukua degree yetu ya mass communication. yuko vizuri hahhaa mi nimeishia kuwa nyaparaaa
 
Mwenye nacho huungezewa chief.
zainabu chondo demu yuko makini sanaaa,nilipita nae pale K.I.U kwa mseven tukichukua degree yetu ya mass communication. yuko vizuri hahhaa mi nimeishia kuwa nyaparaaa
 
Habari zenu wakubwa..I hope mko poa. Ally Masoud aka Kipanya'KP'Mchora katuni maarufu bongo katika gazeti la Mwananchi ambae pia ni Brand Manager na Mtangazaji wa Kipindi cha Power Breakfast pale Clouds FM. Pamoja na Zainabu Chondo Mwanahabari ambae kapita katika vituo vya Kimataifa kama BBC,Deutch Welle'DW' na UBC,pia Azam na IPP Media akihudumu kama msoma habari. These Two Comrades wameteuliwa na DSTV kufanya kipindi cha li'saa limoja tu kinachoitwa 'Mtazamo'ambacho kitakua cha mahojiano ya live na wataalamu wa mambo mbalimbali kama siasa,Uchumi pia na ucheshi wa hapa na pale kama mnavomjua Kipanya,ambapo pia Watazamaji watapata nafasi ya kuchangia na kutoa mitazamo yao juu ya mada itakayokua inazungumziwa. Kipindi hiki kimeanza kuruka jana jumatatu tarehe14 na kitakua kinaruka jumatatu hadi ijumaa Kuanzia saa mbili usiku hadi Saa3 Chaneli namba 294 Kupitia DSTvenga. @NgarenaroBoy.
Zainab Chondo alishawahi kutangaza Radio1..?
 
Babrah hassan si ndo alikuwa brand manager wa PB? imekuwaje tena Kp!

Mbona Unasema Kp na mwenzie Zainab wameteuliwa na DSTV wakati ile ni Chanel ya CMG?
 
Habari zenu wakubwa..I hope mko poa. Ally Masoud aka Kipanya'KP'Mchora katuni maarufu bongo katika gazeti la Mwananchi ambae pia ni Brand Manager na Mtangazaji wa Kipindi cha Power Breakfast pale Clouds FM. Pamoja na Zainabu Chondo Mwanahabari ambae kapita katika vituo vya Kimataifa kama BBC,Deutch Welle'DW' na UBC,pia Azam na IPP Media akihudumu kama msoma habari. These Two Comrades wameteuliwa na DSTV kufanya kipindi cha li'saa limoja tu kinachoitwa 'Mtazamo'ambacho kitakua cha mahojiano ya live na wataalamu wa mambo mbalimbali kama siasa,Uchumi pia na ucheshi wa hapa na pale kama mnavomjua Kipanya,ambapo pia Watazamaji watapata nafasi ya kuchangia na kutoa mitazamo yao juu ya mada itakayokua inazungumziwa. Kipindi hiki kimeanza kuruka jana jumatatu tarehe14 na kitakua kinaruka jumatatu hadi ijumaa Kuanzia saa mbili usiku hadi Saa3 Chaneli namba 294 Kupitia DSTvenga. @NgarenaroBoy.
Azam kunani? Mbona watangazaji wanazidi kukimbia? Inawezekanaje Hillary Step akimbie Azam aende kuajiriwa kwenye Online TV ya youtube? Zainab Chondo kakimbia ,Wasiwasi Mwabulambo kakimbia ,KUNANI AZAM?
 
Habari zenu wakubwa..I hope mko poa. Ally Masoud aka Kipanya'KP'Mchora katuni maarufu bongo katika gazeti la Mwananchi ambae pia ni Brand Manager na Mtangazaji wa Kipindi cha Power Breakfast pale Clouds FM. Pamoja na Zainabu Chondo Mwanahabari ambae kapita katika vituo vya Kimataifa kama BBC,Deutch Welle'DW' na UBC,pia Azam na IPP Media akihudumu kama msoma habari. These Two Comrades wameteuliwa na DSTV kufanya kipindi cha li'saa limoja tu kinachoitwa 'Mtazamo'ambacho kitakua cha mahojiano ya live na wataalamu wa mambo mbalimbali kama siasa,Uchumi pia na ucheshi wa hapa na pale kama mnavomjua Kipanya,ambapo pia Watazamaji watapata nafasi ya kuchangia na kutoa mitazamo yao juu ya mada itakayokua inazungumziwa. Kipindi hiki kimeanza kuruka jana jumatatu tarehe14 na kitakua kinaruka jumatatu hadi ijumaa Kuanzia saa mbili usiku hadi Saa3 Chaneli namba 294 Kupitia DSTvenga. @NgarenaroBoy.
Wadau mimi nina miezi kadhaa siipati Clouds Tv kwenye dish langu la Startimes, shida ni nini ?, nilijaribu kuulizia Customer care wakaniambia kuna tatizo kidogo la ufundi, ni muda mrefu umepita sasa haijarejeshwa, nahisi wanaweza kuwa na mgogoro
 
Habari zenu wakubwa..I hope mko poa. Ally Masoud aka Kipanya'KP'Mchora katuni maarufu bongo katika gazeti la Mwananchi ambae pia ni Brand Manager na Mtangazaji wa Kipindi cha Power Breakfast pale Clouds FM. Pamoja na Zainabu Chondo Mwanahabari ambae kapita katika vituo vya Kimataifa kama BBC,Deutch Welle'DW' na UBC,pia Azam na IPP Media akihudumu kama msoma habari. These Two Comrades wameteuliwa na DSTV kufanya kipindi cha li'saa limoja tu kinachoitwa 'Mtazamo'ambacho kitakua cha mahojiano ya live na wataalamu wa mambo mbalimbali kama siasa,Uchumi pia na ucheshi wa hapa na pale kama mnavomjua Kipanya,ambapo pia Watazamaji watapata nafasi ya kuchangia na kutoa mitazamo yao juu ya mada itakayokua inazungumziwa. Kipindi hiki kimeanza kuruka jana jumatatu tarehe14 na kitakua kinaruka jumatatu hadi ijumaa Kuanzia saa mbili usiku hadi Saa3 Chaneli namba 294 Kupitia DSTvenga. @NgarenaroBoy.
Je watakuwa na uhuru wa, wa kuawaarika wataalam, kama ni mambo ya siasa, uchumi, sheria na kuwaauliza maswali magumu magumu, kama zifanyavyo tv za kenya??? Na hao wageni wakawa na ujasili wa kujibu? Mfano kwanini tunaambiwa tupo kwenye right track wakati, uchumi unapolomoka? Shilingi inashuka thamani?, yaani maswali magumu, angalau hata ile level tu ya generali on monday!! Tofauti na hapo, haitakuwa na maana!!! Sio tena kiwe kipindi cha PAAAAA KISHINDO CHA AWAMU YA 5!!kwani siku hizi tv zote ni kama tbc tu!!!
 
Babrah hassan si ndo alikuwa brand manager wa PB? imekuwaje tena Kp!

Mbona Unasema Kp na mwenzie Zainab wameteuliwa na DSTV wakati ile ni Chanel ya CMG?
Yaani Kipanya awe chini ya Babra??..si dharau hizi..yeye ndo kati ya waanzilishi wa Power Breakfast back in the days,wakati huo babra yupo kiboriloni bado mshamba

Alikuwa kabla ya KP hajarudi CMG
 
Yaani Kipanya awe chini ya Babra??..si dharau hizi..yeye ndo kati ya waanzilishi wa Power Breakfast back in the days,wakati huo babra yupo kiboriloni bado mshamba

Alikuwa kabla ya KP hajarudi CMG
Mwambie huyo mkuu..Barbara ni Programmes Manager wa Choice FM tu.KP kitambo sana PB enzi hizo Barbara yupo Underground FM uko.
 
Babrah hassan si ndo alikuwa brand manager wa PB? imekuwaje tena Kp!

Mbona Unasema Kp na mwenzie Zainab wameteuliwa na DSTV wakati ile ni Chanel ya CMG?
Kwahiyo Bablai unataka kunambia Brand manager wa Jahazi ni George Bantu na sio Gadner G.Habash??Mkuu tofautisha Mwongoza kipindi na Brand Manager.
 
Back
Top Bottom