Sio kuongozwa na tako,Nafurahi kusikia Kondeboy kakua sasa
NakaziaKwani si SK yupo na diamond au wamegombana? Mie mrugaruga nijuzeni
Wameweza?Hawa lengo lao lilikuwa kumpoteza kibamia
Ulimuona Zanzibar kwenye uzinduzi?Kwani si SK yupo na diamond au wamegombana? Mie mrugaruga nijuzeni
Ah ahMkuu lugha kali sana
Kama hiyo story ni ya kweli ni dhahiri beef lao lilikuwa artificial kwa nia ya kumpoteza Kiba kumtoa katika kile kinachoonekana kuwa ndiye mpinzani wa Diamond, wameitengeneza ionekane mpinzani mwenye matashtiti na vimbwanga ili ionekane Kiba kadorora na itakuwa wamefanikiwa kwenye hilo.Hawa lengo lao lilikuwa kumpoteza kibamia
Sallam SK hana adui hana rafiki, signing fee yake usipime itakuwa Kalamba bonge la pesa, anasemaga hamsindikizi mtu kwenye utajiri.