Hapana chief hii ni Harmonize -HainistuiHarmonize - hujanikomoa
Kuna wengine wanastahafu mapema kwa kuwa walitumia vyeti vya watu wengine waliokuwa wamewazidi umri kuajiriwa. Nimeshaona kesi ya jamaa kustahafu mapema kabla ya umri wake wa ukweli. Hiyo ndiyo inaitwa vigezo na masharti kuzingatiwa.Kuna Mzee mmoja ni mwanajeshi mstaafu nimemuuliza umestaafu lini akajibu nimestaafu 2009 aisee yaani utafikiri kijana wa leo jamani tufanye mazoezi