Tetesi: Sallam SK kutambulishwa kama Meneja wa Konde Gang Christmas

aka2030

JF-Expert Member
Jan 5, 2013
2,630
3,578
8AB807E7-F0B1-4D65-A740-2FDE0F9FEA7B.jpeg
 
Hawa lengo lao lilikuwa kumpoteza kibamia
Kama hiyo story ni ya kweli ni dhahiri beef lao lilikuwa artificial kwa nia ya kumpoteza Kiba kumtoa katika kile kinachoonekana kuwa ndiye mpinzani wa Diamond, wameitengeneza ionekane mpinzani mwenye matashtiti na vimbwanga ili ionekane Kiba kadorora na itakuwa wamefanikiwa kwenye hilo.
NB:Only if hii story ni ya kweli.
 
Back
Top Bottom