Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Mshindi namba 5 wa Miss Tanzania 2006, muigizaji na mjasiriamali Irene Pangras Uwoya, 35 amempokea Yesu kuwa bwana na mwokozi wa maisha yake! Muigizaji huyo aliyezaliwa na kulelewa katika...
39 Reactions
454 Replies
27K Views
Album 5 bora za muda wote ni 1. Mapinduzi Halisi - Prof Jay 2. Aka Mimi - Mangwea 3. A boy from Tandale - Diamond 4. Binti - Lady Jaydee 5. Room Number 3 - Mbosso Mbosso amefanikiwa kuingiza...
3 Reactions
10 Replies
920 Views
SIKU chache baada ya minon'gono kuibuka chini chini kuwa mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili nchini Tanzania ambaye pia ni Mke wa Emmanuel Mbasha, kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Mchungaji wa...
2 Reactions
127 Replies
28K Views
Tuondoeni tofauti zetu Na Kwa pamoja tuandamane P DIDDY aachiwe awe huru. Huyu ni kijana wetu mwafrika mweusi mwenzetu. Ni wajibu wetu kumtetea kijana wetu. Siyo kuandamana tu bali tumkumbuke...
4 Reactions
30 Replies
1K Views
MWANAMUZIKI Mkongwe duniani Sean “Diddy” Combs, amepatikana na hatia katika mashtaka mawili kati ya mashtaka matano yaliyokuwa yakimkabili. Kwa mujibu wa taarifa kutoka Mahakama ya New York...
1 Reactions
1 Replies
434 Views
Picha ya Diamond Platnumz aliyopigwa Summer Jam 2025 yauzwa pesa ndefu, TSh Milioni 1.3 na Getty Images Kampuni kubwa inayojulikana kimataifa kwa upigaji picha za wasanii wakubwa na matukio...
3 Reactions
47 Replies
8K Views
Msanii wa kike wa hip hop bongo Chemical, kwa mara ya kwanza amezungumzia maisha yake ya kimapenzi, kitu ambacho ni nadra sana kwa msanii huyo kufanya hivyo. Akizungumza na team ya Planet Bongo...
3 Reactions
45 Replies
16K Views
Msanii wa kike chipukizi na maarufu, na aliwahi kuwa ktk Lebo ya African Princess iliyoko chini ya msanii Nandy, aitwae Yammi, atoa ujumbe tata ktk page yake ya IG km inavyoonekana hapo pichani...
11 Reactions
125 Replies
5K Views
Msanii na mfanyabiashara maarufu, Zuwena Mohammed, anayefahamika kwa jina la kisanii Shilole, amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake mpya usiku wa kuamkia leo, Desemba 23,2024 Tukio hilo...
12 Reactions
73 Replies
4K Views
Deliberations will resume tomorrow
0 Reactions
0 Replies
222 Views
Chid Benz mpya akitumbuiza kwenye siku ya kupambana na madawa ya Kulevya Dodoma
9 Reactions
49 Replies
3K Views
Hawa majamaa wali tisha enzi hizo, uigizaji safi. 👉 Back to the days kisanga kilivyo vumbuliwa.
4 Reactions
53 Replies
3K Views
1. Mheshimiwa Haji Manara amepata shavu la usemaji wa klabu ya PSV Eindhoven. 2. Mipango ya vibali vya kazi na viza vikikamilika yeye pamoja na familia watatimkia huko ng'ambo tayari kwa kazi. ya...
2 Reactions
34 Replies
3K Views
Ile kuwapiga wasanii na kuwafanya kuchanganikiwa na mwisho kuishia katika Madawa Leo mtazame mtoto wake Miaka 34 Ila hana Ramani ameishia kupiga nyimbo Bar Kama DJ...
5 Reactions
67 Replies
6K Views
Daah! Miaka ya elfu mbili muziki ulitendewa haki kweli jamani. Cheki list ya vipaji hivyo – yaani mtaani kulikuwa hakupoi: Juma Nature Q Chillah Ferouz Lady Jay Dee Professor Jay Ngwear Jay Moe...
50 Reactions
239 Replies
7K Views
Zipo tuhuma zinazolikabili kundi la muziki nchini linalopendwa na wakubwa pamoja na watoto na ndiyo kundi linalotumiwa hata kwenye kampeni za kisiasa. Kwenye kundi hili kuna watu wa ajabu...
23 Reactions
230 Replies
17K Views
Aliyekuwa muigizaji wa Tamthilia ya JUAKALI maarufu kama Kitundu amefariki dunia jioni ya Leo, Juni 24. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na @lamataleah ambaye ni muongozaji wa Tamthilia hiyo...
6 Reactions
36 Replies
4K Views
Mwimbaji Staa wa Bongo Fleva Rajabu Adbul Kahali maarufu Harmonize ametangaza rasmi dhamira yake ya kwenda kugombea Ubunge wa Jimbo la Tandahimba Mkoani Mtwara ambako ndio alikozaliwa...
2 Reactions
63 Replies
3K Views
Inamaanisha kuwa chawa wa CCM ndio kunampa ruhusa ya kudhalilisha watu atakavyo. Japo kwa Tanzania kila kitu kinachukuliwa poa, ila kuwepo na ukomo wa udhalilishaji. Mwijaku amevuka mipaka ya...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Wakuu, Hivi Tayla ana bahati au kismati cha aina gani? Siku ya jana msanii kutoka Afrika Kusini Tyla aliweka historia ya kuwa mwafirika wa kwanza kushinda kipnegele cha “Favorite Global Music...
4 Reactions
11 Replies
898 Views
Back
Top Bottom