Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Gauo - Magic System: The Best Break-Up Song Unayoweza Kucheza Club 🎶💔 Kwa kawaida, nyimbo za break-up huwa za huzuni, zenye tempo ya chini, na zinakufanya utafakari zaidi maumivu ya mapenzi...
0 Reactions
5 Replies
476 Views
Mboso Khan mshedede Chino Mario King Kiba Jay Melody Recently kwa mtizamo wangu Kazi zinawabeba....Hongera kwa simba ila nguvu anayotumia ni kubwa mno sii kitu kibaya as zinampush...
2 Reactions
1 Replies
449 Views
Super Mega Star, Diamond Platnumz, akiwa kwenye mahojiano huko Ughaibuni (Uingereza) amesema kuwa yeye ndiye msanii pekee barani Afrika anayeweza kufanya aina zote za muziki kutoka katika kila...
8 Reactions
51 Replies
2K Views
Kwa taarifa zilizorushwa na kituo cha redio Clouds FM ni kwamba mwanamuziki Albert Mangwea amefariki dunia akiwa south Africa. Taarifa zaidi zitafuatia. ------ Albert Mangwea maarufu kama...
3 Reactions
441 Replies
89K Views
Watanzania wafarijika baada ya kuona muonekano mpya wa chid benzi, you know what? GOD DID. Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Chid Benz, aliyewahi kuwa mraibu wa dawa za kulevya...
27 Reactions
70 Replies
4K Views
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Gigy Money, uongozi wa msanii Gigy Money umeeleza kuwa msanii huyo anaumwa na anahitaji maombi kutoka kwa mashabiki wake. Taarifa hiyo imekanusha uvumi kuwa...
11 Reactions
199 Replies
13K Views
KFC ni kifupi cha Kentucky Fried Chicken, mgahawa maarufu duniani kwa kuuza kuku wa kukaanga. Historia yake inaanzia kwa mtu mmoja aitwaye Harland Sanders, ambaye alizaliwa mwaka 1890 huko...
3 Reactions
1 Replies
446 Views
Upande wa Mashtaka Wamaliza Kuwasilisha Ushahidi Baada ya wiki sita za usikilizwaji na mashahidi 34 wakitoa ushahidi (akiwemo Cassie Ventura), upande wa mashtaka umemaliza kutoa ushahidi wake...
3 Reactions
2 Replies
434 Views
Kufikia 24 Juni 2025, baada ya kusikiliza ushahidi kwa zaidi ya wiki saba na mashahidi 34, upande wa mashtaka na ule wa utetezi wamefunga kesi zao rasmi. Kilichowashangaza wengi ni kwamba upande...
1 Reactions
2 Replies
459 Views
Msanii kutokea Tanzania Diamond Platnumz amepewa tuzo maalum na Youtube kwa kufikisha subscribers Milioni kwenye ukurasa wake wa Youtube Hongera zake na kaimprove kuongea kingereza
3 Reactions
7 Replies
655 Views
Katika hatua ya kushangaza, upande wa utetezi katika kesi ya sex trafficking inayomkabili msanii maarufu Sean “Diddy” Combs umemaliza kutoa hoja zake bila kumuita shahidi yeyote mahakamani. Hii...
0 Reactions
0 Replies
304 Views
Get rich or die trying Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari...
24 Reactions
87 Replies
13K Views
Mama mzazi wa Martha Mwaipaja amezungumza na kuthibitisha kuwa yale yaliyosemwa na mdogo wake, Beatrice Mwaipaja kuwa muimbaji huyo wa 'Hatufanani' hamsaidii. Akizungumza kwa uchungu kwenye...
8 Reactions
204 Replies
13K Views
Mrembo wa dunia na mwenza wake kuelekea Maldives kwa ajili ya fungate Mwezi mmoja gharama ya fungate inakaribia TZS 300m. Pole Chibu
7 Reactions
88 Replies
5K Views
Leo tuwataje watu maarufu hapa bongo ambao ni kama wamegoma kuzeeka. Yaani wapo vilevile miaka nenda miaka rudi. Naanza na Blandina Chagula maarufu kama Johari. Huyu tangu tukiwa wadogo yupo...
23 Reactions
239 Replies
14K Views
Kanye West, msanii maarufu na mbunifu wa mitindo kutoka Marekani, amedai kuwa viatu vyake vya slippers vimeuza zaidi ya dola milioni 2 (takriban shilingi bilioni 5 za Kitanzania) kwa muda wa chini...
2 Reactions
25 Replies
2K Views
Hakika album yako imesheheni sana madini ambayo kwa kipindi hiki ni ngumu kuyapata kwa wanamuziki wengne Nmpenda pia ubunifu wako wa njia ya usambazaji wa watu kulipia kwanza mwezi mmoja kabla...
16 Reactions
111 Replies
67K Views
Young Lunya alikuwa kwenye nafasi nzuri kwenye game kwa kutoa kazi mara kwa mara zilizo hit na kumpa umaarufu. lakini tangu asaini na label ya Sony Africa ni kama kajizika, Sony wamembana sana...
3 Reactions
9 Replies
639 Views
Msanii wa filamu nchi ameonyesha hisia zake baada ya kufika katika uzinduzi wa daraja la Magufuli liliozinduliwa leo na Rais Samia, na haya ndiyo aliyoandika katika ukurasa wake wa Instagram...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Back
Top Bottom