PRINCE PRIS
JF-Expert Member
- Mar 29, 2015
- 347
- 587
wimbo ni mzuri sanaGood news, hata Mungu anapenda wapatanao na kuweka tofauti zao pembeni
BTW wimbo wa Lady Jaydee nimeuelewa sana
we kweli ni mnyarwanda halisi aiseeee.. Nauhitaji huu moyo kama wako aiseeeeHiyo ni Wao tu ila Mimi ukishakosana / kukinukisha tu nami ' bifu ' langu nawe litaisha pale tu mmoja wetu atakapotangulia ardhini siku ya mwisho ya kuwepo rasmi hapa duniani / ulimwenguni.
Unyama Unyama tu / Jino kwa Jino / Kanyaga Twende / Mbele kwa Mbele.
Sijaamini JD anaflow vile...??wimbo ni mzuri sana
dada yuko vizuri unakumbuka pia alishawai rap kwenye wimbo alioshirikishwa na jafarai jina la wimb limenitoka kidogoSijaamini JD anaflow vile...??
anhaadada yuko vizuri unakumbuka pia alishawai rap kwenye wimbo alioshirikishwa na jafarai jina la wimb limenitoka kidogo
we kweli ni mnyarwanda halisi aiseeee.. Nauhitaji huu moyo kama wako aiseeee
We muongo, juzi tu alikuudhi RC wa dar, lkn baadae ukajirekebisha na kuomba radhi, na kuahidi kumsapoti kama zamani.Hiyo ni Wao tu ila Mimi ukishakosana / kukinukisha tu nami ' bifu ' langu nawe litaisha pale tu mmoja wetu atakapotangulia ardhini siku ya mwisho ya kuwepo rasmi hapa duniani / ulimwenguni.
Unyama Unyama tu / Jino kwa Jino / Kanyaga Twende / Mbele kwa Mbele.
Hawajawahi kufanyana!Kwani walifanyana nini?
Hawajawahi kufanyana!
We muongo, juzi tu alikuudhi RC wa dar, lkn baadae ukajirekebisha na kuomba radhi, na kuahidi kumsapoti kama zamani.