Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

MBILI sifuri sifuri kenda (2009), aliamua kutugeuza njiwa. Bi mkubwa Patricia Hillary, yeye alimtuma njiwa” apeleke salamu, ila yeye akatutuma sisi, eti tukamwambie jinsi ambavyo bado anampenda...
15 Reactions
45 Replies
7K Views
by 8020fashionsblog Wema jana mida ya saa nne usiku hivi alipost picha zake akiwa amevaa this dress kutoka kwa Mac Couture akiwa anaiita hii gauni master piece. The dress is not a master piece ni...
1 Reactions
25 Replies
6K Views
Jumapili njema Leo nimeamua kuja na hoja kidogo kama nilivyoandika hapo juu asilimia kubwa ya wanawake wamekuwa hawalitendei haki hilo neno hasa mtandaoni, wamekuwa wakileta tafsiri isiyo sahihi...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Romy Jones, binamu wa mwanamuziki Diamond Platnumz amezua maswali mtandaoni baada ya kusema ndugu yake huyo ana watoto watano badala ya wanne wanaotambulika na maelfu ya mashabiki zake jambo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nadhani hii itapelekea watu ambao hata hawakua na mpango wa kusafiri waaanze kutunga safari za uwongo na ukweli ilimradi tu wamiminiwe chai na Hamisa Mobetto, hii ni strategy ya kibiashara, tuache...
1 Reactions
82 Replies
15K Views
Ukisikia mtu anajiharibia basi kiba ni moja wapo, samaki akivuliwa huwa anakunjwa mapema wakati bado mbichi. Sijui ni kwamba kawa kimya kwasababu amempoteza master mind Ruge, au ni kwavile...
1 Reactions
85 Replies
10K Views
Inasemekana jamaa ana mambo makubwa ila hayaweki wazi sababu Hapendi SHOW OFF ,amemuacha tu mpinzani wake diamond ajishebedue 1.Ana mchumba mombasa ila hataki aweke wazi kwani Hapendi SHOW OFF...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) limemfungia msanii wa Bongofleva nchini Tanzania, Rosa Ree kutojihusisha na muziki kwa miezi 6 kutokana na video ya wimbo wa Vitamin U aliyoshirikishwa na msanii...
2 Reactions
57 Replies
13K Views
Wakuu leo nataka tumalize ubishi unaoendea kati ya hawa vinyori nyori vigoli watoto wa uswazi /wapenda miguu ya kuku na mihogo ya kukaanga chipsi yai kwao ni haramu[emoji12] [emoji12] [emoji12]...
0 Reactions
53 Replies
13K Views
Habari wanajamii. Nimekuja na swali hili baada ya kumsikiliza Ali Kiba alipotutangazia anakuja na kitu babukubwa tukamsubiri kwa hamu lakini alipoanza tu ile intro ni kama mtu anaeongea na masela...
6 Reactions
53 Replies
6K Views
Nikiwa nimekaa zangu nacheki game ya simba mara nikamuona Dr. Shika akikatiza huku akionekana yuko kihome-home zaid. Nikaanza kuwaza jinsi ambavyo hawa mastaa wanavyojificha kiasi kwamba anaweza...
7 Reactions
73 Replies
10K Views
Kuna kipindi mwaka 2007 ilitokaga ngoma flani (nmeisahau kidogo) ila Jay Moe alishirikishwa then kwenye punch za MOE aliandika "AMANI KWA KAKA VODA MILIONEA// WASHTUE WADOGO ZAKO WAACHE PODA...
4 Reactions
113 Replies
22K Views
Kiwanda cha muziki, lazima tukubali, mara ya mwisho kimetengeneza msanii ambaye kinaweza kikajitutumua na kujisifia kwaajili yake ni kilipomtambulisha "Erick Msodoki" kwa watanzania! Wengi...
5 Reactions
32 Replies
6K Views
Wasanii wengi, si wa maigizo, si waimba nyimbo - uwezo hawana na hawawezi fikia levo ya waigizaji wa Kinigeria au Ghana na nchi kama South Africa. Kilichobakia ni kujipendekeza CCM wakiamini...
4 Reactions
2 Replies
1K Views
IMEWEZEKANAJE BILA CLOUDS FM? Kuna nyimbo nyingi mno miaka ya karibuni ambazo ni maarufu kupita kiasi ingawa hazikuwahi kupewa airtime na Clouds FM. Inashangaza mno. Hivi wimbo unawezaje kuwa...
7 Reactions
36 Replies
5K Views
Aisee kama kuna kosa lilifanyika katika tasinia ya muziki wa bongo flavour itakuwa ni uamuzi wa wasanii wa kundi la TMK wanaume kujisambaratisha. Sina taarifa za uhakika juu ya sababu za...
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Wadau hivi ni kweli katemwa pale Mawingu FM maana naona hata ngoma zake hazipigwi sana Hata hii ngoma mpya ya Mshumaa hakwenda kuiachia pale XXL kama ilivyo kawaida yake Je swala hili lina...
3 Reactions
50 Replies
8K Views
Star wa filamu nchini Vicent Kigosi "Ray" amesema kuwa yeye ana pesa na mali nyingi na hakuna msanii yeyote wa Tanzania awe wa filamu au muziki anayemfikia sema hapendi tu kujitangaza kama...
0 Reactions
70 Replies
46K Views
Saa chache baada ya msanii, Naseeb Abdul maarufu Diamond Platnumz kuwaalika Harmonize na Ali Kiba katika tamasha la Wasafi, wawili hao wameibuka na kumjibu. Wakati Ali Kiba akimtaka Diamond...
13 Reactions
285 Replies
49K Views
Baada ya Wasafi festival kuiteka Dar, Jumamosi kwa tamasha lililofanikiwa kwa kiasi kikubwa na kuwa gumzo kila kona. clouds ikimtumia soudy brown akiwa na matarumbeta wanawashawishi watu maeneo ya...
31 Reactions
88 Replies
13K Views
Back
Top Bottom