Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Hi wadau! Mimi ni mmoja wa naomuunga mkono na hata kukubaliana sana na mambo mengi ya kimaendeleo pamoja na uongozi wake mbunge wa Ubungo mh. Mnyika ila sijafanikiwa kupata cv yake nakuweza...
0 Reactions
115 Replies
79K Views
Akizungumza na Bongo FM msanii aliyeachiwa aondoke bure WCB, Mbosso Khan amesema kuwa anataka kumjibu diamond mwenyewe ila anasubiri aongee amjibu. Ameyasema hayo akielezea kuhusu utunzi wa...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwanamuziki nguli na mkongwe wa DRC wale wapenzi wa muziki ya Congo , rhumba , soukouss, n k watakua sio jina geni kwao, JB MPIANA , akiwa mapumzikoni South Africa, alitaarifiwa juu ya kifo cha...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa vigezo Hivi. Moja kwa moja twende kwenye Mada. 1. STREAMS KWA UPANDE WA SPOTIFY Kwa upande wa hizi streaming platform Apple music ndo uongoza kwa kulipa vizuri ikifatiwa na Spotify, Youtube...
5 Reactions
79 Replies
4K Views
Baada ya Haji Manara kutangaza nia ya kutaka kuwa Diwani Kariakoo na kuchukua Fomu kupitia chama cha Mapinduzi CCM Dulla Makabila, amemua kutoa ya moyoni kuhusu maamuzi hayo ya Haji Manara “Kama...
8 Reactions
12 Replies
1K Views
Jakaya kikwete alitumia tafsida kubwa ya kumtania mtume mwamposa kwakusema yeye kama jirani wa mwamposa atamualika nyumbani kwake lakini aende na mke wake kwakuwa Kuna nwanamke alipostiwa na...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Tarehe 5 July 1994, Tupac aliwatemea mate waandishi wa habari walikuwa wakisubiri kumuhoji baada ya kutoka katika mahakama ya state Supreme mjini New York. Alikuwa akikabiliwa na shtaka la...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
Baada ya Diamond Platnumz kuulizwa na Billboard-: Unaendesha biashara nyingi, kitu gani kuwa boss wako mwenyewe kimekufundisha kuhusu kuwa msanii bora? "Kuwa boss wako mwenyewe ni suala gumu...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Hee he. H baba leo amefunguka ktk stesheni moja ya redio, na kusema wakati yeye na irene uwoya walivokuwa wapenzi, alikuwa anamgonga uwoya mpaka kupelekea kupata mimba. H.BABA alifunguka na kusema...
2 Reactions
55 Replies
10K Views
Balthazar Engonga Ebang ahukumiwa kifungo cha miaka 18 jela leo Julai 2, 2025, kwa ubadhirifu wa pesa za serikali, utajiri haramu na matumizi mabaya ya madaraka. Inasemekana alifuja zaidi ya...
18 Reactions
125 Replies
7K Views
Akihojiwa kwenye kipindi cha Fallon tonight, mwanamuziki Shakira amesema huwa anasafiri na vifaa vya kuwezesha matamasha yake vyenye uzito wa tani 90 na idadi ya watu wasiopungua 145 kufanikisha...
1 Reactions
10 Replies
565 Views
Ni Mmoja wa wanahabari waliowai kunivutia sana kipindi anaripoti ITV, alikuwa na mbwembwe sana hasa kipindi cha uchaguzi. Ningependa kujua alipo kwa sasa maana amepotea kabisa kwenye medani za...
15 Reactions
104 Replies
29K Views
Without ever leaving Nigeria, extraordinary 20-year-old Favour Chisimdi Nwobodo made history by becoming fluent in 11 foreign languages. Chisimidi is a linguist prodigy who speaks fluent Korean...
3 Reactions
10 Replies
805 Views
Ndoa ya Lazaro Nyarandu ambaye ni waziri wa Maliasili na Utalii na mrembo Faraja Kota iko 'ICU' Kwa mujibu wa Mwanafamilia wa Waziri huyo hapa Arusha amehabarisha kuwa wawili hao kwa sasa...
2 Reactions
189 Replies
62K Views
A surviving member of Tupac's group "OUTLAWZ" has passed away. Edi of the Outlawz confirmed the passing and it may be a possible suicide.
4 Reactions
7 Replies
565 Views
Freestyle na muziki ni vitu viwili tofauti katika Hip Hop, wanaoweza vyote ni wachache, Freestyler hapimwi kwa hits za studio, anapimwa kwa uwezo wa kutema mistari papo kwa papo bila kuandika...
10 Reactions
51 Replies
3K Views
Mkuu wa Wilaya ya Namtumbo Mkoani Ruvuma, Ngollo Malenya amethibitisha taarifa za Msanii maarufu wa singeli, Msaga sumu kupata ajali jana Mei 16,2025 wakati akirejea Dar es salaam akiwa anatokea...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Baada ya diamond Platnumz kuposti kwenye insta story yake kavaa viatu vya Balenciaga vyenye thamani ya euro 1650 sawa na shilingi milioni 4,815,794 za Kitanzania. Viatu hivyo ni brand ya...
0 Reactions
55 Replies
3K Views
Back
Top Bottom