Baada ya Wasafi festival kuiteka Dar, Jumamosi kwa tamasha lililofanikiwa kwa kiasi kikubwa na kuwa gumzo kila kona. clouds ikimtumia soudy brown akiwa na matarumbeta wanawashawishi watu maeneo ya kijimboni kusikiliza clouds.
Ukiachana na Hilo clouds wameanzisha slogani ya Kupinga 100% mziki wa ndani na wanaanza kuanzia leo mpaka siku ya fiesta. Nimepitia kwenye comment kwenye mtandao wao wa Facebook watu wengi wamewauliza Kama mnapiga ngoma za ndani kwa asilimia 100 kwani Diamond na Lady Jay Dee ni wasanii kutoka Iraq?
Ukiachana na Hilo clouds wameanzisha slogani ya Kupinga 100% mziki wa ndani na wanaanza kuanzia leo mpaka siku ya fiesta. Nimepitia kwenye comment kwenye mtandao wao wa Facebook watu wengi wamewauliza Kama mnapiga ngoma za ndani kwa asilimia 100 kwani Diamond na Lady Jay Dee ni wasanii kutoka Iraq?