Celebrities Forum

Mazuri na Vimbwanga vya wakubwa (Public Figures in general); The right place for celebrity enthusiast!

On JF:

Inadaiwa Kampuni ya Pepsi imeamua kujitenga na Diamond Platnumz ili kujiweka salama baada ya kadhia iliyozikumba baadhi ya kampuni Oktoba 29, 2025. Hii imetokana pia na presha ya watu mtandaoni...
0 Reactions
1 Replies
426 Views
Mgahawa wa Shishi Food unaomilikiwa na mwanadada mrembo Shilole na duka la electronic la Nenga Tronix linalomilikiwa na msanii machachali Billnass, vilishika moto kipindi mtandao umezimwa. Chanzo...
11 Reactions
45 Replies
3K Views
Mbunge mteule wa Jimbo la Kigoma Mjini Kupitia CCM, Clayton Revocatus Chipando Maarufu Baba Levo akieleza furaha yake Siku yake ya kwanza Bungeni ambapo leo Novemba 11. 2025 amekula kiapo rasmi...
5 Reactions
10 Replies
800 Views
Wengi wetu tumeshuhudia jinsi baadhi ya celebrities hasa wasanii na wanamuziki walivyokuwa wakishiriki si tu kwa kuonyesha mapenzi yao ya kisiasa kwa upande flani, bali pia wakivuka mstari...
1 Reactions
7 Replies
304 Views
Anaitwa Joseph jamaa anajua sana uyukuigiza I think alichoigiza huwa anakifanya
0 Reactions
7 Replies
434 Views
Nimepita page za wachekeshaji mtandaoni maarufu kama COMEDIAN WA BONGO , Jamaa wanaomba matangazo hata ya Tsh 50,000/= na kumaliza kwa kusema "NJAA ITATUUA" Mkawasapoti wapate unga na dagaa...
2 Reactions
12 Replies
705 Views
Kwanza niseme tu leo lazima nifungue champagne Nilikuwa naangalia nomination list ya Grammy kwa mwaka huu ambayo imetoka muda mfupi uliopita Kuna kile kile kipengele cha Best African Music...
3 Reactions
16 Replies
614 Views
Wakuu, Naona Watanzania mmepelekea moto wasanii mpaka sasa imefikia hatua wanaahirisha show zao Tuko kwenye first stage ya Cancel Culture. Tukiendelea hivi tunaenda kutengeneza wasanii ambao...
5 Reactions
17 Replies
980 Views
Msisahau kureport kabla ya ku unfollow. Na msiwape engagement yoyote hao chawa. miziki na muvi zao watazisikiliza wenyewe.
7 Reactions
21 Replies
892 Views
Haijaisha mpaka iishe. Tunaanza walipoishia wao. Kama kweli una uchungu wa watu waliopoteza maisha kwa ajili ya mama yule kuingia madarakani kibabe akisaidiwa na wasanii uchwara kumpa promo...
14 Reactions
89 Replies
3K Views
Kitendo cha Diamond kumuunga mkono Samia kweye siasa uchwara kitamgharimu. Kwa sasa najiuliza kama huyu ni Diamond au Demon. Naoma msaada.
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Msanii wa muziki nchini Joh Makini ameungana na watanzania katika kipindi hiki kigumu "Pole yetu sote Watanzania lakini zaidi kwa ndugu jamaa na marafiki waliopoteza wapendwa wao Mwenyezi Mungu...
1 Reactions
6 Replies
438 Views
Baada ya lawama nyingi kutoka kwa wananchi zikiwalenga wasanii na watu maarufu kwa kutosimama na raia wanapopambania utawala wa haki badala yake wasanii wamekuwa upande wa watawala na kudidimiza...
3 Reactions
17 Replies
784 Views
Ninakiri na wengi mnajua namna nilivyokuwa ninamsapoti Diamond Platnumz, Ila kutokana na maujinga yake nilipunguza rasmi ushabiki wangu kwake labda baadaye sana kama itatokea atabadirika na...
2 Reactions
13 Replies
3K Views
Juma Jux kupitia ukurasa wake wa Instagram ametoa pole kwa famili zilizopoteza watu katika maandamano. "Mungu ibariki 🇹🇿 tanzania, praying for peace and healing. Mungu awatie nguvu na faraja...
4 Reactions
8 Replies
490 Views
Kumekucha huko !! Utachagua Mawili tu hapa 1-Uwabagaze Watanzania ili Jina lako liingizwe kwenye Orodha ya Watu wasosamehewa Milele na Milele na MUNGU ANENE NAWE. 2-Kukaa Kimya . Mungu...
3 Reactions
13 Replies
456 Views
Msanii wa Muziki wa Bongofleva 'Zuchu' Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuiombea Taifa la Tanzania kuwa nchi yenye amani, umoja na Upendo Jambo ambalo wananchi wengi kwa upande wa...
0 Reactions
7 Replies
526 Views
Kutoka katika ukurasa wa Instagram wa msanii wa Bongo Flavour Phina... "moyo wangu ni mzito sana... 💔 pole nyingi kwa familia, ndugu na marafiki waliopoteza wapendwa wao. tunaomboleza pamoja...
1 Reactions
6 Replies
336 Views
Kutoka kwenye Ukurasa wa Mwanamuziki Diamond Platnumz ameandika haya "MWENYEZI MUNGU NDIO MPANGA WA YOTE...NA HAPAJATOKEA JAMBO PASIPO YEYE KUTAKA, NA KILA JAMBO HUTOKEA KWA SABABU...INSHAALLAH...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Back
Top Bottom