Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Oooh! Mamu! 0oh mamuu! We ndo furaha yangu, ooh Mamu! Nimekosa baby wangu... oh Mamu! Unisamehe mke wangu! Dah! Utakapoisikiliza ngoma hii kwa mara ya kwanza, na kuhakikishia you won't get enough...
0 Reactions
11 Replies
8K Views
Harmonize anapambana ili aweze kuachana kabisa na WCB. Alitakiwa kulipa shs milioni 500 ili aweze kuwa msanii huria na kufanya kazi zake kama yeye mwenyewe. Jambo ambalo linamaanisha kwamba kama...
7 Reactions
161 Replies
26K Views
Diamond Ashika Nafasi Ya Kwanza Akifatiwa Na Harmonize Huku Nandy Akiwa Mwanamke Pekee Katika List Hio Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Wana nguzo tano wanapambania game linalowakataa ,wengi wao target ni kupata angalau kupata views 1M+ views ,kijitangazia u king usio hata na empire ,wengne wanadiriki hata kurukia miziki isiyo na...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, Kama ni mtu wa burudani utakuwa unamjua DJ PQ, kijana mbunifu na mwanzilishi wa chuo cha kwanza cha kujifunza udj Tanzania. Binafsi nimemfahamu kitambo lakini kabla hajawa maarufu...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hashim & Nash,wana Hip Hop wakubwa kabisa kutokea bongo,mwendawazimu na chizi wamekutana, sadly hashim hafanyi mziki siku hizi amekuwa sheikh swala tano Sent using Jamii Forums mobile app
9 Reactions
90 Replies
19K Views
Silengi kuchochea udini wa aina yeyote ile ila najiuliza imetokea bahati mbaya tu au kuna namna nyingine kwa wale wanaoliwakilisha taifa vizuri zaidi kwenye burudani na michezo kuwa Waislam au...
3 Reactions
98 Replies
9K Views
Kitambo saana hatujawasikia hawa mabinti Rahma, Radhina na Radhia Kipozi, wapo wapi kwa sasa. Muziki wameacha? Sent using Jamii Forums mobile app
2 Reactions
57 Replies
14K Views
Brand New Song...!
0 Reactions
1 Replies
645 Views
Renowned British model Naomi Campbell has reacted to the 2020 Grammy Awards that saw Beninese singer-songwriter Angelique Kidjo bests Nigeria’s Burna Boy and others to winning the Best African...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Mcheza Kikapu mstaafu nchini Marekani, Kobe Bryant 'Mamba' amefariki katika ajali ya Helikopta iliyotokea leo huko California. Kobe mwenye miaka 41 akiwa na binti yake Gianna walikuwa miongoni...
10 Reactions
288 Replies
43K Views
Heshima kwenu wakuu! Kwa mwenye kuelewa, naomba anisaidie kuwataja wahenga wa Bongo kutoka tasnia mbalimbali, kuanzia siasa, muziki na kadhalika, waliooa wake wazungu. Kwa kuanzia, nimepata...
14 Reactions
161 Replies
43K Views
Nimekumiss sana hasa sharubu zako na kiko yako. Pia ucheshi wako wakati wa vikao vya bunge. Mungu ailaze peponi roho yako. I miss u.
1 Reactions
59 Replies
62K Views
Umejitahidi kujaribu kubomoa biashara yangu kenye magazeti yako kwa kila aina ya uchafu kuwazushia na kuwaandika wasanii wangu tumekaa kimya. Baada kufeli kuwabomoa wasanii wangu na kuona magazeti...
31 Reactions
87 Replies
14K Views
Yule mdada mwenye sura ya baba yake ila msambwanda wa kuvunja chaga anayetangaza kituo cha mzee machache inasemekena kafukuzwa kazi baada ya vimbwanga vyake vya karibuni kwenye social media...
3 Reactions
94 Replies
33K Views
Best Female Movie Star Africa - Yvonne Cherry (Monalisa) Muigizaji maarufu wa filamu nchini Tanzania, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa ameshinda tuzo ya African Prestigious Awards kipengele...
3 Reactions
62 Replies
18K Views
Asee nilikuwa nikiona yule totozi aliyejipiga mapicha ya utupu akiwa na nguo,najisemea moyoni,kuna watu wamebarikiwa. Ila tangu nimwone akiwa mtupu,nimedharau mno!Hata havutii,kumbe nilimkosea tu...
23 Reactions
61 Replies
16K Views
Mimi naona juma jux amepatia kwa kuchagua girlfriend wke mpya, wanavutia wanapendezana halafu wanaonekana wana enjoy kweli mapenzi yao. Hawatumii nguvu nyingi kuonesha wko happy picha wanazopiga...
3 Reactions
55 Replies
13K Views
Habari wana jamvi, leo nimewaletea hawa wadogo zetu kutoka WCB, nataka tuwashindanishe kwa kila kitu kuanzia mziki wao, live performance zao, swaga zao, uvaaji wao na kila kitu ki ujumla.
2 Reactions
104 Replies
53K Views
Nimeuona Khaji Manara Mbungeni Leo. Kunani huko Bungeni Kaenda kumtembelea nani?
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…