Gauo - Magic System: The Best Break-Up Song Unayoweza Kucheza Club 🎶💔
Kwa kawaida, nyimbo za break-up huwa za huzuni, zenye tempo ya chini, na zinakufanya utafakari zaidi maumivu ya mapenzi...
Mboso Khan mshedede
Chino
Mario
King Kiba
Jay Melody
Recently kwa mtizamo wangu Kazi zinawabeba....Hongera kwa simba ila nguvu anayotumia ni kubwa mno sii kitu kibaya as zinampush...
Super Mega Star, Diamond Platnumz, akiwa kwenye mahojiano huko Ughaibuni (Uingereza) amesema kuwa yeye ndiye msanii pekee barani Afrika anayeweza kufanya aina zote za muziki kutoka katika kila...
Kwa taarifa zilizorushwa na kituo cha redio Clouds FM ni kwamba mwanamuziki Albert Mangwea amefariki dunia akiwa south Africa.
Taarifa zaidi zitafuatia.
------
Albert Mangwea maarufu kama...
Watanzania wafarijika baada ya kuona muonekano mpya wa chid benzi, you know what? GOD DID.
Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo Fleva, Chid Benz, aliyewahi kuwa mraibu wa dawa za kulevya...
Kupitia ukurasa wake wa Instagram Gigy Money, uongozi wa msanii Gigy Money umeeleza kuwa msanii huyo anaumwa na anahitaji maombi kutoka kwa mashabiki wake. Taarifa hiyo imekanusha uvumi kuwa...
KFC ni kifupi cha Kentucky Fried Chicken, mgahawa maarufu duniani kwa kuuza kuku wa kukaanga. Historia yake inaanzia kwa mtu mmoja aitwaye Harland Sanders, ambaye alizaliwa mwaka 1890 huko...
Upande wa Mashtaka Wamaliza Kuwasilisha Ushahidi
Baada ya wiki sita za usikilizwaji na mashahidi 34 wakitoa ushahidi (akiwemo Cassie Ventura), upande wa mashtaka umemaliza kutoa ushahidi wake...
Kufikia 24 Juni 2025, baada ya kusikiliza ushahidi kwa zaidi ya wiki saba na mashahidi 34, upande wa mashtaka na ule wa utetezi wamefunga kesi zao rasmi.
Kilichowashangaza wengi ni kwamba upande...
Msanii kutokea Tanzania Diamond Platnumz amepewa tuzo maalum na Youtube kwa kufikisha subscribers Milioni kwenye ukurasa wake wa Youtube
Hongera zake na kaimprove kuongea kingereza
Katika hatua ya kushangaza, upande wa utetezi katika kesi ya sex trafficking inayomkabili msanii maarufu Sean “Diddy” Combs umemaliza kutoa hoja zake bila kumuita shahidi yeyote mahakamani. Hii...
Get rich or die trying
Baada Yakuonyeshwa Stoo Ya Magari Juzi Na Bilionea Lugumi nae kijana mdogo anaekuja kwa kasi ya kutisha kwenye utajiri Chief Godlove Kapata Hasira na kuamua kuvuta gari...
Mama mzazi wa Martha Mwaipaja amezungumza na kuthibitisha kuwa yale yaliyosemwa na mdogo wake, Beatrice Mwaipaja kuwa muimbaji huyo wa 'Hatufanani' hamsaidii.
Akizungumza kwa uchungu kwenye...
Leo tuwataje watu maarufu hapa bongo ambao ni kama wamegoma kuzeeka. Yaani wapo vilevile miaka nenda miaka rudi.
Naanza na Blandina Chagula maarufu kama Johari.
Huyu tangu tukiwa wadogo yupo...
Kanye West, msanii maarufu na mbunifu wa mitindo kutoka Marekani, amedai kuwa viatu vyake vya slippers vimeuza zaidi ya dola milioni 2 (takriban shilingi bilioni 5 za Kitanzania) kwa muda wa chini...
Hakika album yako imesheheni sana madini ambayo kwa kipindi hiki ni ngumu kuyapata kwa wanamuziki wengne
Nmpenda pia ubunifu wako wa njia ya usambazaji wa watu kulipia kwanza mwezi mmoja kabla...
Young Lunya alikuwa kwenye nafasi nzuri kwenye game kwa kutoa kazi mara kwa mara zilizo hit na kumpa umaarufu.
lakini tangu asaini na label ya Sony Africa ni kama kajizika,
Sony wamembana sana...
Msanii wa filamu nchi ameonyesha hisia zake baada ya kufika katika uzinduzi wa daraja la Magufuli liliozinduliwa leo na Rais Samia, na haya ndiyo aliyoandika katika ukurasa wake wa Instagram...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.